ALICIA KEYS alivyoivunja NDOA ya SWIZZ BEATZ na MASHONDA, hii ni BARUA kali/ndefu aliyoandikiwa
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 6 พ.ย. 2021
- Kabla ya kumuoa Alicia Keys, Swizz BBeatz aliwahi kuwa kwenye ndoa nyingine na muimbaji Mashonda Tifrere. Uhusiano wao ulianza mwaka 1998. Nini kilitokea hadi ikavunjika? Na vipi Alicia anadaiwa kuwa sababu ya kuvunjika kwake? Ungana na Sky kwenye makala hii
Ukiona ndoa imedumu jua mwanamke kavumilia Sana mungu wabariki wanawake wote,wanaume si ni watu wa ajabu kuliko ajabu yenyewe...
Amin Mungu akunatiki maisha yako yote
Kweli halisi
Brother ujengewe Sanamu au😂🙌🏾
@@luisojr3480 😄😄😄dah!!!...ndo ukweli huo chukua iyo
@@michaeljeremiah5364 😂😂 Nakubal brother
MASHONDA IS STRONG..REAL SUPERWOMAN!!!
Kuna WANAWAKE mnapitia Magumu kwenye MAHUSIANO Hadi Najiuliza MUNGU anakuwa wapi muda Huo 😭😭😭
Lkn Napata Jibu kuwa MUNGU Ukupitisha kwenye kila Gumu kwasababu anajua wewe Ni MSHINDI NA UNALIWEZA CHA MSINGI NI SUBIRA NA MAOMBI KWAKE.
MUNGU NI MWEMA na Wakat wake Ni Wakat SAHIHI SANA.
Mashonda super woman 🙌
I just love sns news, keep doing wonderful job
Cracking head story, ladies born to suffer I can tell it through this story, imagine being In a marriage with a man and all over the suddenly he choose another woman over you, he z In marriage but he can't feel guilty to cheat, those are the men, yes I am man too, God help us not to hurt our beloved ones, it has no sense when you hurt someone who is genuine and crazy in love with you. 😭😭😭😭😭
Mwanaume ndio alisaliti ndoa he is to blame kwa asilimia 95 na alisha 5 tu! Jamani mtu haibiwii anaenda mwenyewe! HaTa Alicia angemucha angenda kwa mwingine
Hizi nakala nzuri sana sky… wengine tulikua wadogo ila wasanii tumewajua ukubwani so we need the stories za zamani
Umezaliwa mwaka gani ndugu
Kweli kabisa
Nimejifunza kitu apa 🙌 duuh ila mashoda nimvumilivu💪super women kabisa ❤ na Asante sns kwa huu ujumbe 🤗
Mashonda is real super women
Swezz beats mshenzi kama washenz wengine
Thanks sky for the news 🙌
so touching story
Sema mashonda mdhuriii😍😍😍
Mashonda ni mmarekani lakini ana roho ya mama wa kiafrika😍😍
Mashonda kajua kujing'anganiza mpk anapelekwa kwenye therapy yupo tuu...Mwanaume akikuchoka huna kitu unaweza fanya
Naogopaaaaa😭😭
mimi ni napata hasira
Najitathmini na mimi, swiz beat ni Malaya sana
She's very very strong woman
So touching story😢😢😭
Makala nzuri
Adui wa mwanamke ni mwanamke mwenzio
😂😂😂😂😂
sawa ila wanaume wanachangia pakubwa...
Daaah barua imeniogopesha hii duuuu mapenzi haya
Ufafanuzi..Mkali Sana Elimi Poa:-🤞🏾🙌🏽😊
wanaume wana tamaa huyo aloibiwa mume chombo sana
Duuuu!!bonge la ujumbe ujui utajua tu💔🔥🔥🔥inaumaa sanaaaaaaa jmn jmn
😢😢😢😢😢😢 cjui kwa nini nimelia...mungu nisaidie
Nampenda Alicia Keys ila nimempenda Mashonda zaidi! Swizz Beats kanionesha tu uhalisia wa wanaume
Umeuwaaa Mzee ☝️🙏💃😂😁🤣🤣🤣🙏
Nikiolewa arafu nikasalitiwa itabidi nikuwe muvumilivu kama MASHONDA 🙌🙌❤️❤️amekuwa shuja kwenye ndoa yake
✌🙏❤❤
😢😢
Eh ndio mi husema 1. Ogopa wasanii... Japo pia kuna watu wengi hupitia the same things as Mashonda.. So 2. Mwanaume wa kucheat will always cheat, ama 3. Huenda Swizzbeats hakumpenda tu huyo ex wake ju all that cheating... All in all, Mashonda ni mvumilivu sana, viatu vyake vinafinya sana ukivivaa
Anyway inabd tu kukubali mana kama kapendwa mwingine zaidi yako what can you do
Ila kbongo bongo haipooooo
Duuuh kumbe Swizz and Alicia nao walikuwa wamo🚶♀️
Ni dhahiri kuwa Alicia Keys ni Superwoman
Mashonda- stering wamahusiano duniani 👏👏✔️
SNS is the best
Daah, alivumilia sana 🤔
Ndege wafananazo ndiyo huruka pamoja, swizz beatz na diamond ni washkaji.
😆😆😆 malaya 2
Kabisaaa
Daaaa😂
Swizz na mond ndio maana nyota zao zinaendana🤣🤣🤣🤣🤣🤣
😂
😂😂😂😂
@@nestinaviolachemba7914 umejuwa kunicekesha kabisa
🤣🤣
Makaburi
Namkubali sana mashonda kwani amechukulia maisha na ubinaadamu kua utu unathamani kubwa sana kwake
Pole mwashoda😭
wanawake msing'ang'anie msipopendwa ndo mwishowe mnakuja kulia hadharani tuwaonee huruma kumbe mmejilazimisha kwenye mahusiano. we mtu kacheat once twice thrice uko tu eti mwanamke uliyejitoa sasa kama umejitoa unalalama nini, acheni ujinga
Mapenzi yanauma
Kama diamond Platnumz
Hila huyo #Mashonda ni Mrembo mno kuliko #Aliciakeys
Samson Emanweli
mashonda inaonesha ni mvumilivu na.mstaarabu sana
Yes ni mwanamke mwenye uelewa sana na uvumilivu mkubwa
🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌✌
Move on Mashonda
Sns yr too much 🙌🏽🙌🏽. For real kuingilia ndoa ya mtu daima itakukuna aiseee
Hap hujifuz kit mzz wa bundal
Hawezi kuwa karibu bila chuki kuna kitu anatafuta
Hongera sana Mashonda
Kila kitu ni kuamua
Halafu utaona watu wanasema msipe Dai tuzo anapenda wanawake 😀😀😀😀hao waandaji,watoa tuzo Dai hawafikii hata nusu,,chezea wanaume wee😀
Mashonda ni chuma
Wote ni vyuma
Sisi wanaume ndoo mamaster wa kusaliti wanawake tusameheni tuu na mtuombe maana Tabia zetu zimefanana..
😂😂😂😂
Daaah
UJENGEWE SANAMU HAPA US BABA NICO 🙌 😍
🤣🤣🤣🤣🤣
Kumbe na huko wapo?
Nihatari kumbe njoo maana wana pendana na mondi kumbe wote ni ivo wa kuzaa nakila mama
haha
0
Aisee Alicia keys m nakupenda Sana kumbe n muharibifu hvyo. 😢😢
Ni mkata kamba nn
@@angelageofrey9756 kwakwel n mkata umeme kabisa
Mashonda ni mwNamkee
Mashonda mvumilivu janmani
kumekuchaa, Dunia yaleo Hakuna ndowa yakwe ni ngono duniya imeshewicha
hakumpenda mashonda, mashonda kalitambua hilo na kaendelea na maisha yake
Kweli, hao wanzungu, sisi ngozi nyeusi hapatoshi
Wanauzungu upi? Black American
Bets ametisha,kuwaunganisha wanawake so jambo dogo
Kasim daudi dini .swali je jina lake ni la kiislam ye mwenyewe bado ni muislam?Allah amuongoze km bado muislam coz quran inatuambia piga uwa garagaza tusije kufa isipokuwa waislam
Sawa sawa mkuu sio mchezo..!! Muombe sana Mungu akufunulie mambo zaidi
Mwamba swizz bonge la mzinzi hahaha
Awa ndio waume