EXCLUSIVE INTERVIEW ROSE SHABOKA - SIJAOLEWA NA MALAIKA MUME WANGU ANATAMANI KAMA WANAUME WENGINE
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 28 ก.ย. 2024
- EXCLUSIVE INTERVIEW ROSE SHABOKA - SIJAOLEWA NA MALAIKA MUME WANGU ANATAMANI KAMA WANAUME WENGINE
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2024 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
Kujaji juu ya mahusiano ni ngumu sana pastor, ujavivaa viatu ivo ukaviona sanasana kwenye usaliti its very painful kwa watu waliokuwa wanapendana, binafsi nakueshim sana pastor mana nakufatilia sana lakini kuhusu mahusiano acha kabisa wafundishe watu kumtegemea mungu na kuombea mapito yao yawe salama itawasaidia kuliko kufundisha waachane siku ikipita kwa maisha yako utanielewa mausiano ni taasisi isiyofundishwa na mtu yeyote.
Yaani umenena kabisa ubarikiwe
Good teaching.
Shida watu hamsikilizi.
Kucha kama mwewe😂
Punguza makasiriko
Punguza wivu
Lipstiki na wanja😂😂
Wote mnaokasirika ni wanaume tu sababu ya ukwel husika
MTUMISHI WA MUNGU ,HAKUNA KAZI NGUMU KAMA HII,CHAPA KAZI,MUONEKANO WAKO NAUPENDA MIMI NI BINTI NAKUELEWA.NIMEFURAHI KUKUSIKIA UKIONGEA NAKUSKIA TU UKIHUBIRI JAMANI
DUNIANI DINI NIMBILI TU ,ROMANI CATHOLIC church, 😂 islamic tu basi ,awa wengine wote wafanya biashara ,wazee wa maokoto
Na vipi huyo Papa anayesapoti ushoga???😮
Kutoka 20;4 soma
Ndivyo unavyoelewa wewe lakini haimaanishi kama ndio ukweli
Lakini dini ya kweli ni ile inayotii mapenzi ya Mungu bila kuweka mitazamo Yao
Aliyekuambia Roman ni dini nani ? Umevamia mtumbwi tu
We huajui unachoongea wew
Nakupenda Sana mama umenisaidia Sana katika nyanja Fulani
Upuuzi mtupu
Napenda sana unavyovaa smart pastor yaan unanibariki sana uko smart sana ww ni role model wangu mamyy❤
Soma neno la Mungu ujue being smart kibibilia
Katika watumishi sijawah waelewa ni mojawapo na hyu mama kwahyo ushinwe kuhubili kweli watu waache dhambi kisa tupo kizazi kipya acheni kudanganya watu nyie mnaojiita wachungaji💋💋💋
Una akili sana. Mungu mwenyewe alisema mbingu na dunia zitapita ila neno langu halitapita kamwe! Neno lihubiriwe , kweli isemwe dhambi ikemewe.
Ushafundishwa sana kuhusu kuacha dhambi na watumishi wa Mungu walio wengi hukuelewa unadhan rose ndo utamuelewa 😂
Don't generalise kwamba mwanaume hawezi kujizuia, that is totally unrealistic, haijalishi ninmwamaume au mwanamke, hapa ni swala la mtu binafsi, na yote yanawezekana na ndio mana Mungu amekataza zinaa akijua inawezekana, so msaliti nii yeyote uwe makini sana unapo attack gender
Mahusiano yanaumiza sana, Mungu atusaidie tuu na vizazi vyetu
ROSE MCHUNGAJI EBU NENDA KAKAE NA CRISTINA SHUSHO KAMPE ELIMU HIYO SRUDI KWA MUMEWE UNAFAA SSNA KTK KUTOA USHAURI WA NDOA CRISTINA SHUSHO ANATAKIWA AKUPATE MSHAURI OM WEWE
Yupo Kiroho kweli .. huyu au Kidunia zaidi..,isaidieni labda mie ndio sielewi
Pastor Rose kumbe unasauti nzuri hivi yenye utaribu ❤️❤️❤️❤️
Hakuna chitin ya bahat mbaya
Nyusi hizo vip,mdomo vip wa kwale au na hizo kucha Jin au ndio maana mungu hakuwapa Kaz ya kuwa wachungaj nyie achen kumwinua shetan
Acha ujinga wew huyo ni shetani...??
Hakuna pastor hapa.
Wewe sijui Imani yako iko wapi ? Hapa duniani Kiila mtu na Imani yake , roman , na waislamu ndiyo wachawi sana na washirikina baadhi yao , na huku wapentekoste uchawi ushirikina unakemewa , na ulevi , na uasherati ,
Katika wachawi wewe ndo namba 1, Kwa jinsi unavohukumu watu wewe hata mbingu sahauu
Wito+specialisation+GOD saw
Nakuelewa sana mama angu
Very true 💯%
Sasfi Sana mtumishi
KUCHA IZOOOO UYU VIPI TENA MBONA ANAHAMASHA UCHAJU
Zmefanyaje
Msikilize anachosema ndo cha muhimu achana na kucha zake
fundisha watu kutubu thambi , sio kuamashisha watu eti michepuko anamaji matamu , unahamashisha usharati sio powa ,
Hujamuelewa labda mafundisho yake
Anafundisha Nini uyuuu ni kungaaa au mbona cmuelew ivi vitu watu wanavijuwa sana tuuu awaitaj ata kufundishwa
Sasa. Wewe na ukubwa wako hujui kutubu na kutubu na kuiamini injili
Unataka mtu akufundishe