Makonda huyu inatakiwa ajue thamani ya watanzania kwake ndipo ajiangalie yeyé maana mungu anaishi katika watu mwenye Imani mmoja akiomba anathamani kubwa ya kusikia ktk kuliko watu maelfu hiyo kukakimpya yy awape faraja watanzania kwa kuwaomba msamaha maana kunasiku watanzania watasema nikawaida yake kuto kuaga kumbe amepwa na matatizo kama waliyo kuwa wsnayasema maana lisemwalo lipo au linakuja mungu amlinde
Kiongozi wa wanyonge Mungu akutunze uendelee kuwatumikia watanzania
Nimefrahi Sanaa jamani kumuona makonda uwe mzima kaka
Makonda huyu inatakiwa ajue thamani ya watanzania kwake ndipo ajiangalie yeyé maana mungu anaishi katika watu mwenye Imani mmoja akiomba anathamani kubwa ya kusikia ktk kuliko watu maelfu hiyo kukakimpya yy awape faraja watanzania kwa kuwaomba msamaha maana kunasiku watanzania watasema nikawaida yake kuto kuaga kumbe amepwa na matatizo kama waliyo kuwa wsnayasema maana lisemwalo lipo au linakuja mungu amlinde
Makonda kipenzi chetu
Aliyesikia mkandaras akubali kufanya kazi miez m
12 na na mradi uishe September aje inbox
huyu mwamba jembe sana