Kaka asantee sana unatubaliki sana na speech zako nilikuwa naomba utufundishe jinsi ya kuwa watulivu ktk maisha yetu baada ya kupokea tarifa mbaya au nzuri au kwa namna yoyote Ile "UTULIVU "
Umeendelea kuwa mwalimu wangu bora sana katika maisha yangu, na nimejikuta nafanya yale kwa vitendo unayo fundisha na kuona matokeo yake makubwa; na nimeweza kukuwa kwa hisia, kiakili kimwili na fedha pia. Wewe ni MTEULE.
Naaam mwalim ni kweli namm iliwai kunitokea kuna binti nilikua naye kimausiano kwa malengo ya kuoana lakini nikipangilia mambo yango yalikua hayaendi kabisaa nilipoanza kukufatilia wewe kuna moja ya maneni unasema fanya maamuzi na nyingine inasema watu hawawez kukuelewa!! Mm nilifanya maamuzi ya kuachana nae niliumia sana lakini kwasasa naona mambo yang yanaenda sawa!! ❤asante mwalim joel mungu akulinde🙏
Kaka asantee sana unatubaliki sana na speech zako nilikuwa naomba utufundishe jinsi ya kuwa watulivu ktk maisha yetu baada ya kupokea tarifa mbaya au nzuri au kwa namna yoyote Ile "UTULIVU "
Umeendelea kuwa mwalimu wangu bora sana katika maisha yangu, na nimejikuta nafanya yale kwa vitendo unayo fundisha na kuona matokeo yake makubwa; na nimeweza kukuwa kwa hisia, kiakili kimwili na fedha pia. Wewe ni MTEULE.
Kweli kaka najivunia kukufuatilia
Ni kweli kabisa mwache aende.mwalim Joel thanks
good morning team all the way from Zanzibar
Bon voyage
Mimi pia yalinikuta na sasa naishi mbali sana na family yangu na kuanza maisha mapya kabisa
Hili somo limekuja wakati muafaka, yaani kama limeandaliwa kwa ajili yangu.
Kak ujumbe wako unatunge san endelea kuwa nwalm mwem 🙏
Namshukuru sana kaka Joel, i wish long life God bless you 😢
Nilifanikiwa kufanya maamuzi magumu kumuachia kiumbe n'a n'a sasa naona matokeo yake ,uko Sawa kabisa
Kaka Joel mafundisho yako mazuri lkn unapoweka hii sound kubwa naumia Sana masikio
Naaam mwalim ni kweli namm iliwai kunitokea kuna binti nilikua naye kimausiano kwa malengo ya kuoana lakini nikipangilia mambo yango yalikua hayaendi kabisaa nilipoanza kukufatilia wewe kuna moja ya maneni unasema fanya maamuzi na nyingine inasema watu hawawez kukuelewa!! Mm nilifanya maamuzi ya kuachana nae niliumia sana lakini kwasasa naona mambo yang yanaenda sawa!! ❤asante mwalim joel mungu akulinde🙏
exactly kaka joel😢.. ni ukweli kabisaa,, ilinihrt kweli karibu hata nipoteze maisha yangu.. ann from kenya
Emotional dependence 😮😮😮😮 acha kabisa mwalm
Asante umenitia nguvu ya Jambo fulan🙏
Kaka Joel umekua mkomboz sana kwang
I real appreciate you; Life coach and Mentor Mentor naendelea kujifunza na kukua kifikra kupitia wewe, kwakweli stay blessed Man of God🧠💪
Shukrani sana somo limekuja kipindi nimeamua kumuacha aende😢
Ni kweli kabisa,
Asante Sana kwaushauri Mkubwa Mungu Akubariki Sana
Hili somo limesema uwalisia wa maisha yangu ya sasa ila umenipa nguvu mpya na kukubali kupoteza🥹
😭😭😭mbadala jamani
Kaka Kama kunakitabu hiki Cha life wisdom nakihtaji
Ùnajua unajua unajua tena tunajifunza mambo mengi mazur
Shukran sana kwa somo PROFESSOR 🏆
Kuhisi utakosa mbadala daaah 😢😢😢😢😢😢
Shukran sana 🙏🙏🙏
Ahsante sana japo sauti haikuwa sawa Leo ila ujumbe umetufikia
Ni kweli kabisa....💪🏻💪🏻💪🏻
Hongera kaka kwa kutupa madini
Asante kakaangu umenifumbua macho maana nimeng'ang'ania pasipo pendeka,kuanzia sasa nachukua hatua, ACHA AENDE
Kaka hakika ww ni mteule
Asant sana
Ahsante mno brother📌
Asantee Sana Mwalimu Kwa ujumbe huu
Naa asante kwa kumwita mwali nimekuona ❤
Shukran kaka somo limeniingia na n mda muafaka napitia kipindi kigumu lkn cna budi kupingana na ukwl kumuacha aende 😭
Barikiwa mwalimu joel
Ubarikiwe sana kaka. Umebadilisha maisha yangu kaka
Tunabalikiwa kwa kwel asante
Blessed bro joel🙏
Imeni tokea mke niliye juwa tuta zikana nilimuacha aenda IRA ni maumivu makali mno tuna kupata kaka hazina ya vijana
Nimejfunza
Mbona yote unayoongea ni mimi kabisa daah 😢
Amen
Ahsante
Asante sana nimekuelewa
Shukrani
Shukrani kaka ❤
Shukrani Ila sound inaweka fujo
Gd
Uwe unalekebisha your microphone