Hembu lala vizuri, hakuna aliyefuata kubaka mtu hapa, tumefuata peesssaaa,😂😅 discipline kwenye kazi ndo msingi wa kufanikisha lolote unalolilenga🤔🏃. Gonga dole kama umeielewa hii.
Hiyo kesi waliamua kuifanya ngumu lakini iko wazi kuwa hakujiua bali aliuliwa na mkuu wa ulinzi alihusika maana umetwambia alikuwa na kadi ya kuingia kila chumba na alipofika alitumia kadi kuingia nusu alafu akafunga akasubili polisi kufika so ile kadi ilitumiwa na muhalifu then ikarudishwa kwa mkuu wa ulinzi
Jamal unafanya Poa Na Matangazo Ndo Yanaleta Fedha , Ila Kwa kipindi Chako Cha story don't interrupt Story na Matangazo , ni heri uka weka mwisho au Mwanzo wa story Mfano story inakuwa emotional unaiingizia TANGAZO hailet picha Nzuri .... I noticed part 2 ya Hii story ina D.K chache sana ungeweza Kuifanya kuwa story moja Yenye 37 minutes
Kwa sisi tulio na ufikira mdogo: 100% alikua ni jasusi alietumwa kukamilisha mishe fulani ngumu so akapak mzigo wa kutosha na kutumia mafunzo yake kufuta ushahidi wote na utambulisho wake. Sijui kama alifanikiwa ama hakufanikiwa ila mishe hio inaonesha ilikua very sensitive na ilimpasa auawe baada ya mishe hio. Yaani kiufupi alipewa target na huku yy akiwa ni target so baada ya kukamilisha mishe na yy alimalizwa. Kuhusu kujuilikana kwake hio inawezekana sana asijuilikane maana baada ya vita ya pili ya dunia kuna familia nyingi ziliuliwa na watoto kulelewa ktk vituo so inawezekana ni ktk hao. Ila serekali na taasisi za kijasusi za nchi husika zinamjua na zimeamua kuvunga tu.
Huyu aliuliwa sikualokua anakula na ile alama ya risasi ilokutwa kwenye mto ndo ilerisasi ilopigwa ili kumchanganya mlinzi alogonga mlango na wauwaji ni watu waloshirikiana kati ya 2816 na 2804. Pia muuliwaji na muuaji wanaonekana kuwa n watu waliokua wakifanya kazi pamoja 😉
Am Brian Dickson from 254 Kenya I always love this guy, napenda sana kutazama story book za Jamal... lakini kaka tuandikie adi vitabu kuna wengi kama mm wanapenda kusoma vitabu.
Duuuu mdaada wa watu jaman sijui nani alimuua...sasa najiuliza tu kama mpelelezi kama malngo ulikua wakisasa hawakuweza kuangalia watu wangap wame ingia kutumia door reading. Hebu nipe namba za wapelelezi niwasanue
Kwahiyo wakubwa walioondoka na zile 100 nazo ziliainishwa kwnye zile pesa ambazo waliiba wale jamaa kwahiyo hapo mkasa na mzozano lazima uwe kwa wale wezi
Hembu lala vizuri, hakuna aliyefuata kubaka mtu hapa, tumefuata peesssaaa,😂😅 discipline kwenye kazi ndo msingi wa kufanikisha lolote unalolilenga🤔🏃. Gonga dole kama umeielewa hii.
😂
Nmeiyelewa
#Amini kila ki2 kina time ake
💬💯
Hii stori pia utaipata kwenye kitabu cha yeriko Nyerere kiitwacho ujasusi wa kidola na uchumi, kwa wale wasoma vitabu
Kuna soft copy online maybe?
@@gracegabriels7068Hapana
@@gracegabriels7068 ipo ila mpaka umuone yeriko Nyerere Instagram or Facebook atakupa maelekezo
Kama unaikubali The story book gonga like
Katafunuwe uko
Makumamakuma tuh man.,...,.et gonga like nn ss
Sasa Mimi swali langu ni kwenye île hoteli akukuepo kamera ikirikodi tukio mzima, kwa sababu aiwezekani hotili kubwa kama naile ikose kamera 🙄🙄
Mwaka tajwa haukukuwepo kamera za CCTV
Jamal mungu akupee nguvu bro, hii uwanga inanisomesha sana sababu...am Criminologist🔥
Kabisaa jitap kokwet🤝
Kwel wa depo
Hiyo kesi waliamua kuifanya ngumu lakini iko wazi kuwa hakujiua bali aliuliwa na mkuu wa ulinzi alihusika maana umetwambia alikuwa na kadi ya kuingia kila chumba na alipofika alitumia kadi kuingia nusu alafu akafunga akasubili polisi kufika so ile kadi ilitumiwa na muhalifu then ikarudishwa kwa mkuu wa ulinzi
Absolutely genius Jamal , from united state (USA)I love you
Do you hear and speak Kiswahili nowerdays Ishowspeed......😂😂😂
tunayemkubali jamali goka like apa
Jamal unafanya Poa Na Matangazo Ndo Yanaleta Fedha , Ila Kwa kipindi Chako Cha story don't interrupt Story na Matangazo , ni heri uka weka mwisho au Mwanzo wa story
Mfano story inakuwa emotional unaiingizia TANGAZO hailet picha Nzuri ....
I noticed part 2 ya Hii story ina D.K chache sana ungeweza Kuifanya kuwa story moja Yenye 37 minutes
Akiweka mwanzo wa kipindi uta skip mkuu, Ila akiweka katikati Kuna uwezekano mkubwa ukatulia mpaka liishe pia akiweka mwisho utaskip kuangalia pia.
@@GeorgeAkasha-zx2rjkwelii
Prof Jamali suti kali location kali story kali respect Prof Jamali
Huyu mwanamke alikuwa shemeji wangu, nimechoka kujificha😅
😂😂😂😂
Unajua sanaa kaka
Jamani Jamal, tunakuomba utupe Historia ya Princess Dianna🙌🏾
kwan uijui
😂@@stephenvenancee7131
@@stephenvenancee7131 siijui
Angekua anajua asingeiomba ...au kama ww unaijua tuadithie @@stephenvenancee7131
Hyo intro ni kali kinoma😂
Kazi nzuri sana Jamal🔥
A good listener is a good speaker...stop begging likes ....keep on listening from prof. 🙏
hua unanifurahisha na huo utangulizi wa simulizi, ama kwa hakika najifunza 💪👍
Broo iv kwnn usitafsir na move unajua we ninoma sasa❤❤❤❤
Nimeipenda sana huu mfano wa ujambazi bank..1.cheza na akili za watu 2. Discipline kwenye kazi 3.cheza na Fulsa 4. Experience kwenye kazi 😂
The only Jamal ❤
NIKIOMBA LIKE MNANIPA KWA MASEMANGOOOO! LEO "SITAKI"KABISA LIKE HATA MOJA
Kenya 🇰🇪 oyee nipeeni likes
Storry nzuri ila najiulza ukubwa waiyo hotel hadhi ya 5star ulaya miaka ya90
Hakukua Na technology ya camera ¿
Let's show love to this professional professor Jamal ❤❤❤
Nambal Moja nimen like zangu❤🎉
Nimekuwa namba mbili
Watu wa hii Hotel wanamchango kwenye kifo cha mwanamke wa chumba namba 28o5 kwasababu kadi zote za kufunga na kufungua mlango zilikua ndani ya chumba
Attention sana
Chumba namba 2805
Hii ni kama ya Gareth
Kenya 🇰🇪 we love you mkuuuu🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Hapo mwanzoni umeongea kama watu elf moja nakubali jamali endelea kututoa ujinga
On firee
Wajina😂
This guy is so talented najifunza mengi kupitia huyu❤
Naombeni like 100 tyu wale wa chuga tujuanee hapaa kwa like
Sijuagi kumbe chuga Nako kuna muslims...nisamehewe jamani najuaga ni Yesu na Maria tu
@@AmyeSanga-u4c amna banaa
Daanh najifunza vitu ving saana ,,, kumbe vitu hivi vipo kweli jaman
From Kenya, Nipeni likes pls.
The introduction was so good
Huyu mwanamke jmn ni Mpwa wangu nimejitokeza Adharani mnifahamu ndugu zangu Watanzania😂
Jamal ni msimulizi mzur sana....
Mm nimesha timiza moja niko na familia bado jmbo moja nifundishe ama ni wa peleke Watto shule ili wawo waje kuwa msaada baadae kwa wana ulimwengu
Been waiting for this moment 🥹🥹🥹
I wish i followed my teacher's advice as i follow you
NORWAY wana MYSTERY STORIES nying, HII YA JENNIFER FAIRGATE na ISDALEN WOMAN🔥
Wakwanza leo
Nikitaka kujifunza kuwa killer bila ushahidi nianzie wap😀
Anzia ktk familia yenu, mpe mtu sumu.
Kwa sisi tulio na ufikira mdogo: 100% alikua ni jasusi alietumwa kukamilisha mishe fulani ngumu so akapak mzigo wa kutosha na kutumia mafunzo yake kufuta ushahidi wote na utambulisho wake. Sijui kama alifanikiwa ama hakufanikiwa ila mishe hio inaonesha ilikua very sensitive na ilimpasa auawe baada ya mishe hio. Yaani kiufupi alipewa target na huku yy akiwa ni target so baada ya kukamilisha mishe na yy alimalizwa. Kuhusu kujuilikana kwake hio inawezekana sana asijuilikane maana baada ya vita ya pili ya dunia kuna familia nyingi ziliuliwa na watoto kulelewa ktk vituo so inawezekana ni ktk hao. Ila serekali na taasisi za kijasusi za nchi husika zinamjua na zimeamua kuvunga tu.
Wachache Sanaa wataelewa nn umeongea ila Kwa asilimia 💯 ukwel ni huo target on target
Wewe ndo nimekuelewa jamn
Nimekupata
Hapo target on target yes
Kama unamkubali mkali wa The story book comment & like
Ila Jamali #the next level guy
Labda huyu binti alikuwa amefanya plastic surgery.Ndio sababu hakuna anaye mtambua hadi wa leo.
Uyu jususii ni nomaa sanaa izii ndo kesii..
salute to this guy,,he's soo talented na najifunza mengi kupitia yeye
Hapo mwanzoni umeongea kama watu elf moja nakubali jamali endelea kututoa ujinga
Please make of Simpsons please.story
Huyu aliuliwa sikualokua anakula na ile alama ya risasi ilokutwa kwenye mto ndo ilerisasi ilopigwa ili kumchanganya mlinzi alogonga mlango na wauwaji ni watu waloshirikiana kati ya 2816 na 2804. Pia muuliwaji na muuaji wanaonekana kuwa n watu waliokua wakifanya kazi pamoja 😉
Muuwaji alitoka vp chumbani na mlango ulifungwa kindan
Umefkiria sanaa
@@HusnaJamal-r1k dirisha lilikuwa wazi
@@HusnaJamal-r1kalitokea mlangoni ndomaana aliona amchanganye mlinzi, siku alopotea hotelini kwa sikunzima pengine muuwaji alimlaghai na kuchukua kadiyake ili kuitumia kuchonga kadi feki
Inaonekana yeye mwenyew alikuwa muuwaji baada ya kumaliza mishe yake wakamuuwa na yeye
Gonga.like kwanguu..kama unamkubalii Jamal
Jamali mwamba kweli kweli nakubali kama na ww unakubali the story book gonga liki apa
Nice professor
Am confused my people,,, inakua aje mtu kuingia hotel kubwa kama mnavo sema bila kujisajili kutumia passport au ID yake????
BRAVO JAMAA MUSTAFA NAPENDA SANA STORY ZAKO 👏 🙏 ❤❤❤
The same as isdal
Fantastic 💫
Hui ni nomaaaaaa🔥🔥🔥🔥
Am Brian Dickson from 254 Kenya I always love this guy, napenda sana kutazama story book za Jamal... lakini kaka tuandikie adi vitabu kuna wengi kama mm wanapenda kusoma vitabu.
Nafikiri tungepata record za CCTV camera za floor number 28
Hiii part2 imefanya nipate kiu zaid ya kujuwa mwisho wa hiki kisa. 😂
Usijitie ushujaa kuokoa kisichokuwa chako
Sijaona sehemu wanazungumzia uchunguzi wa CCTV camera ya hotel
Asee m ni wa 100 nipeni milikes bc japo 10 tuu
Hzo lik za nn...
It's the same with a Isdal Woman
jasusi anauwawa na jasusi mwenzie tena aliye bora kuliko yeye,serikali inajua hilo wapelelezi watahangaika ila serikali zinajuaga kabisa
MAUAJI MENGI YA COLLEGE, APARTMENTS, NA HOTELINI, MTU WA KUMUANGALIA NI MLINZI AU MHUDUMU
Najifunza sna mengi kutoka kwako jamal
Ningeomba kuskia historia ya rapper Eminem proff Jamali
Duuuu mdaada wa watu jaman sijui nani alimuua...sasa najiuliza tu kama mpelelezi kama malngo ulikua wakisasa hawakuweza kuangalia watu wangap wame ingia kutumia door reading. Hebu nipe namba za wapelelezi niwasanue
The story book 📚📖 toka kwa Prof Jamal ❤😊
Kwahiyo wakubwa walioondoka na zile 100 nazo ziliainishwa kwnye zile pesa ambazo waliiba wale jamaa kwahiyo hapo mkasa na mzozano lazima uwe kwa wale wezi
Alikua yuko sawa aliesema wahesabu, maana kuna m mia zilichukuliwa na wahidumu, so hesabu isingekua sawa
Nice braza ❤❤❤❤❤
Hapo mwanzoni umeongea kama watu elf moja nakubali jamali endelea kututoa ujinga
Hapo mwanzoni umeongea kama watu elf moja nakubali jamali endelea kututoa ujinga
Hapo mwanzoni umeongea kama watu elf moja nakubali jamali endelea kututoa ujinga
Magaidi ni watu wenye ufahamu mkubwa huwenda kuliko majajusi
Kujiua kisha upon mkono upo kwenye kibonyezeo , hiyo bunduki una undugu nayo?
Unachambua mpaka inaeleweka hongera JAMAL APRIL,,,,,,, from mbezi
Best narrator from 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿, please like my comment from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Asante sana tumefurah na update senu
The story book with professor Jamal ,,🔥
Uyo mwanamke pia alikuwa assassin na aliuaua na group yake juu ya siri fulani
Lkn je mbn hakutaka kulipa mapema huenda alijua kwamba atakufa
Hakika Leo nimewahii wekeni like zenu hapa wa tz
Sijawai kupata Like 20 mimi kupitia Story book
jamani naombeni kuuliza ujasusi maana yake ni nini???
Fundi wa story more than stephanie harlow
Jamal kwa kazi ya kuweka sauti kwenye biashara yangu tunafanyaje nisaidie
Jamal am your no.01 fan seriously🎉😢
KAKA JAMAL UKIMALIZ HII TUNAOMBA UTULETEE NA ILE YA "ISDAL WOMEN "
Poz nafs Alhabib na Jamal
Vitu ninavtovikubali kwa jamali Ni vile vikolombwezo kabla ya story na baada ya story hakika huwa najifunza sana
Mimi Ndo Yule Fiargate
Yaani intro inasisimua kuliko story,🤣
Hilo tukio lilifanyika kwa umakini sana au alikua ni jini
Hvi nyie mnaoomba likes mnapata hela au?????