Nilikuwa nabiashara yang....lkn mausiano yamenilia miaka yangu mitatu(bil biashara)..lkn Kaka Joel toka nakufatilia nimekataa maisha yote mabov yanayonihalibia ndoto zangu❤.
Mostly miaka inapotea kwa uzito wa kufanya maamuzi ya kujinasua kwenye hizo hali ulizozielezea.Mungu atufungue kwanza kutokubali hali ya kucheleweshwa kimaendeleo na atubariki the best exit strategies. Amen
Kiukweli Kuna watu Wanakuja kabisa maishani intentionally kukuharibia sabubu kubwa pia huwa ni wivu wa maendeleo, uwezo binafsi na hata vipawa ulivyonavyo. Mungu atupe jicho la ziada kuwagundua watu hawa mapema
Naaam kweli kabisa mwaka juzi 2022 nilikua nina uwezo wa kutunza pesa kwa kiwango kikubwa mpaka napanga vizuri mambo yangu lakini miaka miwili tu pesa inapotea ata kabla sijamaliza shida ndogo ndogo!! Nikweli kaka tujikumbuke kabla jua halijazama kukipambazuka tutajishangaa sana tuwe makini ndugu zang!! Mingu akusaidie nazidi kusema kwenye ndoto zangu kubwa ni kukutana nawewe nauka na nina imani kaka asante🙏❤
Joel mungu akubaliki sana akutunze na kukulinda siku zote.
Nikwer kabisa kaka aangu,Mungu akubariki sanaa Mtumishi wa Mungu 🙏🙏
Ubarikiwe sana mkuu wangu nakufuatulia Kwa karibu Sana mentar wangu
Ahsante sana kwa kweli Mungu atusaidie tuweze kujinasua kwenye vitu vinavyokula Miaka yetu
Nilikuwa nabiashara yang....lkn mausiano yamenilia miaka yangu mitatu(bil biashara)..lkn Kaka Joel toka nakufatilia nimekataa maisha yote mabov yanayonihalibia ndoto zangu❤.
Mungu akusaidie, see you at the top
❤
Mostly miaka inapotea kwa uzito wa kufanya maamuzi ya kujinasua kwenye hizo hali ulizozielezea.Mungu atufungue kwanza kutokubali hali ya kucheleweshwa kimaendeleo na atubariki the best exit strategies. Amen
Mungu akubariki sana sana sana natamani siku moja nikuone ninamengi ya kukuelezea huenda ukanisaidia we ni baraka sana
Kweli kabsa brother
Vizuri sana brother
Kiukweli Kuna watu Wanakuja kabisa maishani intentionally kukuharibia sabubu kubwa pia huwa ni wivu wa maendeleo, uwezo binafsi na hata vipawa ulivyonavyo. Mungu atupe jicho la ziada kuwagundua watu hawa mapema
Amen
Ni ukweli kabisa mimi nimepoteza elim yangu kumthamini mtu asiyekua na thamani kwangu na nimepoteza mwelekeo adi na leo .. daaah im so sad😭😭😭
Hasante kaka kwa mafundisho yako
Naaam kweli kabisa mwaka juzi 2022 nilikua nina uwezo wa kutunza pesa kwa kiwango kikubwa mpaka napanga vizuri mambo yangu lakini miaka miwili tu pesa inapotea ata kabla sijamaliza shida ndogo ndogo!! Nikweli kaka tujikumbuke kabla jua halijazama kukipambazuka tutajishangaa sana tuwe makini ndugu zang!! Mingu akusaidie nazidi kusema kwenye ndoto zangu kubwa ni kukutana nawewe nauka na nina imani kaka asante🙏❤
Vizuri sana brother
Akhsante sana bro ubarikiwe sana✊🙏🏽💯
Good brother i love you
Ubarikiwe 🤝
Shukran joel❤❤❤
Asante Mugu nimepita hapa
Exactly 🤝
Thanks so much brother Joel..,Fact ❤❤
Breakfast 😋😋👌🏽
Thanks alot my mentor
Amakweli wewe ni genius kaka hili wazo umelipata wapi umenigusa sanaaa👍🔥🔥
Sio genius ....anasoma vitabu vingi vya personal development na saikolojia ya mwanadamu.
Samahan hivi ile ofa ya Eid imeisha? Natamani niipate@Joel nanauka.
Well say.
True 🤔🤔
🙏🙏
Wale tuliofanikiwa kuchomoka kwenye toxic relationships zinazonyonya kipato chako tuna like wapi?
❤❤❤❤
Kenya
See you At The Top
🙏🙏