Wewe diva ongea kiswahili acha ushamba unajifanya unajuwa english wakati wakija wenye luga zao uwonge unatupigia kelele tu ...nenda america basi kuwa mzalendo na luga yako wewe..
Wabongo kwenye kujiongeza na kuconclude matukio ya watu wengine ndo tabia mlizozaliwa nazo ona sas unaambiwa ukweli bado utaki kuamini unaona kama unadanganywa
Mbona mnapenda kuwauliza kama wanadate u guys just mind your on bossiness mnajua hua inauma sana mtu anakuuliza unatoka na mtu flan na uko kwa camera even if they are dating they will not tell u because they know tz people habit I just live them alone
Wewe mtangazaji inatakiwe utumie lugha moja english or swahili . Ninyi mnazani mutakuwa wazungu?? Jibu ni apana . Kama ni kipindi cha english speak english kama ni kisqahili speak but stop mixing language please
Ajielew ajui km sisi ndo waskilizaj na atujui kingereza km anaisi kingereza ni muhim akafanyie kipindi chake ulaya ndo watamuelew sisi tumezaliw kweny kiswahili na ndo lugha yetu
Diva acha kujifanya unajua sana kiingereza, kingereza chenyew unachnganya na Kiswahili.
Diva kuongea kote English napenda Patrick anaongea kiswahili safi sana uzalendo
Uzungu mwiiiiiingi! Haf anakwambia am not so much into swahili things! 😀😀😀😀 Kazi tunayo kufikisha kiswahili mahala pake.
I gotcha you😆😆😆😆eti am not in to Swahili thing 😆tutamfinyaaaa..
Aisee ni kazi Tena kazi kweli😂😂.
Acha wakenya watunyang'anye tu wasemage Chao. Maana wenye nacho Tena nd hawa😂😂😂
Kuna siku diva alisemaga hata wimbo wa taifa haujui😂😂😂
This guy and jenniffer made me love Tanzania movies like crazy, I have watched all Kanumba movies just because of them.
Ongea kiswahili wew
Bien vraiment
Kwanini swali la kudate linakuw mtangazaj analilazimisha kwani kama hawadate ama wanadate shida iko wap
Diva umependeza leo
Eti hamjawahi kukisi,hee, what kind of question
Diva wacha miyeyusho kizungu hicho kwioo 😏😏
Powa
Dada diva ,tunaomba uongee kiswahili ,wengine kingereza hatuelewi 😂
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣upo sawa
,😂😂😂😂😂😂
Nendeni kwenye local media EFM na cloud
Diva chawaaaaa
Rip diva
Patrick mbona anajipapasa na kujilamba lamba lipsi, Umesisimka nini?😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂
😂😂😂😂 jmn
Mitandao inatuharibu, alafu watoto sikfu hizi wanaongeaje? Mmmmh hatjadeti, nmmmh labda mmmmh mmmmh mmmmmmnamavi....ok labda mi wazamani...kiume zaidi
Bonjour bonjour on dit quoi@@mosesngowa5918
Alhamdulillah w kwanzaa🤣🤣🇪🇭🇪🇭
Wow
Noma
Huyo mtangazajii anajifanya mzungu wakati KIZUNGU hakujui MKATAA KWAO MTUMWA 🤣🤣🤣😂🤣🤣😂🤣🤣🤣😂 🤣🤣
Anajua bhana,,, sema tuu hakutakiwa kuongea hapo coz si kila mtu anaelewa
😹😹😹diva na bby wake
Diva ungea kiswahili
🎉🎉
Hi
nani anaamini hiki ndo kipindi cha kipuuzi pale wasafi kuliko vyote...
Swali moja unauliza mara 10 mbona anachosha akili hadi mm kanichosha akili kusikiliza...
Wewe diva ongea kiswahili acha ushamba unajifanya unajuwa english wakati wakija wenye luga zao uwonge unatupigia kelele tu ...nenda america basi kuwa mzalendo na luga yako wewe..
Ata america ujakaa lakini ujanifa kuongea luga ata aina faida kwako mchamba mkubwa wewe pua kama bakuli la wafungwa..
Ww mwanamke punguza kujifanya unajua sana kuongea kingerenza huo ni usenge
Uyu nae
Diva unakera,amua moja kama unatumia Kiswahili tumia moja kwa moja bila kuchanganya ,na kama umeamua English basi tumia hiyo moja kwa moja.
😮
Watoto wa marehemu kanumba
🔥🔥🔥
Mbona unamlazimisha
We mtangazaji unajifanya mzungu, ona unavijibiwa Kiswahili kwann bado inaendelea kuhoji kinge chako
Hahhahaha jaman kusoma kingereza ni bure shule ya msing na sekondar nendeni
💥💥💥
Wabongo kwenye kujiongeza na kuconclude matukio ya watu wengine ndo tabia mlizozaliwa nazo ona sas unaambiwa ukweli bado utaki kuamini unaona kama unadanganywa
Mbona huyu dada anaongelea mapenzi tuuu na unavyomtaja Gigy ngojeni mitus hapo
😂😂😂🙌
Am here 2nd 😍😍😍🇰🇪✔️
May you guys use our native language B's even that you are using isn't well managed
HII ni interview ya kiswahili au kiengereza mnafeli wapi
Anajishauwa huyu dada
Dada mbna unabana pua
Mbona diva analazimisha mambo!
😂😂
Hv Diva huwa n raia wa nchi gan
Kiuno
Asate
Mbona mnapenda kuwauliza kama wanadate u guys just mind your on bossiness mnajua hua inauma sana mtu anakuuliza unatoka na mtu flan na uko kwa camera even if they are dating they will not tell u because they know tz people habit I just live them alone
Ha ha ha 😂 mwishoni kinyonge
You are a go gera..weleva you wanna go you wanna geri it...stop twenging my siz.
Wana aribiwa jina2
😂😂😂😂 adaisha ajamshika ata kiuno
Kizungu saa ingine inakaaa kama unajifunza kuongea
Mbona unamuuliza Sana? au unamtakaa!
🤣🤣🤣🤣
😂😂😂😂😂 labda yuwamtakaa
Interview zingine bana
🇹🇿🇹🇿🇹🇿👍✌
Mnazingua Na sauti
Sauti mbovuuu....
@@chinamilenas3375 majinga hayo
@@chinamilenas3375 vingereza vya ajabu
Kichwa cha Habari cha uwongo
Kweli🙄
Wanaona wadau tumekuwa weng wanatupunguza kwa stahili hii
indirectly kichwa cha habari kinaendana coz mwishoni anasema aliwahi ambiwa he's not her type🙂
Twambie ukwel patrick
Watu mnadic dva anaongea kizung akiongea kibongo show ainog romantic language ni English. Elewen
Kwani huyu diva ni mwehu? Gigi upo wapi?
Kivipi wewe mtu anafanya kazi yake
Unamhoji bwanako. Ili uwe na uhakika sio.
Basi detini basi tu napenda tuwaone wote
mhhh
@@sleymohamed3825 naam
Kwani Jennifer sio ndugu yako???
Ww kizungu weka mfukoni auoni mwezio anapenda lugha yake
Mbna mtangazaj ka kalegea kwa Patrick anasahau kapigiwa goti na mzee wa gundu
Wewe mtangazaji inatakiwe utumie lugha moja english or swahili . Ninyi mnazani mutakuwa wazungu?? Jibu ni apana . Kama ni kipindi cha english speak english kama ni kisqahili speak but stop mixing language please
Ajielew ajui km sisi ndo waskilizaj na atujui kingereza km anaisi kingereza ni muhim akafanyie kipindi chake ulaya ndo watamuelew sisi tumezaliw kweny kiswahili na ndo lugha yetu
Ww mwenyewe kuandika tu ushachanganya na kingereza wakat huo huo unamzuia diva duuh?
Diva 😅🤣😂 I don't like swahili thing 😅🤣😂 I wonder English yenyewe she is real struggling to compose sentence and connect vocabularies acha making!
😏😏😏
Ongea kiswahli bwanA
😂😂😂Diamond platnumz ka cheka sana baada yaku ona hii vidéo ebu jionee nawe u cheke😂😂👀
👇👇👇👇👇👇👇👇👇
th-cam.com/video/nzHStcK4g7g/w-d-xo.html
1st
On dit quoi ça va
SIBlHUBA
Tatizo English to much problem ongea kiswahili diva
Ipo siku kitaumana tu