MANENO YA MAKALA YAMUASHA KIONGOZI WA CHADEMA/AWACHANA WANACHADEMA WANAOLIA LIA KUHUSU UCHAGUZI
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 18 ต.ค. 2024
- #JAMBOTV
MANENO YA MAKALA YAMUASHA KIONGOZI WA CHADEMA/AWACHANA WANACHADEMA WANAOLIA LIA KUHUSU UCHAGUZI
CHADEMA MBEYA WAMJIBU AMOS MAKALA''TUACHE KULIALIA, TUCHUKUE HATUA KWA KUIONDOA CCM KUPITIA SANDUKU LA KURA''
...........
Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii
►TH-cam: / @jambotv908
►INSTAGRAM: / jambotv
►TWITTER: / jambotv_
►FACEBOOK: / jambotv
►WEBSITE: jambo.tz/
Indeed.
🎉🎉🎉
Ndugu Boniphace Jacob unaongea ukweli,Mungu akulinde dhidi ya waovu wote! Hatuogopi kitu zaidi ya Mungu!
Ugumu wa maisha niuvivu wako. Chadema hamna connection nilikuwa huko nawajuwa Uongo mwingi wapumbavu watawapa kura Chunya CCM inang'ara achaujinga
Bora kiongozi umeongea vizuri ! Sio kina mdude maria sarungi lema nk wao wanakiharibu chama
mmmh
Mtasubili sana 🤣🤣
Vijana wa Chunya wanachapa kazi kweli wakufwate wewe na Uongo wako😂😂😂
Mgefanya hivo mapema,but now its too late
Kenge wewe wa kijani.
Sawa kabisa ukumbali matokeo mhowe SIO baba yako kuiondoa Ccm sahau brother
Ungekuwa nazo basi nawe kama ss tu
Kwa wewe ccm ni mamako ndugu!!!?
Kwani uwongo kelele za,chura tu hizo .Kusema nirahisi sana .Doto za usiku.
Chadema hamja wai kuchimba hatachoo ya mtaa nani awapekura Chunya hii wahuni chadema hamna jipya. Asie wajua ninyi atawafwaata hamna lolote🤣🤣🤣
Kila ck chadema watu mmeishiwa hoja kila chadema
Tunaichagua CCM acha utoto, kwanini? Tuwachague chadema, wahuni Chunya hapa hakuna chadema maendeleo, yanaonekana acha ujinga kanyoe ndevu
Utapasuka mashavu hayo hakina Mtanzania kwenye akili timamu kaipga mkono Kwa Siasa bovu za Zelensky
Uwezi nindoto izo
Ndoto za
MTanzania
Mafisi na kijani yao mavi kabisa
ACHA POROJO HAMKUBÀLÌKI KABISA MITANDAO ÑA MAGAZETI YÀMEWA DÀNGANŸA KWISHA KABISA
Wewe unakubali utumwa wa ccm
Kwani wewe inakuhusu nini,
Kenge wa kijani wewe.
Usipokubali wewe wenzio watakubali ,acha uboya wewe
K huyo
Haitafanikiwa.mnajidanganya.
Ngoja tuone kelele zenu
Kelele ni zawatanzania wamechoka
Kenge wa kijani wewe.
Jiachie huna lolote, hujijui kabisa wewe ni zuzu wa siasa.