ขนาดวิดีโอ: 1280 X 720853 X 480640 X 360
แสดงแผงควบคุมโปรแกรมเล่น
เล่นอัตโนมัติ
เล่นใหม่
Aisee Mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu wa thamani sana
Aisee nimefatilia habari za Wanefili kwa kusoma vitabu na biblia na katika mitandao ya kijamii kati ya watu walio lielezea hivi vizuri na kwa usahihi ni wewe,Big up it's true 🙏🙏
Utukufu kwa Mungu ndugu yetu Peter Sylvernus, Ubarikiwe sana na karibu tena
Bwana Yesu akupe ufunuo wake zaidi.
Ameni Ameni
be blessed by God, nimejifunza sana
Ameni Ameni mtu wa Mungu
Nashukuru sana nilikua natamani kujua kiundani habari ya wanefili
Asante sana na karibu mnoo
❤
Amen
Ameni
Amina barikiwa
Umeeleza vzr sanaa
Kain alipofukuzwa na mungu alienda kuoa nani?
Watumishi naomba kuuliza mke wa kain alitoka wapi? INGALI biblia inatueleza kuwa Adam walizaa watoto WAWILI na hapakuwa na mtu YEYOTE duniani
Oooh, asante sana kwa swali. Tazama video hii kupata jibu lako. th-cam.com/video/ea02Brm2sKU/w-d-xo.html
Hujajibu swali unarukaruka tuu. Sasa naamini kweli mitandao ni hovyo kabisa.
Kama wanefili Ni uzao Wa kaini! Natamani kujua baada ya kaini kulaaniwa alimuoa nani!? Maana wakati Huo alikua Adam, Hawa, kaini Na habili.
Mm pia nimekua Nikijiuliz sana ili swali, kama mtu wa kwanza ni Adam na Hawa na kain na habili waliwaoa akina Nani? Au dada zao?
Walioana wao kwa wao
Uzao wa Adamu uliendelea na alizaa wana na binti na hao walioana wao kwa wao na hao wanefili ni kwenye uzao wa Adamu kupitia Sethi
Je kizazi hiki kimepotea? Je Bwana aliamua kuwaondosha duniani? Maana Leo hii hawaonekani hao majitu wanefili.
Nikila kizazi cha mwanzo mambacho kiliondoka na garika
Wanefili waliisha wakati wa ghalika yaani wa Noah
Yupo mmoja namwona sikuizi kaingia kweny bongo mov.
Aisee Mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu wa thamani sana
Aisee nimefatilia habari za Wanefili kwa kusoma vitabu na biblia na katika mitandao ya kijamii kati ya watu walio lielezea hivi vizuri na kwa usahihi ni wewe,Big up it's true 🙏🙏
Utukufu kwa Mungu ndugu yetu Peter Sylvernus, Ubarikiwe sana na karibu tena
Bwana Yesu akupe ufunuo wake zaidi.
Ameni Ameni
be blessed by God, nimejifunza sana
Ameni Ameni mtu wa Mungu
Nashukuru sana nilikua natamani kujua kiundani habari ya wanefili
Asante sana na karibu mnoo
❤
Amen
Ameni
Amina barikiwa
Umeeleza vzr sanaa
Kain alipofukuzwa na mungu alienda kuoa nani?
Watumishi naomba kuuliza mke wa kain alitoka wapi? INGALI biblia inatueleza kuwa Adam walizaa watoto WAWILI na hapakuwa na mtu YEYOTE duniani
Oooh, asante sana kwa swali. Tazama video hii kupata jibu lako. th-cam.com/video/ea02Brm2sKU/w-d-xo.html
Hujajibu swali unarukaruka tuu. Sasa naamini kweli mitandao ni hovyo kabisa.
Kama wanefili Ni uzao Wa kaini! Natamani kujua baada ya kaini kulaaniwa alimuoa nani!? Maana wakati Huo alikua Adam, Hawa, kaini Na habili.
Mm pia nimekua Nikijiuliz sana ili swali, kama mtu wa kwanza ni Adam na Hawa na kain na habili waliwaoa akina Nani? Au dada zao?
Walioana wao kwa wao
Uzao wa Adamu uliendelea na alizaa wana na binti na hao walioana wao kwa wao na hao wanefili ni kwenye uzao wa Adamu kupitia Sethi
Je kizazi hiki kimepotea? Je Bwana aliamua kuwaondosha duniani? Maana Leo hii hawaonekani hao majitu wanefili.
Nikila kizazi cha mwanzo mambacho kiliondoka na garika
Wanefili waliisha wakati wa ghalika yaani wa Noah
Yupo mmoja namwona sikuizi kaingia kweny bongo mov.
Amina barikiwa