Hongereni xana kelvin najua mwanaume akipenda amependa yupo tayari kwa lolote pia kwa vumilivu kutoa hela hali umesikia kila kitu ila Mungu anamwona Mariam kwa dhambi zake.Nachukia xana wanaume wasiopenda kujishughulisha na kupenda kulelewa na wanawake.
Aseeee na Bora umekuwa jina la mariamu😂😂😂😂😂 umetisha mariamu 😂😂😂 badilika wenye tabia Kama ya mariamu badilikeni😂😂😂😂 pole Sana kelvini jamani unae mpenda nae kampenda mwingine❤❤❤❤
Uyu mariam niatari wanaume chungeni sana Yaan anawes kuomba pesa wa mwanaume mingin ampatie mwanaume mingin dunia hii imebadilika wanawake wanaong a wanaume
Hongera sana mnatoaa sana funzo kwa vijana wakitanzaniaa the way yakuitunzaa furahaa pale anapoipataaa na wanawakee mjaribu kuwa na huruma na wanaumee b'se tunayapitiaaa mambo mengi wakati wa utafutajii kwa mnao pendanaa pendanenii sana na mapenzi hayaishii kwasababu yakucheet Ana no mnaaachanaa baaada ya mioyoo yenu kuchokana!!.😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢
Daaah kiukwel jamaa unaweza san mungu akubaliki utafika mbali sana, unajua kuandika story, imenigusa sana adi moyoni👏👏👏👏, me nakupa 🌺🌺🥀🌹💐💐 yako kaka, me ni funny wako.
th-cam.com/video/2D7qNJwlenk/w-d-xo.htmlsi=8hg05b8azPzwuW_8
LEO IMETOKA SERIES YETU MPYA YA MAPENZI INAITWA - VAMPIRE LOVE ❤ bonyeza link kuitizama
Movie tingisha
nakukubali sana kelvin na team yako mnatoa mafunzo mazur
Q😊
Q😊q
You kill it my bro kev🔥🔥🔥
Mariam tafadhal bona unafanyia Kelvin, nawe nelly hiyo tabia ya kulelewa na mke congratulations Sana kutoka Kenya ❤❤❤❤❤❤❤
Good work Kelvin we love you so much 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Msanii wangu kelvin!! Pole sana kaka!! Fun wako wa kids kupona kutoka Kenya 🇰🇪 like ZA kelvin!!
Much love kelvin from Kenya 🇰🇪❤❤❤nmewaona kelvin na brown kwenye mama yangu kichaa,,,by steve mweusi
Good job team Kevin much love from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
19:43 dauhgo Tfjkm
Good job team Kevin much love from burundi
Donta tv mnanifanya kama chizi kwenye jalala yan mda ote nachungulia mmetupia kitu gan....kaz nzuri kwakwel hongeren
Good job Kelvin much love from Burundi ❤❤❤
Asante sana
Kelvin njooo huku mariam anakuchiti mariam sio poa jamanai kelvin polee i love you kelvin from Kenya 🇰🇪❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️
Hongereni xana kelvin najua mwanaume akipenda amependa yupo tayari kwa lolote pia kwa vumilivu kutoa hela hali umesikia kila kitu ila Mungu anamwona Mariam kwa dhambi zake.Nachukia xana wanaume wasiopenda kujishughulisha na kupenda kulelewa na wanawake.
Asante sana
Use the edit icon to pin, add or delete clips.
Congratulations kelvin with ur group
Nimejifunza kitu hpa asante sana Kelvin❤❤❤❤
Iyi kali kabisa tunaipokeya kwa furaha natena tunafurai kwamana minutes ambayo metupa imeturizisha myoyo yetu❤❤❤❤❤one love one access
Sawa j5 inaendelea
😂😂
Nakukumbali kelvin wewe ni kaa mentor kwangu manake nimejifunza mengi kutoka Kenya🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Asante sana
Much love team Kelvin watching from saudi
Pia nawakubali xana movie zenu zinamafundisho mnooo ❤❤❤🎉🎉🎉
Asante sana
Background music ni wimbo wa Nani Kelvin namanisha artist
Pia mm natamani kujua artist wa huu wimbo @@paschallameck4372
Hyo part mliompea Victoria ilikuwa mmpee Loveness au Tina ingekuwa powa but piaaa... Mmetisha good job.
Thank you
If u Don't love the man, respect is work and money
Hata mm cjachelewa ❤❤❤ Ongeren DONTA TV pamoja 🎉🎉🎉🎉
🙌🙌
Hongera sana ila mimi huchukia wanaume wakupenda kulelewa kweli😢😢😢
Japo2 wanaigiza lakini me mwenyewe najisikiya vibaya
@@starnnystivini164 kabsa😏
@@starnnystivini164 sio to maigizo aya yapo sana kwenye jamii
Na unavyojua kulia viky😂....Nawapenda sana from Kenya❤
Kelvin na loveness mnaendana sana 🤗🤗
Tazani waowane live 😂
Aisee Iko funzo kubwa ya maana love from kinshansa- Congo 🇨🇩
Nawapenda sana niko Burundi 🇧🇮
Team Kelvin much love from kenya❤
Mapezinzi sio pesa mapenzi ni hisia kelveni pole sana love you DONTA TV family ❤
Mnaendana sana kelvin na loveness
Jaman Kelvin I love you ❤unajua Sana
Nimefika jamani, much love ❤❤ from 🇰🇪
shukran sana blaza
vip kuusu hiopart yamwisho vizuri kama ungekaatu bila kuimba ndo ungekua mwonekano mzuri kwamba unaumia
Safi sana Mnaongoza🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Lijana ume hovyo lakupenda kulelewa na mwaña mke😢😢😢😢😢
😂😂😂😂😂na ndo ambao wamebaki dunia ya kisasa 😢😢😢😢yaan nimejikuta macho yananitoka wallah
Munayuwa sna ❤ kabisa.
mapnzi ya kibongo utumwa penda uwee chuma ulete...baaadae ujue uwee mlinzi..wachache wanaotambua samani ya upendo...❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Aaaaaa true story jamani wanawake mungu anatuona vilevile waume kama hao pia wapo 😢😢mungu niepushe na waume kama hao 🙏🏻🙏🏻
😭😭😭
Naitwa anastazia nipo dar mhhh!!! Huyu mdada hana at a aibu
😢😢 ujiga wamapesi apana siwesi saudia Arabia tune from kenya
😂😂😂🤣🤣 Mambo ya kupika kubusi ni magum
Kelven nikweli mapenz ni uchizi ht mm niliwahi kuwa zaid ya hivo nilimpenda mwanaume ila yy alikuwa anampenda mwengine ahaaa ila mung ndie hakim
Pole
Wanawake tutafika mbinguni tumechoka sana 😅😅😅
Hayo sio mapenzi ni ujinga
Ok
😊😊
Good job team kelvn much love from keny❤❤
Asante sana
Kaz nzur kaka
Waaah kama mapenzi yanauma hivi shikamooo 😢😢
Aseeee na Bora umekuwa jina la mariamu😂😂😂😂😂 umetisha mariamu 😂😂😂 badilika wenye tabia Kama ya mariamu badilikeni😂😂😂😂 pole Sana kelvini jamani unae mpenda nae kampenda mwingine❤❤❤❤
Jaman mbona nzuli nakupenda kelvin ❤❤❤❤❤
😂
Uyu mariam niatari wanaume chungeni sana Yaan anawes kuomba pesa wa mwanaume mingin ampatie mwanaume mingin dunia hii imebadilika wanawake wanaong a wanaume
Kabisa 😭😭
Yaani ww mwanaume km unamapenzi ya kweli km hivyo unavo ekti bs upo vizur sana dah na mm pia nahitaj mwanaume km ww❤❤zanzibar
Aty ..haitambui Mambo yako hayapi kipa umbele wee ni yupi dume surwali ..wewe much love Kelvin ❤❤❤❤Bigup my G 🔥
Mhhhhhh
Wa kwanza kabisa leo 😂😂😂😂 duhh mpaka naonekana sina kazi
❤️🙏
@@Dontatv255❤ Nawakubali sana chama langu Donta tv 🤜
@@Dontatv255naomba tuonane kesho
1:06 @@Dontatv255LM kßi8❤
Mapenzi bwana aixe niuchizi kweli bro polesana umepitia mengi xana ❤❤
Victoria wacha unafiki mbona unashobo namna iyo surely,wanawake hawabebeki kwel 😢❤
Haiko victoria wetu. Ni Mariam
Mazoea bwanaee
@@GraceVISAMAYANI-gj1xm🤣🤣🤣🤣
❤❤kelvin nakupenda sana kwa kazi nzuri pongezi much love from kenya
Asante sana
@@Dontatv255 karibu
Kazi nzuri sana jamani mb zangu zinaisha kwaajili yangu
Mwanaume gan huyu ww unavaa heren na yy anavaa heren vip tn unamujonga unatuzalilisha wanawake wenzako
Much love broo
Kutoka Burundi Guys ❤❤❤
I Love You Very Much ❤❤❤
Thanks
@@Dontatv255nakupenda
Good work 🔥❤
Thanks 🔥
Kazi zuri hii nayo imenipea funzo❤
Kelvin umerogwa nn
Uwii wapenzi daah viki njooni muone haya anayo yafanya viki..pole kijana wa mwenyewe uzuri umempa hela,,hata mimi n wa kwanza😂😂🏃🏃😂😂
Hongera sana mnatoaa sana funzo kwa vijana wakitanzaniaa the way yakuitunzaa furahaa pale anapoipataaa na wanawakee mjaribu kuwa na huruma na wanaumee b'se tunayapitiaaa mambo mengi wakati wa utafutajii kwa mnao pendanaa pendanenii sana na mapenzi hayaishii kwasababu yakucheet Ana no mnaaachanaa baaada ya mioyoo yenu kuchokana!!.😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢
Haina tofaut na yaliyo Nikuta, hongera kervin
Mariam hii sio poa Kwakweli 😢😢😢😢 Wanawake wajifunze kupitia wewe waone kwajisi yanavio uma😢😢😢 ila pôle sana Kevin😢😢
Kweli Wanawake mnatuumiza sana😢😢😢😢
Daah good job nawapenda❤
Waaah njoon Uku Victoria kaanza ukora haa imeweza banaaa❤❤❤❤😂😂😂😂😂😂😂😂
😂😂😂jaman
@@VictoriaMwigani umeanza tabia mbaya ww😂😂😂😂😂😂😂😂 kitakuramba
Kevin naomba unambie mwenye aliimba hiyo nyimbo nmeipenda sana
Hama q - hapo mwanzo
Napenda kazi zenu big up donta tv🎉🎉🎉
Sawa Asante
Kelvin nyimbo ❤❤mashallh
Wahooooo ,kazi nzuri
Vick Leo huna akili kabisa Yan yy mwenyewe n maskini alafu ww wachukua pesa ukampe mwanaume mwingine kwel huna huruma ww
Good work❤
Jamani huyo mariam natamani awe mdgo wangu nimpge😢😢😢
0:32 after upload mapema do best
❤️🙌
❤si wewe kevoh najikaza hapa Saudia natumia mpenzi wangu msaada kumbe anapea demu mwingine nioshe Choo 😭😭
Asanten sana kwa movie nzuri yenye mafunzo mungu awabariki🙏🙏🙏💯💯💯🔥🔥🎉🎉🎉🎉👍
Asante sana
Mapenzi ety wanawake akie wah ...Thanks Kelvin for your love...from Kenya
Thanks
Wimbo mzuriii jamani,nmeupenda
Kaimba nani
Waooh kazi nzuri Kelvin part 2 nasubiri mm yani 💟💟
Sawa inakuja
@@Dontatv255 inakua
Hongeren Sana kwa move nzur mungu awape nguvu zaidi saw
Kelvin uko vizur mwanangu kaz zako nazielewa sana
Waaa pole Kelvin kma maisha iko hvo na Mariam mungu akuongose,juu Mariam anakuchit,
🎉🎉 Kelvin Khan.... Hewaa👌👌 ktk 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
😭😭😭😭😭😭😭😭 pole sanaa kelvin 😢😢😢😢😢so touching 😢😢😢
Good job kelvin
Thanks
Hongera xana kelvin ,hii movie Ina funzo xn
Much love Kevine from saudi Arabia 🇸🇦 ❤❤
Kwa wakenya ni kusema kitakuramba😂😂
Nice one 💘💘💘
Daaah kiukwel jamaa unaweza san mungu akubaliki utafika mbali sana, unajua kuandika story, imenigusa sana adi moyoni👏👏👏👏, me nakupa 🌺🌺🥀🌹💐💐 yako kaka, me ni funny wako.
😢😢😢pole sanaa kelvin
Kazi nzuri Asante kervin kwakunifunza kuhusu mepenz yakwer
Ni nzuri sana CONGRATULATIONS .movie zinafundisha na mafunzo ndani yake
Kazi nzuri sana kaka hongera broow Mungu azidi kukusaidia tunapenda sana kazi yako inafanya vizuri saana
Ilaa loveness jmn😊😊😊
Kazi mzuri keep it up
Naipataje Hiyo Nyimbo ..mara Yakwanza nilidhani Unanipenda
Hongeleni👏👏
Daah jamani wanawake tuta fika mbinguni tunajibuluza
❤❤ nikweri nibola ukampenda mwanaume masikini Kuliko mwanaume tajil
Iko Kevo, uko vzr next kanumba alafu hio nyimbo imenigusaaa
Tuna hamu jameni tunachoka kusubiri sehemu ya 2 mweshimiwa dondosha mzigo tafazali 💐💯🌹🇿🇲👁️💯🌷
Inakuja soon j5 inatoka sehemu ya pili
@@Dontatv255kote uko mbona mbali sana
Ongela brother kazi zako ni nzuri
Dahhhh niatar xn hiii
Kelvin você é muito forte😢😢😢😢😢😢
Mm hapa kutoka Kenya nimeioenda sana❤❤❤
Asante