Bony Mwaitege - Hallelujah (Official Music Video) SMS TO SKIZA 9840972 TO 811
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 1 ธ.ค. 2021
- Hallelujah watu wa Mungu, Kwama ya kwanza kabisa mwaka huu wa 2021 nimeleta kwenu wimbo huu wa kumsifu Bwana wa majeshi,ninaimani wimbo huu utafanyika baraka kwako na kwa wengi utakao wafikia.nakutakia baraka zote kwa kuendelea kuwa pamoja nami.
Kwa Neema ya Mungu kazi zangu zote sasa zitapatikana katika channel yangu hii, nikuombe sana kuungana na mimi kwa hatua nyingine mpya kabisa.Mafuta ambayo Mungu ameyaweka ndani yangu ni wakati mwingine wa kukuvusha ...
Pia unaweza kuwasiliana namimi moja kwa moja kwa simu namba:-+255 753 582 739.
MUNGU AKUBARIKI SANA. - เพลง
Utukufu ni wake bwana kweli kweli 💪💪💪🙏🙏
Finally it's out Kenya love weka hapa like to show him some support,🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Hallelujah hallelujah Glory be to Jesus 254🇰🇪🇰🇪🇰🇪 mko wapi jameni utukufu kwa bwana
Hii nyimbo du inanipeleka kwa yehova moja kwa moja
Ubarikiwe Sana mentor wangu nakukubali
Nyimbo Nzur Sana Baba Nabalikiwa Sana
Hallejuh all the way ...much love from Kenya bonny never disappoint gonga like za wakenya tukisonga🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🤗💖🤗🤗🤗🤗🤗
Be blessed man of God
@@sarahlongoli3439 tashi
🇰🇪
@@kaserekavasombolwa6364ñq0
Praise the Lord amen I'm blessed
Groly to God fro from Kenya
Amen Amen Amen Amen 🙏🏼 🙌
Nakupenda sana mtumishi mwenzangu
Rwanda Kigali tunakupenda sana mutumishi wamungu🇷🇼🇷🇼🇷🇼🇷🇼⛪
Bony mwaitege ni yuke aliye imba Injili inaubiriwa unaikataha. Izi zingine ni nyimbo azileti tafakari ila misisimuko tu
Unaakili mbovu sometimes' kumbe☝️
Shetani toka apa bonny all the best kaa chini tafakari hii wimbo guok
Hallelujah shalom shalom ni yeye tu be blessed born welcome Kenya huu wimbo me hucheza mpaka nasahau shida zangu
Hallelujah 💞 God bless you sir Zambia 🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲 is with you.
Finally is out amen 🙏
Utukufu Apewe Jehovah
Simba wa kabila la YUDA ,Amiri jeshi mkuu wa MUNGU oooh hallelujah
Much love fro🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪m Kenya
Hallelujah utukufu kwa yesu my fellow gospel artists shalom
My best song in the album...
Ubarikiwe Sana mtumishi wa mungu nyimbo zako zaniunganisha na mbingu
Unanikumbusha wimbo mwanangu soma,eti nakutana na wazungu na kizungu sijui,leo unaimba kizungu,happy for u
Nice work my Role model Bonny Mwaitege!🇰🇪🇹🇿🔥😁
We missed you mtumishi
Nyimbo nzuri Sana asante saana Kwa nyimbo nzuri nilifungulia mwaka mpya 2022🙏🙏🙏😍😍💪
Napenda wimbo zako,Mungu akupe nguvu ya kuhubiri neno lako kupitia kwa nyimbo
Nyimbo zako huwa unanibariki ,ni nyimbo ambazo umpa mtu mungu ya kuomba
Kwanini watu wako mtumishi hawafai vizuri nguo za heshima lakini wewe umevaa vizuri
Mungu akubariki saana Bonny Kwa Huu wimbo mziri saana ,napenda Hinsi uliuimba Kwa ujasiri
Kweli kabissa hamunaga Kama mungu,na apewe sifa,haleluyaaaaa.bony arsante Amen mpendwa
Hii wimbo iko kiwango kingine
🇰🇪
Bony God bless you.wonderful song powerful words.i can't get enough of this
Hao vijana wako vizuri saana ,kweli mwaitege ngoma nzito
My wedding song❤
I'm akenyan but i'like bonny mwitege
Ndie hapar Rwanda napenda nyimbo zako
Amen Amen brother Bonny
Neema ya bwana wetu ikufunike baba yangu
Utukuvu awe very nice welcome back God's servant
Kaa kwa Mungu Siku zote juu anakupenda cna mutumishi
Kwahiiii mzee wangu nimekukubali na YESU wako
Nakubal san ndugu yngu nyimbo ni nzuri san bab
Amen Amen barikiwa sana kama vile unavyonibariki. sichoki kusikiza na kuona nyimbo zako
Yesu pekee amefanya ya ajabu Maishani mwangu,💕💕💕🙏
Wow congratulations man of God we love this from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Mungu mwema excited to win najifunza kutoka kwenu jaman Mungu mwema
Asante sana Kaká mpiga kasi 👍👍👍🇲🇿💪💪💪🙏 Aleluia aleluia aleluia aleluia aleluia
Wow wonderful one inanikuza sana I play it whole day
Ubarikiwe sana mwimbaji wa mungu
Mungu amekuinua juu kutokana na unyenyekevu wako naatakufanya kuwa wa thamani sana hongela sana
kaka inaniuma sana sana unapokuaga kimya kusema kweli unatoagavnyimbo za Mungu nzur mnoo barkiwa
Sifa kwake Rabana baba yetu kwa yote alotenda anayotenda na ATAKAYOTENDA AMINA🙏🙏🙏🙏.
Amina..Bonny mwatege nililia sana waliposema umekufa..sasa nimeamini uko
Hallelujah bungoma we are with you huu wimbo umenijenga sana
Wuuu glory to Jesus what a song ,Bonny never disappoints God bless you
Barikiwa mtumishi wa mungu babaangu wa kiroho mungu azidi kukuunua zaidi na zaidi.namafunuo yaongezeke.
Mwaitege napenda nyimbo zako sana
Ubarikiwe mtumishi wa mungu yuo look nice bieatful God bless you
Amen Amen
Glory be to God forever be bless from 🇰🇪
Mungu awabariki muendelee na kazi ya nyimbo zakuinjilisha grol to God 🙏
Big up papaa mwaitege ,penda Mimi nyimbo Yako hongera
Hallelujah mtumishi wa Mungu ubarikiwe sana Kwa kazi nzr
Amen amen
Nyimbo zako zinanisongeza karibu na mungu ubarikiwe Sana mchungaji.
Amen sana ubarikiwe mchungaji na Mwimbaji mkongwe Mungu awe pamoja nawe
Hallelujah hallelujah 🙏🙏🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Wimbo mzuri sana hongera sana mtumishi wa Mungu
Mungu akuzidiahie maisha marefu yenye amani yasiyo na majuto
From TikTok to here .. I can't get enough of it
Amina 💯💕💕💕💕🔥🔥🔥🔥🔥🔥 Mbingu zinene mema kwako mtumishi wa MUNGU
Bony mwaiteg nina penda jins unavo imba lakn niseme kituu
from mocambique nemeipenda sana ngoma iyo Hallelujah
Haleluyaaa Haleluyaaa nabarikiwa sanaaa na wimbo huu hongera kwakaz nzuri
Wimbo mtaamu Sana... Wacha Mungu akizindi kukuinua
Hallelujah hallelujah hallelujauuuujah 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥💯 all the way from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪💃💃💃💃💃💃
Kweli kabisa utukufu ni wa Bwana milele na milele
Wow,, this song is on another level.. glory be to Jesusu Hallelujah,, all the way from Kenya🔥🇰🇪
Sifa UTUKUFU Heshima Kwa YESU KRISTO
Mutumishi wa Mungu wimbo huu umenibaliki sana Mungu wambinguni azidi kukufunulia nyimbo zenye mafundisho mazuli kama haya
Glory be to Jesus hallelujah 🙌🙌🙌 God bless you mtumishi wa mungu 🙏🙏🙏
Hallelujah Hallelujah Hallelujah Hallelujah Hallelujah Hallelujah Hallelujah Hallelujah Hallelujah Hallelujah Hallelujah amen Amen Glory forward to God in the name of Jesus christ 🙏🏿♥
Hakika Mungu anajivunia mtumishi....barikiwa sana kazi yako n jema Sana hata Moyo ukiinama unainuka...Mungu akutunze🔥🔥
Mungu akubariki mjomba usizeheke mpaka mwisho....
Glory be to God .am blessed .God bless you
Mimi ni msaanii kutoka kenye unatubariki Sana.
Good song mungu akupariki xna kwa kazi njema my brother kaza mwendo
much luv 💞💞 from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Glory be to Jesus. 🙌🙌
🇰🇪🇰🇪
q
Mungu akupanue zaidi na zaidi katika peo zako zote kwa kazi yake. Utukufu ni wake milele na milele Amina.
Kazi nzur mtumishi was bwana
This is more fire haaaaaa love you bonny for free
Glory be to God.very nice song.kubarikiwa nayo
Wonderful song sifa apewe Bwana Yesu Kristo
Hallelujah good songs yenye upako be blessed broo bony
Nakupenda mkuu
Hongera sana mtumishi kwa wimbo mzuri
Ubalikiwe sana mtumishi wa Mungu bonny kaz nzur sana
Amen ubalikiwe Mutumishi WAMUNGU
Much love from Kenya ndugu Bonny mwaitage,.....gorly be to Jesus my protector
Wow!!!,,,wonder God we praise you imeshika mbayaaaa,,,,