MWANANCHI ATOA ZAWADI YA SHAIRI KWA SURE BOY NA RAIS ENG. HERSI BAADA YA KUWAFUNGA CLUB AFRICAIN.
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 9 พ.ย. 2022
- Baada ya kukiwasha dhidi ya Club Africain, Wachezaji wetu wamepewa zawadi ya mashairi matamu kutoka kwa mwanayanga Mwenzetu aitwae Fumau Mshairi.
.
Fungua video hii kumsikia. - กีฬา
MashaAllah unajuaa kaka❤🙏Alhmdhulillah tumshukru Allah kwa ushindi aliotujali🙏🙏
Jamaa anajua kweli kama umekubali like nyingi @yanga
Saf kijana kazi nzuri 💚💛💚💛💚💛💚💛🌵🌵🌵🙏🙏🙏
Aisee hongera yake nginyi Sana jamaa Yuko vizur 🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻
So good so talented 😍... Afanye shairi moja la dakika 2 au tatu la kusifia timu, alafu uwanja wote ukae kimya iwe kama wimbo wetu wa taifa then akimaliza tuanze mchezo, sijui kama Sheria zinaruhusu ila hata kama kwenye kupasha misuli tu🤲. Wachezaji na mashabiki wasimame kimya kumsikiliza. Katika mashairi awataje wachezi na walaoanza siku hiyo hata japo kwa uchache ili wapate heshima yao. Mtatisha sana mkifanikisha wazo hili watu wa media. Ushairi ni bonge moja ya nzugo ya nchi yetu 🟢🟡🙏
My team Young African
Alwatan ktk ubora wako 💚💛💛⚽️⚽️🇹🇿🔑
Mashairi mazur hongera fumau💚🔰
hongera mshairi ila mtangazaji 2nahitaji ep2 ya maisha ya wachezaji wa yanga princess
Yeah aleteee ep 2
Nice song kijana💛💚💛💚
mmh kijana umetisha sana hongera shaili la8 noma sana
Hongera mwanangu unajua
Uko vizuri mashaallah.. ila umemruka farid hapo kwenye movement ya goli
Umetisha kijana big up
Dah! Aseeeh me furahiiiii🔰🔰🔰🔰🔰🔰🔰
Mashallah yanga tunawatu yanga rahaaaa jamani jamani
Congratulations BROTHER fumau💛💚💛💚💛💚💛💚💛💚
upo vizur sana kijana
Hilo shaili latano nimelikubali sana
Mimi yangaaaaaà!!! Hebu tuwekewe shauri full tulichote
Forever we young Africans
Mimi yangaaaaaaaaa💪❤️upo vizuri brooo
Salute kijana
Hongera Mshairi
Gori zuri kabisa
Daaaah tishaaaa sanaaaa
Nimefrai sana mi yangaaaa 🤣🤣🤣
MashaAllah Alfarash
Yangani tamu kuliko asali
Big up San kijan
Pamoja san
Nomaa
Mimi yangaaa 💚💛
Weldone unakipaji San Cha kutung nakuhani pia mashairi...nakuongea pia umebarikiw
Nimeikubali mnooooo
Yanga raha
mshairi umetisha kinoma noma!!!
umetisha kk
Kijana bigup
Safi sana
Mshairi uko njema sana
Daaaah ww mbadi
Yanga Njeeeh Cheeeh
Sure Boy ni noumaaa
Waarabu walikuwa awaelewi kabisaa
Yanga kuna utamu sana
Ebhnaaa eeeeh
Kijana umetisha. Wa kwanza kutizama shahiri hapa. 💚💛
💚💛😅💛💚💛💚💛
Hongera kijana
Daa mi nimeshashindwa hata cha kusema mana daa, bado sijaamini jamani mana ninafuraha ya kupitiliza
Naomba namba ya hiyo kijana nimtumie hata chochote kitu kiukweli kipaji anacho
@@joharramadhan7037 naam
Jamaa fundi sanaaaaaaaaaaa💚💚💚💚💚💚
Mashaallah, Mpaka zimwagike.....
Duuuuuuhhh....dogo noma, wananchi hatuna jambo dogo....
Kijana unatishaaaaaa
Yaaaangaaa juuu Mungu ibariki Yanga. Best unakipaji hujakosea
Mngu akulinde unajua sanaaaa yanga daima mbele nyuma mwikoo💚💛💚💛🙏🙏
Masha Allah
Tamu san hiiiii
Vizur sana, fanyeni ku record hayo madhairi kama official video au audio tupate
💛💚💛💚💛💚💛💚💛💚💛💚💚
yanga tamu
Yukovizur mungu ampe wepes
Ahsante Dana mdogo wamg umenilosha
Jamaa ana jua sana
Daima mbele nyuma mwiko
Safi safi
Waooooooooo 😍😍😍 mung akutee ujasiri ,
Safii
😂😂😂😂 honger
Yangaa kuna vpaji
Ila Pumzi Ndogo Kijana.... Ongeza Pumzi...Utafika Mbali
Vzr cnaa...
Xfii xnaaa
mwamba yuko vema ,,, asante kwa burudani
Hongera brother
💚💛💛💛✍️
I love yangaaa mwaaaaah mwaaaaah mwaaaaah mwaaaaah
Tuonyosheni ile mipasi tuzidi kufurahi.
Nakupenda yanga
Jamaa anaweza sana
Huyu kijana achukuliwe na jeshi la uokoaji akasaidiane na majaliwa
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
🤣🤣🤣🤣🤣🤸🤸🤸🤸🤸♂️🤸♂️
Haaaaahaaaaa
Ha ha ha
hongengera
Congratulations 🎉👏👏👏
9m
Ukopoa sana mwamba mm nisimba nakuerewa
Nakubal fumau kutoka kibamba secondary
Kama upo karibu na mangi agiza vinywaji
Yanga rahaaaaa saana
Saf sana
Ok
Yanga muwepo bila kupzika ushindi lazima kushuka ndege tu wanatoa zawadi ya ushindi
Bila unafiki yanga Kuna vipaji jamani!!💚💚💚💚
Unajua mashairi kaka
Yanga wasilizike wakaze Buti
Mwamba anajua mpaka mwili unanisisimka
Unatosha dogo kwa mashairi
MashaAllah
Inapendeza sana
lkn shaili kakosea alitakiwa aseme faridi na c aucho alietoa pas kwa kaju
Nyie nyie💚💚💛💛💛
Mambo
Mm ni yangaaaaaaaaaaaa
Woyoooo sure boy fundii kijana wangu
Wa kwanza mimi
Homgera
Mimi yanga kijana umetisha🥰🤴
💚💛💚💛🙏🥰🇹🇿
Unajua kk