WIVU WA KIJINGA UNAVYOZIANGAMIZA NDOA (HUBBUL HALAL)
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 7 ก.พ. 2025
- Kutoka AL FATAH TV .
Usisahau ku like, comment naku subscribe kwenye chanal Alfatah tv online kwa mawasiliano zaidi piga simu: +255 777 858 490
#AlfatahTvOnline
#AlfatahCharitableAssociation
#ZANZIBAR
Kwa ukwel elimu inahitajika sana lakn ndoa za cku hizi ni mitihan mitupuu Allah atusaidie sana na aturahisishie jambo hili la kheri inshallah
Ahsante kw nasaha somo 😊 Mung azidi kuwabariki
Masha Allah leo mumejistiri vizuri
Shukrani Sana ustadh na somo unimejifunza sana❤☺️😍🌹
Mimi wa kwanza leo Nakipenda ichi kipindi MashaAllah
naona kwenye screen Zanzibar na Tanzania kwan zanzibar sio Tanzania?
Nahisi kuna suala la kuleteana maradhi km tukalie kimya tusiseme wala nn tuzidishe mapenzi kwa hio si tutakufa na maradhi
Kuna mazingira yalishawekwa na mwanaume kua Ana wanawake wengi nje,tena dhahir kwa mfano mwanaume anarudi na condoms,lipsticks kwenye shati sasa unataka ukae kimya au uwe na amani tu,si rahisi
no sense