Wowww ipo Vizuri Sanaa hiii bro, lakini jitahidi Kuingia Mzigoni kuwahoji Vijana wanauonaje Utalii na Uchumi Wa Blue kwa hivyo itakuwa good. Iyo jitahidi iwe viral kwa kuonesha vijana wanavokuwa na furaha kuonesha Hadhina ya Utamaduni. Nina Swali langu kwenye michezo hapo mbona mchezo wa Ng’ombe haupo…?
Excellent video I never new Pemba was so beautiful tropical Island. I would like to see more videos and updates
Sio km zamani
hii ni mzuri sana na nimeipenda sana ila michezo yetu ya ngware mbona sijaiyona ila siyo mbaya mumejitahidi
Good job Mr president
Wowww ipo Vizuri Sanaa hiii bro, lakini jitahidi Kuingia Mzigoni kuwahoji Vijana wanauonaje Utalii na Uchumi Wa Blue kwa hivyo itakuwa good. Iyo jitahidi iwe viral kwa kuonesha vijana wanavokuwa na furaha kuonesha Hadhina ya Utamaduni.
Nina Swali langu kwenye michezo hapo mbona mchezo wa Ng’ombe haupo…?
Huyu raisi anauza mpaka anataka waina watu wake ametoka bara ananjaaa kiama 😂😂😂
Mugu Akujalie nguvu
Huyu anaelezea sauti yake kama Mauzinde!,kama nisingemuona muongeaji ningejuwa Mauzinde🤣,daaah hatariiiii