Ni verse gani imesema David alishirikiana na wafilisti kumuua saul?? David aliposikia saul amekufa alilia sana na akaombolezea saul wakiwa na wafuazi waake but kushilikiana na wafilisti apo ckumbaliani
Sadam Hemedi mambo hayo ya dini ni magumu sana na ndiyo maana wenzetu weupe ususani wazungu na walaabu wamefanya kutuletea dini na kutujengea chuki muislamu amchukie mkrsto na mkrsto amuchkie mwsilam na tumepandkizwa chuki kwa itikadi zetu
@@charlesjmaliseli3515 dini zimeletwa lakin si zipo kweli kuleta kwao dini haimaanisha dini hazipo dini zipo na mungu yupo na wenyewe walileta cz ilikua ni njia mojawapo ya kusbaza dini duniani kwa sababu wwnyew tiyar ilikuwa ishawafikia ndo walikua watu wa kwanza kupokea dini ndo mana katk vitabu waislaer na waraabu wao ndo kwanza din ziliwafikia so ilikua ni lazima wasambaze na yesu aliwambia itangazeni injili ulimwenguni..
Jamani habari mnazozisimulia juu ya mtume wa Mungu Daudi zina ukweli...Jamani tazameni msijejitakia matatizo mbele za M/Mungu bora hadithi za kufikirika kuliko kuwasingizia uovu mitume wa Mungu na watu wema...yangu ni hayo tu
Daaaah mungu kubwa
Daaah we ni htr
Kumbe kwanye Bibilia ukiuwa kitu kikubwa Abacho uringani nacho unakua Nabii
Ni verse gani imesema David alishirikiana na wafilisti kumuua saul?? David aliposikia saul amekufa alilia sana na akaombolezea saul wakiwa na wafuazi waake but kushilikiana na wafilisti apo ckumbaliani
Jaman msitudanganye hv daud alshirkiana na daud kumuua mfalme sauli tunawategemea sana
Hii ipo sawa kabisa ulivyo simulià
Ni hatr xaaaaan
Asanteni kwa habari hizi
Ameen
Umemruka Abisalom
mapenzi hayana mwenyewe
Mmm
Wewe muongo
Hakuna mahali Daudi alishirikiana na wafilist kufanya mpango wa kumuua Sauli!
hakuna huo mpango
Sikio lako halielewi
Kumbe mambo yalianza kitambo
,Ni wapi Saudi alifanya mpango na wafilisti kumwua sauli?
Muongo
Siyo kweli maana Sauli alitiwa mara pili mkononi mwa Daudi Akasema siwezi kutia mkono wangu kwa masihi na mpakwa mafuta wa pwana
Kuna mapungufu mengi saana kwenye hii hadithi
Tafuteni na upande wa waislamu ndo utajua kuna tofauti kubwa sana kati yenu na sisi waislamu
Sadam Hemedi mambo hayo ya dini ni magumu sana na ndiyo maana wenzetu weupe ususani wazungu na walaabu wamefanya kutuletea dini na kutujengea chuki muislamu amchukie mkrsto na mkrsto amuchkie mwsilam na tumepandkizwa chuki kwa itikadi zetu
@@charlesjmaliseli3515 dini zimeletwa lakin si zipo kweli kuleta kwao dini haimaanisha dini hazipo dini zipo na mungu yupo na wenyewe walileta cz ilikua ni njia mojawapo ya kusbaza dini duniani kwa sababu wwnyew tiyar ilikuwa ishawafikia ndo walikua watu wa kwanza kupokea dini ndo mana katk vitabu waislaer na waraabu wao ndo kwanza din ziliwafikia so ilikua ni lazima wasambaze na yesu aliwambia itangazeni injili ulimwenguni..
Jamani habari mnazozisimulia juu ya mtume wa Mungu Daudi zina ukweli...Jamani tazameni msijejitakia matatizo mbele za M/Mungu bora hadithi za kufikirika kuliko kuwasingizia uovu mitume wa Mungu na watu wema...yangu ni hayo tu
Uongo upi ulioutambua?
@@tonyi6807 First mtume wa Mungu hawezi kuzini lete andiko wp ktk kitabu cha Mungu Nabii Daud alizini
Unahitaji kusoma Biblia zaidi,ili kujua maandiko yameandika nini.
Kama hujui Soma bibilia utaona alipo Zini
@@miirajmohamed6352 bro hebu soma Bible bana usibishe ni ukwel kuhus ivo vitu