kwani kukutana na Jay z ndionn huyoo nibinadamu kama wengine, mtafuteni Mungu siyo binadamu Jay z na Beyonce nibinadamu watahukumiwa kwa matendo yao kama wengine
Acheni wivu jayz is biggest superstar in the world kila mmoja ana wish kukutana nae ishu ni kwamba jokate ameshatengeneza jina tayari tmz na vyombo vyote vya habari vitasema who is she kimarkert is the biggest explotion
yes kozi jokate amesha create attention kwa upande wa media just imagine angevaa t.shirt inayo proud mount kilimanjaro au kivutio chochote kwa nchi yetu iko poa sana kozi TMZ watataka kujua who is she so itampa kiki sana #kidoti now in international level#
Kuna watu wanakoment usenge humu, yani Jojo kufurahi kuonekana kwenye picha na Familia ya Jay Z wao sijui wanaumia nini. Maneno yanawatoka mala sijui Jay Z sio mungu, mala sijui sijaona chamaana...wachawi hadi TH-cam wamo kumbe, kazi sana!
#ACHENIWIVU hata mngekuwa nyie mngepost #JOJO goooooo has long as your happy and keep play your part well. Jitihada zako zitawaweka mahala pazuri vijana wa #KITANZANIA i beleave on GOD big up sweetheart #KIDOTI. THANKS AYO TV FOR NEWS
yan kuwaon tu wasan. wa bongo ni shida ukiskia diamond kaja utatamn ata upae kibongo bongo ,,sembuse iyo ya jz na Beyonce wee 😂😂 utatamni uwarukie sem ndo ivo tu big up jojo
Sasa ulitaka picha ya nin hebu acheni hizo habar bhana mnatutia aibu huko mnakoendaga mnaonekana washamba tu haya sasa umetaka kupiga picha mtu kakataa sasa si utakuwa umeonekana wa kuja tu na shobo zako
sasa unaona chaa maana ett jay z mbona normal tu n watu wa kawaida na hao watu they are fu...... illuminat shit mtafute mungu jay z na Beyonce Sasha fierce hawakupelek heaven
kumbe alikataa!! ha ha ha ha haaaa asa unajichekesha nn na mtu alikataa?? picha nzur mtu awe na utayar asa we hapo walipiga tu bila ridhaa yake!! ha ha haaaa ndo kakodoa macho mbele maana anatujua watz tulivyo vinganganiz
cjaona cha maana hapo kama na ww hujaona cha maana gonga like hapa
'r hahahaaa nimecheka
Nimesha gonga like tayari.
'r 😂😂😂😂😂😂
hahahaha.... babu la maana kwa kweli hamna hapo
kwani kukutana na Jay z ndionn huyoo nibinadamu kama wengine, mtafuteni Mungu siyo binadamu Jay z na Beyonce nibinadamu watahukumiwa kwa matendo yao kama wengine
Emmanuel Nyansiro Kabisa wamtafute Mungu atoaye uzima wa bure na wokovu jayz na beyonce hawasaidii chochote ni wanadamu wa kawaida tu.
Emmanuel Nyansiro ha ha haaaaa shikamon
Elizabeth Jimmy
you go girl
Acheni wivu jayz is biggest superstar in the world kila mmoja ana wish kukutana nae ishu ni kwamba jokate ameshatengeneza jina tayari tmz na vyombo vyote vya habari vitasema who is she kimarkert is the biggest explotion
sio kila mtu kaka, wengine hawana hio mambo kaka. ila kiukwel ktk mambo ya market ina faida kwa jokate
yes kozi jokate amesha create attention kwa upande wa media just imagine angevaa t.shirt inayo proud mount kilimanjaro au kivutio chochote kwa nchi yetu iko poa sana kozi TMZ watataka kujua who is she so itampa kiki sana #kidoti now in international level#
Ally Malick umesema kweli wanatamani wangekua nihao 😅😅😅😅lol
Kuna watu wanakoment usenge humu, yani Jojo kufurahi kuonekana kwenye picha na Familia ya Jay Z wao sijui wanaumia nini. Maneno yanawatoka mala sijui Jay Z sio mungu, mala sijui sijaona chamaana...wachawi hadi TH-cam wamo kumbe, kazi sana!
pamoja sana Jokate.....
#ACHENIWIVU hata mngekuwa nyie mngepost #JOJO goooooo has long as your happy and keep play your part well. Jitihada zako zitawaweka mahala pazuri vijana wa #KITANZANIA i beleave on GOD big up sweetheart #KIDOTI. THANKS AYO TV FOR NEWS
Shukran sana mtu wangu Hassan kwa kutembelea TH-cam channel ya Millardayo
honger jojo
Nice
Safii 👍
na huyo n jay z sasa angepiga picha na Lucifer mwenyew duuuh serikali ingehamia songea 😊😊😊
Johny Tozzy mdogo mdogo anaenda
safi
maana tanzania kwa ushamba tumekithiri.
Elizabeth Jimmy mshambaaa wew
Elizabeth Jimmy hahaa waache ushambq jamani tzd
Elizabeth Jimmy hahaaaa
hongera jojo wangu
omg ✌✌💋
even beyonce doesn't care or look at u girl, just take it easy
African u night
Uelewa hapo ni mdogo kweli,badala ya kumlilia mungu Jay z ndio nn mbele za mungu unamlilia mwanadam pole sana.
yan kuwaon tu wasan. wa bongo ni shida ukiskia diamond kaja utatamn ata upae kibongo bongo ,,sembuse iyo ya jz na Beyonce wee 😂😂 utatamni uwarukie sem ndo ivo tu big up jojo
tusije shangaa anaenda pokelewa airport kisa kaonana na Jay Z hahahahaaaa
Hahahahaahhhahahahahaaa
Elizabeth Jimmy hahahaaaaaa😂😂😂
Elizabeth Jimmy hahahhahaha hahahhaha
Elizabeth Jimmy 😂😂😂😂
Muna Bakari nm
Yes picha pamoja na Beyonce so what??? Bahati nzuri kasema mwenyewe kwamba alikataa....
poa Millard ayo
aiyaa gonga lyk kama unaona hamna cha maana hapo.😂
hee hee he likin some time yeah same time no ,,,
HAKUNA CHA MAANA WHAT A POINT UJINGA TU
lakini mbona hapana kubwa hapo picha yenyewe kama uyo beyonce kapoteza au ndio wabongo tunapenda kik za vespa
Mmmh kumbe Sie tunamuona star, kumbe yy n local tu, chaajabu nn SSA?
Jokate sikiliza Jipange Sawasawa
Raymond Kaswaga upo mpaka hukuuu
henry Julius wakinitibua nakuja
mmh
huko ni kujizalilisha tu
mnapotea Polen san
ila ningekuwa ni mm ningezima kabisaa 😂😂😂😂wee apana chezea ,,
Mimi mwenyewe...nimeshapiga story sana na huyo Jay Z...kama mnabisha niwaoneshe picha,,,,Ila nimetulia tu sina shobo kama za Jokate
kumbe nawe mshamb mhmhmh nilizani pekeyang aya good😦😦😦
sifa😕😕
Kwavile.wewe.ni.ccm a.chana.na.ccm ulewe.nawajaja.message USA marekani freedom duguyangu your beautiful
Tatizo la millardayo.com kila kitu video sio kila mtu ana hizo Mb za kuangalia TH-cam kukuongezea views! Mpaka inaboa
Beyonce alikata kupga pc na joket
Duh naona km Jojo aibu vile.... Co Kwa kujpendekeza uko hahahaaa
jojo ww ndio ungekuwa Madem bola
Sasa ulitaka picha ya nin hebu acheni hizo habar bhana mnatutia aibu huko mnakoendaga mnaonekana washamba tu haya sasa umetaka kupiga picha mtu kakataa sasa si utakuwa umeonekana wa kuja tu na shobo zako
sasa unaona chaa maana ett jay z mbona normal tu n watu wa kawaida na hao watu they are fu...... illuminat shit mtafute mungu jay z na Beyonce Sasha fierce hawakupelek heaven
upuuuzii mtupu njoo upige pic na mm uwe star km unatk....
Bashear Abdi 😂😂😂😂😂😂😂ww ni star
kumbe alikataa!! ha ha ha ha haaaa asa unajichekesha nn na mtu alikataa?? picha nzur mtu awe na utayar asa we hapo walipiga tu bila ridhaa yake!! ha ha haaaa ndo kakodoa macho mbele maana anatujua watz tulivyo vinganganiz
jokate ckuwez
ngoja me nipite maana dah cyo kwa kufurah huko jokate
افلح السريرس haaaaaaaaaaaaaaaaaaa
mkubwa mung ww acha ujing
Ndomana marekani hawatutaki 😁😁😁😁
mmmh
Ndio ivyo
Dio.duguyangu nimefura.hisa.achana.na.ccm Freedom Tanzania my.friends LeBron James. Tibiti.anajua.leave u
KWANZA ALIKATAA LOL WABONGO BANA WHO THE FUCK IS BEYONCE