ALIKAMWE ALIVYOWANYAMAZISHA AHMED ALLY LA IBWE KWENYE HAMASA ZA TAIFA STARS/NISIKILIZENI MIMI

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 5 ก.พ. 2025

ความคิดเห็น •

  • @nurusaid4698
    @nurusaid4698 3 วันที่ผ่านมา

    Ila Awa Watu Wanajuana C Buree Maasha Allah Zenu Upendo Wenu Udumu Milele Insha Allah

  • @asiliyetuonlinetv5063
    @asiliyetuonlinetv5063 ปีที่แล้ว +4

    😂😂😂😂Hawa wahuni wanatengeneza combination nzuri Sana.

  • @MhengaJunior-t6j
    @MhengaJunior-t6j 5 หลายเดือนก่อน

    Kaka Ahmedy umetisha sna❤

  • @marthageorge5043
    @marthageorge5043 6 หลายเดือนก่อน +3

    😂😂😂😂😂😂Nawapenda awa wakiwa pamoja uwa nafurai sana😂😂😂😂😂

  • @kabhikachambala3392
    @kabhikachambala3392 ปีที่แล้ว +2

    Ali Kamweeeeee😂😂😂 Yani kitu pekee ulichoweza kuweka shingoni ni tai tu!😂😂😂

  • @MaulidyMadyo
    @MaulidyMadyo 5 หลายเดือนก่อน

    Msdogo nawakubali sanaaaaaa

  • @AlexMbagata
    @AlexMbagata 7 หลายเดือนก่อน

    Watu muhimu Sana Hawa na hapa walikaa kwenye sehemu muhimu na walisema vitu muhimu.

  • @teddymhagama611
    @teddymhagama611 ปีที่แล้ว +3

    msemaji ni Ahmed Ally wengine mapoyoyo

  • @lavanicetz
    @lavanicetz 7 หลายเดือนก่อน +1

    Kweli Ahmed ally ndo mtangazaji. Bora kwasababu yey ndo msemaji muongo kuliko wasemaji sikia hii CHAMA hawezi kwenda Clabu yoyote hap TZ mhhhhh na kweli hajaenda

    • @alifaki2016
      @alifaki2016 6 หลายเดือนก่อน +1

      Ally kamwe ameshaongea mangapi ya kuropokwa na yakaenda tofauti na alivyoongea

    • @alifaki2016
      @alifaki2016 6 หลายเดือนก่อน

      Au hujui kuwa Ally kamwe mrookaji tu

  • @lowasameliyo4027
    @lowasameliyo4027 ปีที่แล้ว +1

    Mnanichekesha jmn watoto wa azam sport nafurahi kuwaona mko pamoja

  • @AndersonAdam-l5u
    @AndersonAdam-l5u 5 หลายเดือนก่อน

    Alikamwe mbn kama anawasi wasi happ😮😮

  • @masubukopita7201
    @masubukopita7201 ปีที่แล้ว +1

    Ahmed all anajua kuongea hao wengne wanalopoka tu

  • @jumashedafa
    @jumashedafa ปีที่แล้ว

    Kwa timu iliyoitwa hasa langon tunashafungwa tyr mengin ni maajabu ya mpira

  • @زيتونتنزانيا
    @زيتونتنزانيا ปีที่แล้ว +1

    Yani hawa ni wahuni vichwa vyao vibovu😅😅

  • @teddymhagama611
    @teddymhagama611 ปีที่แล้ว

    timu ya taifa acheni mageti wazi watu waingie bure, Mwambieni Rais atununulie tiketi maana hili Sasa ndio Jambo lake kindakindaki

  • @DanielJoshua-b8d
    @DanielJoshua-b8d 6 หลายเดือนก่อน

    ❤❤

  • @josephrobertjohn4336
    @josephrobertjohn4336 6 หลายเดือนก่อน

    Jaman kumbe hapa tz msemaji professional ni mmoja tu Ahmed aly tu check wengine wanaongea kama mademu wanatongozwa

  • @ujamaabashiri2996
    @ujamaabashiri2996 ปีที่แล้ว

    Kuna msemaji na waongeaji, hapo msemaji ni mmoja tyu wengine ni waingeaji

  • @petersonjamess6497
    @petersonjamess6497 ปีที่แล้ว +1

    Huwa napenda sana utani wa hawa jamaa

  • @yusuphjilala846
    @yusuphjilala846 ปีที่แล้ว

    Ibwe na ahmed akili hamna mkichwaaa😴😢😴😢

  • @PatrickWilliam-m8d
    @PatrickWilliam-m8d 7 หลายเดือนก่อน +1

    Watu mnaotowa maoni yenu hebu kuweni naadabu Ahmed tukitafuta wasemaji nayy msemaji? Hauna pwenti

  • @JoyceMwita-e3w
    @JoyceMwita-e3w 7 หลายเดือนก่อน

    Ali kamwe usihoji umesha sikia ni waa wa😂😂😂😂😂😂

  • @alicenice1711
    @alicenice1711 ปีที่แล้ว +1

    Semaji ni mmoja tuu hapo Ally kamwe tu

  • @BADAWY575
    @BADAWY575 ปีที่แล้ว

    Hawa wasemaji ni wasemaji upepo hawana upeo au akili au kujua kama wapo katika jambo la nchi ,wanaongea ujinga wao lazma wabadilike kiuhakika hii ni game ya taifa pumbavu zao

    • @frankhoffa8356
      @frankhoffa8356 ปีที่แล้ว

      Unajua maana ya utani?

    • @BADAWY575
      @BADAWY575 ปีที่แล้ว

      @@frankhoffa8356 utani upo na sehemu zake ,au baada ya kufanya walicho itiwa ,but wao ni mwanzo mwisho

  • @hemedwalid6570
    @hemedwalid6570 ปีที่แล้ว

    sasa mechi Kama hii mnaweka kiingilio Cha nin weka bule tu waite watu waje uwanja mechi muhimu nyie mnaweka hela ya kiingilio

  • @yusuphjilala846
    @yusuphjilala846 ปีที่แล้ว

    Waandishi wengi mazuzuu😴!!!!!!

  • @Noelysiwila
    @Noelysiwila 6 หลายเดือนก่อน

    lakin nani nizaid

  • @norbertmakundi2305
    @norbertmakundi2305 ปีที่แล้ว

    Hawa jamaa nawapenda mno

  • @joerryFrancis-mc1mo
    @joerryFrancis-mc1mo ปีที่แล้ว

    Ali kamwe unatixha kaka

  • @Yassirjuma-i1c
    @Yassirjuma-i1c 7 หลายเดือนก่อน +1

    Ali kamwe n mt w maan sana maan lzma aanze na shkran,na kuw falsafa nzri ya kuongea

  • @ZakariaNgao
    @ZakariaNgao ปีที่แล้ว

    Mtoto wa faida kwa Azam media ni Ali kamwe kweli ni pigo