MWANAMKE WA AJABU (EPISODE 3)
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 30 ต.ค. 2023
- Kutoka AL FATAH TV .
Usisahau ku like, comment naku subscribe kwenye chanal Alfatah tv online kwa mawasiliano zaidi piga simu: +255 777 858 490
#AlfatahTvOnline
#AlfatahCharitableAssociation
#ZANZIBAR
Mim nikimpata mwanamke huyu kuwa mke mwezangu nakubali 😭😭😭Mashallah Wewe Dada ni Mwanamke wa pepon Allah akujaz kher na Inshaallah ukaingie katika Jannatulfirdaus😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭Allahumma Ammin 😩😩😰😰😰😰
Allahuma Aamiin.🤲🏽
Huenda Allah anataka akuruzuku kizazi kwa mume mwengine.Allah akuhifaz.
Allahu akbar!!! 😢😢😢 Allah akulipe kilichokua bora zaidi uqti.
Yote utayakuta kwa Mola na umetufunza mengi wewe nimfano mzuri sana wakuigwa kama wake Alhamdulillah nimejifunza
Waswahili wanasema penyemiti hakuna wajenzi sikuzote huoni thamani ya mtu mpaka kikutoke pole yake huyo mwanamme kapoteza lulu wallahi hodari
Pole dadaa Allah azidi kutupa subra Kuna sababu ya hayo yote kutokea Allah atakupa mume mwengine mwenye kheri na ww
Maa Shaa Allah ukhty Allah akuzidishie moyo wa imaan zaidi wallah wewe ni mwanamke mwenye mfano wake wa kuigwa Alhamdulillah Allah akujaalie mme mwema Allahumma Aamiyn
Allah atakupa mume usahau yote hayo...💯 ana ku miss
Mie napenda anavyomuhoji anacheza na nafasi yake wallahi anajuwa kumpiga naswali hodari sana wallshi bacheka kweli huyu dada mie namkubali hata mie nakubali awe mkemwenzangu sura yake tu mashaa Allah imejaa nuru hidari mashaa allah
Allah Subhanna ni muweza na anakadiriya maishabya waja wake
Pole sana habibty Allah atakupa mume bora huyo hakuwa bora kwako
Mashallah tabaraqah.
Me amjalie awemkufunzi wa wake wenza wanaotaka kulinda ndoa zao sio wale wanaoenda kwa waganga na kuvunja mayai .❤
.mashaalha kwakweli mola akuzidiahie nami nkipata .mke kama wewe nazhani Alha ananiridhia Inshaalha
Mamdogo nimekumiss sanaaa,nipigie mm bibi Asnati
Muandishi una visuali vya uchokozi ❤
Uke wenza ulikua zaman sai waume wenyeww ndio mwanzo ŵqnashindo kushinda huyo mke😂😂😂
Maskin Mashallah Mhh had machoz yamenitoka Maskin na bado Anasema mengine ni Nyuma ya pazia😭😭Wanaume Muogopen Allah ijapo kuwa na sisi wanawake ila dah jaman mhh Dada kaniuma huyu Mim 😭😭😭Mim nakuombea tu ukawe mwanamke wa pepon Inshaallah 😭😭😭Maana si kwajuduh hii uliyoipitia😭😭😭😭😩
Allahumma Amiin,Yaa Rabby
😭😭😭😭😭😭
Utampata alie bora zaidi biidhnillah
Mashallah mashallah mashallah tabaraka Rahman had raha sana ❤❤❤
@Ashura maida
Mashariki Mashallah Mashallah Allah akulipe duniani na Akhera
Allah akupe mume mwingine mwenye heri na wewe
Kweli wanaume mna tabia mbaya sana ,hamusifu,hamusemi Asante yaa mnaona vitu vidogo lakin Vina maana sana
Allah attakulipa kwa wema wako dada
Allah akuifaz dada yetu mashekhe wetu salum
Maashaallah ❤❤
Nikweli alifanya hayo mbele ya macho yangu nanijiraniyangu,natulikuwepo ktk harusi hiyo,tunamwita Mm Mdogo,aliolewa na Ust wetu Alfani,hakujalıwa uzazi,alimvumilia hadimke mwenzie akajifungua,gafla tukaona kaondoka eti akachika,imetuuma sana,napengolake mtaani halijazibika.Mungu amlipe w
Maa Shaa Allah
Allah amlipe kher na amjaalie apate mme mwema na apate kizazi chema Allahumma Aamiyn
Asalamu alykum ningelikuwa mme ningelimuoa kwa mahari mengi kutokana na dini yake
Mashallah
Huyu dada allah ampe pepo
Allah attakulipa kwa wema wako❤
Sheikh Rashid heee huyapendi kumbe na weye umo🙄😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Kwa kweli kila mmoja na mtihani Allah aloweka kwa mja kwa hiyo kuwa na subra Allah atakulipa kheyr yako
Mashaalla
Asalam alykum warahmatullah wabarakatu,,,wallah nmeiona video kuchelewa lkn dadangu pongezi sana kwa ulichokifanya,kwa ajili ya Allah kama unavyosema,bc inshallah kwa huyo mume alokutaliki ilikua rizq imeeisha kwake ila nakuombea inshaallah ujaliwe ubavu wako wa haqi,,,napia allihamdulilah ww mashaallah umeisoma dini,,nmesoma comments nyingi za watu lkn wengi hawaamini qisa chako ila ww mwenyew ndio unaejua zaidi ❤❤❤nakupenda sanaaa dadangu
Salallahu Alaihi Wasalam ❤️❤️❤️
Masha Allah ❤❤
Masha Allah ❤❤❤
Uke wenz n ushindan, niliolew mke w 3 n tumeish nyumba moja wt wa 3 kw miaka 8 ila mwak jan niluamwa kudai talak pa sina sababu za msingi n nikapewa, ila mpak leo dada zangu wananipenda sanaaa, n niliolew n miak 21
Lkn ukht ungetueleza jpo juu juu sababu hasa ya kuachika, nahs kipo cha kujifunza pia
Kipo na tunakijua sisi majirani zake na tumeshangaa sanaa!!
Nime isubiri kwa hamu
Aslm allaykum mi sina mke naomba nusra kwako ya ndoa Kama huto jari ❤❤❤❤huenda nikapata kheri kubwa na sababu kubwa ya ufunguo wa kumcha Allah ktk ndoa
Kishaolewa huyo,nayule mume ni imamu wetu,kaoa wake 2 sasa lakini hana amani.
Tulishangaa tuu,ameondoka,nahakusema,hadileo hatujui,kweli mm Mdogo mchamungu,hata Üst hanaraha amekumiss,simuoni furaha usoni kwake.
Tunasikiliza wotee,nimeiona ilesare yetu ya chuo,
Mtangazaji karibu Dodoma Nkhungu İtega utatukuta.naanayosema yote nikweli
Allah atakupa mume mwegine mwenywe kheri na ww
Amiiiiin 🤲
Subhana Allah
Assalamu Alaikumu kipindi mi kizuri mno lakini miye sikiungi mkono hapa wanawake Siye tumeubwa na Aibu kwani wanawake wanawotoka hapo hawana sitara kamili si wangejiwekeya paziya wakaweka Ninjas jamani dini yetu imetufunza kwamba haya NI Imani Na wewe. Shegh Rashid dini si unaijuwa vizuri na mnaekekeya nyuso na. Maneno mengine yanagusa pagumu akh miye hapa nataka parekebishwe hapaa
Akah mahaba yote hayo na akakucha 😂😂😂
❤maanshallah
Lkn ucivunjike moyo utapata mume mwema km uyoo
Asalama aleykum naomba contact zake huyo dada mm nikamstiri kama yuko tayari kwa kuolewa tena
😅 nauli mashe Rashid😅
Stori haina mana yoyote kama haijasemwa kwanini kaachwa. Maana lazima tujue hitilafi gani iliyopelekea kuachwa maana inatoa taaswira kapoteza muda bure
❤
Mashallah dada angu umefaulu kwa mumeoo lkn haikuwa riziki yko
Kwa sasa ni mjane au kaolewa
Nimjane kwamujibu wa maelezo yake
Naomba conation kama yuko tayali tumsitili jamani
Episode 4 ifate huyu dada nataka kujuwa aliachana na huyu mume jee aliempa mume wake yeye bado yupo kwenye ndoa hii hii yeye ameitoka?
Habibty utapata mwema kwako huyo mume ulokuwa nae hakuwa mwema kwako mie pia mume wangu nilimpaa mahari pia lkn Allah mwenyewe anajuwa na Allah helipad hapa hapa duniani kuwa na subra na zidisha swali omba mungu akupe mume mwema kwako mie Alhamdulillah nimemuomba Allah na kanipa mume mwema Alhamdulillah 🤲🤲
Allah hulipa hapa hapa duniani
Ustdha ushaposwa ?? Au unaruhusu posa ?? Au Allah keshakujaalia kheri y ndoa ??
talaka 3 kwa mara moja inahesabika moja. 3 ni mpaka akuache akurudie akuache akurudie mpaka ifike mara tatu . ndio haifai mpaka uolewe na mwingine kisha akuache ndio akurudie
Bado hajawa mpaka kuachwa halafu unasema alikuwa anakupenda anayependa haachi weeeee
Kama jimbo liko wazi wapi fomu za kugombania sheikh rashid toa contacts
😂😂😂😂
😂😂😂😂😂
Mashallah