Mtanzania Milionea Mtarajiwa alieacha kazi ya mshahara wa milioni 1

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 25 ส.ค. 2024
  • Jarida la FORBES ambalo limekua likitoa ripoti za watu mbalimbali duniani lilimtaja Mtanzania Upendo kuwa miongoni mwa Watanzania watatu wa kuwaangalia, yani ni Mamilionea watarajiwa.... stori yake yote ipo kwenye hii video.

ความคิดเห็น • 143

  • @martinempuya5974
    @martinempuya5974 7 ปีที่แล้ว +11

    umeniinspire dada yangu, kuacha kazi co kitu kidogo, mungu akujalie.

  • @martharobert1455
    @martharobert1455 7 ปีที่แล้ว +2

    Yaaaaan broz Millard thanks for this Boss lady aseee! 😍😙 kwanza mrembo, anajiamini then she is soo smart in mind......kiukweli amenigusa sana! Tunasikia wengi wanasema kuhusu kujiajir lakin huyu nae kantikisa kwa namna yake.......Thanks soo much broz Millard, I can do the one thing for this Interview

  • @winniemassawe6612
    @winniemassawe6612 7 ปีที่แล้ว +3

    Nice my dada nimependa sana aidia yako my ongera sana Sana

  • @witnessmallya5114
    @witnessmallya5114 5 ปีที่แล้ว +1

    Uko vizuri dada... Big up!

  • @sitymohd3818
    @sitymohd3818 7 ปีที่แล้ว +3

    Nice millard jitahidi kututafutia Post kama hizi za wajasiriamali tupate kujifunza hata mm nataka kuwa a successful enterpreneur

  • @mzalendotz3397
    @mzalendotz3397 5 ปีที่แล้ว +3

    She is so smart, cool and composed. The true image of a millionaire. Wanawake wazuri sasa wanaanza kutambua thaman zao kijasiriamali. Basically, hii ndio maana halisi ya Ukimuwezesha mwanamke umeikomboa jamii. Dadaz that insta ni invisible investment yenu so make the most of it achaneni na akina dada wanaowainspire kuvaa vituko na kufake maisha. Be real. .think of God and billions ili tukiwaoa mtusaidie jaman.

  • @noelngowitechnicalsolution
    @noelngowitechnicalsolution 2 หลายเดือนก่อน

    Hongera binti. MUNGU akufanikishe

  • @shayonico114
    @shayonico114 6 ปีที่แล้ว +2

    i appreciate your brain man

  • @gladnesspatrick3932
    @gladnesspatrick3932 7 ปีที่แล้ว +2

    U inspire me girl, thank I for sharing urself... See me at the top

  • @haithamitaso9254
    @haithamitaso9254 7 ปีที่แล้ว +2

    good nimeipenda sana hiyo

  • @joycemashikolo9096
    @joycemashikolo9096 7 ปีที่แล้ว +6

    wawooh Mdada hongera sana

  • @philbertchacha6309
    @philbertchacha6309 5 ปีที่แล้ว +2

    Upendo anatiririka vema sana.
    ..keep up

  • @ERICKPM2000
    @ERICKPM2000 7 ปีที่แล้ว +8

    Dada yuko vizuri... Akili yake imetulia

  • @azzaalmaamry76
    @azzaalmaamry76 5 ปีที่แล้ว

    Maa shaa Allah nimeipenda hii upo vizuri dada

  • @agathaluambano8305
    @agathaluambano8305 7 ปีที่แล้ว +6

    good this is how millionaires do in opportunity cost

  • @halimambwego8287
    @halimambwego8287 7 ปีที่แล้ว +1

    Ahsante AYO TV

  • @jacqulinemushi5849
    @jacqulinemushi5849 5 ปีที่แล้ว +1

    Beautiful with brain👏😘

  • @omaiim4014
    @omaiim4014 4 ปีที่แล้ว +1

    Hongera dada

  • @dinatinaeliah4297
    @dinatinaeliah4297 7 ปีที่แล้ว +3

    Da I like it

  • @bernadethakahemele5396
    @bernadethakahemele5396 7 ปีที่แล้ว +7

    nampenda sama milad ayoooo,,uko vizur

  • @barakachawe6241
    @barakachawe6241 7 ปีที่แล้ว +7

    Wow! zao la University of Iringa(UOI)

  • @officialjamhurizachariagos2797
    @officialjamhurizachariagos2797 7 ปีที่แล้ว +19

    Millard Ayo na mimi naosha magari hapa kwa jaffallais car wosh, Naomba na mimi uje unioje naingiza kiasi gani kwa mwezi na mpaka wew garilako uwaga naliosha japo utak kunioji, jitaid bana kazi ni kqzi hatakama pesa nindogo naitaj kuojiwa uwezjua nawazakua nani

    • @dinatinaeliah4297
      @dinatinaeliah4297 7 ปีที่แล้ว

      so laughing

    • @UpeoMinistryofMedia
      @UpeoMinistryofMedia 5 ปีที่แล้ว +2

      hahahahahahahahahahaaaaaa, nimecheka sana!!!
      ila ni sawa bro, you have a point

    • @anthonyngeleja3609
      @anthonyngeleja3609 5 ปีที่แล้ว +2

      Akihojiwa atakuwa maarufu na ataitangaza kazi yake na ili upete kazi nyingi nikujulikana bro uko sawa ww mtafute ufanyenaye mahijianao

    • @MZIZE
      @MZIZE 5 ปีที่แล้ว

      @@gillimangi5522 faida zipo nying

  • @saumuhassan1365
    @saumuhassan1365 7 ปีที่แล้ว +4

    MashaAllah nice

  • @dijaissa5627
    @dijaissa5627 7 ปีที่แล้ว +12

    milard weka segment ya wajasiliamali tunajifunza mengi

  • @lugendodoreen3920
    @lugendodoreen3920 7 ปีที่แล้ว +2

    Elimu ni nzuri sana jamn lovie amafa ya vizuri coz alikua na elimu big up dada

  • @user-lt8id9lv4x
    @user-lt8id9lv4x 4 หลายเดือนก่อน

    Is like whether changes not match everyday but we think only is blow🎉

  • @jamesmanase2183
    @jamesmanase2183 7 ปีที่แล้ว +9

    Daah huy dad ana lembua mpak mtu Wang wa nguv Millard maswal mengin ya kumuuliz anayasaau..

  • @samweliezekia5914
    @samweliezekia5914 7 ปีที่แล้ว +1

    that is so nice

  • @josephsiwale4983
    @josephsiwale4983 6 ปีที่แล้ว +2

    big up sister

  • @azaliandukeki171
    @azaliandukeki171 7 ปีที่แล้ว +2

    love give up ddie

  • @shamsaismail7707
    @shamsaismail7707 7 ปีที่แล้ว +4

    Mashaallah n'Asante Millard Ayo

  • @princegabytv7251
    @princegabytv7251 6 ปีที่แล้ว +2

    congratulatulations

    • @agreyrecho9285
      @agreyrecho9285 5 ปีที่แล้ว

      Mh dada kwa elimu uliyopitia na hiyo sura ilivokakamaa kweli unaweza ukawa umezaliwa 1998 kwann utudanganye watu wazima wenzio

  • @juliethkahwa3047
    @juliethkahwa3047 7 ปีที่แล้ว +3

    wow nimepata wazo jipya kwakwel,💪

  • @jameskahindi9215
    @jameskahindi9215 6 ปีที่แล้ว

    Hongera sana dada, juhudi zitakufanya ufike mbali

  • @arnoldishengoma8458
    @arnoldishengoma8458 5 ปีที่แล้ว

    Jamani ahsante . Nimepata nguvu flani.. especially the last words

  • @boscoboss3826
    @boscoboss3826 7 ปีที่แล้ว

    THAT GOOD IDEARS THAT ALL NEED TO FOLLOW BIG UPS

  • @bonitojo
    @bonitojo 6 ปีที่แล้ว +1

    Dada kwenye miaka na namba unachanganya..
    Anyweiz, point taken.
    Hongera

  • @tukuswigaikasu5227
    @tukuswigaikasu5227 5 ปีที่แล้ว

    She is so calm and composed.

  • @wakeuptv8452
    @wakeuptv8452 5 ปีที่แล้ว +3

    Guys mnatakiwa kujua hakuna binadamu asiye na malengo au matarajio fulani. Kinachokwamisha ni support tuh believe it

  • @salwamohammed9542
    @salwamohammed9542 6 ปีที่แล้ว +1

    Ongera sana dada.

  • @eliasabel1099
    @eliasabel1099 7 ปีที่แล้ว +24

    Millard Ayo uendelee kuksanya watu mhimu kama hao tunakupenda sana

  • @sabinafrancis219
    @sabinafrancis219 7 ปีที่แล้ว +2

    kaka Millard hongera sana kwa kazi yako ila nilikuwa naomba namba ya uyo Dada nahitaji nijifunze makeup kwake

  • @zamanjohn4612
    @zamanjohn4612 4 ปีที่แล้ว

    Naam yupo vizuri huyu Dada namkubali sana

  • @allthingdranabeauty
    @allthingdranabeauty 7 ปีที่แล้ว +1

    Nampenda uyu dada yupo vizuri sana alinipaka nakup vizuri kwenye arusi yngu❤️❤️

  • @TheSalma1999
    @TheSalma1999 7 ปีที่แล้ว

    wow I'm proud of you sister

  • @user-lt8id9lv4x
    @user-lt8id9lv4x 4 หลายเดือนก่อน

    Life sio evidence za watu coz mnapotea manys people akuna inspiration za watu zitakazo kupa support back to yooself..

  • @tosiankel564
    @tosiankel564 7 ปีที่แล้ว +7

    umenpa Moyo wa kua na kiburi cha kutafuta ajira Bali kua mfanyabiashara

  • @mhandyeyoo6591
    @mhandyeyoo6591 7 ปีที่แล้ว +3

    Hamidu😳😳upo best hujafanikiwa kuteka big fish?😜😜😜🏡

  • @shaniswaleh8430
    @shaniswaleh8430 7 ปีที่แล้ว +1

    lv u dada

  • @sharifusule1014
    @sharifusule1014 5 ปีที่แล้ว

    hongera sana juhudi yako ndio mafanikio yako

  • @mbunahchannel2179
    @mbunahchannel2179 7 ปีที่แล้ว

    basi sawa vizuri

  • @halimasali.8081
    @halimasali.8081 7 ปีที่แล้ว +5

    Million moja ni ngapi kenya ajuae anijuze

  • @lucymsigwa443
    @lucymsigwa443 ปีที่แล้ว +1

    Na mimi siku utakuja kunioji ngoja nipsmbane maana natamani sana kufanikiwa

  • @mhandyeyoo6591
    @mhandyeyoo6591 7 ปีที่แล้ว +5

    Manka nkwe kye shininga mashora mashumaaaaa kwashaaaaaa nka ndeeeee

  • @tkvlogs3969
    @tkvlogs3969 7 ปีที่แล้ว +2

    safiii

  • @user-lt8id9lv4x
    @user-lt8id9lv4x 4 หลายเดือนก่อน

    Msiwe inspired on extrovert jaribuni kuwa introvert kila m2 and path tofautiii tofauti kabisa just praying god only .......

  • @aishwariaraimusih7774
    @aishwariaraimusih7774 7 ปีที่แล้ว +1

    nimeipenda hii

    • @emhaule36660642
      @emhaule36660642 7 ปีที่แล้ว

      Je naweza kukutumia sampo za make up special kwa waafrica tu basi?

    • @brendamrikaria111
      @brendamrikaria111 6 ปีที่แล้ว

      Uko vizuri Sana

    • @salimh.mshaam6714
      @salimh.mshaam6714 6 ปีที่แล้ว

      safi Dada na sisi umetuwamsha dada

    • @victornaikara2185
      @victornaikara2185 5 ปีที่แล้ว

      Aisee kweli mungu akisema inakua by the way ukovizuri kunawatu wanajua kua akikunyanyasa ndio utakwama kumbe ukisubutu unaweza mungu akuvushe zaidi na zaidi

  • @rukiabaybe8594
    @rukiabaybe8594 4 ปีที่แล้ว

    Mi nazipenda sana mid hizi najipa nguvu za utendaji wa ka z

  • @tumsifuswai9661
    @tumsifuswai9661 7 ปีที่แล้ว +9

    asante dadangu Kwa mawazo mazuri hakika umenivusha pahali, lakin dadangu hapo kwenye umri umetuacha wengi, embu tufanye hivi,
    primary 7 yrs
    olev 4 yrs
    adv 2 yrs
    chuo 3 yrs
    mtaani unazaid ya 4 yrs embu tuishie hapo tuu panatosha kabisa,,
    total ni 20yrs umezaliwa 1998 Kwa sasa una umri wa miaka kama 19 hv! my God how is this possible??? ulianza shule nn?? only in Tanzania

    • @justinbulenga6698
      @justinbulenga6698 7 ปีที่แล้ว +1

      Swai Tumsifu she said 1988 not 1998

    • @tumsifuswai9661
      @tumsifuswai9661 7 ปีที่แล้ว +2

      Justin Bulenga owky! tenx Broo I was shocked,,, that is great!!! she is an amazing woman I have never came across

    • @dinatinaeliah4297
      @dinatinaeliah4297 7 ปีที่แล้ว

      +Justin Bulenga Yes she said1988

    • @nauratiramsey295
      @nauratiramsey295 6 ปีที่แล้ว

      Swai Tumsifu hahaaa

    • @muxinkuya9161
      @muxinkuya9161 5 ปีที่แล้ว

      Sikiliza kwa makini

  • @winifridagregory2288
    @winifridagregory2288 7 ปีที่แล้ว +5

    hongera Dada ila unaongea kingereza sana kwann usitumie lugha yako bhana

  • @mhandyeyoo6591
    @mhandyeyoo6591 7 ปีที่แล้ว +4

    Manka usisahau kwenda church my sister love ❤️ kiddy 😜😜😜😜😜😜

  • @khalfanmohd5807
    @khalfanmohd5807 7 ปีที่แล้ว +21

    #millardayo na mm nataka nije kunihoji cuz mm mwenyewe kwa siku naingiza buku jero

    • @mnzavachris5423
      @mnzavachris5423 7 ปีที่แล้ว +1

      Khalfan Mohd hatuhoji na sie co

    • @zbtn517
      @zbtn517 7 ปีที่แล้ว +2

      Khalfan Mohd hahaa

    • @realommy2552
      @realommy2552 6 ปีที่แล้ว

      You are not serious

    • @mussasirguda7667
      @mussasirguda7667 6 ปีที่แล้ว

      Khalfan Mohd haaaa haaaa haaaaa

  • @christinahaule9726
    @christinahaule9726 7 ปีที่แล้ว +4

    nice

  • @dismasmunishi5572
    @dismasmunishi5572 7 ปีที่แล้ว +2

    nmependa macho yako

  • @ElizabethMushi-vj1fr
    @ElizabethMushi-vj1fr 4 หลายเดือนก่อน

    Naomba no ya huyo dada

  • @neemakrekamoo4789
    @neemakrekamoo4789 7 ปีที่แล้ว +2

    Millard Ayo tusaidie kuuliza kwa wadau, wanaanzaje hadi kuweza kutengeneza bidhaa zao nje?? Wanatoa oda na specifications au inakuwaje?

    • @kelvinthomas4047
      @kelvinthomas4047 6 ปีที่แล้ว

      Nima Kei tumia web au email yake kumuuliza..... Kwa hapa hawezi toa jibu

  • @tuntufyewilson8486
    @tuntufyewilson8486 7 ปีที่แล้ว +1

    sister hangora kwa brand.

  • @HamiduChamboko
    @HamiduChamboko 7 ปีที่แล้ว +11

    Hili ndio jiko la kuweka ndani...sio hawa wa savanna drink

    • @khadijamalifedha6008
      @khadijamalifedha6008 7 ปีที่แล้ว +4

      Hamidu Chamboko na hawa hawaolewagi ovyo ovyo

    • @PenielLema
      @PenielLema 7 ปีที่แล้ว +1

      +khadija Malifedha.... endapo hujisomi lakini sio hear saying

    • @mhandyeyoo6591
      @mhandyeyoo6591 7 ปีที่แล้ว +1

      Hamidu Chamboko
      Kabila ujapeleka posa nitafute Mimi mama yake mukubwaaaaaaaaaaaaa😜😜😜😜😜😜😜😆😆

    • @HamiduChamboko
      @HamiduChamboko 7 ปีที่แล้ว +1

      Hahhaaaahhaha number pls +255....@M.Handyeyo

    • @HamiduChamboko
      @HamiduChamboko 7 ปีที่แล้ว +1

      Kizazi Takatifu kizazi cha wachapa kazi penda sana hiki kizazi@H.Handyeyoo

  • @erastomwakalinga7079
    @erastomwakalinga7079 6 ปีที่แล้ว +2

    ilo jicho dada mbna unalkatia millard ni km lipo out of inter view nsamehe km nakosea maana mm sio muandish wa habar

  • @nyanzalakaporo2504
    @nyanzalakaporo2504 7 ปีที่แล้ว +2

    HONGERA SANA DADA PENDO, NAIMANI UMEWATIA MOYO WA DADA WENGI SANA,

  • @bernadethakahemele5396
    @bernadethakahemele5396 7 ปีที่แล้ว +6

    uyo Dada yuko vizur

  • @ayoublili8261
    @ayoublili8261 6 ปีที่แล้ว +1

    Miladayo uko vzr

  • @mbunelapolisi9685
    @mbunelapolisi9685 3 ปีที่แล้ว

    Yaa Yuko vzr xo anaongea xana kingereza wengi hawajafika huko ongea lugha ya kibunge

  • @feisalyseif4272
    @feisalyseif4272 7 ปีที่แล้ว +4

    aboud rogo

    • @saidriphat3491
      @saidriphat3491 7 ปีที่แล้ว

      Feisaly Seif radhiaallahu anhu

  • @nassorsaid2331
    @nassorsaid2331 7 ปีที่แล้ว +6

    mtu wa nguvu 5000 kwa mwezi ni sawasawa na 45000😂😂😂umemfanya mpaka dada watu ajichanganye

    • @PenielLema
      @PenielLema 7 ปีที่แล้ว +1

      150000

    • @mrpingu4475
      @mrpingu4475 6 ปีที่แล้ว

      kwel asee dada kashtuka

  • @leylahmohamed4769
    @leylahmohamed4769 5 ปีที่แล้ว

    Dada mzuri akili mingi

  • @user-qs9rn2je4c
    @user-qs9rn2je4c 5 ปีที่แล้ว +1

    mdg wangu hapa umeningusa mm you tube najifuza mengi ila naumia kwa mda huu siwezi kuyafanyia kaz duu ila in shaallah

  • @mariejulie3021
    @mariejulie3021 5 ปีที่แล้ว +2

    Ts 1988 n not 1998 guys lol

  • @pedesheetzpedesheetz5346
    @pedesheetzpedesheetz5346 5 ปีที่แล้ว

    Millad ayo utabaki kua juu

  • @hamismamba7668
    @hamismamba7668 4 ปีที่แล้ว +1

    Huwa ninawazimia wadada wasomi wa kitanzania ambao wakifanyiwa interview huongea lugha yao mama ya Kiswahili Hongera sana dada hukujishaua kwa kujiona kwamba ni msomi kwa kuongea Kiswa-English kama wafanyavyo wasomi wetu wenye utamaduni wa kitumwa kwa kuzithamini lugha za kigeni kuliko lugha yao mama.

  • @piuszororwa7161
    @piuszororwa7161 5 ปีที่แล้ว +1

    yan nyie mnashangaa hilo wakat mzee wangu kaacha mshahara wa miliion4

  • @dictashijasimeya6080
    @dictashijasimeya6080 7 ปีที่แล้ว

    kukataa kazi skitukidogo

  • @kakapascal5090
    @kakapascal5090 7 ปีที่แล้ว

    Amani & upendo ndugu Millad Ayo nakpongeza kwa kutuletea wajasilia mali wanatupa hamasa kubwa ya sisi pia kupiga hatua. ila washauli wageni wako wasiwe wachafuz wa lugha kiswanglish.. ili hali ni wazawa.hata wazngu wanapojfunza kiswhl hutamskia anatoa mseto japo kingerz ni chao.

  • @jonathanmushi6647
    @jonathanmushi6647 5 ปีที่แล้ว

    Nnaomba number ya huyo dada

  • @georgempungu6020
    @georgempungu6020 7 ปีที่แล้ว

    Homonaiz

  • @bmhentertainmenttz
    @bmhentertainmenttz 4 ปีที่แล้ว

    Bofya hapa maajabu mengine
    th-cam.com/video/s5IDMARZJdM/w-d-xo.html

  • @esperansahkafuka9891
    @esperansahkafuka9891 7 ปีที่แล้ว +3

    ni kweli kazaliwa 1998? au nimeskia vibaya?

  • @kenyanadventureman2988
    @kenyanadventureman2988 5 ปีที่แล้ว +1

    I have 50,000 Kenyan shillings. Nikija Tanzania mimi ni millionaire

    • @MZIZE
      @MZIZE 5 ปีที่แล้ว +1

      Come and see if you will

    • @samueljoseph6542
      @samueljoseph6542 2 ปีที่แล้ว

      😄😅🤣😃