AFUNGULIWA NA KUTOKA KWENYE LAANA YA FAMILIA
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 24 เม.ย. 2021
- Ibada iliyofanyika Katika kanisa La Vuka Yordan Ngaramtoni Arusha Tanzania,Na kuongozwa na Mtumishi wa Mungu Bishop Elibariki Sumbe.
Follow kurasa za Bishop Sumbe,Bofya Link Hapa Chini.
/ bishopelibarikisumbe
/ bishopelibariksumbe
Website
Vukayordani.Org
LIKE | COMMENT | SHARE.
UBARIKIWE.
#VukaYordaniChurch #NgaramtoniArusha
Mungu akutunze mtumish Kwa ajil yetu na vizaz vyetu AMINA🙏🙏
Watumishi wachache sana! Duniani wenye moyo kama huu wa Bishop Sumbe... Duuuuh
Mungu naomba kufunguliwa vifungo nimetupiwa naamini inawezekana kwajina la yesu
Asante mungu kwa kumponya uyu biti,
Na mm naomba uniguse na mm
Mungu ni funguwe nami
Anapofunguliwa huyu nami nafunguliwa kwa jina la YESU kristo mwana wa MUNGU alie hai...🙌🙌🙌🙌🙌🧎♀️🧎♀️🧎♀️🧎♀️🧎♀️🧎♀️🧎♀️🧎♀️
Mungu pia nipiganie amen
mungu aliye kwita akulinde mutumishi.
Duu Woote mlioguswa kwa ajiri ya binti huyo Mungu azidi kuwapa zaidi
Naomba no za huy mtumishi jamn
Amen
Hakika MUNGU ni mwema mungu akuongeze nguvu uzima na rehema mtumish wa Bwana
Yesu wangu uniokowe na mimi Pia,Amen !!!!!!
Ondoa roho za kisasi ndani yangu JEHOVAH MUNGU...🔥🔥🔥🔥🔥🔥🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌👏👏👏👏👏👏👏👏👏🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Amina mtumishi mungu akizidishie kipawa na akupe maisha malefu
Powaaaaaa
Mungu akubariki Baba
Pasta barikiwa saana kwa kazi zako njema 🙏🙏
Nimeoumia sana hadi machozi Mungu turehemu sisi watoto wako maana hatujui koo zetu zilifanya maagano gani kwa shetani.
Mungu akunariki baba sumbe namimi nagonja lakini maamini mungu ataniponya niko Rwanda
I like the spirit...may the Almighty God grant you more and more Grace...from Kenya
Mungu a kubariki mtumishi
Wow mungu akubariki sana mtumish wa mungu
Amen 🙏🙏🙏
Mungu amsaidie Ili afanikiwe
Mungu akubariki sana Baba
Mungu azidi kudhihirisha kupitia Prophet Elibarki Sumbe
@@damasjoachim4451 Amen
Wazazi wetu kweli wanatenda mengi ili kuharibu Familia hapo nakuelewa Pastor
Those the son of God sets free are tree indeed!
Jamani hata mimi niko hivyo hivyo tu, wiki moja tuko sawa wiki nyinginw hatuko salama naomba maombi kwa kweli niombee muchungaji,
Mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu,nataman siku moja kushiriki ibada kanisani kwako
Unapo funguwa wangine namimi nawomba nifunguliwe
Naomba mwenye namba ya mchungaji Wa dar anisaidiee
Lakini Mungu anatuonea watoto Kwa nini turithi Laana za Wazazi wetu??wakati neno la Mungu linasema kila mmoja atauchukua mzigo wake??
Wapendwa hakuna raha katika dunia hii ya dhambi kama wew ni mzima mshukuru MUNGU sana kwan kuna watu huteseka sana
Ila baraka unataka kurithi au
Please let me naomba naomba ya simu
Naomba unitumie namba ya simu
May God less you bishop
Mungu akubariki baba
Amen
Amen
Amen