Familia ya mwanafunzi aliyepigwa risasi na askari yalalamikia mtoto kutelekezwa.
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 24 พ.ย. 2016
- Familia ya mwanafunzi iliyepigwa risasi na askari wa jeshi la polisi, wamelalamikia jeshi hilo kwa kutelekeza mgonjwa katika hospitali ya Taifa ya Muhimbili bila kushiri katika matibabu ya mwanafunzi huyo ambaye mpaka sasabado hajaondolewa risasi katika sehemu ya mwili wake.
Wao mbona hawasamehe makosa ya watu kwa sababu wengine ni bahati mbaya wanafanya Mara moja tuu na ndio bahati mbaya
Kwa nini watumie silaha za Moto? Viongozi wa serikali, mkuu wa polisi wote hamna la maana mnalosema. Bahati mbaya angekuwa mwanao.
Shakil pole sana, Allah akupe uzima, uzima usokua na madhara kwa baadae, Amiin.
Pole sana baba angu Alla atakuponesha
Kila siku bahat mbaya
Sam unajitahidi kutuabarisha, Mungu aibariki kazi yk
Duuuu Tanzania ishakwisha aman hakuna
kamanda sirro anajitahidi kupindisha ukweli mpaka anajigonga gonga oooh tumekwenda kumuona yule askari ahahahaha we upige risasi chini iende mbele wapi wapi akiri kampiga risasi na sio kusema kapiga chini
mbona watumia risasi kama hamujui maana ya kutumia tumieni matiagas kutawanya watu sio risasi kuuwa wasio kuwa na hatia
Mnakela kilakit bahati mbaya tu pole mtot mungu atakusaidia utapon
Bahat mbaya mpaka lin!!😂😂😂😂😂😂😂
Uyoooo NI MTOTO SIO KIJANA. Police muwe na ROHO YA UTU. M NYIE MI PESA MBELE TUUU
Polesana mungu yuponawe
ww unaesema bahat mbaya ww nae upo miongoni kla cku bahat mbaya nyooo fyuuu mnakeraaa had nataman mfe na raisi wenu ata silii wala sihuzunikii ngooo
Dah kila siku bahati mbaya tu
inslh Allh atakuaf biidhnllh
iyo ni dam ya bina damu si yambuzi mungu ata lipa najua aliye pigwa risasi ni mtoto wa mlala howi wenye matumbo ya uzazi ni kina mama Leo askari wana jifunzia shabaha kwa wanyonge? hakika auwae kwa upanga ata laaniwa nakufa kwa upanga pia R I P ndugu ye2 kumbe ulikua kwenye nchi yenye vita ukujua na ume waachia majozi wa zazi.
Pole sana kijana, mmmh! Inasikitisha sana
The streets of Dar es salaam are no longer safe for us nor our children. Unfair situation. Police need to take responsibility. Apelekwe Kenya. Watanzania tumchangie jamani. Inaumaaa
kamanda kua serious namatamxhi yako watu wanamachungu yao bhana wewe unasema bahat mbaya daaah!! kuen care na maisha ya watu jaman.
poleni sana mungu ataleta nafuu
Naona kama Dunia nzima haioni Tanzania inakuwa uwanja wa Vita amani imepotea
Aysee kumbe kwenye sheria kuna bahati mbaya sjui mm nikifanya kosa nikamwambia IGP bahati mbaya atanielewa Dah
Duh hadi naogopa kurudi Tanzania
جميله خميس mimi je
جميله خميس mmmmh
Hiyo bahati mbaya ingelikuwa raia kafanyahivyo ungeiongelea kama hivyo unavoongea meno wazi bahati mbaya
Eti ile nyimbo yao inambagaje tena!!!🎶🎶🎵🎧,JESHI LEEETU LA POLICE NI CHOMBO CHA WANANCHIIIIII,,🎶🎵........
USALAMA WA RAIAAA NDIO KAZI YA JESHI LETUUU!!!!!!🎶📻📻📻🎼🎼. ( nauliza sasa imekuwaje????) Wananchi ndio mnawaua inzi!!!!!!!!
sam mahela ni shetani unajifanya una uchungu wakati wewe umesapoti sana hii serikali ya wauwaji
Tanzania si sehemu salama, tufwaaaa
Tz imebaki jina tu mungu atusaidie
embu ona kinachoendelea kweli jamani mda umefika haya mambo mnayotufanyia yanamwisho
Tumewachoka na bahati mbaya zenu mapolice. Sasa imekua gunzo kabisa I hate all police because there doing shit in this peaceful and lovely country. R I P
kila siku bahati mbaya tu
nchi inatisha sana Sasa hiv
tumechoka na bahati mbaya zenu silo una nin wew😢
😡 jamani. kila. siku. habali. mbaya. tu. mtatufanya. tusiludi. tazania😢😢😢
Jee ingekua raia wanapigana askari akaenda kuamua tu lakini ngumi ikamkosa raia anaepigana ikampata askari pangekua pema? Sembuse risasi. Kwenu ni bahati mbaya kwa raia ni makosa makubwa. Imehusu nini kupiga risasi chini mmeona wapi upumbavu huo. Wauaji wakubwa killers. Mungu ajaalie atokee mwanamme siku moja akufyatueni na nyinyi kisawasawa ili iwe bahati mbaya. Tumechoka
mungu anayaona
Dr.sijamuelewa hata kidogo! !!
polisi nao bahati mbaya kwao kwa mwananchi huwa sio bahati mbAya isipokuwa sheria huchukua nafasi yako kwanini mambo haya yanatokea!!??
Huyu, sirro siyo binadamu ni mnyama tyuuuuu@
nikweli kabisa kazi kutetea ujingatu
Tanzania's mbona munakuwa wanyama
Mambo kama haya ni aibu kwa nchi yetu
daaaa jaman imekuwa kelo sasa
Hii ni aibu sana, police wetu wanatufanyia haya kwel? Sasa tukimbilie WAP?
Bahati mbaya!!!!! Duuu haya mwayego
Tulikuwa na wasiojulikana Leo bahati mbaya
huyo kijanya alikua chini au? waache kutetea ujinga bwana, wakibali maakosa na jamaa awajibishwe
polen
hivi siro huoni aibu, kila ck inasema ni bahati mbaya
Polece acheni uongooooooo,mmezoea sana,kumbukeni mnafamilia zenu.laana hiyo itakuja kuwatafuna nyie kwa nyie
Muwe mnajiuwa wenyewe nyinyi mnatuumiza sana sisi wananchi. Lol
hakutegemea duuh.
walidhamiria kuua hao yaan tunako elekea kubaya
Hivi VIONGOZIIII WETU MBONA WANA LOHOOOO MBAYAAA SANA. MTOTO ATAKUFA KIHIVYOOOO KWERI VIONGOZIIII MNAFANYA NINIII???
jamani pole sana.
M
daimond
Ni bahati mbaya hiyo risasi ilikuwa inamuhusu nani watueleze tujue ni bahati mbaya
Mungu walaaani police woote
Polisi wetu mmerogwa na nani? Mbona mnalihaibisha Taifa? Lakini pia mnauaibisha utawala wa Mh. RAIS WETU AMBAYE NI KIMBILIO LA WANYONGE. Kwa hiyo polisi sasa wanatumia silaha kujilinda na kupambana na raia? Wonderful
Kumbe na nyie mnaijua bahati mbaya ,mbona ikitoe kwetu mnaikataa bahati mbaya
Acha kusema UONGO mheshimiwa....!!RISASI YA KUADHARISHA HUWA INAPIGWA JUU...!!
HII KUJUA SIO MPAKA UWE ASKARI..
so kweli mbal
Siku si za mbali niliona video MH.makonda akitamka kuzuia zoezi hili la kutumia nguvu,sasa mbona polisi mumepitiliza,si itafikia mahala mutatumia vifaru kifukuza wa dala dala.
tanzania ishakua alshabab inatuogopesha dah+974
Eti Tanzania nchi ya amani!??????? Kwanzaa nn polisi mtumie Vyombo vya moto??? Mnauwa sasa mnaumiza watu jamaniiii!!
ITV BADO MNAMTAFUTA WAZIRI?
Mfumo huu wa nguvu ya police unatishia amani kila mahali tanzania. Nguvu ya nini ngoja nanyi mpate madhara ndipo mtakapojua amani haichezewi. Wananchi wanawaangalieni tu
jomon uwiiii😢😢😢
Bora hapo wanakubali wamepiga wao risasi Lakini kwa tukio la kinondoni mpaka kupelekea akwilini kupoteza maisha kwa kupigwa risasi polisi wanasema sio wao wanafanya uchunguzi siyo siri I hate police wa kitanzania wote
Hamna jipya
watu wengine hawana akili eti bahati mbaya je angekufa
ccm sku zote hawafanyag makusud ila makamanda sasa mh
bahati mbaya wakati keshaumia huyo
wamechsha sana ndoo Maana kumbe
Estamele Jomah bahati mbaya kumpiga huyo mtoto,je ingefika mlengwa ingekuwa ni sahihi kuuwa au kujeruhi?
Safalii 2tapiga kelele wakati wakampeni muliona jasho
haaaa mnafanya makosa makubwa jiangalieni na hio Kazi yenu
Bashite alisema atadili na wote wanao wanyanyasa bodaboda kwenye mkoa WAKE.HAKUNA CHA BAHATI MBAYA.MUMLIPE.
Kesho akhera kuna mengi
Hii ni ya zamani
We Siro muhuni jiuzulu
kwanini mtumie lisasi za moto
DAAH! ETI BAHATI MBAYA MMMH!
wanafanya kusudi
Policce acheni siasa nyiembona amnahuruma nawatoto wawenzenu,pelekeni elabasi
What is laki moja nosense
dah bunduki sio za majaribio jamani.
Ni kwa Tanzania tu kusikia izi shits.
Toka lini Tanzania boda boda wakawavamia Askari?mnataka kuwaaminisha Raiya akiona sitofaham kutaka kujua kulikoni Ni kuwapiga risasi? Je mmeshawapiga risasi nanyie mkiwa barabarani mpigwe?
Police wa Tanzania ni wakatili sana sijui kwenye mafunzo ya police Tanzania wanafundishwa kuwa raiya ni wanyama au?yaani wanawachukulia wanachi kama vitu sio kama binadam jamani tunaomba police wajifunze pia Binadama anahitaji kuheshimiwa kwa sababu anahaki ya kuishi na kujielexa wasimchukulie MTU kwa jasba.hiyo sio ustarabu hata kidogo tutunze haki za watu na kulinda uhai wao sio kuwanyanyaza nyie police hamkusomea kunyanyasa watu,mlisomea kulinda jamii.
Bahati mbaya? Pumbavu huyo police akampige mamake then aseme ni bahati mbaya ! Thus is plain stupidity! Hata huyo sirro nae just talking nonsense!!!!
bahati mbaya lol .pole kijana mshukuru mungu kwa uzima
Kama majibu ndio hayo ya dokita Ebu ndio ccm walitaka lisu atibiwe hapa nchini mbona angekufa
Uyo mwarabu UA tu
duuuu
hao maaskari wako warud kwenye mafunzo kiufupi
mnatangaza amani uku mmeshika mapanga
Mwigulu wewe ni tatizo
Sirro acha hizo kila siku bahati mbaya ni ushenzi tu huo
mwambao
Wapumbavu wakubwa bahati mbaya gani
nyie mmezowea nani atawakamateni ! wakati Nchi hii no yenu
muhudumieni sasa siyo bahat mbaya tupu
Duniania haina usawa
Asikali wasege tuu