𝐒𝐈𝐊𝐔𝐁𝐀𝐃𝐈𝐋𝐈𝐒𝐇𝐀 𝐃𝐈𝐍𝐈 𝐊𝐖𝐀𝐉𝐈𝐋𝐈 𝐘𝐀 𝐌𝐀𝐏𝐄𝐍𝐙𝐈/ NILIAMUA MWENYEWE TOKA MOYONI..
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 7 ก.ย. 2024
- WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
Mashallah soma utajua vitu vingi kwenye dini yko ya kiislam
Hap hapo mwisho utakuwa unavaa tu ushungi una achana na Manywele ya kizungu ya bandia na nakuona siku Mmoja utaenda hijaa Amin
Mungu akuthibitishe zaidi katika dini ya kiislam..hongera sana
Ole wao wamchezeao mungu
Gereza kubwa duniani th-cam.com/video/hPfGDMQuh3M/w-d-xo.html
Watajua hawajui washenz sana
Dada you blessed me a lot thank u 😍
Hujifanya kuzungumza Habari za mungu Hana lolote huna akili Ata kidogo
Karibu kwetu
She is right
Gereza kubwa duniani th-cam.com/video/hPfGDMQuh3M/w-d-xo.html
Jistiri basi dadaangu ukae vizuri katika imani yako
Kumbe yuko uchi eh
@@masalakulwa7601 haujui uisilam ndomana
@@masalakulwa7601 ndio
@@leahally4618 waislam wa ngapi wanavaa nusu uchi wangapi wanasuka nywele za bandia umeona huyo tu mmmmmmmmmh
@@user-rd7jt1vi5x ndo usikatae maon yake ,je anavyo vaa uisilamu unataka ivo?
Hujawi kuwa muislamu wewe ulimfata m2 tu ... Na hujajua unachofanya
Wewe ndo mwenye nafsi yake wacha kuhukumu kitu ambacho hukijui
Wazungu wamekutana
Hajatulia Ata kidogo huyu mdada
Mungu azd kukuongoa
karib ktk uislam dear mambo kidogo dogo utakaa sw insha Allah
Katika kitu umenikosha kuwa muislam mambo mengine yatakaa sawa only those who recognise themselves understand that. Dada uwislam umemaliza wakristo wanalijua ilo sema wameziba pamba maskioni. Km kweli unajitambua basi nenda kwa padili unaemuamini muhulize maswali yako ya kutosha then muone muislam muhulize maswali yako.then utaona ukweli upo wapi.mungu anatuambia tusje kufa aliyakuwa waislam. Kwenye kufa kuna somo kubwa uwezi jua mpk usome uwislam
Wacha wewe ulimpoteza nn kuma ww😏
Wacha kumchezea mungu kua na msimamo
Mashallah ,, maamzi mazur uliyoyachukua
Gereza kubwa duniani th-cam.com/video/hPfGDMQuh3M/w-d-xo.html
Umefuat waislm cio mwislm
Acha unafiki ww unateswa na majini mahaba
Kila mtu aishi atakavyo mwenyewe...
Maana umejiumba mwenyewe ht uishi utakavyo?
Tunaishi atakavyo Mungu sio tutakavyo sisi
@@steventibenda5 Namaanisha humu kuna watu wanakosoa sana wenzao na kuwahukumu wenzao na kujiona wao ndio wana haki mbele za Mungu na ndio maana nimesema hivyo Kaka.
Kwaiyo apo ndo umeokoka sio
Jina lina maana sana godliver hiyo liver sijajus ni yamaana gani
Gereza kubwa duniani th-cam.com/video/hPfGDMQuh3M/w-d-xo.html
Akipata watt 6 dini mara 6
Uigizaji uko vzr ila kwenye maisha yako binafsi unaonekana ujatulia
Na ndio maana aliamua kuokoka
Gereza kubwa duniani th-cam.com/video/hPfGDMQuh3M/w-d-xo.html
Liz bhn sasa mm sijaelewa mara ulokole mara uisalam au mm ndio mgumu kuelewa
Gereza kubwa duniani th-cam.com/video/hPfGDMQuh3M/w-d-xo.html
Duhhh chamoto utakiona
kipi icho
Chamoto gani? Unamuhukumu mtu wewe umekua mungu?
@@joycenicodemus.2232 Ndugu zetu sijui wanakwama wapi unaona dini yako ni bora kuliko za wengine. wanakosea sana..
@@victormushi6641 yaan mm uwa wananiudhi Sana kujifanya mungu.nakuanza kuwatukana wakristo awajui kuwa kitakachohukumiwa niroho sio mwili.
@@joycenicodemus.2232 NI KWELI AF WANALETA MAMBO YA CHUKI SANA AF SIO POA.. UNAMZARAU MWENZAKO KISA DINI NA SOTE TUNAFANANA.. HAKUNA ALIKUFA AKARUDI AKASEMA DINI FLANI NDIO BORA ZAIDI, KILA MTU AHESHIMU MWINGINE.
Huyu ndo nayemuonaga kama ni mbibi mara msichana
Ndio ndo yy🤣🤣🤣🤣
Gereza kubwa duniani th-cam.com/video/hPfGDMQuh3M/w-d-xo.html
Athuman acha ujinga au kinyonga huyo abadilika jmn looh ila hata mm simuelewagi
@@aminaally9156 sa unachonshangaa nn🤔
@@saumuimeda5181 kumbeee
Dada kaokoka 😅
Huto tuvingereza achen
Waswahili tuna mambo lugha yetu hatuitaki ushamba mwingi
@@aminaally9156 hio ndo shida 😂🤣😂🤣
Halafu tuviingereza huto tunakeraaaaaa
Karibu katika uislamu dini iliothibitishwa kwenye vitabu vya dini
Dini yenye heshima kuanzia mavazi mpaka heshima ya ibada
Baki kwa dini yako .usijaribu kuingia kwa dini ya kiislam kisha ukarudi dini ni dhambi kubwa saana afadhali ubaki tu kwa dini yako .hiyo inamaanisha huna msimamo kwenye maisha yako.mtu mzima unashindwa kujielewa kisha unaongea kunya kunya.
dini ya zambi kubwa unaijuwa wew pole sana
@@anneafrica939 amen
msenge nn
Amegundua ukweli
Dada ana badili dini kama nguo 😮😃😃 yani Katoliki ulokole hadi Uislamu
Na Katoka tena kwenye Uislam karudi kwenye ukristo ana shida
😃😃😃😃
Na msife kabla hamjawa waisilamu
@@ZINDUKAMUISILAMU30 Nani kakudanganya ujui dini nikama vyama🤣🤣🤣
Yyote atakaekufa nje ya uislamu bc kwa Allah hana fungu
Toka hapo ni juu ya mapenzi mjinga wewe umemfata mpenzi wako
Zuchu kapata ajalith-cam.com/video/jdISDiWGE7g/w-d-xo.html
Vile najua mkristo akibadili dini kujiunga na Muslim,lazima kuna mchoro,maybe kudanga au kua haramia na mshambuliaji,na huu ni ukweli nisipingwe
Wewe ni mdhaifu na kwenye uislam uliingia kwa mapenzi ya mtu tu na sivenginevo acha viengereza vingi wenye dini tumekuelewa kuwa wewe ni munafik.tu
Uzaif wake up apo kweli binadam tunajaji kuliko mungu
Na asirudi tena mnafki tu huyo dada