Ila Manara Mungu akusaidie sana,unasifia mkeo badae unamwacha,acha tabia ya kuoa na kuacha Mungu hapendi hiyo tabia,Nawaombea maisha mazuri Mungu awatunze
Ukipata kujaliwa ,na kuheshimiwa na mtoto wa ma mkwe ushukuru,maana Pesa inatafutwa lakini faraja inapatikana kwa mtu,deka zai wangu,tulia na ndoa yako mama.
Manshallah hongereni mungu awaalinde na ndoa yenu 🙏🙏
Ila Manara Mungu akusaidie sana,unasifia mkeo badae unamwacha,acha tabia ya kuoa na kuacha Mungu hapendi hiyo tabia,Nawaombea maisha mazuri Mungu awatunze
Mwenzangu na mie ungekuwa unaandika speech kwenye karatasi shogangu ila leo umenifurahisha umekaa haswa kama mke mashaallah!
Mungu awabaliki muishi muda mlefu sn napenda hivyo nawapenda sn Alla kalim
. Mashaallah Allah azid kuwapa masikilizano katika safali yenu hii
Manar wake zako wote huwa unawasifia ivovo
Hongereni,Msisikilize maneno ya walimwengu Pendaneni saaaaana❤❤❤❤❤❤❤
❤❤❤❤hongera sana
Mbona kama zai anafanana na yammi
Mashalah..mara nyingi majina ya herufi ya z ni waaminifu na wanawivu Sana na wakipenda wanapenda kwel..napia herufi ya z wanabahati Sana yakuolewa
❤❤❤
Hajji anazungumza ukweli uliopo,yakibadilila atasema,mimi nimempenda sana haji,yupo muwazi
Mashallah mung awalinde ktk kila wakat awaepushe na husda na hasdi❤❤
Mkiachana hutaebdelea kuwa meneja wake😂😂
God bless
Manara atadumu na uyu mke kwa sababu zai hn mappepe na sio muongeaji sn
In shaallah kwauwezo wa Allah mtadum kifo tu kitawatenganisha
Inshaaallah
Nasubiri siku niko gerezani nipate sifa zangu
Hongera sna
Huna lolote na yule mwengine ulimsifia kupita maelezo😮😮😮😮😮
Yani manara anapendaga hadi anaoza unaeza kuta huyo anayempend yy hata moyoni hayumo angepunguza kupenda kwa kuonesha wazi ndo maana huea eanamyenda
Huyuu zay anakupenda xanaaaaaaaa mwanamke mwenye wivu nimapenz
Hongera sana 😂😂😂
Bakiza MANENO, hukawiii KUGEUKA
😂😂 hapo kwenye muda zai badilika, ila kwenye wivu nimependa zai zidisha, tonge Hilo upokonywe tonge mdomoni😂😂😂
Aibu kwa kweli eti mtoto wa kiswahiki😂😂😂na masimango ya kuchomekea😂😂😂eti ulaya mara kumi😂😂😂
God bless ❤
Jezi yangu nitumie
Ukipata kujaliwa ,na kuheshimiwa na mtoto wa ma mkwe ushukuru,maana Pesa inatafutwa lakini faraja inapatikana kwa mtu,deka zai wangu,tulia na ndoa yako mama.
Hata Rubby alimsifia hivohivo lkn wapiii😢😢,, achakujimaliza Hajji hukawii kubadilika😂😂😂
Mpaka leo anampenda Ruby mimi nampenda Ruby ni mtulivu ,
Kweli haji huu wapii
Anaweza kuampole akawahana heshima namume japo haji anamapungufu yake 😂😂
Km kawaida yko bugati kupongeza kunaendana na kuchamba😂😂😂😂😂😂
Kaka ongea kidogo tu 😂 wana wake Hawa someki atakupga tukio ohooo
Sisi letu jicho😂
Basi haji usijimalizi ukisifia saana unaharibu
Hajui kama vina muda
@@verobecamfipa8655 kwakweli
❤❤❤🎉🎉🎉
Kuwa na akba ya maneno uta zalilika hawa viumbe hawajawah aminika bro
Ila sijapenda swala la kumsema mkeo kuwa anamadhaifu sijapenda...apo kwel kuhusu yanga nimependa...usipokuwa yanga kwel juha🤣🤣🤣🤣Aya majuha mpooo??
Wambea wakuweka hayo maneno kesho tujuane🤣🤣🤣
Utulie sasa
Kikiumana hayo maneno utayakataa hukusema ww😂😂😂😂
Mashaallah
Zai katoboa
😅😂😂😂
😂😂😂😂
Tunasubiri muachane fimbo iri mpiga mwenzako naweye itakupiga tu
Mzushi kila siku wasifia
Hamna kitu apa
Una sifa mbwa ww
❤❤❤
❤❤❤
❤❤❤❤
❤❤