ไม่สามารถเล่นวิดีโอนี้
ขออภัยในความไม่สะดวก

Makali Ya Gen Z: Kizazi cha Gen Z chasimama kidete na kuikosoa serikali

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 13 ก.ค. 2024
  • VIJANA WA KIZAZI CHA GEN - Z WAMESHANGAZA ULIMWENGU MZIMA KWA MAANDAMANO YAO ULIOSABABISHA SERIKALI KUWASIKIZA NA HATA RAIS KUWAFUKUZA KAZI MAWAZIRI WAKE WOTE. VIVYO HIVYO MSUKUMO WAO UMEMFANYA ALIYEKUWA MKUU WA POLISI JAPHETH KOOME KUJIUZULU. TOFAUTI NA MAANDAMANO YALIYOWAHI KUFANYIKA KENYA HAYA YALIHUSISHA SIMU NA MITANDAO LAKIN MATUNDA YAKE NI MENGI. PAUL NABISWAANAANGAZIA MBINU WALIZOTUMIA VIJANA HAWA AMBAO HAWANA KIONGOZI WALA SIFA ZA UKABILA NA TABAKA KATIKA MAKALA MAALUM YA MAKALI YA GEN-Z.
    #KTNNews #KTNNewsDigital #ktnkenya #KTNTV #KTNHome #KenyaNews #genz
    Welcome to the 24/7 KTN Kenya News Channel on TH-cam - your trusted source for the latest news and updates in Kenya and beyond. Stay informed with our comprehensive news coverage, breaking stories, in-depth analysis, and exclusive reports. Our live-streaming service brings you real-time updates on current affairs, politics, business, technology, health, entertainment, and much more. Join us and be a part of the conversation, and don't forget to subscribe for the latest news and updates. Stay connected with KTN Kenya News, your reliable news partner. #KTNKenya #NewsChannel #BreakingNews #KenyaNews #ktnprime #livestream #livenews
    SUBSCRIBE to our TH-cam channel for more great videos:
    / ktnnewskenya
    Follow us on Twitter: / ktnnewske
    Like us on Facebook: / ktnnewskenya
    KTN News is a leading 24-hour TV channel in Eastern Africa with its headquarters located along Mombasa Road, at Standard Group Centre. This is the most authoritative news channel in Kenya and beyond.
    Watch KTN Live www.ktnnews.com...
    Watch KTN News www.ktnnews.com
    Follow us on / ktnnews
    Like us on / ktnnews

ความคิดเห็น • 212

  • @user-if6iw4ir9h
    @user-if6iw4ir9h หลายเดือนก่อน +82

    High school teachers, college & university lecturers should start teaching students on their constitutional rights as our future leader.

    • @Eagle7-nl4bu3wh8c
      @Eagle7-nl4bu3wh8c หลายเดือนก่อน +1

      True but also teach them to excise their rights without violating the constitutional rights of other peaceful Kenyans and not to support Goons thugs and looters to trespass private property and to burn private property, houses and businesses. And also teach them not to be seduced by foreign powers to distabilize our democratically elected government and to remove our democratically elected president from power.

  • @the_gamer_kinda
    @the_gamer_kinda หลายเดือนก่อน +38

    This is why they wanted to ban TikTok

  • @mfululizowak9899
    @mfululizowak9899 หลายเดือนก่อน +5

    Thank you KTN for staying true and patriotic! 🙌🏾🙏🏾❤️

  • @karutyericscomedies2783
    @karutyericscomedies2783 หลายเดือนก่อน +24

    This must reach the Icc

  • @magimuturi7489
    @magimuturi7489 หลายเดือนก่อน +38

    OUR BROTHERS AND SISTERS SHOULD COME HOME IMMEDIATELY FROM HAITII,, LET AMERICA SEND THEY OWN THERE!!!

  • @stephenouda3509
    @stephenouda3509 หลายเดือนก่อน +80

    RUTO IS AN ANIMAL NOT HUMAN 😢

    • @musaandre
      @musaandre หลายเดือนก่อน +2

      babako angekua rais basi

    • @Eagle7-nl4bu3wh8c
      @Eagle7-nl4bu3wh8c หลายเดือนก่อน

      Liar! Dr William Ruto is a human being. Your unreasonable disrespect for him mean you are not humane. God bless you.

    • @musaandre
      @musaandre หลายเดือนก่อน +1

      mnajua mahali ruto yuko na mnasumbua watu.fikeni uko tuwatambue.maandamano yenu ni ya kuleta njaa

    • @mwendapoleee
      @mwendapoleee 28 วันที่ผ่านมา +1

      @@musaandre jinga ww would you want to be dead for demontrating ?Shenzi type huyo ruto ss ndio tulimweka hapo.Ashuke contract imekwisha.

    • @musaandre
      @musaandre 28 วันที่ผ่านมา

      @@mwendapoleee nyinyi ndie tunaona mkiendelea kushuka na kufa

  • @VERONICA-o7n
    @VERONICA-o7n หลายเดือนก่อน +6

    Huyu mzee nmemchukia kwa kweli wakiomba kura wanajificha kwenye kivuli cha MUNGU wakipewa nafasi wanakengeuka. Ee MWENYEZI MUNGU simama na Kenya ❤

  • @lucymwai7645
    @lucymwai7645 หลายเดือนก่อน +50

    We salute you our children, Ingalaa tumepoteza maisha ya watoto wengi. 😢😢

    • @Eagle7-nl4bu3wh8c
      @Eagle7-nl4bu3wh8c หลายเดือนก่อน

      Watoto wetu wakiendellea kuharibu mali za wakenya wengi zaidi watapoteza maisha Yao. Ni vizuri Gen Zs wafanye maandamano kulingana na Sheria bila wizi na uboraji wa mali za wakenya.

  • @firstviolin596
    @firstviolin596 หลายเดือนก่อน +4

    I am a baby boomer, Gen Z are my grandchildren. I support you whole heartedly with full understanding where you are coming from. We the boomers had all the advantages of the period after independence free schooling, boom at college/uni, free food in the messes, free accommodation each with their room and employment waiting even before graduation. That was our kenya then! those who went to college/uni were rich,comfortably middle class. Educating our children GenX was easy. And then Moi came, things changed, the river changed course but the river went out of course completely with Ruto.
    As true as it can be, only Gen Z can change Kenya, return the river to its course!! we support you 100% with all that we have, we are your #1 cheer leaders Go Go Goooooo🎉

  • @teresiamusyimimusyimi5484
    @teresiamusyimimusyimi5484 หลายเดือนก่อน +11

    Ruto is very inhuman and not fit for public role as president please get Ruto out of office at once

  • @marlenewanjiku
    @marlenewanjiku หลายเดือนก่อน +23

    Right now when we send money back to Kenya we are being deducted,,,we pay back in NHIF & also fill KRA return what does he want from the little we are getting????we went there because he could not give us work back in our country.... kindly let him leave alone our money he is taking it by force

    • @andbeckerchallenge8347
      @andbeckerchallenge8347 หลายเดือนก่อน +3

      Yes dear too much deductions and yet tulikosa Kazi Kenya tukaamua kuwa wa tumwa Nchi za wenyewe, Kwanza inaniuma sana hawa wenye wameuliwa kware 😢😢

    • @paulinenjeri2316
      @paulinenjeri2316 หลายเดือนก่อน

      Not forgetting our salary is very poor here,,,

  • @yusufmwangichannel6692
    @yusufmwangichannel6692 หลายเดือนก่อน +18

    Mtuletee pia na makala ya askari walio husika kwenye mauwaji ya Gen Z

  • @hannahndungu211
    @hannahndungu211 หลายเดือนก่อน +5

    Ruto must go

  • @davidkinyua-br7pt
    @davidkinyua-br7pt หลายเดือนก่อน +12

    Ruth must go 🚶‍♀️

  • @ChumanaSusi
    @ChumanaSusi หลายเดือนก่อน +16

    Tumetenga kiasi hiki na kile. Useless. Umetenga makende yako ama nini wewe ruto?

  • @cassyrex2023
    @cassyrex2023 หลายเดือนก่อน +13

    Amani haiji bila ncha ya upanga. Mungu wanusuru watoto dwetu na uwape ajira👊👊👊👊👊😎

    • @cassyrex2023
      @cassyrex2023 หลายเดือนก่อน +1

      *Watoto wetu*

    • @wifematerial8943
      @wifematerial8943 หลายเดือนก่อน +1

      Allahuma aamiin 🤲

  • @abdiaziztwahir5120
    @abdiaziztwahir5120 หลายเดือนก่อน +14

    Ruto must go😢😢😢😢😢😢😢

    • @jamesmarumbo6820
      @jamesmarumbo6820 หลายเดือนก่อน

      Utaondoka wewe ruto yupo sana

    • @mfululizowak9899
      @mfululizowak9899 หลายเดือนก่อน

      ​​@@jamesmarumbo6820 Toka inje useme hivyo.....☺️

  • @donaldouma7225
    @donaldouma7225 หลายเดือนก่อน +40

    Ruto alichoma watu kwa kanisa remember that

    • @baloz8974
      @baloz8974 หลายเดือนก่อน +5

      Watu wamesahau naona huyu jamaa hana huruma kabisa mushawahi muona akijutia lolote tangu awe madarakani au kubeba lawama.

    • @picsandvidstv1348
      @picsandvidstv1348 หลายเดือนก่อน +5

      We Wil never forget that, EVER!

    • @user-pj7ng8il4t
      @user-pj7ng8il4t หลายเดือนก่อน +4

      God protect Kenyan from this difficult perioy.
      I love Kenyan❤️🇰🇪

    • @sellyraps2057
      @sellyraps2057 หลายเดือนก่อน +4

      Aliua musando wakati wa Election na amexoea kidnaping officials na sai Gen z akiua round hii siku zake ninafika

    • @musaandre
      @musaandre หลายเดือนก่อน

      mkicheza na ruto mtakiona.

  • @conceptaakinyi
    @conceptaakinyi หลายเดือนก่อน +41

    Please there is nothing we are negotiating with goon so called ruto let us done with him once and for all,because tukimuacha atatumaliza so Gen z tuamue tuesday tumalizane na huyu jangili mara moja atoke kwa Afisi

    • @mfululizowak9899
      @mfululizowak9899 หลายเดือนก่อน

      💯💯💯💯

    • @Eagle7-nl4bu3wh8c
      @Eagle7-nl4bu3wh8c หลายเดือนก่อน

      You raise accusations and you refuse to appear for a hearing and dialogue. Unjust and immoral accusers.

  • @JacksonMutinda-jw5qw
    @JacksonMutinda-jw5qw หลายเดือนก่อน +22

    Ruto must go!!!

  • @johnshavanji3257
    @johnshavanji3257 หลายเดือนก่อน +12

    Ruto confessed to being a murderer. He 'sends people to heaven' according to his own language.

    • @mumbocaroline1172
      @mumbocaroline1172 หลายเดือนก่อน

      Wachana nae yuko na njaa men

    • @mumbocaroline1172
      @mumbocaroline1172 หลายเดือนก่อน

      Pharao na zakayo

    • @mumbocaroline1172
      @mumbocaroline1172 หลายเดือนก่อน

      Zakayo shuka

    • @musimamonziga4967
      @musimamonziga4967 24 วันที่ผ่านมา

      ❤❤❤❤❤❤😢🎉🎉🎉🎉we will voteeee for h E kalonzo musyokaaaa 😢😢😢😢😢🎉🎉 in 2o27 year rrrr ❤❤❤❤❤❤for presidential candidate electionsssss in gods willllll he will succeed and penetrateeee in godsssss mercy he will win in the name ❤❤❤❤❤❤of Jesus Christ 😂😂😂😂😂😂🎉 Amen 💖💖💖💖💖💖 🙏🙏💖 amen

  • @dostovan5142
    @dostovan5142 หลายเดือนก่อน +3

    Tanzanian, i love Kenya Gen z fighting spirit. They're taking it there and they want the smoke

  • @mercyachieng2554
    @mercyachieng2554 หลายเดือนก่อน +5

    May God intervene 😢😢

  • @teresiamusyimimusyimi5484
    @teresiamusyimimusyimi5484 หลายเดือนก่อน +5

    Oh we now get it this how the Attorney General was removed from office Gachagwa speech

  • @nkwazigatsha
    @nkwazigatsha หลายเดือนก่อน +7

    Mapinduzi ni kama mimba. Ukifika wakati wa kuzaliwa itazawaliwa iwe ni kwa nja ya kawaida, upasuaji, hata kuondoa maisha ya mjamzito. Lazima mimba itoke tumboni.

    • @baloz8974
      @baloz8974 หลายเดือนก่อน +2

      Dah ushasema bro mapinduzi hayapatikani kirahisi uchungu mipasuko kumwagika kwa damu ila utapatikana tu

    • @nikkitokke8162
      @nikkitokke8162 หลายเดือนก่อน +1

      Ndio sisi revolutionists tunavyofanya, tuue tu, haki itendeke

  • @laurachepchumba6364
    @laurachepchumba6364 หลายเดือนก่อน +8

    speechless, weeee it is bad my people.

  • @roselynekwamboka6869
    @roselynekwamboka6869 หลายเดือนก่อน +7

    Oh God remember our people and our country we have only you now😪

    • @VERONICA-o7n
      @VERONICA-o7n หลายเดือนก่อน

      @@roselynekwamboka6869 Amen 🇹🇿

  • @user-xq5ui9cp9m
    @user-xq5ui9cp9m หลายเดือนก่อน +27

    Social media is more important

  • @blaquecinderella3560
    @blaquecinderella3560 หลายเดือนก่อน +6

    That Parliament occupation looks like a movie scene manze

    • @androidtv4286
      @androidtv4286 หลายเดือนก่อน +3

      True that. God save Kenya.

  • @danielchege3535
    @danielchege3535 หลายเดือนก่อน +3

    We shall never forget

  • @monicaakinyi2284
    @monicaakinyi2284 หลายเดือนก่อน +3

    ruto must go

  • @teresiamusyimimusyimi5484
    @teresiamusyimimusyimi5484 หลายเดือนก่อน +5

    Kwani kutoa Rais kwa kiti ni ngumu aje
    Ruto expect to to address those who lost their kids in police brutality kidnapping etc in future and they listen to him as president of Kenya?!!!!

  • @Jashon911
    @Jashon911 หลายเดือนก่อน +2

    Bravo Gen-Z 🎉🎉

  • @isaacmuigai537
    @isaacmuigai537 หลายเดือนก่อน +13

    Gz wameongea

  • @jamesmuriithi7137
    @jamesmuriithi7137 หลายเดือนก่อน +15

    How do you negotiate with a murderer?

  • @AbuuAli-nf4fb
    @AbuuAli-nf4fb หลายเดือนก่อน +6

    Jamaa kama wakenya wako na huruma basi waipeleke serikali ya UDA nyumbani Halafu wafunguliwe mashtaka na wafungwe wote

  • @yusuphlazaro
    @yusuphlazaro หลายเดือนก่อน +2

    🇰🇪Kenya inamwaga dam ya vijana waoo ambayoo niwazaoiwa je wewe unaee uwaa auna mtoto au autozaa mtoto 😭kumbuka kwamba uchungu wa mzazi wa mtoto uliee muwaa inakutafuna na mtoto wako

  • @lucymwai7645
    @lucymwai7645 หลายเดือนก่อน +9

    Please Ingalaa police wetu sio wazuri, Tunaomba wenye alipelekwa ( Haiti warundishwe nyumbani

  • @wabannah9009
    @wabannah9009 หลายเดือนก่อน +5

    "No to "Dialogue"!![Hii ni serikali ya Majambazi;ama tuseme kwa "Lugha ya Kimombo"[Gangster Government]"!!!.

  • @user-uz9mw1ie6z
    @user-uz9mw1ie6z หลายเดือนก่อน +3

    🔥🔥🔥🔥🔥🔥💔💔💔💔💔 haki lazima isimame ktk TAIFA na hakuna amani km hakuna HAKI.... EAST AFRICA country mnayo mengi ya kujifunza from GENZ - KENYA..... GOOD STEP

    • @dostovan5142
      @dostovan5142 หลายเดือนก่อน

      Nchi zingine east Africa hakuna Gen z

  • @steveodhiambo13
    @steveodhiambo13 หลายเดือนก่อน +13

    The government is guilty as charged on their part. For failing to protect the lives of innocent people.

  • @JacksonMutinda-jw5qw
    @JacksonMutinda-jw5qw หลายเดือนก่อน +13

    Lazma kuna mahali kuna watu wengi wiouwawa wametupwa ju kwa bunge kuliuawa watu wengi sana,soon there is something going to happen here kenya

    • @suegreg8040
      @suegreg8040 หลายเดือนก่อน +2

      @@JacksonMutinda-jw5qw i hear others were cremated at the barracks

    • @JacksonMutinda-jw5qw
      @JacksonMutinda-jw5qw หลายเดือนก่อน +3

      @@suegreg8040 na hayo Dio mambo yanafanya siku moja ruto ajute sana Tena ata karibuni tu..

    • @kanyijoel159
      @kanyijoel159 หลายเดือนก่อน

      Did u say this b4 kwale massacre? coz now its has been revealed.

    • @bonifacekimani1640
      @bonifacekimani1640 หลายเดือนก่อน

      ​@@kanyijoel159 Even in kware they are hiding bodies!

    • @kanyijoel159
      @kanyijoel159 หลายเดือนก่อน

      @@bonifacekimani1640 Thats true

  • @MohammedMohammed-uo5sk
    @MohammedMohammed-uo5sk หลายเดือนก่อน +3

    President Ruto must be taken accountable for his actions and authority for what transpired in kenya aftermath of finance bill 2024.

  • @user-gp5wx1ev9f
    @user-gp5wx1ev9f หลายเดือนก่อน +8

    Tumeanza kuongeza makali kwa kujifinza tykondo na carate, police wakicheza tupambane nao. We are fighting even for them and they kill our people niwajinga sana. Kusikiza kindiki na koome kuanza kuuwa vijana wetu

    • @None-d4f
      @None-d4f หลายเดือนก่อน +2

      Polisi wa Kenya ni washenzi. Hawana vichwa hao watoto wa ibilisi. Ng’ombe sana.

  • @MohammedMohammed-uo5sk
    @MohammedMohammed-uo5sk หลายเดือนก่อน +4

    Kenya leadership must change immediately and hopefully if not now then sooner.we must leave with dignity,morals and values, constitution must be sdhere with everyone regardless of social status and political class.

    • @baloz8974
      @baloz8974 หลายเดือนก่อน +1

      We must change it the man in power is crazy of power and goon criminal just like kumpa mwenda wazimu rungu ataua kila mtu kisa madaraka .

  • @pastorannneema
    @pastorannneema หลายเดือนก่อน +3

    I remember the ICC court in Hague 😭 It is still at work 😭

  • @bernardomondi2632
    @bernardomondi2632 หลายเดือนก่อน +2

    😢😢😢thangs ruto must gooo

  • @JacksonMutinda-jw5qw
    @JacksonMutinda-jw5qw หลายเดือนก่อน +14

    Naona ruto aneaza kuogea ogea lakini kuna kitu aogei,,nani ao walikua wanapiga risasi na kuua vijana,nani ao waliua watu na kuwatupa kwa quare?

    • @baloz8974
      @baloz8974 หลายเดือนก่อน

      Hilo ni jambo muhimu sana angetaka suluhu na amani na raia ni awakamate polisi wote waliohusika na mauaji ya raia ila kwa vile yy ndie anaewatuma kuua hawezifanya hilo ,ruto hajutii chochote

  • @blessedramsey396
    @blessedramsey396 หลายเดือนก่อน +2

    Kuna wengine wanasema we should give him time...

  • @shadrackmasigaTV
    @shadrackmasigaTV หลายเดือนก่อน +1

    Kweli makaraoo waliuo 😢😢😢😢, president anaita wasee criminals that's very sad

  • @MuneneMwangi-yl8ug
    @MuneneMwangi-yl8ug หลายเดือนก่อน +3

    Ruto and Rachel rejoicing on seeing these videos
    No democracy for Kenya

  • @Nyakundielizabeth-fk8cq
    @Nyakundielizabeth-fk8cq หลายเดือนก่อน +2

    Ruto mst go😢

  • @user-zc2im1xv6l
    @user-zc2im1xv6l หลายเดือนก่อน +1

    Gz congratutions myay God pro❤tect us

  • @samuelnyale2580
    @samuelnyale2580 หลายเดือนก่อน +1

    Let's rethink as Kenyan if we love this our dear country

  • @MartinMwandiku-ps9vx
    @MartinMwandiku-ps9vx หลายเดือนก่อน +1

    Nice job gen z

  • @AbuuAli-nf4fb
    @AbuuAli-nf4fb หลายเดือนก่อน +13

    Serikali olio madarakani iondoke hii ni aibu kubwa sana

  • @johnmichael7712
    @johnmichael7712 หลายเดือนก่อน +2

    Hatutachoka zii ,...ruto ametuzoea

  • @AbuuAli-nf4fb
    @AbuuAli-nf4fb หลายเดือนก่อน +4

    Wakubwa WA usalamalazima wawajbishwe hata kama wamefutwa kazi

  • @afrakanaswahilitv5520
    @afrakanaswahilitv5520 หลายเดือนก่อน +1

    Nashindwa serikali na maofisa wa idara ya uchunguzi wa makosa ya jinai na wale wa ukurungezi wa huduma ya kitaifa ya ujasusi nchini (NIS) wamekuwa wakifanya nini wakati mambo yalianza kwenda kombo. Wasimamizi wote wa hizi taasisi wajiuzulu. Asante!

  • @stevenjenga506
    @stevenjenga506 หลายเดือนก่อน +2

    No dialogue

    • @baloz8974
      @baloz8974 หลายเดือนก่อน

      Hakuna ajiongeleshe mwenyewe

  • @monixmoni5307
    @monixmoni5307 หลายเดือนก่อน +4

    Ruto is this one who caused all those killings blame no one else

  • @Mbaruokabed-ci3hn
    @Mbaruokabed-ci3hn 27 วันที่ผ่านมา +1

    Dah hatari sana hiyo🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @felixmutuma6866
    @felixmutuma6866 หลายเดือนก่อน +1

    Ruto is Disaster and he's a Real Killer, he must resign immediately.

  • @user-qh4iz9us3t
    @user-qh4iz9us3t 24 วันที่ผ่านมา

    what a great shame! I really hate the current government, no need for negotiations, tunapigania haki yetu, no positivity to be seen till Ruto steps down and leave the office!!

  • @abdullahkazungu4025
    @abdullahkazungu4025 หลายเดือนก่อน +3

    Hii kauli ya Rais niya kusikitisha kwa kweli

    • @baloz8974
      @baloz8974 หลายเดือนก่อน

      Ni mshenzi na wala hajutii kauli zake anakurupuka tu

  • @georginajilani8934
    @georginajilani8934 หลายเดือนก่อน +1

    24:53 huyo koome anafaa kushikwa kwa mauaji ya Genz

  • @MohammedMohammed-uo5sk
    @MohammedMohammed-uo5sk หลายเดือนก่อน +2

    Kenya is a great country deserve good governance, accountability, respect for human rights,equal justice rule, political stability and economic growth for better kenya.

  • @eddynaingasian2813
    @eddynaingasian2813 หลายเดือนก่อน

    Ruto said it "bottom up" the current situation in our country is really bottoms up...😢😢😢only God has the answers

  • @simonmbuthia7281
    @simonmbuthia7281 หลายเดือนก่อน +5

    Wazazi Walia. Wauaji wanaenda kwa makanisa, waahidi watasaidia kukamilisha ujenzi wa kanisa, na makasisi na waumini wanawapigia makofi.

    • @peacemusembei5553
      @peacemusembei5553 หลายเดือนก่อน

      It's sad sad sad sad😢😢😢😢😢😢

    • @bernardomondi2632
      @bernardomondi2632 หลายเดือนก่อน

      😢😢😢😢very very sad and indeed higher hypocrites

  • @nikkitokke8162
    @nikkitokke8162 หลายเดือนก่อน

    Nasemajee ndugu zetu waliouliwa na Zakayo tutaanguka naye. Kiendee

  • @JohnTunje
    @JohnTunje 16 วันที่ผ่านมา

    Mm
    Gnz
    Nko
    Bampa
    Na
    Serikali
    Hii
    Sitapotezamda
    Hatakidogo.

  • @salomeatieno1127
    @salomeatieno1127 หลายเดือนก่อน

    So chilling 😢. May The Almighty God deal with the killers

  • @GeorgeMuchemi-cd5xg
    @GeorgeMuchemi-cd5xg หลายเดือนก่อน +1

    Someone please 🥺 like my comment for future reference 🥺🥺🥺

  • @fr.andrewwerungaflp2910
    @fr.andrewwerungaflp2910 หลายเดือนก่อน +2

    Ilikuwa tuanze chini kuwaua

  • @marymasika3736
    @marymasika3736 หลายเดือนก่อน

    Good reporting

  • @ruzindazajonas8506
    @ruzindazajonas8506 หลายเดือนก่อน

    Lakini mtu anaweza kujihuliza! Mbona wakenya hivyo! Nidhamu na elimu na hekima viliokuepo vimeibiwa labda na shetani! Hivyo hamuone jinsi shetani anavyowapangia genocide mbayaa! Kuweni macho.

  • @alexwafula9161
    @alexwafula9161 หลายเดือนก่อน

    Ruto must be accountable

  • @w4058
    @w4058 หลายเดือนก่อน +1

    Kuweni na Subra wenzetu inauma tena inauma sana makhabithi wakubwa Viongozi mijahil

  • @briankhalushi2063
    @briankhalushi2063 หลายเดือนก่อน

    Kudos our young GenZ❤❤❤❤❤❤

  • @donaldouma7225
    @donaldouma7225 หลายเดือนก่อน +2

    Noma very nonsense president fack

  • @tituskimeu2933
    @tituskimeu2933 28 วันที่ผ่านมา

    Its shameful to our leaders l regrets having them in our parliament we love our country but this types we can't accept themselves at all

  • @Remmykammokoywo
    @Remmykammokoywo 6 วันที่ผ่านมา +1

    Ossba tarli Hahar r Haienar tar uwar uwar

  • @w4058
    @w4058 หลายเดือนก่อน +1

    Wameshangaza kweli lakini na yeye Ruto aende huko

  • @Joelomondi-r2x
    @Joelomondi-r2x หลายเดือนก่อน

    Mungu okoa Kenya

  • @lukemusiga4
    @lukemusiga4 หลายเดือนก่อน

    So so so Sad 😢😢😢😢😢, hakuna kujivunia kua mkenya

  • @susananyasani6526
    @susananyasani6526 หลายเดือนก่อน

    Maskini inauma Mama amtafuta Mtoto wake alipotea wakati wa Maandamano mpaka leo Amani ni muhimu kwetu wote

  • @BoazOtollo
    @BoazOtollo 24 วันที่ผ่านมา

    I can see people going to the Hague!

  • @LIFEOFTHESTEETS
    @LIFEOFTHESTEETS หลายเดือนก่อน +3

    😭😭😭😭

  • @mumbocaroline1172
    @mumbocaroline1172 หลายเดือนก่อน

    Nilikosa job mpaka nimekuja saudia kuteseka

  • @Mima-cl2im
    @Mima-cl2im หลายเดือนก่อน

    Please, PLEASE Ruto MUST GO.HE CANNOT CONTINUE TO GOVERN. SHAMEFUL . RUTO MUST GO

  • @w4058
    @w4058 หลายเดือนก่อน +1

    Ndio wanavyokuwa Viongozi wa kidikteta ulimwenguni

  • @loreenmwambinguloreen7373
    @loreenmwambinguloreen7373 26 วันที่ผ่านมา

    Hio gari ya polis sidhani kama ni polis walikuwa ndani na basi kama ndio,ni wa private sector sio wa government juu vile hio gari ilipelekwa ata mtoto akiwa njian anagongwa,apana this is too much in my country..we can't keep this going on,some of us we are single mother,we have been suffering to rise our kids,allot of kids have been growing without,parents both sid,because there mothers like me as a mother i have been out of country for more than 10 yrs,then hearing that kids are dying missseriouly

  • @bryanmurono4707
    @bryanmurono4707 หลายเดือนก่อน

    Those police who were deployed in Haiti should get back home and also fight for there rights..... Heri tukufie kwetu kuliko kwa wenyewe viva!!

  • @SarahShao-jw1up
    @SarahShao-jw1up หลายเดือนก่อน

    Wakenya acheni upumbavu. Kweli mnatawaliwaje na Gen Z?!!!

  • @zamani33
    @zamani33 หลายเดือนก่อน +1

    The woman crying probably voted ruto

  • @nikkitokke8162
    @nikkitokke8162 หลายเดือนก่อน

    We must liberate youths. Our people have been murdered brutally, mpaka Ruto astep down, aluta continua. Na nyie Rwanda na UG mnatuangusha. Liwalo na liwe, wamettuzoea sana vijana. Mtu umesoma Taxes every where. Kutuua kama panya tukipaza sauti. So tell us, what did a 12 yrs old do to deserve this 😢😢😢. Nasemajee moto ndio kwanza umewaka.

  • @BoazOtollo
    @BoazOtollo 24 วันที่ผ่านมา

    Malipo ya wongo, bottom up ,kumbe walimaanisha,watu wafiri kwa matako sio kichwa?

  • @BoazOtollo
    @BoazOtollo 24 วันที่ผ่านมา

    Damu ya Jacob Juma inalia !

  • @fredricklemiso6191
    @fredricklemiso6191 หลายเดือนก่อน

    Balaa, alafu upate walitupwa kwaree, 😢😢 Kenya imekua uchungu sana

  • @lucymwai7645
    @lucymwai7645 หลายเดือนก่อน +2

    😭😭😭😭😭😭