Mimi sijawahi comment kwnye vdeo yoyote ila leo ntasema, mnaharibu video zenu na izo heading, yani movie kabla aujaiona ila unajua kitakachofanyika, rekebisheni maana utamu wa video n kutojua kitakachotokea.🇰🇪
Ila kwa Uwalisia kabis uyo Tina ni Binti ambae anaonekana wazi anatak san money kuliko kitu Chichote Aisee,, Maigizo tuwek pemben kwanz ☝️☝️But Trust me 🫴
Me wa kwanza ila sitaki like ya mtu
Jamani naombeni like 10 tu mi wa kwanza
nimetokea sana kuwakubali hamcheleweshi vipande. Goood
Kazi nzuri sana team DONTA TV wamenifanya kuwa na amani kabisa ❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉
Asante
Nimekuwa Shabiki yenu janaa2@@Dontafamily
Kazi nzuri sana 🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿
❤❤❤❤🎉🎉
Unamkubal nan kwenye hii muv
Kila mtu wa kwanza bas mi leo wa mwisho na sitaki hata laik 4
Hongereni kwa kazi nzuri from Kenya 🇰🇪
Wakwanz leo naomben like zangu😢
Uzifanyeje
Like zako kivipi kwani wewe umetoa muvi gani yeye unataka like,😂😂😂😂😂😂😂,😂😂
Mpeni like zake usiseme hivyo aja kosea@@BeatriceNanjira-u8x
@@MohammedAbbas-xe1eompe tu
❤❤❤😢😢😢😂😂
Kelvin uko vizuri sana,utaki kumvunja moyo ndg yako
Mnachelewesha sana next epsode tafadharini wafanyeni haraka jamani utamu nimwingi
❤❤❤
Nawapenda wanadonta kazi nzuri❤❤❤❤🎉🎉🎉
Wa 1 leo from 254
Asanteni kw mafunzo yenu team donta 🎉🎉🎉❤❤
Jamani mwendelezo ndo hakuna au nirudi kwenye cmulizi tuu uku kunamiyeyusho sana ila movie ni nzuri sana paka nimesaluti simulizi kidogo
Jmn naomba like zangu nimekuwa wa kwnz
Umeziwek wapiii??
Wa kwanza Leo nipeeni like zangu
Kaka kelv jitahidi kwenye mavazi mbona unatuangusha
Kweli binadamu hawana fadhili 😢ila malipo n apa apa tu jmn 🥺 nawapenda nikiwa 🇸🇦🇰🇪 Genz 😂
❤❤❤❤
Jaman iimov nifundisho kubwa san ten san tusimpende mtu kwa kit tuwapende wat kwa utu na sio kitu mpanda ngaz hushuk
Sasa humpendi halafu unaambiwa akipagawa atapewa unakasirika waaah makubwa hayo😂😂
Na wa penda nyote😂😂😂
Siko mbali nipeeni likes finally imetoka nilikuwa naisubiri sana❤❤❤
Solo Mali nipeeni likes flnlly imetoka nilikuwa naisubiri sana❤❤❤❤
❤❤❤❤❤❤❤❤hellos
Kevin is the best 💯👮
❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤ Masha'Allah hongereni xan wana donta tv mmbo ni moto 🎉🎉🎉🎉🎉ila moses please usikimbie tena kwenye donta ak nakupenda xan kaka❤❤❤❤❤
Jamani nmemumiss lovenes
Yupo
Nawapend san kwakwel munanikosh Moy il sik izi shanaiza Simon kapoteley wap jaman nimemiss lavunesi
Courage ❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉
Sijachelewa sana ndio naingia Kwa 🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🇰🇪
Nimewai naomben like
👍👍
😢😢😢😢hii ndio dalili ya wanawake wanao penda pesa kuliko utu wa upendo wa mwanadamu
Keep it up from kenya following you wish Kevin ungemuoa loveness ❤
Oa nyi mambo niajee
🏃🏃🏃🏃🏃
Kendy Tina anakwambia uwongo usimwamini Tina alipendea Brown hela yke
Kendy mwambie Tina ukweli Lkn kendy Huo n mtego mbna mfanye hvyo sio poa Kendy
Nawapenda sana 🎉🎉😂
Mimi sijawahi comment kwnye vdeo yoyote ila leo ntasema, mnaharibu video zenu na izo heading, yani movie kabla aujaiona ila unajua kitakachofanyika, rekebisheni maana utamu wa video n kutojua kitakachotokea.🇰🇪
Munacheleshesha Episode kiasi kwamb hadi tunasahau tuliishia wap?
Kaka Kelvin uko Sawa Kwa ushauri wako uliye mweleza Brown Ila mwambie Brown awe mpole
Tina punguza mkorogo just do simple makeup utapendeza zaidi
Leo nimekuwa wa kwanza😂❤
Kevin mbona iyi nii remix tn? Uliwayi kucheza ivi tena ukajifanya maskini tn blauni naye tena?
Hapo saw Kelvin mueleze Tina ukweli leo hii Tina kataka kuzalisha Brown Kwa Kua sasa Hana kazi
Daaaaah Tina Leo umesahau yte y Brown unampa Brown njia panda
From rwanda❤❤❤
Kevin wwe ni kanumba wapiri ubarikiwe napenda firamu zako zote zinamafunzo toka unafunguwa ndonta tv nimekuwa muwakwanza kukufatiriya ❤❤🇧🇮🇧🇮
❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉
Tina wacha mtego yko haina haja ya kutega Brown
Asante kelvini umechauli brauni kwa tina
Penda sana,, kazi Bora meikubali iyoo
In the first time mozambique ipo na nyinyi
Iam the first one please like 👍
Mnachelew san kutoa jamn mnatukatish tamaa 😢
Yani wanawake wanathamini pesa kuliko mapenzi
❤❤❤❤
Kazi nzr sn naomba like 😢
Wa 85 😂😂😂😂😂napenda sana kazi zenj
Sawa
Ila jamn mm nampenda kendy cjui kwann😂😂
Kali sana hii nayifatilia mwanzo hadi mwisho
Nawapenda kweli munatupa akili njema
Hongera sana kw kazi nzuri team donta🎉🎉🎉much love from kenya ❤❤❤
Asante sana
Napenda sana video zenu nakubali sana
hongela kaka ❤❤😂😂😂kazizuli😅😅😅😅
Kazi nzuri lakini munatucelewesha kabisa
❤❤❤❤❤
Haya basi sijachelewa naombeni likes zanhu jamani
Muna boo mbona mnachelewesha ep
Kazi iko poa kbs
Mwanangu unaakili sana nimekukubali
wa kwanza kutoka Congo🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Movie nzuri ila unachelewa xana kutoa kaka jitaidi uwe na speed ukiwa na speed ya kutoa wadau wanakuwa wengi mno kaka
Now itawahi
Good job Kelvin ❤❤❤❤
Ukweli mnachelewesha sana hii movie jamani😢
Now itawahi
Kazi nzuri sana lakini Tina Mkali wao
Kazi nzuri sana lakini Tina Mkali wao
Muvi nzuri ila mnaichelewesha sana
❤❤❤❤❤
mime Liya sana 😢😢😢😢
Haujamaliza vizuri mbona
❤❤❤
Muendelezo mbona hamna
Na part 19 itatoka line
Swahili max
Apa Kuna mtu atalia😢😂😂
wakumi12❤❤❤🇰🇪🇷🇼🇷🇼
Ila ongera sn
Fire 🔥 🔥
Team donta much love kwenu❤❤
Asante
Asante sana kwa kazi zenu nzuri bipenzi vyangu ❤❤❤
Asante
❤q❤❤❤❤❤
KAZI nizur sanaaa
❤❤❤
Ngoja nikapike ule alafu hatujaona mmekula😅😅
Ukiona wanakula utataka kuona wamelala utataka kuona wanaoga 😁😁
Kazi nzuri lakini
Waooo lakini mnachelewesha sana mpaka tunasahu 🤔
Now 2tawahi
Hongela sana 🎉🎉
Kendy eti mi sio malaya. Lakini mwonekano wake wote wa kimalaya😂
😂😂😂😂😂
Kazi nzuri k🇰🇪
Kenya Watching
Ila kwa Uwalisia kabis uyo Tina ni Binti ambae anaonekana wazi anatak san money kuliko kitu Chichote Aisee,,
Maigizo tuwek pemben kwanz ☝️☝️But Trust me 🫴