Asante sana Mimi nilianza Biashara 2022 lakini nilikuwa sifanyi kwa Muendelezo na Kilicho nikwamisha ni kujahalalishia Visingizio Vyangu Mwenyewe Yaani naweza nikasema Mimi sio mvivu mbona kazi nyingine nafanya Lakini nikaja nikagundua kuwa kila mmoja anafanya kazi lakini watu wana tofaitiana kwenye Impact Yaani niliacha Biashara na kufocus na vitu vingine lakini nikijaribu kulinganisha impact nikagundua kuwa kama ningefocus na Biashara ningepata impact kubwa zaidi nimerudi kwenye Biashara yangu na kupitia mafunzo yako najifunza mambo Mengi sana Barikiwa 🙏🙏🙏😊
Asante kaka Joel.... nimejifunza barikiwa sana
Asante sana Mimi nilianza Biashara 2022 lakini nilikuwa sifanyi kwa Muendelezo na Kilicho nikwamisha ni kujahalalishia Visingizio Vyangu Mwenyewe Yaani naweza nikasema Mimi sio mvivu mbona kazi nyingine nafanya Lakini nikaja nikagundua kuwa kila mmoja anafanya kazi lakini watu wana tofaitiana kwenye Impact Yaani niliacha Biashara na kufocus na vitu vingine lakini nikijaribu kulinganisha impact nikagundua kuwa kama ningefocus na Biashara ningepata impact kubwa zaidi nimerudi kwenye Biashara yangu na kupitia mafunzo yako najifunza mambo Mengi sana Barikiwa 🙏🙏🙏😊
Mungu akupe umri mrefu sanaaa
Asante barikiwa
❤❤❤ God bless you
Kaka Joel Arthur nanauka Mwenyezimungu akubariki Sana Sana
Ameen Ameen
ASANTE MENTOR ARTHUR NANAUKA JOEL 🙏🙏
Big up Sana kaka unafanya nzuri kazi zako
Nakupend kak umenifungua xn 🎉
Mungu akujailie uishi muda mrefu
kwa Sisi tulio mbali na dar tuweza kupata ata link ya kuona live
Amina
Mungu atupe uzima tupoke Kwa baraka
Kaka Joel tangu nimeanza kukufuatilia ninakuwa kifikra na kimang'amuzi sijapungukiwa kwakweli
MUNGU AZIDI kukufungua Zaid
Kaka Joel hv huwa unawakala mkoa wa mwanza maan nataka kitabu hardcopy
Ivi mkuu ukimaliza unapata na cheti kabsa kweny io top team academy au mikutano tu. @joelnanauka