🔴BILA UOGA MBOWE AMCHANA RAIS SAMIA ACHA KUTUMIA USALAMA WA TAIFA KUTEKA WATU ,"HIZI SIO DRAMA MADAM

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 28 ต.ค. 2024

ความคิดเห็น • 586

  • @AgnessJohn-v8p
    @AgnessJohn-v8p หลายเดือนก่อน +24

    Mbowe nakuunga mkono aise na mungu akulinde sana mbowe

  • @patriciamseya3396
    @patriciamseya3396 หลายเดือนก่อน +24

    Nasema sitokaa nipoteze muda wangu kwenda kupiga kura

  • @ConnieJohn-ts9rp
    @ConnieJohn-ts9rp 2 หลายเดือนก่อน +71

    Jamani wenzangu tuungane kwa pamoja hao tuwape hukumu yao kubwa 2025 tumlilie Mungu atusaidie Mpendwa Mbowe mungu akulinde kusema ukweli baba.

    • @ezekielmwakajila3790
      @ezekielmwakajila3790 หลายเดือนก่อน +2

      Amen

    • @maziku330
      @maziku330 หลายเดือนก่อน

      Kura nyng ztaharibika mximu ujao

    • @marryfelician1426
      @marryfelician1426 หลายเดือนก่อน +1

      Kwa kweli wananchi wengi mtaani tunaumia Sana Sisi wengine ni CCM lkn sasa tunaogopa hii ni shida no freedom Tanzania kuna nini lkn jamani ni akina nani wana roho ya kikatili hivi kwa kweli kama hawa watu wapo watoke akina soka Amani iwepo jamani dah inauma sanaa

  • @ZablonGlove
    @ZablonGlove หลายเดือนก่อน +3

    Mwisho wa Dunia ni huu maana watu wanauwa watu Kisa kupandishwa mishahala mungu atusaidie kwakweli

  • @KevinOlela
    @KevinOlela หลายเดือนก่อน +23

    Hii nchi unaisemea sanaa baba yetu mungu akupe nguvu ilaa tumechokaa na ccm

  • @OstakiaCornely
    @OstakiaCornely หลายเดือนก่อน

    Asante mbowe mtetezi endelea kupambana na mungu akutangulia haya ni maisha tu kwanini tutekwe kwenye nchi yetu wenyewe mungu tusaidie

  • @sportsnewjs4330
    @sportsnewjs4330 2 หลายเดือนก่อน +37

    Mbowe asante kwakuongea ukweli
    Huu niukweli asilimia 100%

  • @daviesibrahim9587
    @daviesibrahim9587 2 หลายเดือนก่อน +34

    Katiba mpaya ni sasa watanzania amkeni

    • @Dr_nanjase
      @Dr_nanjase หลายเดือนก่อน +1

      🫴

  • @maryhaule5625
    @maryhaule5625 หลายเดือนก่อน +3

    Mbowe baba like

  • @AthumaniChenjelo
    @AthumaniChenjelo หลายเดือนก่อน +9

    Rest in peace MAGUFULI

  • @joslinchuwa1298
    @joslinchuwa1298 หลายเดือนก่อน +9

    Mungu wetu wa mbinguni wewe ndiye mtenda haki wa kweli tunaomba utulinde sisi wengine ni wanyonge hatuna namna ya kujitetea tunaomba ulinzi wako Mungu wetu. 😢😢😢😢😢😢

  • @KauganaMgoli
    @KauganaMgoli หลายเดือนก่อน

    Mungu kilinde kizazi bora kijacho 🙏🙏🙏🙏

  • @LissaHenry
    @LissaHenry 29 วันที่ผ่านมา

    Kwel kabsa anazungumza ukwel mwenyez mungu amlinde na amsimamie 🙏

  • @EmmanuelMwakihaba-vm3mp
    @EmmanuelMwakihaba-vm3mp หลายเดือนก่อน +2

    MUNGU ajawaiacha damu ya mtu ikamwagika bulee
    Hakika Mungu yupo italipwa

  • @alvinmtui-m6i
    @alvinmtui-m6i 2 หลายเดือนก่อน +10

    Like the bit behind the camera it flows with the temper of the speaker,Ina neutralize ukalii kwa mbalii..fact mbowe big up sana nafkiri ujumbe umefika kikubwa utekelezaji

  • @maryamsuleiman6340
    @maryamsuleiman6340 หลายเดือนก่อน +15

    Dah kama sipati picha ,wala kuamini kinachotokea ,ila nasimamisha Duaa Allah atende haki yakile kinachotokea ,Amiin

    • @binkhamis2597
      @binkhamis2597 หลายเดือนก่อน

      Siku zote Allah ni mtenda haki hamdhulumu mtu

  • @SalumJuma-r8p
    @SalumJuma-r8p 2 หลายเดือนก่อน +21

    Da inauma unajuwa

  • @manungujilabela
    @manungujilabela หลายเดือนก่อน +1

    Tusaidie bab mungu akulinde akupapnie ata akikutumia wat mungu awe nawew unatutetea sana mungu akutie nguv naujasir

  • @gadoluhanga5106
    @gadoluhanga5106 หลายเดือนก่อน +5

    Hakuna kitu kinaogopesha kama kutojisikia salama ndani ya nchi yako!

  • @ZubedaKhamiss
    @ZubedaKhamiss หลายเดือนก่อน +2

    Uko.sawa kabisa watoto wetu wanaisha

  • @AhmedHsjsk
    @AhmedHsjsk หลายเดือนก่อน +2

    Mungu azidi kukupingania mbowe

  • @MarthaChuwa-o6b
    @MarthaChuwa-o6b หลายเดือนก่อน

    Nchi yetu wenyewe tanaanza kuishi hatuna amani kabisa Mungu tunaomba msaada wako utulinde uisimamie amani ya nchi yetu na Umlinde mwenyekiti WA chadema Kwa dama Yako YESU wakipanga kumteka wakutane na Giza katika jina la YESU amen

  • @wilsonyeza8202
    @wilsonyeza8202 หลายเดือนก่อน +6

    Jaman mbowe sio kichaa kuyasema haya inauma sana tunapoona watanzania wezetu atuwaoni

  • @Ibrahimmeshilieki
    @Ibrahimmeshilieki หลายเดือนก่อน +5

    Dhuu! tanzania sio tanzania tena ile misemo ya kusema mama hawez endesha nchi ndio inatimia

  • @RashidJonas
    @RashidJonas 2 หลายเดือนก่อน +23

    Wameanza nao wanapeana sumu lakin wanakmbilia south aflika kutafta tiba watanzania wanyonge wanauawa kama mbwa ee mungu tusaidie

  • @mageminja8052
    @mageminja8052 หลายเดือนก่อน

    Me team mbowe full ni strong

  • @sophyodago5062
    @sophyodago5062 หลายเดือนก่อน

    Narudia tena,, Mbowe ndio mtetezi wa wanyonge Tanzania. You are our president

  • @remidiuswilliam7494
    @remidiuswilliam7494 หลายเดือนก่อน +6

    Nimependa Leo umeongea fact sana ding

  • @jackliny-n2o
    @jackliny-n2o หลายเดือนก่อน +2

    mungu heweke mkono wake me sipotezi muda kupiga kula

  • @ZaituniNyanje
    @ZaituniNyanje 25 วันที่ผ่านมา

    Eee mwenyenzi Mungu itetee Tanzania 🇹🇿 yetu na watu wake Amen 🙏

  • @ConsolataZakalia
    @ConsolataZakalia หลายเดือนก่อน +2

    Mbowe mungu akutunze naakufunike Kwa damu yake

  • @NadovCrown
    @NadovCrown หลายเดือนก่อน

    Huyu mzee ni Muongo sanaaa wa Tanzania tuwe nae Makini sanaaa asije kutuharibia Tanzania yetu yenye Amani ni mtu mwenye uchu wa madaraka sanaa tuwe makini wa Tanzania tusiwakubari wachochezi kama hawa katika Taifa letu Mungu amlinde raisi wetu Mama samia suluhu Hassan tunakupenda sanaaa mama yetu ❤ ❤❤❤❤ nitailinda nchi yangu kwa gharama yoyote ile MAMA TUPO PAMOJA NAWE ❤❤🙏🙏💪

  • @jumaraimundi7540
    @jumaraimundi7540 2 หลายเดือนก่อน +10

    Kuna maisha baada ya apa duniani, mim niko na mbowe sio na madudu hayo

  • @joslinchuwa1298
    @joslinchuwa1298 หลายเดือนก่อน +4

    Tunaishi kwa hofu kubwa sana
    Hata tukiwa majumbani kwetu hatuna Amani tunahofia usalama wetu.
    Je vipi kuhusu usalama wa watoto wetu wakiwa mashuleni Mungu tunaomba ulinzi kwa ajili watoto wetu na wapendwa wetu.

  • @nsajigwasilisye4416
    @nsajigwasilisye4416 หลายเดือนก่อน +8

    Enough is enough......

  • @lucykessy-s7l
    @lucykessy-s7l หลายเดือนก่อน

    Mama samia tunaomba Mungu akupe hekima. Mbowe anapigania maisha ya wanyonge. Tunaomba kweli na haki ipatikane

  • @PeterJuma-c9x
    @PeterJuma-c9x หลายเดือนก่อน

    Mwenyezi Mungu akulinde sana baba mbowe tunapitia magumu sana watanzania

  • @julianamwamgogwa
    @julianamwamgogwa 2 หลายเดือนก่อน +14

    Ana loho mbaya huyu mama mungu jukum kati yake naloho anazopoteza

  • @PaulWilliam-w1o
    @PaulWilliam-w1o หลายเดือนก่อน +6

    Kweli baba sema

  • @malkavoice2570
    @malkavoice2570 2 หลายเดือนก่อน +9

    Inaumiza vibaya mno sema tu lakufanya limefichika,ee mungu tunusuru sisi wanao dhidi ya hawa maharamia,hii ni zaidi ya dhuluma ya wazi kabisa!

  • @AFRICA_D669
    @AFRICA_D669 หลายเดือนก่อน +1

    Naomba nisaidiwe jamani nipate hyo nyimbo inayo piga ndani 😭😭

  • @paulojohn9608
    @paulojohn9608 2 หลายเดือนก่อน +22

    huu mfumo wa jeshi la polisi lifumuliwe lipangwe upya hii ni hatari alafu tunajidanganya eti inchi iko salama hawa wanaye potea ni kuku?

  • @WinfridaMushi-b2n
    @WinfridaMushi-b2n หลายเดือนก่อน +1

    Mungu alinde chadema❤

  • @BinmdeveroMdevero
    @BinmdeveroMdevero 19 วันที่ผ่านมา

    🙏🙏🙏mungu akutangulie

  • @AbdonJonathan-r1w
    @AbdonJonathan-r1w หลายเดือนก่อน +4

    Wakati wa utawala Idi Amin, hawakuitwa usalama wa taifa,waliitwa kikosi cha mauwaji cha Ndulii

  • @JohnLwanzali-b9l
    @JohnLwanzali-b9l หลายเดือนก่อน +9

    Duhh hatari sana kinachosikitisha zaidi ni kwanini wanatekwa watu wa upinzani tu? Kuna nn Tz

    • @HellenMonace
      @HellenMonace หลายเดือนก่อน +1

      Hata mmi jamani inaniuma sana kwanini ni waupinzani tuu...na wakati kuna watu wanafanya ualifu tena wakikatili lakini wako huru.

  • @MussaYusuph-p5h
    @MussaYusuph-p5h หลายเดือนก่อน

    Allahu akbaru

  • @dizangetv7306
    @dizangetv7306 28 วันที่ผ่านมา

    Madaraka madaraka mungu anakuona madaraka

  • @pascalfransic4173
    @pascalfransic4173 หลายเดือนก่อน +4

    Uoga we2 naupumbavu wawatanzania hakinasisi tumebeba vichwa2 maskin waakir sis

  • @paulmasunga1754
    @paulmasunga1754 หลายเดือนก่อน +1

    Chadema tunanyanyasika mungu yupo atatulinda😢😢😢Sema wimbo unaosikika naupenda na Sjui ameimba nani

  • @AmadeMuarabo-m7f
    @AmadeMuarabo-m7f หลายเดือนก่อน +3

    🇲🇿mzee umesema ukweli

    • @MbwanaAbdul
      @MbwanaAbdul หลายเดือนก่อน

      Nikweli nibola ukae kimya maana kichwa kisichonaakili nimzigo kwashingo

  • @scolasticasimon-je6cy
    @scolasticasimon-je6cy หลายเดือนก่อน +3

    Drama nawatu wanauliwa hivi mungu atusaidie kwakweli yaan mauaji yamezidi mungu awahukumu .

  • @hildamkongwa2156
    @hildamkongwa2156 หลายเดือนก่อน

    Mim siku moja natamani nukutane na huyu samia jamani maan daah tunaumia sana sisi wana nchi mbowe anasema kweli jaman mungu akutangulie

  • @AshrafuJuma-l3l
    @AshrafuJuma-l3l 2 หลายเดือนก่อน +20

    Uyu pia Samia afai.kuongoza Tanzania yetu

    • @walidmgonja3644
      @walidmgonja3644 หลายเดือนก่อน +1

      Unafaa wewe

    • @KhamisAli-r1w
      @KhamisAli-r1w หลายเดือนก่อน +1

      Magufuli pia ulisema hafai, au umesahau!!????.

    • @AbdallaJuma-tx5ck
      @AbdallaJuma-tx5ck หลายเดือนก่อน +1

      Wewe mjinga ongoza wewe.chogo.

    • @NoelaWilliam-z1d
      @NoelaWilliam-z1d หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂 acha makasliko ​@@AbdallaJuma-tx5ck

    • @AbdallaJuma-tx5ck
      @AbdallaJuma-tx5ck หลายเดือนก่อน

      Wewe ndio mjinga machogo sio wazamzibar machogo watanganyika.samia hafai mueke mama Yako.

  • @Sultani-f7u
    @Sultani-f7u 2 หลายเดือนก่อน +9

    Amna kiongozi

  • @Saidesaideinacio
    @Saidesaideinacio หลายเดือนก่อน +5

    Mtakumbuka sana magufuli sana ni Kwa sababu mlikataa corona na sasa munalipa fidia form Mozambique 🇲🇿

    • @HamadFakh
      @HamadFakh หลายเดือนก่อน +1

      Huo utekeji kipindi cha Magufuli ndo ulishamiri zaidi kuliko sasahivi,nahili jambo la utekaji halihusiani kabisa na kukataa Corona

  • @ShekhIddi
    @ShekhIddi หลายเดือนก่อน +1

    Wanawateka wtu itakua raisi kapewa dili la figo lkn ndo hvyo wapinzani ndo wanatolewa makafara

  • @SudyMohamedy
    @SudyMohamedy หลายเดือนก่อน +3

    Baba utajichosha kuongea bora unyamaze tu kwa sababu nina uhakika mtu akipotea uwakika wa jeshi letu kumpata ni mkubwa sana bali tu tumwachie mungu

  • @remidusmwanandenje-yy5gs
    @remidusmwanandenje-yy5gs หลายเดือนก่อน +3

    🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏 Wambie ukweli na msema ukweli mpenzi wa mungu na kila nafusi itaonja mauti niwakati 2 😢😢😢

  • @lucyshayo8977
    @lucyshayo8977 หลายเดือนก่อน

    We baba mungu akulinde jmn wasije wakakuua t kwa kusema ukweli Mungu mlinde huyu baba

  • @ElizabethDaudi-b6v
    @ElizabethDaudi-b6v หลายเดือนก่อน

    Namkumbuka sana babaangu magufuli😭😭

  • @martinakyoo148
    @martinakyoo148 หลายเดือนก่อน +3

    Na ni Kwa nini Viongozi wa upinzani ususani CHADEMA tu ndio wanatekwa?
    Ni wazi kuwa Chadema inatishia Uhai wa Ccm 2025 ,sizingimzi kwasababu mm ni Chadema no mm ni CCM damdam lkn ujinga kama huu wa kuchezea,dharau ,puuzia Uhai wa mtu siridhii hata kidogo
    Umefikia wakati wananchi kuamua nani atawale na Kwa nini atawale.
    Tunahitaji ulinzi,USALAMA nasio amani ya maneno maneno

  • @Msindo.Famiry.Korogwe
    @Msindo.Famiry.Korogwe 28 วันที่ผ่านมา +1

    Kama, vp nchi hiuzwe kila mtu afe na chake tugawane mali..huu ni use......✌️✌️✌️chukuweni madaraka. Chadema. Tuwa tese.

  • @evelynmwaimu-vd9jo
    @evelynmwaimu-vd9jo 2 หลายเดือนก่อน +8

    Bunge tunawachagua kisha mnatugeuka mnakwenda kuinda sheria kandamizi namna hii looo!!!

    • @mohamedkashindi7689
      @mohamedkashindi7689 หลายเดือนก่อน +1

      Kusema ukweli hakuna bunge hapo ni bunge la mchongo

    • @AbrahBuraheze
      @AbrahBuraheze หลายเดือนก่อน +1

      na mwaka hu bungeni siwafichi tuwajaze chademaaa

    • @AbrahBuraheze
      @AbrahBuraheze หลายเดือนก่อน

      bungeni tukiwajaza chadema patachamgamka bunge litakuwa la moto sasa tuamasishache mbunge wa cc asikanyage bungeni mwaka unaokuja

  • @ernestsinje9700
    @ernestsinje9700 หลายเดือนก่อน +3

    Kwa hili tu linasononesha sana mngewasomea mashitaka basi muwafunge lakini hivi italeta shida Haya machozi haya.....mmmh

  • @oredidunia120
    @oredidunia120 หลายเดือนก่อน +4

    Kaka yangu katekwa Hapo dar es salaam na sehemu aliyetekwa Kuna CCTV camera LAKINI tulijaribu kutoa Tarifa KWENYE vyombo VYA usalama na gari ILIYO MTEKA tunayo namba ya usajili
    Tulienda kumuona MKUU WA wilaya PIYA na vitengo VYA UPELELEZI LAKINI hawakuajibika hadi Léo ni mwezi WA Tatu hatujuwi wapi alipo ndugu yetu
    JINA lake ni Faida John ISAYA

    • @FAUSTATYAZO-ky6ym
      @FAUSTATYAZO-ky6ym หลายเดือนก่อน

      Polen sana, Mungu awe mtetezi wake huko aliko hatimaye apatikane akiwa salama

  • @alphoncejackson9300
    @alphoncejackson9300 หลายเดือนก่อน +2

    Kiukweli kusema drama wakati watu wana tekwa na kuuawa alikosea xana japo ccm wana jiona hawaja wai kukosea

  • @MugundaKamilo
    @MugundaKamilo หลายเดือนก่อน +3

    Anasema ni drama kweli si mnatekwa na kuuawa na watanganyika wenzenu yeye mzanzibara asemeje wakt Zanzibar iko salama

  • @AnociathaChuwa-cb5nk
    @AnociathaChuwa-cb5nk 2 หลายเดือนก่อน +3

    Kweli hatari
    Sheria nyingine zinazopitishwa na bunge la ccm ni za hatari sana
    EE MUNGU TUSAIDIE

  • @HusseNRamathan-c2e
    @HusseNRamathan-c2e 29 วันที่ผ่านมา

    FT

  • @AgreyAmon
    @AgreyAmon 2 หลายเดือนก่อน +3

    True

  • @AmosiMariko
    @AmosiMariko หลายเดือนก่อน

    Nkweli kabsa

  • @ElishaElias-p2d
    @ElishaElias-p2d หลายเดือนก่อน

    ❤ahsante baba ukweli kabisa

  • @AbuduMonero
    @AbuduMonero หลายเดือนก่อน

    Naam

  • @julietthomas2566
    @julietthomas2566 หลายเดือนก่อน

    Kutoka 15:3🙌🙏

  • @NechLove
    @NechLove หลายเดือนก่อน +2

    Hivi kwanini wanatekwa jamani rais apungeze speed na chama chake ili watu wasalimike

  • @MsafiriSambogo-n9g
    @MsafiriSambogo-n9g หลายเดือนก่อน +2

    Nakukubari baba ongea baba nihaki yako

  • @Gaynor1234
    @Gaynor1234 2 หลายเดือนก่อน +3

    Wa kwanza kukamatwa ni huyo huyo mama samia.

  • @LaurentNsenga
    @LaurentNsenga หลายเดือนก่อน

    Inauma sana

  • @machimc-uu4oq
    @machimc-uu4oq หลายเดือนก่อน +3

    Mm sina laisi tangu lini nyumba akaitawala mwanamke nyumba baba naaya yote aliyataka magu ajaona makamo walaisi adi amchague mwanamke ona leo tunawindana wenyewe kwawenyewe inchi ishauzwa ii

    • @zaidasalumualute6437
      @zaidasalumualute6437 หลายเดือนก่อน

      Mmm 5 tenaaa

    • @zaidasalumualute6437
      @zaidasalumualute6437 หลายเดือนก่อน

      Hao ni majambazi basii,naitakuwa wanalipwa mshahara nananii sasa, mwenye nchi ajidai hajui

    • @ShekhIddi
      @ShekhIddi หลายเดือนก่อน

      Anayajua yte anajitoa ufahamu tu mtu mzm kishet

  • @piusbille3905
    @piusbille3905 หลายเดือนก่อน +2

    Haya Maisha kama tupo Congo Vitani Usi Jione Upo Salama haujui kesho yako

  • @aloycefrenk-t6u
    @aloycefrenk-t6u หลายเดือนก่อน

    Kisema ukwell hiii nchii dar Mungu atusaidie

  • @ellahjonas4881
    @ellahjonas4881 หลายเดือนก่อน

    Eee mungu naomba kwa jina la YESU KRISTO KWANI NDIO NAE MWANINI HASHINDWI NA KITU NAKUKUOMBA BABA MUNGU FANYA NJIA APATIKANE KIONGOZI MWEMA MWENYE MSIMAMO KAMA NYERERE JAMANI YUKOWAWAPI NYERERE MAAANA TUMERUDI UTUMWANI EE MWENYEZI MUNGU TUSAIDIE

  • @MichaelKibona-p9m
    @MichaelKibona-p9m 2 หลายเดือนก่อน +16

    Inauma sana,nchi tunayojua ni nchi ya aman tunafanyiwa hivyo,kwenye nchi yetu,mungu yupo❤❤❤

    • @JohnGodson-qs1wf
      @JohnGodson-qs1wf หลายเดือนก่อน

      Hakuna amanii hapa tz ni vile TU watu wanaumia kimyakimyaa ila ipo siku hii nchii itachangamkaa..
      Moto utawaka apaa watu uvumilivu unawashinda asa ivii

  • @AllyJohn-u5c
    @AllyJohn-u5c หลายเดือนก่อน +3

    Da inauma sana 😢 😢😢 Tanzania 🇹🇿 nchi yangu mambo gani mnayo ya fanya viongozi da 😢😢😢

  • @Leopard-vg3jk
    @Leopard-vg3jk หลายเดือนก่อน +1

    Uko sahihi mzee wang tumechoka kupelekwa kupelekwa na huyu mama

  • @sikudhanishembilu2690
    @sikudhanishembilu2690 หลายเดือนก่อน +2

    Ta nzania rais wetu alikua jembe wetu magufuri, ila kwa sasa Bado hatujaona

  • @MudMchawi
    @MudMchawi หลายเดือนก่อน

    Kweli kabisa hapo wamekuelewa

  • @KilimbikeHaji-iy2fm
    @KilimbikeHaji-iy2fm 2 หลายเดือนก่อน +1

    Mwenyezi mungu ipo siku atawazalilisha tu kwani yeye ndie mtendaji mkuu kwetu

  • @zakariamombey9024
    @zakariamombey9024 หลายเดือนก่อน +2

    Mda mwingine umakini unahitajika sana kwakweli 😢

  • @RayyaSaid-ez5rh
    @RayyaSaid-ez5rh หลายเดือนก่อน

    Kwa sasa msimsingizie MH.Samia ache I uongo watu wanatekana Kwa mambo Yao binafsi sasa msijifanye mnatetea eti Rais ndio iliwateka sasa Rais anafanys mengi mzr mmeona hamna la kusema sababu mengi yanatekelezwa vzr. Mmeona uchaguzi ndio mnleta za uongo!!!hakuna nchi duniani watu wake hawakosi matatizo wacha kuwahadaa wananchi!!!!

  • @AlfonceDamiano
    @AlfonceDamiano หลายเดือนก่อน

    Daaaaaah

  • @matridawilium9945
    @matridawilium9945 2 หลายเดือนก่อน +2

    Mungu atasimama

  • @SuphianiAthumani-o3s
    @SuphianiAthumani-o3s หลายเดือนก่อน

    Hivi wa TANZANIA tuna muomba MUNGU atusaidie bila ya sisi wenyewe kuanza kuji saidia chamsingi tuungane kwa pamoja tuache upimbi tupambane kwa jili ya vizazi vyetu sisi tumesha onja ladha ya maisha hii serikali yakifala

  • @KidumeThemaster
    @KidumeThemaster หลายเดือนก่อน

    Mmmhhh😢😢😢😢😢

  • @SaotmAlohtm
    @SaotmAlohtm หลายเดือนก่อน

    Nikweli kabisa🎉🎉🎉🎉

  • @rahmahabibu1432
    @rahmahabibu1432 หลายเดือนก่อน +1

    Na wahalifu pia watateka watu kwaajili ya kumchafua rais wetu ila Allah atabainisha haki

  • @norascokomba5867
    @norascokomba5867 หลายเดือนก่อน

    Kweli jaman mjomba wangu walimteka wasenge hao

  • @HebroniMwakanyika-rw3xl
    @HebroniMwakanyika-rw3xl หลายเดือนก่อน +1

    hapo kwenye msaada yupo sahihi, afya kwanza mengine yafuate

  • @amanmalima940
    @amanmalima940 หลายเดือนก่อน +1

    Yesu Ndiye njia ya kweli na uzima ya kwenda mbinguni hebu MWAMINI Yesu na UOKOKE na ulithi uzima WA MILELE na uende mbinguni.(Yohana14:6, Warumi10:9-10).

    • @JustinChacha-z3e
      @JustinChacha-z3e หลายเดือนก่อน

      muhshimiw nimekupa San ukweli tunanyanyasika atuna pakusemea