JOHARI AIBUKA NA MAPYA BAADA YA SNURA NA IRENE UWOYA KUOKOKA/ SIWEZI KUACHA KUIGIZA ''LISHANGAZI''
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 18 ต.ค. 2024
- Ahsante kwa kuwa mwana familia,(BINA Tv) kwa habari murua utazipata hapa, Ungana nasi kwa kila update zitakazo jitokeza.. Subscribe Channel yetu ya BINA TV ili usipitwe na habari zetu.
#alikiba, #ayotv, #block 89, #bongo #chapchap, #bunge, #bungeni, #burnaboy, #ccm, #chadema, #davido, #diamondplatnumz, #diamondplatnumz, #good #morning, #habarizaleo, #habarizamillard #ayo, #harmonize, #lavalava, #lavidavi, #live, #magufuli #makonda, #mbosso, #mgahawa, #millard, #millardayo, #millardayo, #millardayotv, #rayvanny, #refresh, #serikali, #sportsarena, #sportscourt, #spots, #sundayworship, #tanzanianews, #thestorybook, #theswitch, #tiwasavage, #trending, #uchaguzi, #wasafi, #wasafifm, #wasafimedia, #wasafi tv, #wizkid, #yope, #yope #remix, #zuchu
#BinaTv #WasafiTv #ManaraTv
Aya hongera sana
Fikiria na kufa pia usifkirie kuwa bibi tu ivi unaijua kesho yako itakuwaje ata ujipe matumaini kama utafikia kuwa bibi!! Ivi ni mara ngapi mauti yashaingia nyumbani kweni yakawanyakuwa wengine yakakuacha wewe!
Makafiri wao hawafikirii Akhera wao ni wadunia tu
Wewe kama unapenda ushetani na mambo ya kishetani endelea na ushetani wako iko siku moja utakufa na utarejea kwa mola wako aliyekuumba halafu utafute majibu mazuri ya kumridhisha mola wako kama kweli amekuumba ili ufanye mambo ya kishetani Mimi sijakuumba aliyekuumba ni mola wako na mola wangu Mimi
Hao ni makafir achan nao bro
Wewe kama ushetani baki na ushetani wako wewe na usijaribu kuwashauri wengine waliomrudia mungu warudi katika ushetani shetani mkubwa wewe
Bado hujajielewa kabsa ila ikon cku mauti yatakuelewesha,rudi kwa Allah mapema, mda unaupoteza huo,tunakwenda mbali dada jitambue.
Makafir wanafikra za kishetan hawan pes haramu wal kaz haram wao kila litu ni halali ilimrad pes inaingia
Nyinyi wenye fikra za kishetani dawa yenu ni dola ya kiislam tu na inakuja haiko mbali kwa uwezo wa allah inshaallah na itakapokuja dola ya kiislam mtatia akili na mtakua na adabu na heshima
Jo❤🎉
Huyu johari kutoka na mbele simpendi na sasa amezidi kunifanya nimchukiye shetan mkubwa
Ww hujajitambua bado ndo mana unaongea hivo siku yakikukuta utatamani mda wako umekwisha naa ushapoteza muda
Isomfaa akili yake utamdhuru ujinga wake
Mmh unadini yako nae anadini yake jitambue unapoongea. Viovu kukaa uchi sio usijimalize ww
wewe huna akili ya kumshauri Snura ukt Snura amejitambua na ameelewa lengo la kuletwa kwake hapa duniani hivyo nami nakuomba achana naye kabisa huo ustaa wako unaojiita ni wako Ukt amejizjngumzia yeye binafsi hakutaja mtu yeyote amefikisha unamshauri aendelee na filamu ajivue asiwe na stara achana naye kabisa tunakueleza wewe huwezi kumpa chochote hapa duniani.
Hao ni makafir ww achan nao
Kafiri mkumbwa
Fikiria na kufa pia usifkirie kuwa bibi tu ivi unaijua kesho yako itakuwaje ata ujipe matumaini kama utafikia kuwa bibi!! Ivi ni mara ngapi mauti yashaingia nyumbani kweni yakawanyakuwa wengine yakakuacha wewe!
Makafir wanafikra za kishetan hawan pes haramu wal kaz haram wao kila litu ni halali ilimrad pes inaingia