🔴LIVE | IBADA YA JUMATANO YA MATAMKO | KANISA LA VUKA YORDANI | 10 JULY 2024

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 9 ก.ค. 2024
  • IBADA HII INAKUJIA MOJA KWA MOJA KUTOKA KANISA LA VUKA YORDANI KISONGO WAYA ARUSHA - TANZANIA. IKIONGOZWA NA @Bishop Elibariki Sumbe MWANGALIZI NA ASKOFU MKUU WA MAKANISA YA GRACE EVANGELICAL CHURCH TANZANIA.
    Mawasiliano / Whatsapp
    +255 745 489440 | +255 782 550 710
    Email:vuka.yordani@gmail.com
    Tufuatilie Katika Social Media Zetu Kwa Links Zifuatazo :
    / bishopelibarikis. .
    / bishopelibariks. .
    tiktok.com/BishopElibarikiSumbe
    / bishopsumbe
    Website
    Vukayordani.Org
    LIKE | COMMENT | SHARE.
    UBARIKIWE.
    #VukaYordaniChurch #VukaYordaniMedia #GECT #Tanzania
    #KisongoWaya #Arusha #Tanzania

ความคิดเห็น • 122

  • @wilfredelimeleki4543
    @wilfredelimeleki4543 17 วันที่ผ่านมา +8

    Hatimaye wameanza kuwekwa wazi watumishi wa kuzimu kwa kivuli cha Yesu

    • @user-qf5vr7zf6p
      @user-qf5vr7zf6p 12 วันที่ผ่านมา

      Acha kujitafutia laana , unamfahamu huyu mtumishi wa Mungu? Nyamaza acha kujipatia laana kwa wapakwa mafuta wa Mungu

    • @jovinrwiza7413
      @jovinrwiza7413 12 วันที่ผ่านมา +1

      ​Mtumishi wa Mungu tunamfahamu kwa kupitia Neno la Mungu na Neno la Mungu linasema mtamfahamu kwa matunda yake yaani kwa tabia zake anazofanya.Ukiona mtumishi wa Mungu anauza mafuta na maji ujue ni mtumishi wa kuzumu kwakuwa tumepewa bure na tunapaswa kutoa bure.Labla wewe hujui Neno la Mungu na Neno la Mungu ndiyo kiongozi wetu na ndiyo inayotutofautisha kati ya Mtumishi wa Mungu na asiye mtumishi wa Mungu.Acha kwenda kama kipofu ndugu.

  • @GloryLyatonga
    @GloryLyatonga 12 วันที่ผ่านมา

    Amen namshukuru Mungu kwa kunirudishia nyota, heshima,ndoa,kazi,biashara,bahati asante Mungu

  • @BeatriceMshombo
    @BeatriceMshombo 14 วันที่ผ่านมา +1

    Nashukuru Mungu kutumia mtumuishi wake Sumbe kwa kurejesha Mali tulionyanganywa na adui miaka mingi ilopita

  • @SyellaSteve
    @SyellaSteve 16 วันที่ผ่านมา +2

    Asante yesu, tufunulie zaidi yaliyosirini nafsi zetu zipate kupona

  • @JosephineMaendaenda-dy5yu
    @JosephineMaendaenda-dy5yu 17 วันที่ผ่านมา +3

    Bwana yesu uliyesema watakalolifungua duniani limefunguliwa na mbinguni.nisaidie ninaroho ya kukataliwa na uzao wangu.yesu nisaidie

  • @loreenmwambinguloreen7373
    @loreenmwambinguloreen7373 16 วันที่ผ่านมา

    🎉🎉🎉Nina shukuru sana kwa ajili ya Mafundisho haya

  • @buyegikanyumi4849
    @buyegikanyumi4849 15 วันที่ผ่านมา

    Asante yesu
    Tuma moto kwa maadui wote wanaoharibu hatima ya esther kapela kuhusu elimu

  • @user-rq1sc4pc7u
    @user-rq1sc4pc7u 15 วันที่ผ่านมา

    Amen. Imekuwa wameludisha mara saba.

  • @suzanne9517
    @suzanne9517 15 วันที่ผ่านมา

    Mungu naomba ufunguwe ndoa ktk jina la Yesu

  • @rehemajayden
    @rehemajayden 15 วันที่ผ่านมา

    Bwana yesu naomba kupitia maombi haya mwanagu akapate uponyaji kyle aliko kile kichwa kinacho muuma kikakae kimya mfungue lile tumbo akale chakula kama zamani damu yake iliyo pungua irudi sawa sawa kwa jina kuu la Yesu kristo amen

  • @AllanMbwelwa-rh8if
    @AllanMbwelwa-rh8if 14 วันที่ผ่านมา

    B
    Bwana niponye me Obadiah Steven mjena and uvwende Kenneth nguku Amina na unilinde bwana sisi wote Amina

  • @antonioarmandoantonio6229
    @antonioarmandoantonio6229 11 วันที่ผ่านมา

    Estou conectado apartir de 🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿 peço o senhor Jesus Cristo, me libertar de toda maldição, me unindo no altar do teu servo Elibarike Sumbe, me libertar na minha vida financeira, no lar, os meus filhos, a minha esposa, minha família e toda maldição do meu coração, espírito e meu corpo.

  • @rehemajayden
    @rehemajayden 16 วันที่ผ่านมา

    Bwana yesu asifiwe Bwana Yesu naomba umponye mwanagu damu yale irudi kama zamani kwa jina la Yeau

  • @user-py4ss3sj2v
    @user-py4ss3sj2v 16 วันที่ผ่านมา +1

    Bwana Yesu uliye hai najiunganisha na madhabahu ya vukayordani nifungue ufahamu Mimi na familia yangu, tukujue Mungu wa kweli,amen

  • @rehemajayden
    @rehemajayden 15 วันที่ผ่านมา

    Naondoa roho ya mauti kwa mwanagu kwangu kwa mama yangu na kwa dada angu mauti haina nafasi wala mamlaka milele damu ya Yesu itufunike pande zote magonjwa yote ninayaamuru yatoweke kwenye familia yangu kila ugonjwa unaomsumbua mwanangu ukaondoke kwanzia ivi sasa na hata milele Amen.

  • @user-df7gx2si5p
    @user-df7gx2si5p 15 วันที่ผ่านมา

    Amen amen amen namihpa Bwana 🙏🙏🙏🙏🙏🇨🇩🇨🇩

  • @KahwegeAimee
    @KahwegeAimee 14 วันที่ผ่านมา

    Halleluja, Mungu wetu ni mkubwa sana

  • @IvoneMwajuma
    @IvoneMwajuma 15 วันที่ผ่านมา

    Mungu kupitiya mafundidisho aya ufunguwe mama yangu anatekwa nakuvu zagiza

  • @BeatriceMshombo
    @BeatriceMshombo 14 วันที่ผ่านมา

    Ameeeeeeeeèeeeeeen ubarikiwe bb na wishing milele

  • @glorysimon2744
    @glorysimon2744 2 วันที่ผ่านมา

    Asante Yesu kristo

  • @purymumykarisa8863
    @purymumykarisa8863 17 วันที่ผ่านมา

    Amen and amen in the might name of Jesus christ

  • @elysemurekatete8347
    @elysemurekatete8347 14 วันที่ผ่านมา

    Napokeya uponyaji

  • @robertkaroli3082
    @robertkaroli3082 15 วันที่ผ่านมา

    Asanteeeeeeee YESU

  • @KoklakJdjw
    @KoklakJdjw 11 วันที่ผ่านมา

    Amina 🙏 Amina 🙏 Amina

  • @VictorNdeoya
    @VictorNdeoya 10 วันที่ผ่านมา

    Mungu usinipite

  • @user-ht2hp1gz5q
    @user-ht2hp1gz5q 16 วันที่ผ่านมา

    Eee mungu msahidiye kaka yangu

  • @BeatriceMshombo
    @BeatriceMshombo 14 วันที่ผ่านมา

    Mungu unions na mimi

  • @KoklakJdjw
    @KoklakJdjw 8 วันที่ผ่านมา

    Amen 🙏 Ameni 👏👏👏

  • @JansiMutemura
    @JansiMutemura 16 วันที่ผ่านมา

    Asante BWANA YESU KRISTO umenifungua na
    umenirehemu Tena , na kunipa wokovuwako wakweli. namimi Pia nimekubali kutawaliwa nawe na kuongozwa nawe . Unipe ROHO MTAKATIFU nizidi kuutunza WOKOVU uliyo nipa.

  • @antonioarmandoantonio6229
    @antonioarmandoantonio6229 11 วันที่ผ่านมา

    Jesus Cristo, ti peço Hoje, não me passe, me toque hoje na minha vida 🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿

  • @NzobaHuru
    @NzobaHuru 16 วันที่ผ่านมา

    Mungu wangu ulimupa mtumishi bishop sumbe uwezo na mamulaka ya kulanyanga ngee na nyoka nani imani hiyi mudaa unanifunguwa mungu nasema asante mungu ninapo jiunganisha na madhabaho hiyi ninapata ufungulivu katika jina la bwana wetu yesu kristu munazarethi

  • @NzobaHuru
    @NzobaHuru 16 วันที่ผ่านมา

    Namushukuru mungu kurudisha nyota yangu kurudisha kibali changu kurudisha eshima yangu kurudisha ndoa yangu napokeya ndoa yangu kwa jina la yesu kristu aliye hali

  • @suzanne9517
    @suzanne9517 15 วันที่ผ่านมา

    Mungu naomba usinipite Bwana nifungulie kwa jina la Yesu kristo

  • @suzanne9517
    @suzanne9517 15 วันที่ผ่านมา

    Amen Amen 👏👏👏👏👏

  • @robertkaroli3082
    @robertkaroli3082 15 วันที่ผ่านมา

    Amen baba

  • @rehemajayden
    @rehemajayden 16 วันที่ผ่านมา

    Bwana yesu nawanyamazisha kimya kazini kwangu kwa jina la yesu

  • @judithabuko6006
    @judithabuko6006 16 วันที่ผ่านมา

    Nyota yangu na ya wstoto wangu zinaachiwa kwa jina kuu la Yesu Kristo aliye hai

  • @millicentrabera
    @millicentrabera 17 วันที่ผ่านมา

    Mungu mm n mwenye dhambi niokoe nizunguke na damu yesu kristo naomba niwe kiumbe kipya mbele zako baba

  • @user-py4ss3sj2v
    @user-py4ss3sj2v 16 วันที่ผ่านมา

    Bwana Yesu uliye hai , nanyenyekea miguuni pako niponye na roho zamauti, kwenye familia yangu

  • @user-mm1ll8gu2w
    @user-mm1ll8gu2w 17 วันที่ผ่านมา +1

    Bwana niguse baba 🙏🙏

  • @suzanne9517
    @suzanne9517 15 วันที่ผ่านมา

    Kila kitu changu kilo ibiwa kirundie kwa jina la Yesu kristo

  • @purymumykarisa8863
    @purymumykarisa8863 16 วันที่ผ่านมา

    Amen and amen

  • @carolinetoto8706
    @carolinetoto8706 17 วันที่ผ่านมา

    Ameen👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻

  • @user-sl7kx4dv8v
    @user-sl7kx4dv8v 16 วันที่ผ่านมา

    Asante Mungu kwakuniponya maroho yauzaifu

  • @chrisskissezzy4898
    @chrisskissezzy4898 16 วันที่ผ่านมา

    God is good all the time 👏👏👏 Ameeeeeeen 🙏🙏🙏

  • @adventurio-co4ro
    @adventurio-co4ro 15 วันที่ผ่านมา

    Àmen and Amen

  • @butotofrancine
    @butotofrancine 15 วันที่ผ่านมา

    Ubalikiwe

  • @user-jb4ex7ex6v
    @user-jb4ex7ex6v 16 วันที่ผ่านมา

    Nisamehe mungu

  • @GHgh-hq3zj
    @GHgh-hq3zj 16 วันที่ผ่านมา

    Amen🙏

  • @jamesowino1823
    @jamesowino1823 13 วันที่ผ่านมา

    Amen

  • @faithi7216
    @faithi7216 17 วันที่ผ่านมา

    i connect my family with this altar

  • @gracesenzota6555
    @gracesenzota6555 16 วันที่ผ่านมา

    Mungu baba unatisha kama nini 🔥🔥🔥

  • @suzanne9517
    @suzanne9517 15 วันที่ผ่านมา

    🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @paullangi6917
    @paullangi6917 16 วันที่ผ่านมา

    Ameeen

  • @suzanne9517
    @suzanne9517 15 วันที่ผ่านมา

    Ndio bwana Ndio Bwana ninasema Ndio

  • @yalalaambobe9528
    @yalalaambobe9528 17 วันที่ผ่านมา

    Bwana utukufu na heshima Zina wewe Bwana kwa Jina la Yesu kirsto kilakitu magonjwa yote .

  • @JansiMutemura
    @JansiMutemura 16 วันที่ผ่านมา

    BWANA YESU, Linda , bariki , inua , pigania madhabau hii , milele yote eee BWANA wakanisa.

  • @rosemutesi6626
    @rosemutesi6626 17 วันที่ผ่านมา

    Bwana utukufu na heshima ni vyako Mungu.nimejiungamanisha na maombi haya familia yetu iphone adui ametunenea mateso mengi.asanteni

  • @judithabuko6006
    @judithabuko6006 16 วันที่ผ่านมา

    🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @alfredusayo
    @alfredusayo 17 วันที่ผ่านมา

    Glory to God 🙏🏿🙏🏿🙏🏿

  • @siimphiiwesiibiiyya1156
    @siimphiiwesiibiiyya1156 17 วันที่ผ่านมา

    Niguse Mungu wangu

  • @user-sl7kx4dv8v
    @user-sl7kx4dv8v 16 วันที่ผ่านมา

    Yohana 21:8

  • @butotofrancine
    @butotofrancine 16 วันที่ผ่านมา

    ♥️🙏🏻

  • @DoriceMndeme
    @DoriceMndeme 16 วันที่ผ่านมา

    Asikiaye na afahamu.

  • @agnesspaul1866
    @agnesspaul1866 17 วันที่ผ่านมา

    ❤❤❤❤ Asante Yesu

  • @ViolethUlomy
    @ViolethUlomy 15 วันที่ผ่านมา

    Ameeeen

  • @millicentrabera
    @millicentrabera 17 วันที่ผ่านมา

    God forgive me coz my sin

  • @user-sl7kx4dv8v
    @user-sl7kx4dv8v 16 วันที่ผ่านมา

    Amin amin mtumishi

  • @idrissairishura8076
    @idrissairishura8076 17 วันที่ผ่านมา

    Amen amen 🙏🏻 🙌🏻 👏🏻

  • @carolinetoto8706
    @carolinetoto8706 17 วันที่ผ่านมา

    Amen👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻

  • @DanielNyandwi-r1n
    @DanielNyandwi-r1n 17 วันที่ผ่านมา

    Ithank you jusus

  • @EmmanuelNyari
    @EmmanuelNyari 17 วันที่ผ่านมา

    Ee mungu nikumbuke na mimi

  • @carolinetoto8706
    @carolinetoto8706 17 วันที่ผ่านมา

    Ameeen👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻

  • @shunyu-9353
    @shunyu-9353 17 วันที่ผ่านมา

    AMENNN....YESU YU HAI

  • @purymumykarisa8863
    @purymumykarisa8863 17 วันที่ผ่านมา

    Amen and amen baba

  • @carolinetoto8706
    @carolinetoto8706 17 วันที่ผ่านมา

    Ameen🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻

  • @rahma6189
    @rahma6189 17 วันที่ผ่านมา +3

    Mungu atawaweka wazi wote watumishi wasio wakweli kupitia mazabahu hii

  • @purymumykarisa8863
    @purymumykarisa8863 17 วันที่ผ่านมา

    Amen 👏👏👏👏

  • @carolinetoto8706
    @carolinetoto8706 17 วันที่ผ่านมา

    Ameen👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻

  • @carolinetoto8706
    @carolinetoto8706 17 วันที่ผ่านมา

    Ameen 👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻

  • @AgnesmichaelNyanda
    @AgnesmichaelNyanda 17 วันที่ผ่านมา

    Amen ❤

  • @user-sl7kx4dv8v
    @user-sl7kx4dv8v 16 วันที่ผ่านมา

    Matayo 1:21

  • @FloraNguma
    @FloraNguma 17 วันที่ผ่านมา

    Amen 🙏 🙏

  • @user-sl7kx4dv8v
    @user-sl7kx4dv8v 16 วันที่ผ่านมา

    Mithali 6:30

  • @neemakatungu6854
    @neemakatungu6854 17 วันที่ผ่านมา

    Niponye yesu wa mazabau ya vuka Jordanie

  • @carolinetoto8706
    @carolinetoto8706 17 วันที่ผ่านมา

    👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻

  • @suzanne9517
    @suzanne9517 15 วันที่ผ่านมา +1

    Ee Mungu naomba niguse mie na familia yangu kwa jina la Yesu kristo

  • @buyegikanyumi4849
    @buyegikanyumi4849 16 วันที่ผ่านมา

    8:33

  • @KM-hx8zy
    @KM-hx8zy 17 วันที่ผ่านมา +1

    Mwamposa ametajiwa na Pepo, MTU huyu anasema kuusu viatu vya zahabu amewapa wa akinae Mwamposa

  • @mpokikajigili7402
    @mpokikajigili7402 16 วันที่ผ่านมา

    Mahali hapa ni pazuri kama nini

  • @Susa-l8g
    @Susa-l8g 17 วันที่ผ่านมา

    Niponye yesu na mtumishi wako huyu

  • @carolinetoto8706
    @carolinetoto8706 17 วันที่ผ่านมา

    Ameen👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻

  • @Susa-l8g
    @Susa-l8g 17 วันที่ผ่านมา

    Nahitaji kufika alipo mtumishi huyu kwaajili ya kufunguliwa nampata wapi naomba msaada

    • @marianamassawe2195
      @marianamassawe2195 17 วันที่ผ่านมา

      Bwana Yesu asifiwe Asante Kwa kuwasiliana nasi .
      Karibu kanisa la Vuka Yordani Kisongo waya Arusha.
      Unaongea na moja ya watenda kazi kanisa la Vuka Yordani
      Ibada ni kila jumatano kuanzia saa tisa alasiri na kila jumapili saa mbili Asubuhi saa tatu na nusu mwisho wa kuingia.
      Kufika kanisani kutokea Arusha Town panda hais za Monduli utashuka kituo cha Waya utaona sheli ya Panone kanisa liko nyuma ya hiyo sheli

    • @justice607
      @justice607 16 วันที่ผ่านมา

      Karibu Arusha, eneo la Kisongo waya utakuwa umefika na kupata uponyaji

    • @Susa-l8g
      @Susa-l8g 16 วันที่ผ่านมา

      Asante nahitaji unape ratiba ya siku ya maombez ili nije mimi niko simiyu​@@justice607

  • @purymumykarisa8863
    @purymumykarisa8863 17 วันที่ผ่านมา

    Amen and amen in the might name of Jesus christ

  • @purymumykarisa8863
    @purymumykarisa8863 17 วันที่ผ่านมา

    Amen and amen

  • @carolinetoto8706
    @carolinetoto8706 17 วันที่ผ่านมา +1

    Ameen👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻

  • @elysemurekatete8347
    @elysemurekatete8347 14 วันที่ผ่านมา

    Amen

  • @faithi7216
    @faithi7216 17 วันที่ผ่านมา

    i connect my family with this altar

  • @purymumykarisa8863
    @purymumykarisa8863 17 วันที่ผ่านมา

    Amen and amen

  • @purymumykarisa8863
    @purymumykarisa8863 17 วันที่ผ่านมา

    Amen and amen