KUTOKA COMORO: Uko tayari kukaa ktk nyumba ya WIFE? maisha yao je?

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 18 ก.พ. 2017
  • Inawezekana kabisa upo Tanzania au popote pale duniani lakini umekua tu ukisikia kuna sehemu inaitwa Comoro lakini hujawahi kufika wala kujua pakoje na tamaduni zao.
    Camera ya AyoTV ipo na wewe time hii kutoka Moroni kukuelezea na kukuonyesha upande huo ukoje.

ความคิดเห็น • 143

  • @damariszuckschwert9489
    @damariszuckschwert9489 7 ปีที่แล้ว +13

    Kuzuri kwa kutembea huko. My next holiday destination is Comoro .😎

    • @tkvlogs3969
      @tkvlogs3969 7 ปีที่แล้ว +1

      ni vizuri kusafiri ...

  • @zainabmaulid9637
    @zainabmaulid9637 ปีที่แล้ว +2

    Comoro mm nishaenda kwel mtandao shida Sana kumetulia Sana mji upo kimya Ila chakula Chao sio vizur Sana Ila hela yao inasaman

  • @attoumanemouayad6509
    @attoumanemouayad6509 5 ปีที่แล้ว +2

    I'm about to cry😅😅😅illa ni nna imani kwamba kunasiku mungu atatusaidia

  • @ramadhanpakei2766
    @ramadhanpakei2766 7 ปีที่แล้ว

    nakukubali san millard ayo napanda san kaz zako ni nzuur san nakukubali nami nahtaji siku moja niwe kama wew

  • @maryamsinganomaryamsingano7938
    @maryamsinganomaryamsingano7938 7 ปีที่แล้ว

    asante millard ayo huko wakonyuma sana daa nahizo sheria za mwisho mungu azidikukupa uwezo zaidi iliutulee habari mbalimbali

  • @mudrik1852
    @mudrik1852 ปีที่แล้ว

    Safi sana kutujuza taarifa kama hizi

  • @zingahassan5851
    @zingahassan5851 5 ปีที่แล้ว +3

    Nice and fine place to be in vacation..how much you need to spend in comoro for week

    • @alawithebestconcept231
      @alawithebestconcept231 2 ปีที่แล้ว

      It's up to you for the life you want to be in Comoros islands 😯

  • @sakinaabdallah7713
    @sakinaabdallah7713 3 ปีที่แล้ว +1

    Comores ni nchi ambayo inaanza kutoka katika mashîmo makubwa but let' us going slowly

  • @greatiq7835
    @greatiq7835 3 ปีที่แล้ว +1

    Comores! Home sweet home!

  • @salmasaid7254
    @salmasaid7254 7 ปีที่แล้ว

    asante ayo tuletee mechi ya jana burundi le mesenger ngoz& kvz kama itawezekana

  • @user-fy6dc6zb8w
    @user-fy6dc6zb8w 5 หลายเดือนก่อน

    Wow

  • @lalasheloisheye1154
    @lalasheloisheye1154 ปีที่แล้ว

    Nimeenda sana. Mij.huu

  • @abdallahkawambwa9041
    @abdallahkawambwa9041 3 ปีที่แล้ว

    Napatan kweli inshallah tutafika tu.

  • @fetysaleh5022
    @fetysaleh5022 5 ปีที่แล้ว +15

    wakomoro wote gonga like hapa

  • @Ctenzosaidi
    @Ctenzosaidi 7 ปีที่แล้ว

    Ahsante

  • @harounali1626
    @harounali1626 7 ปีที่แล้ว +3

    Kuhusu sim siajabu hata sisi tulianza hivyo hivyo
    Ningekuomba ufanye Tour na hivyo visiwa vingine.
    Mimi gari yangu ya kwanza ilikuwa ni Renault Clio CUMPAS nime ziona hapo nime furahi sana kuona hapo zina tumika Taxi
    Tatizo Afrika kupata kiongozi anae jali wananchi ndiyo maendeleo yana kuja sisi watanzania tumshukuru Allaah pia mzee Rukhsa kwa kutufumbuwa macho

  • @nakalikyumile3234
    @nakalikyumile3234 ปีที่แล้ว +1

    Wahoji wacomoro, sasa umekazana kumhoji mtanzania! Huo uduanzi

  • @frankiedebrilliant
    @frankiedebrilliant 5 ปีที่แล้ว

    Vizuti Sana

  • @abedysteven4930
    @abedysteven4930 5 หลายเดือนก่อน

    Ina jina kuuuuubwaaa lakn kumbe n nch maskn sana!!

  • @arafsaaa8844
    @arafsaaa8844 7 ปีที่แล้ว +1

    duh huko kuko nyuma snaaa

  • @fatmayussuf6125
    @fatmayussuf6125 6 ปีที่แล้ว +1

    home

  • @dseven7094
    @dseven7094 11 หลายเดือนก่อน

    mbona vts nyingi sna

  • @mohamedaminah3448
    @mohamedaminah3448 3 ปีที่แล้ว

    Karibuni COMORE island Ni nchi yenye Amani na watu wa huruma.na pia hewa nzuri.

  • @jumaramadhani5861
    @jumaramadhani5861 7 ปีที่แล้ว +7

    Ila nasikia wanawake wa kikomoro wanaheshima sana

    • @khadigaomri8747
      @khadigaomri8747 7 ปีที่แล้ว +1

      Kweli kabisa

    • @malota2138
      @malota2138 3 ปีที่แล้ว +1

      itabidi nikatafute mchumba uko

    • @omarykamna3949
      @omarykamna3949 3 ปีที่แล้ว

      Hata mm km napata mwenyeji huko niko tayari nikaoe please

  • @thuweintheprince882
    @thuweintheprince882 7 ปีที่แล้ว

    hapo ndio waahaendelea ao

  • @mariamushi1529
    @mariamushi1529 7 ปีที่แล้ว

    duh aisee ..huko ni kuzuri sana kufanya tours ..kwa kweli

    • @Mpakauseme
      @Mpakauseme 2 ปีที่แล้ว

      kabisa aisee

  • @dainesszuberyguii6040
    @dainesszuberyguii6040 7 ปีที่แล้ว +4

    kaka millard huko ni nomaa ukinunua ki2 mpaka balozi ajueee nimishidaaa hakufai huko...💃💃💃💃

  • @missmuunasharifu2323
    @missmuunasharifu2323 7 ปีที่แล้ว

    Bas wanaume woote wata owa ma fast born kwa kupenda kutafuniwa na atakae zaliwa mwisho mwisho imekula kwake kaazehekea home ocz wanaume woote watakimbilia Kula ma fast born

  • @salehkhamis8653
    @salehkhamis8653 2 ปีที่แล้ว

    Mazingira yake kama Zanzibar

  • @zaiiomary8970
    @zaiiomary8970 4 ปีที่แล้ว

    Huko Comoros ninoma wanadari kam wahindi mwanaume kuolewa khaa sikuwez huko pia maish yao mitihani na matumiz ni makubwa khaa

  • @samwelimoshi5614
    @samwelimoshi5614 5 ปีที่แล้ว +3

    Comoro n kama zanzibar

    • @karthala6676
      @karthala6676 3 ปีที่แล้ว +1

      Zanzibar is prettier than Comoros.

  • @godfreyleka5839
    @godfreyleka5839 5 ปีที่แล้ว

    vits za kutosha huko

  • @hadjiabassi9649
    @hadjiabassi9649 6 ปีที่แล้ว

    Kisiwa cha Mayotte ni kisiwa cha Ufaransa nasi cha comoro 😉

  • @abdillahabdubakar9336
    @abdillahabdubakar9336 7 ปีที่แล้ว +1

    uko home comoro

  • @kuschprince3216
    @kuschprince3216 3 หลายเดือนก่อน

    " The results of decades os communisim! They must understand communism is the source of chaos and poverty!! They must open their country to investors otherwise "Umasikini hautoki kwao!!

  • @ramadhanmasiku4105
    @ramadhanmasiku4105 3 ปีที่แล้ว +2

    Shilling alf5 ni zaidi yaalf20 bongo sasa kwa nn hela ya comoro inathamani zaidi ya dola na paund wakati dola 100 tu ni zaidi ya laki

  • @vigezo
    @vigezo 5 ปีที่แล้ว +1

    It is three islands Mayotte is part of France

  • @metalcombat4470
    @metalcombat4470 7 ปีที่แล้ว +2

    Ni Moroni, Millard.. Si Moron! Haha! That's ma home, buddy!

  • @mkemkwama2362
    @mkemkwama2362 2 ปีที่แล้ว

    Mimi nahitaji kufika naomba uongoz

  • @user-cd2np5by6g
    @user-cd2np5by6g 6 หลายเดือนก่อน

    Taifa ili ukienda kuanzisha maisha unatoboa chap

  • @user-zm5wq1gk8k
    @user-zm5wq1gk8k 5 ปีที่แล้ว

    duuuh

  • @QuartierNord13015
    @QuartierNord13015 6 ปีที่แล้ว +1

    Komori

  • @nassorjabry5655
    @nassorjabry5655 7 ปีที่แล้ว

    Hahaha haha ayo huko siomchezo yani full utelezi ukioa unakaa kwa mkee dwaaaaaax sema nn ukibahatika kwenda tena wambie waongeze sheria namatumizi ataoe mkee ntanunua BMW hihihihi vitz zimezidi 😂😂😂😂😂

    • @Awatee
      @Awatee 3 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂Mnapenda vya bure mhh

  • @minzamabula3551
    @minzamabula3551 7 ปีที่แล้ว

    ahahahaaaa et linbwata jamani lakini bado wako nyuma bwana

    • @mohamedaminah3448
      @mohamedaminah3448 3 ปีที่แล้ว

      Usiali.baada miaka.utaskia tu tupo mstari wambele.tunaanza chini kwenda juu.

  • @user-hu4el2rx2u
    @user-hu4el2rx2u 6 หลายเดือนก่อน

    Ukitaka kufanya biashara na kuishi vizuri msingi unatalkiwa uwe na bei gani

  • @BILALKASSIM-ol6kk
    @BILALKASSIM-ol6kk 9 หลายเดือนก่อน

    Mh

  • @decodesttz
    @decodesttz ปีที่แล้ว

    sasa uko s wawaachie tu samak waish

  • @msamgunda7684
    @msamgunda7684 3 ปีที่แล้ว

    Wajaclia mali mpo hapo. Fursa hio comoro kuna neema.

  • @kingroller5456
    @kingroller5456 7 ปีที่แล้ว

    usafiri ukoje kutoka dar mpaka comoro? unasafiri kwanjia gani ?

    • @dodomikleni9299
      @dodomikleni9299 7 ปีที่แล้ว

      king roller ndege ..meli pia

    • @ahmedzahor2975
      @ahmedzahor2975 2 ปีที่แล้ว

      Unakwenda kwa kuogelea ukijitosa baharini utazamkia Moroni

  • @altamyanfane9850
    @altamyanfane9850 ปีที่แล้ว

    Magorofa ya tanzania nia waarabu pemba na wahindi

  • @Ishengoma1
    @Ishengoma1 7 ปีที่แล้ว

    Hapo kwenye thamani ya pesa ndo panatakiwa kuwa darasa kwa Magu. Aje huko apewe darasa.

  • @user-sm5tt3fv9z
    @user-sm5tt3fv9z 6 หลายเดือนก่อน

    Mayotte ni sehemu ya Ufaransa

  • @Ctenzosaidi
    @Ctenzosaidi 7 ปีที่แล้ว

    Ni kwetu kwa mamanguuu

    • @binaliy6456
      @binaliy6456 4 ปีที่แล้ว

      Hikma Haji kumbe

    • @omarykamna3949
      @omarykamna3949 3 ปีที่แล้ว

      Naomba uenyeji ili nitembelee kujifunza huko nakufanya daawa alau hata week 2 0717519111 wasap cjui upo wapi ndugu?

  • @kihanda2554
    @kihanda2554 7 ปีที่แล้ว +2

    Kama umewahi kufika Zanzibar basi Utakuwa huna tofauti na Ayo. Hakuna tofauti kati ya Zenji na Comoro.

    • @salmasalim6055
      @salmasalim6055 7 ปีที่แล้ว

      Kihanda Tv kweli ni sawa na zanzibar mji mkuu darajaani😅😅loooh lakini ndio home love zanzibar

  • @thomaslandwhale
    @thomaslandwhale 7 ปีที่แล้ว

    Jazirat maut....

    • @fatimayoussouf4878
      @fatimayoussouf4878 6 ปีที่แล้ว

      Hata dubai wanao jiweza wanamitandao miwili nyinyi mmeanza kusajili simu juzi juzi
      Line mtu ulikuwa unanunua barabarani kama unanunua karanga.

  • @ashahaji4936
    @ashahaji4936 7 ปีที่แล้ว

    Milady nauli ya tz kwenda huko sh ngap?

    • @lydiampayo597
      @lydiampayo597 7 หลายเดือนก่อน

      1mil. Kwa ndege
      Go and return

  • @YamunguYb
    @YamunguYb 7 ปีที่แล้ว +1

    Da!! huo ndio mji mkuu!!
    kama Bukoba

  • @karthala6676
    @karthala6676 7 ปีที่แล้ว +2

    Ahsante sana Mylard kwa kwenya Comoro. Nimekuliya huko na nimefurahi koona Moroni kidogo. What you said about the wedding is absolutely true. Left Moroni 40years ago and thank you for going there

    • @rahmasaid7747
      @rahmasaid7747 7 ปีที่แล้ว

      comoro

    • @millardayoTZA
      @millardayoTZA  7 ปีที่แล้ว

      thanks Karthala

    • @rahmasaid7747
      @rahmasaid7747 7 ปีที่แล้ว

      Mimi siyo mutanzania ila napenda sanaa kipindi cako sanaaa .na napenda sanaa wasana watanzania sana sana muigizaji Wema

    • @rahmasaid7747
      @rahmasaid7747 7 ปีที่แล้ว +1

      Namupenda sanaa Wema sepetu

    • @samwelimoshi5614
      @samwelimoshi5614 5 ปีที่แล้ว

      +Rahma Said wema yupo n mke wa daimond

  • @chayamhicham7202
    @chayamhicham7202 4 ปีที่แล้ว

    Huyu siyo mtanzania hâta kiswahili chake bado huyu tunamjuwa vizuri sio mtanzania

    • @mohamedaminah3448
      @mohamedaminah3448 3 ปีที่แล้ว +1

      Huyo mwanamke anae JIBU Ni mfanya biashara Moroni Ni TZ.BUT SIO MKOMORO .LAKIN ANATUFAHAMU SIE WAKOMORO VIZURI SANA.YUPO COMORE MIAKA MINGI KWA BIASHARA.

    • @ndukulusudikucho_
      @ndukulusudikucho_ 3 ปีที่แล้ว

      Ukienda rorya au usukumani ndio utajua huyu Ni Mtanzania

  • @jemakhalifa6807
    @jemakhalifa6807 4 ปีที่แล้ว

    tutajie fursa za huko tuje kufanya biashara

  • @amanimtasha9168
    @amanimtasha9168 7 ปีที่แล้ว +5

    Comoro hata kwa limbwata siwezi kuishi.

    • @attoumanemouayad6509
      @attoumanemouayad6509 5 ปีที่แล้ว

      Hayo maneno yamenuumiza sana sana....😢😢😢😢😢

    • @samwa9496
      @samwa9496 ปีที่แล้ว

      Usiseme huenda mwanao akawaoa huko au kuolewa

  • @famffamf40
    @famffamf40 7 ปีที่แล้ว

    She's not the first Why didn't ask the first

  • @alawithebestconcept231
    @alawithebestconcept231 2 ปีที่แล้ว

    Please go back to making a video nowadays because something it's readying change 🇰🇲🇰🇲😁😁

  • @shabanramadhan3940
    @shabanramadhan3940 7 ปีที่แล้ว

    Yaaan nyuma tena sanaaa

  • @juliusuronu8812
    @juliusuronu8812 7 ปีที่แล้ว +2

    Nimeyapenda sana mazingira yake ila sio kwa vits zile 😋😋😋😋 ukiwa na vogue lazima uitambulishe jamhuri

    • @millardayoTZA
      @millardayoTZA  7 ปีที่แล้ว +2

      hahahahhahah umenichekesha sana

    • @juliusuronu8812
      @juliusuronu8812 7 ปีที่แล้ว

      Yan documentary nzima sijaona hata Prado....kweli hiyo ni COMMORO hhahahahha

    • @islamnurdin389
      @islamnurdin389 7 ปีที่แล้ว +1

      Millard Ayo uyo dada anawadanganya kidogo sijuw kiswahili kinamsumbuwa

    • @fatimayoussouf4878
      @fatimayoussouf4878 6 ปีที่แล้ว

      Yah lazima jamhuri yamagu ijulishwe

    • @fatimayoussouf4878
      @fatimayoussouf4878 6 ปีที่แล้ว

      Millard Ayo tafuta mzaliwa wa comoro sio mpita njia halafu mtu mwenyewe haeleweki anakurupuka tu. Sisi hapa tangu tuanze kutumia simu zamkononi lazima ufike ofisini na kitambulisho chako ukasajiliwe halafu ndio upewe line.huko tz line watu walikuwa nawanunua barabarani kama unanunua nyanaya tu unanunuwa unaweka kwenye simu yako. Ilikuwa 2009 ndio mlioanza taratibu zaku sajili.
      Mimi nilipitia hiyo ishu.

  • @alinasor8553
    @alinasor8553 หลายเดือนก่อน

    Bc kuzuri uko

  • @philipomakanamabilikaathum6394
    @philipomakanamabilikaathum6394 7 ปีที่แล้ว

    hiyo nchi bado inatecnelojia ndogo inamitandao Miwili daah noumer

  • @mgenisana7610
    @mgenisana7610 7 ปีที่แล้ว

    Pesa yetu kweli karatasi😂😂

    • @bentihamadi657
      @bentihamadi657 6 ปีที่แล้ว

      Mgeni Sana 😂😂😂😂😂

    • @hamisikimbatikwa6959
      @hamisikimbatikwa6959 ปีที่แล้ว

      Nimewekania kuja comoro kutembea na kuja kufanya biashara innnshallah

  • @metalcombat4470
    @metalcombat4470 7 ปีที่แล้ว

    Wame tawala Wafaransa huko hivyo marndeleo ni big issue. Waambie kuhusu ADA, Millard. Kwa Comoro kwa mke ndo kwenye familia na si kwa mume.

  • @shabanidigalu6683
    @shabanidigalu6683 2 ปีที่แล้ว

    Vitz kama bodaboda

  • @hammerQ954
    @hammerQ954 7 ปีที่แล้ว +1

    upande wa mama yangu

  • @faidasemitende8147
    @faidasemitende8147 ปีที่แล้ว +1

    Broo mm Niko huku

    • @dseven7094
      @dseven7094 11 หลายเดือนก่อน

      mzee natka nije nitembee huko niandae kam bei gani hivi

  • @nakalikyumile3234
    @nakalikyumile3234 ปีที่แล้ว

    Hii interview ya kipuuzi ni sawa na historia ya jamii fulani, kuandikwa na jamii tofauti, mwandishi ilitakiwa a wahoji wenyeji, huwezi ukaja kwetu wanyakyusa, ati ukataka historia yetu kule busokelo ati ukaanza kuwahoji wahehe wa iringa! Idiots

  • @aliykibabe9033
    @aliykibabe9033 4 ปีที่แล้ว

    Hakufai uko

  • @islamnurdin389
    @islamnurdin389 7 ปีที่แล้ว +1

    comores hamna dala dala muini ndio maana unaona izo gari ndogo afu uyu dada anae hojiwa hapa ni muongo sijuw kiswahili kinamsumbuwa au

    • @fatimayoussouf4878
      @fatimayoussouf4878 6 ปีที่แล้ว

      Islam Nurdin anakurupuka tu

    • @sadikimgassa4215
      @sadikimgassa4215 5 ปีที่แล้ว

      Islam Nurdin Dada anae hojiwa anaitwa mwanjuma Ismael ni mcomoro mwenye makazi Yale dar es salaam Tz,na anaishi Kigamboni,na ameolewa na mwanaume Wa kicomoro anayeishi ufaransa

    • @hooswengosha2985
      @hooswengosha2985 3 ปีที่แล้ว

      Tupe kweli yko

    • @lydiampayo597
      @lydiampayo597 7 หลายเดือนก่อน

      Yupo facts,,ila ww ndo hujui

  • @fatimayoussouf4878
    @fatimayoussouf4878 6 ปีที่แล้ว +4

    Halafu wewe ayo,huyo dada nimuongo, kwanza ukitaka kujuwa vizuri katika nchi yoyote unatafuta mzaliwa sio mtu ambae anaishi. hata kama aliishi miaka 100 hawezi kukwambia ukweli halafu hilo dada muongo kabisa anajifanya mjuaji mtu mwenyewe hajui chochote kuhusu mila na desturi za comoro anakurupuka kuelezea asioyajuwa . Eti lazima mwanaume aishi kwa mkewe.
    Mboba kuna wanaume wanajenga nyumbazao na wana wachukuwa wakezao wanaishi pope .
    Cha pili wewe ayo kila kitu kinachofanyika nchi yoyote kuna kuwa na hikma ndani yake yake
    Kwanini hujamuulizia hikma yakuwa mwanamke anajengewa?
    Ndio mana nilisema pale awali kwamba ungetafuta mzaliwa, sio mtu wakuiishi.
    Hayo magorofa mnayo yavunia
    Moroni tuna papenda kama valivyo

    • @Mpakauseme
      @Mpakauseme 2 ปีที่แล้ว

      Je wewe ni mkomoro

    • @decodesttz
      @decodesttz ปีที่แล้ว

      kubaya bwana hyp nchi mlitakiwa muwaachie samak nao waishi so kwakuish watu huko😊✌KUBAYAAAA

    • @lovenessmushendwa1230
      @lovenessmushendwa1230 ปีที่แล้ว

      Ni kweli: yupo sahihi

    • @JanethMadios-oe5ue
      @JanethMadios-oe5ue 10 หลายเดือนก่อน

      Mbona imekuuma dada, kubaya ndio kwani uongo???? Tena kubaya haswaaaa hapo mjini kwenu ndo kama kijijini kwetu tuu ni kubaya kubaya kubaya hata kama mnajivunia lazima mjivunie ndo kwenu tena ila kiuhalisia ni kamji kabaya afu kanatisha sijui kapoje kapoje mimi siwezi ishi huko bora niende nikaishi kijijini kwetu tuu

    • @abedysteven4930
      @abedysteven4930 5 หลายเดือนก่อน

      ​@Janethhahaha🤣🤣🤣🤣Madios-oe5ue