Dawa pekee ya Kuondoa ukakasi huo ni kubuni mbinu ya kupiga kura kwa kutumia hadi simu ya mkononi,hili litavutia wengi,haswa walokata tamaa kwenda vituoni,maeneo yenye tension za polisi,mabomu ya machozi,foleni ndefu n.k.Litaongeza pia hamasa ya kushiriki chaguzi.✍️🏿
Hiyo itachukua muda mrefu sana. Kama kujiandikisha tu kuna figisu, huulizwi kitambulisho na ubabe unatumika, itakuwaje kutumia technolojia? Siyo swala la leo wala kesho
Tatizo kubwa sana unapokwenda kuandikisha hauojiwi chochote zaidi yakuambiwa majina matatu umri na sahihi kitu ambacho hata raia wasiyo wanchi hii wanaweza kujisajili bila shida
Na kwanini kuwe na malalam8ko mbona Inchi zilizostarabika hawana huu umbumbu? Ati wanachekelea nini? Kwa kufundisha wanainchi wetu kuwawajinga zaidi kuliko wakati wa stone age.
Tunawashangaa sana watu wengine. Kwani wananchi wa upinzani siyo raia wa Tanzania. Kwani upinzani ni raia wa nchi nyingine? Mbona tunajivuruga bila sababu jamani?
KAKA MATE MATE MENGI VIONGOZI MNATUAGUSHA UPO KIMASILAHI ZAEDI TANGU MLEMA MLIPUMBA DR SILAHA MBOE NENO SIBILINI KWANZA TUNAFATILIA ENAWAVUNJA WANA NCHI NGUVU NA WATU WANAUMIA NINYI UNATUCHANGANYA SANA
Acha so hizo unaweza kuwa mjanja wewe tu na wengineo wachache.au hakuna kabisa maana tumeona matukio mengi wanakomea VIONGOZI kukamatwa huku raia kama wewe umefyata mkia. Watanzania ndo tatizo.
Huku kwetu tunachoangalia nimekula tumeenda shamba timerudi safi.Ila habari ya kuchagua viongozi hilo ni kama kupoteza muda
Kila mtu anajua kuhusu wanafunzi kuandikishwa....
Taifa hili hakuna ulazima wa kufanya uchaguzi kwani kinachozungumzwa si kinachotekelezwa
Dawa pekee ya Kuondoa ukakasi huo ni kubuni mbinu ya kupiga kura kwa kutumia hadi simu ya mkononi,hili litavutia wengi,haswa walokata tamaa kwenda vituoni,maeneo yenye tension za polisi,mabomu ya machozi,foleni ndefu n.k.Litaongeza pia hamasa ya kushiriki chaguzi.✍️🏿
Hiyo itachukua muda mrefu sana. Kama kujiandikisha tu kuna figisu, huulizwi kitambulisho na ubabe unatumika, itakuwaje kutumia technolojia? Siyo swala la leo wala kesho
😂😂mnaiogopa siyo itavyowafagia?mbona benki inatumika usiweze kuiba fedha.
Huyu mbwa wa fusiemu na shari la mvogamboga huwa anakera natamani kulitemea mate
Ccm ndivyo walivyo ndugu yangu.😂😂😂😂
Tatizo kubwa sana unapokwenda kuandikisha hauojiwi chochote zaidi yakuambiwa majina matatu umri na sahihi kitu ambacho hata raia wasiyo wanchi hii wanaweza kujisajili bila shida
Mwizi ni mwizi tu unaweza kujiibia mfuko huu ukahamishia mfuko mwingine kha
Na kwanini kuwe na malalam8ko mbona Inchi zilizostarabika hawana huu umbumbu? Ati wanachekelea nini? Kwa kufundisha wanainchi wetu kuwawajinga zaidi kuliko wakati wa stone age.
Hakuna haja ya uchaguzi. Watu hawana uhuru wa kuchaguwa viongozi wanao wataka, mpaka wachaguliwe na CCM
Tunawashangaa sana watu wengine.
Kwani wananchi wa upinzani siyo raia wa Tanzania. Kwani upinzani ni raia wa nchi nyingine?
Mbona tunajivuruga bila sababu jamani?
Huku ni kukosa weledi, unamfundisha mfanyakazi uliyemwajiri kukosa weledi na kuvunja maadili ya kazi
Haya ni mawingu. Tarehe 27/ sitashangaa kurudiwa ya 2019.
com ni wendawazim kwasababu wanayo yafanya yanaonekana leo anatokea mpuuzi mmoja anasema wapinzani acheni uwongo daa kwakweli uchawa una waponza
Wapinzani acheni uwongo na uzushi kwani wanafunzi waliofikisha miaka 18 hizo kelele nizakutapata .
Ubwa muuaji wwe
Wananchi wamegeuzwa kuwa mazuzu kabisa. Huyu Mama ni pepo wa kuzimu. Ana uroho wa madaraka kiasi kwamba hajali tena maslahi ya nchi.
Hivi hata wasomi mnafanya ovyo kuliko wawakubwa ambayo hawajasoma jamani Inchi hii itakuwa ya wajinga
Naona hapa CCM wanafurahi sana kwa kuwa wafalme wa Inchi milele.
Ccm nao Muda wao utafika!
KAKA MATE MATE MENGI VIONGOZI MNATUAGUSHA UPO KIMASILAHI ZAEDI TANGU MLEMA MLIPUMBA DR SILAHA MBOE NENO SIBILINI KWANZA TUNAFATILIA ENAWAVUNJA WANA NCHI NGUVU NA WATU WANAUMIA NINYI UNATUCHANGANYA SANA
Acha so hizo unaweza kuwa mjanja wewe tu na wengineo wachache.au hakuna kabisa maana tumeona matukio mengi wanakomea VIONGOZI kukamatwa huku raia kama wewe umefyata mkia.
Watanzania ndo tatizo.