Salama Na KAJALA Ep 35 | JERAHA LA MOYO Part 2

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 25 ก.ย. 2020
  • #YAHStoneTown #SalamaNa #PodCast
    SUBSRIBE TO OUR CHANNEL bit.ly/YahStoneTownSubs
    Listen our Podcast on
    Spotify Link spoti.fi/2Uxr6Cm‬
    ‪ApplePodcast Link apple.co/2Ou1bru‬
    GooglePodcast Link bit.ly/GooglePodcastSalamaNa
    Audiomack Link bit.ly/YahStoneTownAudioMack
    ‪TH-cam Link bit.ly/TH-camSalamaNa
    Kajala Winfrida Masanja ndo jina lake alipopewa na Mama yake kipenzi alipozaliwa. Mama ambaye alikua akilitumikia jeshi la Polisi Tanzania miaka ya nyuma, ambaye alihakikisha binti yake huyu anakua katika maadili yaliyo bora na nidhamu yake iwe ya hali ya juu. So nini haswa kilitokea mpaka akawa si mtoto mzuri yule ambaye Mama alifanya kila aliwezalo kuhakikisha anakua hivyo miaka ya nyuma? Sasa ni Mama na mfanyabiashara anayejielewa tu. Ila yepi haswa ambayo yalishawahi kutokea kwenye maisha yake na ambayo hajivunii hata kidogo?
    Mimi na K tunafahamiana miaka mingi sana, mara ya kwanza tulikuna kwenye michezo, kwenye uwanja wa basketball wa Pazi pale Drive In enzi hizo, skuizi nadhani panaitwa Ubalozi maana ni mkabala kabisa na ubalozi wa Marekani na uwanja umo ndani ya nyumba za Tanesco na sisi pia tulikua tukipaita hivyo. I remember alikua anakuja kucheza na sisi enzi hizo yeye anasoma Jitegemee nami nasoma Makongo Secondary School, hakua mchezaji mkaaali ila alikua na juhudi, na kwa mujibu wa maongezi yetu haya aliniambia ile pia ilikua ni moja ya njia zake za kutoka nyumbani na kupata kijihewa ivi, kwa kukutana na watu tofauti 😀. Sisi tulikua tukimshangaa kwa mitkasi yake mingi, alikua anatoka, yuko na marafiki ambao walikua wakubwa kuliko yeye na kama alikua na mambo mengi ivi. Ila huko ndo kukua sasa, maana unachojifunza wakati unafanya jambo ndo hapo unapoweza kujua kama ni zuri au baya na kama lina faida nawe au laa.
    Next thing I know Kajala ni mpenzi wa producer mataaata haswa enzi hizo ndani ya P-Funk na kwenye story zetu za humu amezungumzia hilo kwa urefu haswa, vile walivyokutana, alivyokua anakaa nae, reaction ya wazazi wake na waalimu shuleni na mahusioano yao mpaka yalipofika tamati. Jinsi ambavyo walikua wakiishi yeye na PFunk bila ya Mama yake Majani kujua kama mwanae anaishi na mwanafunzi ndani ya nyumba yake na mpaka akapata mimba bila ya yeye kujua. Paula alipozaliwa ndo mambo yakawa hadharani.
    Mapenzi yake na PFunk yalikua na mambo mengi ambayo niliyauliza kwenye episode hii ya 35, walikutanaje, waliendeleaje, wazazi, Paula na pengine watu wengine kuhusika na mapenzi yao hayo. Aliniambia mwisho wa siku ilibidi afanye liwezekanalo ili aweze kutoka humo na maisha yaendelee na akafanikiwa kukutana na mtu mwengine Ila na kwake naye mambo hayakua matamu kama ambavyo yalianza. Yaliisha kwa machozi na chuki ambayo anadhani iko upande
    wa pili zaidi maana kwake maisha yamesogea na maombi yake ya kuanza upya yamebarikiwa.
    Kajala amepitia mambo mengi kwenye maisha yake ambayo mengine anajivunia na mengine siyo hata kidogo. Kama kawaida, yangu matumaini utaokota mawili matatu humu na ambayo pia kama nia na madhumuni yatakufanya ushangae na kujifunza mwisho wa siku. Tafadhali enjoy!
    Love,
    Salama.
    Soundtrack Yeah by @MarcoChali • Marco Chali Feat One T...
    Follow:
    Twitter: / yahstonetown
    Instagram: / yahstonetown
    Facebook: / yahstonetown
  • บันเทิง

ความคิดเห็น • 177

  • @evaristmrope
    @evaristmrope 3 ปีที่แล้ว +41

    Nampenda sana sister Kajala yuko very humble mwenyezi MUNGU azidi kumuweka zaidi na zaidi na amzidishie kipato chake cha kila siku

  • @anniegabby8085
    @anniegabby8085 2 ปีที่แล้ว +13

    Salama your very professional yani hadi raha kusikiliza interview zako

  • @joanna_kitchens6402
    @joanna_kitchens6402 3 ปีที่แล้ว +26

    Napenda saana maswali yako Salama you so professional na unaheshimu saana maamuzi ya mtu kama hataki kuongelea kitu hulazimishi ❤️❤️

  • @mwal7
    @mwal7 3 ปีที่แล้ว +27

    She is a good mother 🙏🏾

  • @agnesexavery6625
    @agnesexavery6625 3 ปีที่แล้ว +12

    She takes things positive thats great

  • @azzamahamdu7039
    @azzamahamdu7039 3 ปีที่แล้ว +11

    Salamaaa jabir 🥰kajala mpole mremboooo🥰🥰🥰salama bana sasa mtu alkua mumewe lzma atampenda...ukiolewa na mtu haupend lkn jinc mnavokaa mda kupenda itakuja...

  • @naasamson4905
    @naasamson4905 3 ปีที่แล้ว +7

    Amefunguka vizuri tu na hasa kuhusu mtoto huku nyuma ya pazia tunahisi kama vile ni yeye anaedekeza kumbe nimegundua ni mama mkali kwa mwanae

  • @nasradodo2365
    @nasradodo2365 3 ปีที่แล้ว +18

    salama you're the best, yani you gat my ear and eyes like no one sio hapa sio kwenye podcast yani i learn alot😩😩❤️❤️❤️ ilysm

    • @celestin4684
      @celestin4684 3 ปีที่แล้ว

      Bip up sana salama. I wish you could do this interview this time as i am talking. 😆😆😆😂😂

  • @Kazubassyathyvry89
    @Kazubassyathyvry89 3 ปีที่แล้ว +4

    Like mother like daughter,ofcourse.

  • @yama_virginhairthequeen1065
    @yama_virginhairthequeen1065 3 ปีที่แล้ว +3

    Salama ur the best ever n forever yn hujachuja vile tumekufahamu unavyohoji mpk Leo ur one of my best yani

  • @babyhamisi5331
    @babyhamisi5331 3 ปีที่แล้ว +5

    Shukran Sana anty sadaka your our grate mother

  • @glorykimaro5528
    @glorykimaro5528 3 ปีที่แล้ว +3

    Huyu dada ni mwanamke bora sana katika malezi

  • @agnesrutebuka827
    @agnesrutebuka827 11 หลายเดือนก่อน +1

    I love this Woman, she is Real 🙌

  • @hythalkarume2843
    @hythalkarume2843 3 ปีที่แล้ว +3

    Interview Mzuri tumejifunza vitu vingi tumefurahi umelifanya kuwa jukwa sito la kutengeneza magonvi I like that, hila tuongeze kitu hiwe ni sehumu kwa wale ambao aziendi kuwa ni sehemu ya kuwasuluhisha

  • @safiyatheonlything7848
    @safiyatheonlything7848 3 ปีที่แล้ว +7

    Kajala we mpole sana ata mm sikupendaga watu walivyo muongelea pau

  • @aminihaminih7846
    @aminihaminih7846 3 ปีที่แล้ว +5

    Pole sana kajala kwa mapito ulopitia dada angu nimeumia sana😭😭😭, nakupenda bure.pia hongr sana da salama kwakuendesha kipnd hiki💪

  • @ummulkheirzubeir6320
    @ummulkheirzubeir6320 3 ปีที่แล้ว +5

    Mama paula nakupenda tu hunaga mbwembwe

  • @princemujuni9803
    @princemujuni9803 3 ปีที่แล้ว +26

    Sema Kajala anaonekana mpole anavyoongea yan alifaa kuwa mama mchungaji no wonder alitaka kuwa nun sema sasa hilo shepu c ingekuwa matumizi mabaya ya shepu.

    • @sofiajuma3075
      @sofiajuma3075 3 ปีที่แล้ว

      🤣🤣🤣🤣

    • @leonelleo4425
      @leonelleo4425 3 ปีที่แล้ว +1

      Hilo shepu lingeleta balaa kwa mapadri 😀😀😀

  • @barakagwakisa909
    @barakagwakisa909 ปีที่แล้ว +1

    She's a protective mom. Keep it up

  • @melvinkyando9081
    @melvinkyando9081 ปีที่แล้ว +1

    Inauma sana kama mzazi naelewa nini unajisikia kajala

  • @sophiamkandara1834
    @sophiamkandara1834 2 ปีที่แล้ว +1

    Salama anahoji vizuri sana and very professional 👌

  • @franktimothkisimbo5354
    @franktimothkisimbo5354 3 ปีที่แล้ว +4

    Umekuwa muwazii saanaa kajala umekiri makosa yako yotee Mungu akuinue zaidi

  • @doreentraavis1701
    @doreentraavis1701 3 ปีที่แล้ว +7

    Nampenda Sana kajala mstarabu Sana ata ajisikii

  • @ednacelemon5950
    @ednacelemon5950 3 ปีที่แล้ว +1

    Asante Salama kwa mafundisho yako.

  • @mathiaslyamunda2526
    @mathiaslyamunda2526 3 ปีที่แล้ว +4

    Dah Salama yani you are very good at your Job! Hongera sana.

  • @RamazaniMulongeca
    @RamazaniMulongeca 3 ปีที่แล้ว +5

    Aunti Sadaka anaitajika tena, please mpeleke kwa MWAKA mzima..🙏🙏🙏

  • @wellbrand3415
    @wellbrand3415 3 ปีที่แล้ว

    Naam, shukran sana, tunazidi kujifunza mengi mnooo...

  • @tumakassim6286
    @tumakassim6286 3 ปีที่แล้ว +4

    Tenda Wema wende zako usingoje shukrani,mh! basi haya ☹️☹️

  • @anitanahimana2115
    @anitanahimana2115 3 ปีที่แล้ว +1

    Pore sana dada kajara..mungu ata kupa mwengine

  • @aishakidotigakii6157
    @aishakidotigakii6157 3 ปีที่แล้ว +3

    Kajala so humble

  • @mwasakafyukasamson
    @mwasakafyukasamson 3 ปีที่แล้ว +1

    Premier Diva Salama , asante kwa kazi yako

  • @jescaemmanuel100
    @jescaemmanuel100 3 ปีที่แล้ว +8

    Tena aunt kiboko haswaaaa 😂😂

  • @zandonaabrondi1906
    @zandonaabrondi1906 3 ปีที่แล้ว +1

    Salama uko powa kazi nzuri

  • @ab3ab313
    @ab3ab313 3 ปีที่แล้ว +2

    kajara nakupenda bure❤❤❤

  • @aoman5214
    @aoman5214 3 ปีที่แล้ว +10

    Nampenda San huyu dada nmstaarb Hadi kuongea

  • @levinaleonard7652
    @levinaleonard7652 8 หลายเดือนก่อน

    Nakpenda sana kajala❤❤❤

  • @vevo3130
    @vevo3130 3 ปีที่แล้ว +1

    sawa aunt Kiboko…..niletee Mr. Blue.

  • @rashidchimwenda
    @rashidchimwenda 3 ปีที่แล้ว +1

    Dope

  • @nancykimaro3845
    @nancykimaro3845 3 ปีที่แล้ว +4

    Flaviana Matata plz

  • @abdulkhalim5564
    @abdulkhalim5564 3 ปีที่แล้ว +1

    Good job Aljabir

  • @mwamvuakayanda8730
    @mwamvuakayanda8730 2 ปีที่แล้ว

    Najifunzaaa sanaaaa kajala stay blessed mom

  • @Richard_Range
    @Richard_Range 3 ปีที่แล้ว +2

    Love this ladyy! Much love kajala! I remember meeting you samaki samaki ulikuwa na kina baby madaha and i gave you a hug 2015/6! 🥰

  • @lindalaizzer9897
    @lindalaizzer9897 3 ปีที่แล้ว

    Nampenda sana kajala sana

  • @safiangaiwa2597
    @safiangaiwa2597 2 ปีที่แล้ว

    Nawapenda

  • @rahmarajab3688
    @rahmarajab3688 2 ปีที่แล้ว

    Duuh,
    Nawapenda sana!!!!!

  • @mamusmama2882
    @mamusmama2882 3 ปีที่แล้ว

    Asante aunt kibokoo😜mm ntakusaka tupige story😘
    Good job

  • @mutwalesylvie7443
    @mutwalesylvie7443 3 ปีที่แล้ว

    Nice

  • @magrethmkira6250
    @magrethmkira6250 3 ปีที่แล้ว

    Part 1

  • @mahmoudukusso4488
    @mahmoudukusso4488 3 ปีที่แล้ว +4

    Hapa ndiyo kwenye tatizo la ndoa za kikatoliki ,hamjaachana lkn una mtu na unatafuta mtoto,poleni sana

    • @silverdavid6200
      @silverdavid6200 3 ปีที่แล้ว

      Kuachana hakupo kabisa kwenye ndoa za kikristo.

    • @mahmoudukusso4488
      @mahmoudukusso4488 3 ปีที่แล้ว

      @@silverdavid6200 umesikiliza maelezo yake? Mwenyewe anakiri wameachana

  • @bujsaudaselemani5562
    @bujsaudaselemani5562 3 ปีที่แล้ว

    Pole sana dada yangu ndo binadam

  • @user-lp4vb5dj9k
    @user-lp4vb5dj9k 5 หลายเดือนก่อน

    Nakupenda sana kajala

  • @xkingx8041
    @xkingx8041 3 ปีที่แล้ว +2

    Salama!!Nakupendaaaaaaa we dadaake 😘😘

  • @winfridamdaki5699
    @winfridamdaki5699 3 ปีที่แล้ว +1

    Safi sana interview nzuri Salama

  • @elizalwakatare8070
    @elizalwakatare8070 3 ปีที่แล้ว +6

    Yaani hii tabia ya watu kuzusha maneno inaumiza sana sijui huwa wanafikilia nini dah😥 salama tunamuomba Jenifer kyaka

  • @kotindimfinanga1169
    @kotindimfinanga1169 3 ปีที่แล้ว +2

    I love you kajala

  • @nahimanajo8993
    @nahimanajo8993 3 ปีที่แล้ว

    Nice kajala

  • @queenmichael5319
    @queenmichael5319 3 ปีที่แล้ว +10

    Mtu mwenye nafasi awaonyeshe hao watu wanaotafuta part one or two kwa sababu zipo zote hapahapa ila naona wanalalamika.

  • @jacintabati6238
    @jacintabati6238 3 ปีที่แล้ว +1

    Kajala is so beautiful and adorable

  • @faudhatymalembuka7151
    @faudhatymalembuka7151 2 ปีที่แล้ว

    Dada salama mwambie da kajara nampenda san

  • @medyamon
    @medyamon 3 ปีที่แล้ว +5

    Eti Aunt kiboko😂😂😂😂😂 wewe ni Aunt-no-filter👊🏽😂💕

  • @sylviemugeni1887
    @sylviemugeni1887 3 ปีที่แล้ว

    Nakupenda sana nashukuly ku mule ta kajala

  • @mutahangarwasamwel4643
    @mutahangarwasamwel4643 3 ปีที่แล้ว

    Paula asome sana sana

  • @yustinageorge1771
    @yustinageorge1771 3 ปีที่แล้ว

    Upo sawa 😘😘

  • @barakayohana6021
    @barakayohana6021 3 ปีที่แล้ว +2

    Kajala Masanja,cku izi Industry yenu mbna imekua changamoto sana,mmekua mnapenda skendo kuliko kuigiza,Maisha yenu halisi,yamekua ndio maigizo

    • @belak999
      @belak999 3 ปีที่แล้ว

      Yeye umemuona kwenye skendo? Yaan haya majina ya Baraka sijui kwnn ni laana, huwa mnashindwa hata kujielewa

    • @barakayohana6021
      @barakayohana6021 3 ปีที่แล้ว

      @@belak999 samaki mmoja akioza,C tunajua wote wameoza mbweha we

    • @ms_caramel2688
      @ms_caramel2688 3 ปีที่แล้ว

      @@barakayohana6021 sio kwa mbweha iyo hahaha bila shaka ww ni mhehe

  • @princesbimkhamis6446
    @princesbimkhamis6446 3 ปีที่แล้ว +3

    Salama tulelee madam wema

  • @didah6556
    @didah6556 3 ปีที่แล้ว +4

    Asante aunt kiboko😂

  • @feristerdavid-lq2en
    @feristerdavid-lq2en ปีที่แล้ว

    Nzuri

  • @nancykimaro3845
    @nancykimaro3845 3 ปีที่แล้ว +1

    Master Jay plz plz

  • @a.856
    @a.856 3 ปีที่แล้ว +1

    🙏

  • @nissamwapoladi7345
    @nissamwapoladi7345 2 ปีที่แล้ว

    Kajala love uuu.nimejifunza kitu

  • @hellenmwasha8482
    @hellenmwasha8482 3 ปีที่แล้ว

    Unatupa raha Sana stress Free

  • @ednacelemon5950
    @ednacelemon5950 3 ปีที่แล้ว +3

    Mimi napenda kusikia unavyotamka jina la Jesca.

    • @fatmaallyabdul1732
      @fatmaallyabdul1732 3 ปีที่แล้ว

      Yes,Jessica!! halafu kuna huyo Jesca unayemsema wewe

  • @pbye2974
    @pbye2974 3 ปีที่แล้ว +3

    Ooooh hupendi tattoo na mbona umechorana na harmo😀😀 hivi ukirejea hii interview unajickiaje

  • @kavishejrkavishe9643
    @kavishejrkavishe9643 3 ปีที่แล้ว +4

    Jamanieee hii background beat nyimbo inaitwaje?

  • @munirandinda7448
    @munirandinda7448 3 ปีที่แล้ว

    Kajala mrembo jamani nampenda Sana

  • @abenizermusic6694
    @abenizermusic6694 ปีที่แล้ว

    Nimejifunzaa mengi kupitia maojiano ayaa

  • @princemujuni9803
    @princemujuni9803 3 ปีที่แล้ว

    Sema hiyo leo inaitwa Tanga wiki iliyopita ilikuwa inaitwa Arusha , Salama unanichanganya

  • @minskbelarus7255
    @minskbelarus7255 3 ปีที่แล้ว +3

    Hivi kuna mtu anaeweza kumuhoji SALAMA na jinsi alivo na IQ ya ajabu, labda OPRAH

    • @indacarservicestz
      @indacarservicestz 2 ปีที่แล้ว +1

      She has to be with Ellen or Salim kikeke

  • @bish_daddiyao
    @bish_daddiyao 3 ปีที่แล้ว +2

    Nice....INTERVIEW BRING JUMA NATURE AUNTY HE IS GREAT TOO

  • @judithkarikwera9091
    @judithkarikwera9091 3 ปีที่แล้ว +1

    Nampnda San kajara

  • @zildatwahid6526
    @zildatwahid6526 3 ปีที่แล้ว +1

    Nikki wa pili please...we need him

  • @msouthdablack
    @msouthdablack 3 ปีที่แล้ว

    😁😁😁😁😁 hata sijui nimecheka nin

  • @azizalmas4649
    @azizalmas4649 3 ปีที่แล้ว

    Wanne mie

  • @kulwamwakagali24
    @kulwamwakagali24 3 ปีที่แล้ว +2

    Kwenye tattoo umesema ukweli usiosemwa na wengi...

  • @karthala6676
    @karthala6676 3 ปีที่แล้ว +4

    Kwenye biblia Imekatazwa kuchora mwili. Ya pili watu wenye tattoo hawaruhusiwi kuwapa
    damu watu wanohitajiya. Watu wafikiriye.

    • @joycejohn7754
      @joycejohn7754 3 ปีที่แล้ว

      Kwahyo watu wafe kisa anaetoa anatatoo

  • @saumushabani3170
    @saumushabani3170 3 ปีที่แล้ว +3

    Wa kwaza mie

  • @sadikiballack1631
    @sadikiballack1631 ปีที่แล้ว

    Salama we noma napenda cocktails zako ......
    Chakula cha kisasa mambo yako makbwa ongera kwa hilo

  • @devotajoel3730
    @devotajoel3730 3 ปีที่แล้ว +3

    Gonga rike Kama uko pamoja na salama

  • @wemamlaga3714
    @wemamlaga3714 3 ปีที่แล้ว +1

    Salamaaaa.... Skafu unapata wapi/ unanunua wap

  • @priscaiman2081
    @priscaiman2081 3 ปีที่แล้ว +3

    Part one iko wapi

  • @suleymanmakiwa1651
    @suleymanmakiwa1651 3 ปีที่แล้ว +1

    Online media za bongo ukiondoa Wasafi mnafanya mambo kimazoea sana! Juzi Earadio walifanya hivi hivi. Wameweka part one halafu part two sijui wataweka lini

  • @kulolamasanyiwa3683
    @kulolamasanyiwa3683 3 ปีที่แล้ว

    Da inaumiza kwakweli,nimejifunza kitu

  • @PiscoJeanClaude
    @PiscoJeanClaude 3 ปีที่แล้ว

    Wa tatu mie

  • @kozbeahani2328
    @kozbeahani2328 3 ปีที่แล้ว

    Umlete Paula plzzzz nataka kuskia lifestyle yake

  • @mamuliciosrajab6664
    @mamuliciosrajab6664 3 ปีที่แล้ว +1

    Wema sepetu

  • @superalain100
    @superalain100 3 ปีที่แล้ว

    🇨🇦❤

  • @geofreybarama4000
    @geofreybarama4000 3 ปีที่แล้ว

    Kipindi changu bora

  • @nancykimaro3845
    @nancykimaro3845 3 ปีที่แล้ว

    Flaviana Matata

  • @haskao77
    @haskao77 3 ปีที่แล้ว +3

    Where's part one?

  • @noohmahdy2336
    @noohmahdy2336 3 ปีที่แล้ว +4

    Mnazinguwa part one iko wapi

    • @renathajohn879
      @renathajohn879 3 ปีที่แล้ว

      Ipo hukuangalia wewe umedandia gari kwa mbele 😂

    • @eshalibaba1195
      @eshalibaba1195 3 ปีที่แล้ว

      @@renathajohn879 😀😀😀😀

    • @itshaluastyle
      @itshaluastyle 3 ปีที่แล้ว

      th-cam.com/video/QzqbXK2nVC0/w-d-xo.html

    • @sabihasalim942
      @sabihasalim942 3 ปีที่แล้ว

      @@renathajohn879 so funny 😂😂🇬🇧