MWANAMKE WA AJABU (EPISODE 01)
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 22 ต.ค. 2024
- Kutoka AL FATAH TV .
Usisahau ku like, comment naku subscribe kwenye chanal Alfatah tv online kwa mawasiliano zaidi piga simu: +255 777 858 490
#AlfatahTvOnline
#AlfatahCharitableAssociation
#ZANZIBAR
MaashaAllah..lakin mhuu huyu ni mwanamke wa Ajabu tena moyo wa ajabu mtu kirahis rahis asije kujarib kama hana moyo
mwanamke wa ajabu kweli. wanaume sijui wana shida gani mke mzuri hivi alafu unampiga. huyu mama ana hikma sana natamani angekuwa dada yangu
Mashallah Wewe Dada ni Mwanamke wa pepon kabisa😭😭😭😭yarabby weee Namim nipe iman maana huu wiv nlonao🧐😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭Dada wewe Allah akujaalie pepo Wewe Dah ni kiboko hadi Sheikh Rashid ametoa macho kodo🤔😭😭😭cjui na yeye amefanyiwa nin alipoongeza kibiwii chetu kipya cha hubbulhalal🤔😂Subhanallah Dada Inshaallah uwe mfano mzur kwetu yarabby😭😭😭😭😭🤲🤲🤲🤔
Mashallah Allah akuzidishie imani ni mwanamke mwema sana Alhamdulilah ❤
Mashallah tabarakallah Allah awape maskizano ❤❤❤❤kwahilo ulolifanya nskiombea kwa Allah akuingize peponi bila hesabu ya rabb taqabali dua🤲
Mashaa Allah dada anguu nikweli unavosema ukewenza raha kama nini hasa mkipendana na Alhamdulillah na mimi pia napendana na dada zanguu Allah atujaalie tuzidi kupendana na mume wetu🤲
Masha Allah Allah akuripe pepo ya fridaus na sis Allah atujaliye iman ya kweli na tujaliye kufanya mazuri kwajili yakesho yetu
Mashaa Allah ni jambo la kher kubwa umelifanya
Lakin wanaume ndio wanaofanya wanawake kuchukia ukewenza wanaume badilikene wanawake wengi wanadhilalika kwa ndoa za ukewenza 😢😢
Aaa masha allah ni wa ajabu sana . Allah akulipe kheri
Maa shaa Allah
Nimwanamke mzuri sana ❤
Mwanamke❤️❤️🦚💝🥰😌 mrembo kweli daa!
🥰💝🦚
Ningeshangaa mwisho wa hiinsafar wasimlize
Maana sheikh hapo anafurahiya sanaaaaa wanaume kuwa na wake zaid ya mmoja😅😂
MashaALLAH Mama uko na busara ALLAH Akuzidishie na wanawake wengine waige mfano wako
Mashllh ana iman sana mungu amzidishie ❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️
Allah akulipe kheri kubwa, mwanamke mchamungu kweli.
Mume yuaboesha 😢
Ma sha Allah.....
Kipindi ni mujarrab kabsaa...
Hakika matunda yake tunayaona
Una roho ya kivyako dada Allah akuhifadhiii
Mashallah mashallah tabaraka Rahman ❤❤❤
MashaAllah.
Mashaallah kwa huyu mwanamke.
Nitapenda kusikia aje mwaname mwenye wake zaid mmoja. Akamuwacha mmoja akampa rafiki yake kwa ishara ya upendo. Kuonesha kuwa wapo wanaume wana moyo wa iman ya dini.
😂😂Mamdogo huyooo miss sanaa ww
Masha Allah nasie Allah atufnyie wepes ❤
Mwanamme hatakiwi kuwa mkali kwa mkewe
Wanaume wenyew ndio sio, mambo mengi yanaharibika kwasababu ya wanaume siwez tafutia Mtu mke atafute mwenyew na akamalize uko uko
Mashallah upendeza mama mavazi yako ya stara Allah akuzidishie elimu yenye manufaa
mashaallah
Huyo mumeo hapo kwakupiga anaboesha😢
maashallah maalim
Ma sha Allah! Waiting for eps2
Mashallah kipindi nakipenda sana hiki
Mashallah Allah atakulipa dada
Masha allah
Mtu ana kupiga mpk mimba zinatoka aka ndo mapenzi hayo aaa tena walim wenye ilmu wamesoma wapi
Shangaa ww mpenz jomoni kupenda tuna wapenda na kua pepo yetu pia tunaliamini lkn ss mambo yakupgana jomoni mbn apo kuchupa mipaka mana ata uyo mwengine alo muwowa itakua ni ivo ivo mwendo kpgo bora linge suluhishwa kwanza kwenye apo kupga kwani nawao wanaume ni binaadam tu nasio malaika so hukosea na was si kuchukulia rahisi ivo lkn Mungu ndo anaejua zaid
Ww umetoa amri kwa sababu una matatizo ungekuwa huna tatizo usingetowa amri na tatizo kalisababisha yeye
Mashaallah ❤
Pepo gani hiyo hakuna dini inayosema mwanamke apigwe hicho kizazi kakiowa yeye kwako kwa kukupiga
Thank you
Unaambiwa uowe ikiwa una uwezo ww mumeo alikuwa hana uwezo ikiwa hata mahari hana
😮😮eehh
❤❤❤
Were unampenda mumbo sahihi bi Sara watu hawajui ukewenza raha kama mwanamume mwaadilifu maana yeye ndio inKua chanzo cha matatizo
Rashid wee hutaki kuongeza mke🤔🤔🤔
😂😂😂😂😂😂😂
🤣🤣🤣🤣🤣