ไม่สามารถเล่นวิดีโอนี้
ขออภัยในความไม่สะดวก
ต่อไป
เล่นอัตโนมัติ
KAULI YA MAKONDA MARA BAADA YA KURUDI/UKIMYA WA MUDA MREFU/ITAKUSIKITISHA...JAMBO TV
มุมมอง 4.9K
HIGHLIGHTS | Real Madrid 2-0 Atalanta | UEFA Super Cup 2024Real Madrid
มุมมอง 6M
CAMPปลิ้น | EP.79[2/2] มานั่งฮ้านกินข้าวนำกันเด้ออ้ายยยโคตรคูล
มุมมอง 1M
‘เสรีพิศุทธ์’ ตบเท้าร่วมรัฐบาล บอกไม่รู้ทำไม เกิดมาต้องรับใช้เพื่อไทยตลอดเรื่องเล่าเช้านี้
มุมมอง 344K
MAMA ZUCHU AIBUKA MBELE YA MAKONDA KUTOA KERO, AMJIBU "WE KHADIJA KOPA SUBIRI"Millard Ayo
มุมมอง 280K
MAKONDA AONGEA MAZITO KWA MARA YA KWANZA BAADA YA KUONEKANABINGO ONLINE TZ
มุมมอง 934
RC MAKONDA ALIVYOBANWA NA MWANDISHI WA SWALI HILI, SIKIA MAJIBU ALIYOPEWAUhondo TV
มุมมอง 2.1K
KIJANA MLEMAVU WA MIGUU ALIYEWEKWA NDANI AFUNGUKA KUDHULUMIWA, MAKONDA AMPA MILIONI 2Millard Ayo
มุมมอง 466K
The Real Process of Harvesting Honey 🐝🍯 #funnycats #funnyvideo #reaction #honeyMeowtropolis
มุมมอง 3.6M
หนุ่มส่งเอกสารเมาอาละวาด ถูกวิสามัญดับ | ข่าวเที่ยงช่องวัน | สำนักข่าววันนิวส์ข่าวช่องวัน
มุมมอง 619K
พาผู้หญิงอื่นมานอนกก ต่อหน้าเพื่อน! จะมีใครบอกเยลมั้ย??Ozrealman
มุมมอง 249K
‘เสรีพิศุทธ์’ ตบเท้าร่วมรัฐบาล บอกไม่รู้ทำไม เกิดมาต้องรับใช้เพื่อไทยตลอดเรื่องเล่าเช้านี้
มุมมอง 344K
小丑和奶奶被吓到了#小丑#家庭#搞笑家庭搞笑日记
มุมมอง 6M
[UNCUT] หวั่นขาดความเชื่อมั่น ศาล รธน. วินิจฉัยคดีถอนถอนนายกฯ เศรษฐา | คนดังนั่งเคลียร์ | 14 ส.ค. 67ช่อง8 : Thai Ch8
มุมมอง 427K
เท้ง ณัฐพงษ์ แถลงจุดยืน พรรคประชาชน โหวตนายกฯ คนใหม่ | THE STANDARD (LIVE)THE STANDARD
มุมมอง 610K
Ni kweli MAKONDA kuna viongozi wanaomuhujumu mama ili uongozi wake uonekane mbaya 😢😢
A
A
Ni lazima msadie Mama maana watu wanatezeka sanaa 😢
Tatzo mama Hana kauli hats ukimsemea unajsumbua tu hii nchi inatakiwa apewe Majaliwa ila iyo mamaenu hawez ki2
Kwel kabisaa
AU WAFUNGULIA MAJI WAMERUDI KAZINI TENA? DR MAGUFULI ALISEMA KULIKUWA NA WAMWAGA MAJI ILI MAJENERETA YAUZWE, NINI KIMETOKEA BAADA YA KIFO KUTOKEA NA MAMA KUCHUKUA?
Hizo ni Hujuma ili mama Samia asitawale ipasavyo
Kosa la ccm huweka watu wenye majina wakizani wanaweza kubadili mfumo wa watu kukubali kuwa ccm mpiyia hapana ccm lmeisha wala rushwa wameizunguka serekali ni ngumu kuwabadi watanzania kirahisi mateso wanayoipata Kodi utitiri umeme mateso garama za maisha wakati serekalini waniashi kianasa wao na watoto wao
Jamani tunateseka sana umeme na maji ni kitu bora na ni muhimu sana
Bona umepanda bei za kuvuta umeme na sasa hakuna vifaa na unakatika
Ccm achiyen ngaz hamuwez kuongoza nchi hii
Ss tz htuoni kama kuna wanaoweza pia hao wengine ndio kichefufu
good job pcm
Kusema ukwelii mama Samia tunampenda sana lkn swala uongozi ameshindwa pakubwa sana hana sauti Kwa watendaji wake anawarea kama watoto wachanga
Good news
Hata sasa taifa star hatuioni wanezima umeme
Tundu Lissu yupo atatuletea taarifa.
Makufuri arikuwa kiongoziwakweri ariwapenda walalahoi aliwatetea na akawasimamia siyosasa harimbaya watuwamekuwa watumwa serekari haioni
Mijitu inadanganywa inakubali
Maandamano ya chadema ni hatari sana.Baadhi ya viongozi wa chadema wataingiza siraha kwa siri kwenye maandamano halafu watakuwa na sare za polisi watapewa hizo bunduki ili wawamiminie risasi waandamanaji ili waseme polisi wanaua watu kumbe chadema wenyewe wanaua chadema wenzao.wakati waandamanaji wanamiminiwa risasi vijana wengine wa chadema watakuwa wanachukua video nakurusha mitandaoni picha zinazoonyesha polisi wanaua waandamanaji kumbe sy polisi ni chadema wenyewe. lengo lao nikuchafua serikali, polisi na viongozi flani wa serikali ionekane walituma polisi kuua waandamanaji kumbe sy.Hii ndiyo sababu chadema kung'ang'ania maandamano. 2015 walitaka kufanya hivo baada ya uchaguzi bahati nzuri maandamano hayakufanyika.baada ya pale lisu ,mbowe na lema wakakimbilia nje.
Porojo tu hakuna jipya Kwan hao walioko tanesco nan kawachagua?ccm mmefel mnatawala kwa rushwa tu
Kazi unayo mheshimiwa wewe unasokota waliojuuyako wanaichomamoto hayondomaneno ya kuongea mwanasiasa NAC kina mbowe wenyewe huubili shali na maandamano wanasiasa wa chadema ni vblaka nimejilizsha
Mbowe na viongozi wengine wa chadema familia zao yaani watoto wao na wake zao watakuwa kwenye maandamano ?.au wapo ulaya ?.waache uhuni wakitumia damu za watanzania kujipatia umaarufu.
😂😂😂😂
Mbowe yupo ulaya mkewe Dr liliani yupo orophani waje waandamane wao
Serikali makini chini ya raisi bingwa kabisa.tutashinda yote yaliyopo mbele yetu kabla ya uchaguzi wa 2025.SSH 2025 T.mitano tena.
Kwenye umeme hatukuamini unachosema mpaka tujionee wenyewe
Mwongo huyu nae, tapeli
So why now?
Muulize mama kuhusu umeme
Sasa unakosea ,ina maana kuna tatizo ktk serikali hii, sio lugha sahihi😮
Ndo maana yake, bwawa limeisha kwa nini umeme ukatike?
ENDELEENI KUSAFISHA MADUDU na uchafu wa SAMIA
Maandamano ya chadema ni hatari sana.Baadhi ya viongozi wa chadema wataingiza siraha kwa siri kwenye maandamano halafu watakuwa na sare za polisi watapewa hizo bunduki ili wawamiminie risasi waandamanaji ili waseme polisi wanaua watu kumbe chadema wenyewe wanaua chadema wenzao.wakati waandamanaji wanamiminiwa risasi vijana wengine wa chadema watakuwa wanachukua video nakurusha mitandaoni picha zinazoonyesha polisi wanaua waandamanaji kumbe sy polisi ni chadema wenyewe. lengo lao nikuchafua serikali, polisi na viongozi flani wa serikali ionekane walituma polisi kuua waandamanaji kumbe sy.Hii ndiyo sababu chadema kung'ang'ania maandamano. 2015 walitaka kufanya hivo baada ya uchaguzi bahati nzuri maandamano hayakufanyika.baada ya pale lisu ,mbowe na lema wakakimbilia nje.
Ni madudu kweli