Malizage kwanza ma épisode zimoya zimoya ile ya kijana muuza maji aliye tokea ku pendwa na binti tajiri bado kumaliza ma filamu sinakuwa za mingi atudjuwe twanziye wapi na tumaliziye wapi musitukere kelvin samani
😂mnafurahisha jinsi mnavyosahau mababu na mabibi zenye waliishi kutembea uchi na walikuwa tu na maadili na hata wanawake walifika kwenye ndoa zao na ubikira wao. Mambo yakujigubika gubika mishuka na migunia kama waarabu sio utamaduni wetu kabisa. Wanawake wakiafrika kuanzia siku za jadi, wake kwa waume, tulikuwa tu tunafunika makalio na sehemu za siri tu, wanawake nao waliongeza kwa kufunika kifua na hata kabila zingine kama huko Afrika kusini hata hawakujali kufunika matiti. Hadi wa leo wengine wanatembea vifua wazi. Ndizo mila zetu hizo. Sehemu zingine zote za mwili zilibaki wazi bila kufunikwa. Sijui mbona tunapenda kuendekeza kasumba za kikoloni. Kujigubika minguo kama maiti sio mila zetu. Ukitaka kuishi mahali wanawake wamejifunika nenda uarabuni
@@makkamakka9171 hapo umesema ukweli. Siwezi kupinga kabisa. Nikidhani yafaa tu jamii yafaa ielimishwe jinsi ya kuishi kama walivyo ishi wazee wetu. Turudi kwa mfumo wa kutenga hizi jinsia. Wanaume wasikutane na wanawake ovyo ovyo isipokuwa mwa misingi maalumu. Watoto waache kupewa uhuru wa kujichagulia wachumba hiyo ilikuwa kazi ya wazazi na mzazi angehakikisha binti yake au mwanae wa kiume anapata mchumba anaestahili na wala sio tu kufata tamaa za kimwili na ndio maana ndio za siku hizi hazidumu na zimekosa uaminifu kabisa.
Boss mwenyewe hastahili kuwa Boss jamn, huu uboss angecheza hata kelvin au brown angeweza lakn uyu jaamaa hawez kucheza km boss, mfanye uyu boss afe arithi kelvin kwa kwel
❤❤❤ from Kenya hii n movie nyngine mmeanza bt ushauri wngu mmi mgemaliza kwnza Ile y kijana muuza maji
Kweli niwamalizie
Zuri Sana ❤ lkn kijana muuza maji iendeleee
Fact
😂😂 wakona chanel mbili wanapost kila mahali muzak maji itaendelea tu
From Kenya endeleeni tu
Kusema kweli wa Kenya niwengi humu ndani😂❤❤❤🎉like kwa wingi one love
Eeeeeeh Nasi wana Ugandan tuko wengi kuliko wana kenyan a
Sijawahi kupewa like hata moja 😢
😅 wwe ndo mmi ssa
Haya chukuwa iyo,,,ucjali
Unafanyia nini hizi likes? 😂😂
@@animtres😂😂😂😂😂
@@animtresanakula😂😂😂
Kazi nzuri nawapenda bure kutoka kenya
KK kelvin kz n nzul sana mwenyez mungu awajaalie zaid mutoe nakaz zngne ambazo nnzul na nbola dhaid.
Khani Malizia Move Kijana Watu Usituchanganye From Qatar❤❤❤❤
Kz nsmzuri move nzuri sana,hongereni ❤❤❤nawapenda bure nyote
Wanawake mmeskiya mwanaume asiyefanya kazi kitandani asiwekewe maji yaluoga😂😂😂 imeenda iyo 🎉🎉🎉
😂😂😂😂😂😂😂Hatariiii
Hiii imeenda🎉
Awekewe maji kwa kazi gani amefanya
😅😅😅😅hii imeendaaa kbxaa
Wangu ajichanganye
Wanao ona kitanda uwa ni kile kimoja wanaekitia tujuane
😅😅😅😅😅
😂😂😂kabsaaaa
We angalia muvi tu hayo mengine hayakuhusu
@@user-tn1xb3rr3gumeongea point
It’s lit 🔥 love from Kenya 🇰🇪 🇹🇿
Jamni mimi naomba mmalizie ile ya kijana maskini mnaanza kutuchanganya kazi zenu nzuri ila jitahidini kutoa kila siku tuenjoy
🎉
Wa Kwanza from Kenya❤❤my likes please❤
Love you guys watching from Kenya
Wa 7 naomben likezangu
Daaaa!boss ametsha kinoma
Icho kitanda wabadilishe kila movie niicho tu aaah
Asante tupo pamoja 😀
❤❤❤from Kenya 🇰🇪 I love this movie
From congo 🇨🇩 mumalizie kwanza kija muuza maji
kweli wanatuchanganya
Good work ❤ Kenya 🇰🇪
Mnatuchanganya kwanini kijana mhuza maji amjamaliza mtumalizie kwanza moja moja
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥 much love from Kenya ❤❤❤❤❤❤🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Jaman mambo ni 🔥🔥
Malizieni ya kijana muuza maji kwaza jamani
😊watamaliza kwani munashidagani sinaweka nazingine jamani inamana hamupendi 😅
🎉🎉❤❤ good job love from Kenya
Nelly bwn boss gan hata nywele huweki vizuri
Huyo boss mwenyewe anakuja kwa miguu halafu anafoka kuhusu geti😂😂
Haha
Ndio majab sas
🤣🤣🤣
😅😅jaman
Nelson sekta ya umaraya inampendeza
😅😅😅😅😅
Wakenya wengi sana Kwa comment wapi like zao❤❤
Amazing Movie ❤❤🇧🇮🇧🇮💯💯💯🇸🇦🇸🇦🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Love from GOGO LOVE OFFICIAL TO BURUNDI
OMBENI toka Congo jamani mungemaliza kwanza ya kijana muuzamaji
Kutoka kenya jameni hio ya muuza maji kwanza haijaisha
Malizage kwanza ma épisode zimoya zimoya ile ya kijana muuza maji aliye tokea ku pendwa na binti tajiri bado kumaliza ma filamu sinakuwa za mingi atudjuwe twanziye wapi na tumaliziye wapi musitukere kelvin samani
😂😂😂😂😂😂😂 hicho kiswahili
Wanawake Achen kukaa kaa uchi ovyio bn kila mwanaume anaona limwili lako khaaah 🙄🙄🙄🙄🙄🙄😏😏😏😏😏
Wanchonishangaza mpakawakaeuchi jamaniiii vaeni nguo zakujistry eeeeeeeee basssss
😂mnafurahisha jinsi mnavyosahau mababu na mabibi zenye waliishi kutembea uchi na walikuwa tu na maadili na hata wanawake walifika kwenye ndoa zao na ubikira wao. Mambo yakujigubika gubika mishuka na migunia kama waarabu sio utamaduni wetu kabisa. Wanawake wakiafrika kuanzia siku za jadi, wake kwa waume, tulikuwa tu tunafunika makalio na sehemu za siri tu, wanawake nao waliongeza kwa kufunika kifua na hata kabila zingine kama huko Afrika kusini hata hawakujali kufunika matiti. Hadi wa leo wengine wanatembea vifua wazi. Ndizo mila zetu hizo. Sehemu zingine zote za mwili zilibaki wazi bila kufunikwa. Sijui mbona tunapenda kuendekeza kasumba za kikoloni. Kujigubika minguo kama maiti sio mila zetu. Ukitaka kuishi mahali wanawake wamejifunika nenda uarabuni
@@animtres lakin walikuwa hawashikwi shikwi ovyio na kila mwanaume 😂😂😂
@@makkamakka9171 hapo umesema ukweli. Siwezi kupinga kabisa. Nikidhani yafaa tu jamii yafaa ielimishwe jinsi ya kuishi kama walivyo ishi wazee wetu. Turudi kwa mfumo wa kutenga hizi jinsia. Wanaume wasikutane na wanawake ovyo ovyo isipokuwa mwa misingi maalumu. Watoto waache kupewa uhuru wa kujichagulia wachumba hiyo ilikuwa kazi ya wazazi na mzazi angehakikisha binti yake au mwanae wa kiume anapata mchumba anaestahili na wala sio tu kufata tamaa za kimwili na ndio maana ndio za siku hizi hazidumu na zimekosa uaminifu kabisa.
Boss mwenyewe hastahili kuwa Boss jamn, huu uboss angecheza hata kelvin au brown angeweza lakn uyu jaamaa hawez kucheza km boss, mfanye uyu boss afe arithi kelvin kwa kwel
🥰🥰🥰🥰🥰
😂😂😂😂😂afe
Kuna maboss wengine hawana huruma hata kidogo yaan 😢wanajiona wao ndio wao
Munajua munatuchagana sana heb nenden kama mwanzo malizen moja ndy muanzee nyengine
ni mwendo wa bandika bandua
Lavnes merci beaucoup bb Na vrement trebien ❤❤❤❤❤
kak kwem movie kal ila mnachukuwa mda mrefu kupost
Kenya Watching, twapenda
Muvi zuri bana ongereni🎉🎉🎉🎉🎉
move zenu zuri ila mnachanganya sana
Kazi nzuri
Muwe mnawai broo cku nikija dar nitawatfta make pia nakipaji ila vyombo vyakaz sn
Unaigiza vizuri love had nakupenda bure🎉🎉
Jmn kijana masikini
Hii ni movie isiyo na maadili kabisa
Kijana muuza maji imeisha
Donata tv nawakubali sana lakini mjitahidi sana kuchange location location zeni ni zile zile mfano icho kitanda mchezea kwenye sinema nyingi sana
❤❤ good job
Boss mwenyewe kaja kwa miguu afu anafokea mtuu hhhhhhhhhhhh
😢😢😢 kumekucha ❤❤
Kevin malizia kijana miuza maji ❤❤❤❤
Nawa shaur tu kama mshabiki wenu malizen move mojamoja kwanza sorry lakn kwakuwapangia
Iyi ninyingine chanel yao ebu kuweni waelewa
Apo umesema brown nimependa maneno yako yanatia moyo Kwa wapambanaji wasiokua na muelekeo kama mm😢
😂😂😊
malizen kwanza kijan muuza maji mnatukatisha utmu bn
Shemegi bwana wewe ksfagio😅😅😅
Si bur uyo boss anashid zak
First🎉
❤❤🎉👌👏
🎉🎉🎉 from India jaman wanaume mlizike na wake zenu cyo kitangatanga Kila mala
Mbona mnatuchanganya ile haijaisha jmnn 😂😂😂
Muwe mnatambua na kutofautisha vitu
@@samsonymwesiga-me4lg😂 jamani
@@user-jf9pt8bu5j wengine vichwa vyao havijui kutofautisha
hawa jama sijui wakoje vipande hawamariz wanatoa vingn muwe munamarizia
🎉🎉🎉❤❤❤
Jaman kijana muuza maji tunaiihiji sana❤❤❤🎉🎉🎉🎉
Hawa nao wanazigua
Wow nice 👍 san
❤❤🎉nice
maliza kwanz ya kijana muuza maji
Nelly matatani😅😅😅😅😅😅
Kijana muza maji imekomea wapi ??
Kuwa msanii au mtu maarufu haikufanyi uanze kuiga had kujichora tatooo ona sasa ulivyojiharbu
Good job 👍
Kweli kabsa matajiri ni wagumu sana kwenye chakula yaani wana bajeti atari
Sijapenda boss anaroho mbaya saan
wap hapo
Kazi safii ❤❤🎉
❤❤❤❤❤❤ from Kenya nikiwa Saudi Arabia
Kesho yangu maliza kwanza yan unatoa baada ya cku ngap kwanza unatoa vitu bila uhakika
Yaan mvie kar broo
🙏🙏🙏❤❤🇧🇮
❤❤❤
Mmmmmmh iiii kitu ni tamu aiseee sema brown humu brown mumempatia 😂😂😂 ila nawapenda hatareeee
😂😂❤much love from kenya
Saut iko chin sanaa
Mbona kijana muuza maji jaiendelei twataka kuona mwisho wake PLZ
Kazi nzur
Nelly 😅😅😅😅😅
From 🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Good job bt malizen kijana muuza maji
😂moyo
Mnazinguwa nyie bwana
𝑺𝒂𝒇𝒊𝒊 𝒔𝒂𝒏❤❤❤❤❤❤❤
Lala na upwilu wako 😂😂😂😂😂😂😂
Tatizo Lenu uwa ammalizi move
Kweli kabisa
Shenayza anataka jamn🤣🤣🤣🤣
Ndio naanza episode 1😢 Na naona imefika episode 13
Shida yenu hammalizii episode ndio mkaenda nyingine
Ila kl kwanini wasimalize epi walizozianza kisha wakafanya zingine😮