Mzozo waendelea kutokota kuhusu hatma ya atakapozikwa kijana wa miaka 12 aliyepigwa risasi na polisi
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 21 ส.ค. 2024
- Mzozo umeendelea kutokota kuhusu hatma ya atakapozikwa kijana wa miaka 12 aliyepigwa risasi wakati wa maandamano eneo la Rongai kaunti ya Kajiado. Utata kati ya baba na mamake mtoto Kennedy Onyango sasa ukisababisha kusitishwa kwa mazishi yake kaunti ya Homa Bay. Licha ya mama kuandaa mazishi ya mwanawe, babake mtoto alielekea mahakamani kutaka apewe idhini ya kumzika kijana wake.
Huyu mama anapitia magumu sana 😢😢Mungu amsaidie
huyu mzee anataka tu pesa
Wakati baba mtoto analea mwanawe kwa 10years huyu mwanamke alikuwa wapi
Nashangaa yani
Ruto will never get peace
Haya yangekuwa mazishi ya kawaida baba hangekuja ,bt ata kama kuna shida ,ni viema mtoto azikwe kwso,hapa ndio unasikia ukiachana na mume na uko na watoto walee mwanzo wafike umri wakujitegemea ndoa haitoroki wala hakuna ndoa nzee utapata tu atakae kufaa
But babake ako na right ya kuzika mtoto coz huyo mama aliwacha mtoto kwa babake since 2015 akamchukua 2022 amekuwa akimlea all those years na pia hao dada zake huyo kijana Bado wako kwa baba yao mbona akamzike kwingine
kwani mtoto ana baba wangapi ,,,,huwa namuona baba mwengine akifanya interview???
Baba anafaa kuzika mtoto huyu mwanamke aache ujinga
😮poor child !!
Understand her mtoto ni wake
Kwani huyo baba alikua wapi
I come from rusinga
Mwanadamu akiwa hai hakuna mtu anahaja naye lakini akisha kuwa marehemu anakuwa mtamu what if uyo mtoto angekuwa anauguza majeraha huyo babake hangeshughulika
sperm donor amejitokezea juu ya pesa
Understand the situation please this father has been raising his own kids the boy plus the girls only that the boy went for a visit to his mom and never came back only a year ago now
Niliskia watu wakisema Ni ruto amechukua mtoto mbona Tena imegeuka Kuna kesi ya wanaume wake huyu mama wakenya mko na ujinga sana
It's true my dear
Ruto angejua hangeua huyu aki
Hata pa kuzikwa n shida man
Wewe unaongea ujinga, qwani n ruto ameuwa.. nonsense
alichukua bunduki akauwa au c utuambie vizuri eyewitness
@@mainakihurusia6380 watu wengine cjui wanakaa aje
Chep na Maina commenting! Haha hata siwezi soma juu hawanaga cha kusema 😂😂😂😂empty debes
@@Mboki2 hii ni siasa too inatumika kuaribu nnchi yetu ...tutabaki kua Ka southern Sudan ikiiendelea hivi ...there are some want to withdraw government...why they spot parliament building and fire 🔥