KWA MWAMPOSA WATU WAMEFURIKA, HAIJAWAHI KUTOKEA, GOZBERT AFUNGUKA WATUMISHI KUJIITA MUNGU

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 7 ก.ค. 2023

ความคิดเห็น • 192

  • @damareshilary5002
    @damareshilary5002 ปีที่แล้ว +6

    Baada ya kuanza kusikiliza na kufuatilia mafundisho ya mtumishi kiukweli nimebadilika nna raha na amani Mungu endelea kumtunza mtumishi wako ❤

  • @shubianan
    @shubianan ปีที่แล้ว +6

    Mungu wangu mtunze na umpe umri mrefu baba yetu Mwamposa live long❤

  • @godlikedeodatus9274
    @godlikedeodatus9274 ปีที่แล้ว +5

    Nmepitia koments za watu wengi aisee , hawamjui Mungu kabisa , wengine wanasema watu wanakimbilia miujiza , wengine wanasema n utapeli , wengine wanasema miujiza feki, lakin mm amin nnakwambia nyie .kama hamfaham Mungu pole tena sana ,,, kwa Mungu huwez piga janja janja au utapeli arafu Mungu akuache upoteze watu wake wote hao never tena never, kama ni rahis kama mawazo yenu yanavyofikiria nanyie anzisha muone kama n rahis hivyo, au hamsom maandko.

  • @happylynguya3464
    @happylynguya3464 ปีที่แล้ว +19

    Kila mmoja ambaye yupo hapo anatamani atendewe jambo na Mungu, ili moyo wake upate kupona.

  • @deevon3364
    @deevon3364 ปีที่แล้ว +7

    Dah akili nyingi sana maana sio Kwakupangua maswali ya mitego hivyo 😂😂

  • @viktamade
    @viktamade ปีที่แล้ว +11

    Shida huwa hamfuatiliii huyu bulldozer tarehe moja mkesha wa mwaka mpya alijaza Benjamin mkapa....leo wewe unasema haijawahi kutokea

    • @joycekaguo8476
      @joycekaguo8476 ปีที่แล้ว +1

      Awajui kwa mkapa kulifulikaaa

    • @USbmnk
      @USbmnk ปีที่แล้ว +1

      Bulldozer fire

  • @gladistaemanueliy6336
    @gladistaemanueliy6336 ปีที่แล้ว +4

    Mkesha rahaa sana, mi nilikeshea nyumbani, baba mungu akubariki sana

  • @annastaziakimaro3042
    @annastaziakimaro3042 ปีที่แล้ว +15

    Kama Mungu angeruhusu watu kuwa na macho ya rohoni, tungezijua hizo gharama.

    • @servantofalmightygoddranth2511
      @servantofalmightygoddranth2511 ปีที่แล้ว

      Mtumishi wa JEHOVAH hizo hizo gharama alizoongea jamaa apo gozbert na sio kinywa cha gozbert bali NGUVU YA ROHO MTAKATIFU IMEMLAZIMISHA atoe siri ya ya mwamposa na kuzimu inayompa nguvu ambapo moja ya gharama alizozitoa mwamposa ni kafara ya watu kufa wakiwa wanakanyaga mafuta mwaka 2020 moshi,ila walio vipofu watapingak maana wamepofushwa macho,shtukeni mnaingizwa kuzimu bila kujua, mnamuabudu lucifer bila kujua acheni TUMGEUKIE YESU ALIE HAI.

    • @clouartmichael7296
      @clouartmichael7296 ปีที่แล้ว +1

      Sio kila anayesema Mungu anamaanish yule wa Mbinguni ..Kuna Mungu wa Dunia hii na Wala si ajabu shetani kujibadili malaika wa nuru ,pia mtawajua kwa matendo yao tu..Ile njia ya kusongasonga Ni nyembamba waionayo ni wachache ,kwa Gharama wanazotoa ni kubwa watu wafunguliwe macho ya rohoni ..Baba wa Mbinguni achanganyi madhabahu yake na waimbaji wa hivi 1 Wakorinto 6:14

    • @annastaziakimaro3042
      @annastaziakimaro3042 ปีที่แล้ว +1

      @@clouartmichael7296 kweli ndugu yañgu, wangejua gharama wanazozitoa hao wanaojiita manabii WA upako na waimbaji wao, wasingewasogelea Wala kuwatazama

    • @reginamatem9893
      @reginamatem9893 ปีที่แล้ว +2

      Hata wewe ulikombolewa kwa gharama, muda anaoutumia tu kumsifu Mungu na kuhubiri injili ni gharama,mtu unakuta ana ibada mbili,ya kwanza iishe saa nane,aingie apoapo nyingine, atoke apumzike kidogo arudi operation komboa familia,apumzike kidogo sijui maombi ya saa nane usiku,..weee,wala hatuhitaji macho ya rohoni kuona gharama dear,

    • @janensajigwa3940
      @janensajigwa3940 ปีที่แล้ว

      Mungu alisharuhusu ni wewe tu ongeza bidii kwenye imani yako utapata macho ya Rohoni

  • @bibip9181
    @bibip9181 8 หลายเดือนก่อน

    Yaani hongera sana kaka godluck umejibu vema sana intavyuu Yako Mungu azidi kukubariki n kukuinua,wasndishi wachimbuchimbu sana ila umejua kumtukuza Mungu na majibu Yako vema

  • @magrethmbuma3045
    @magrethmbuma3045 ปีที่แล้ว +2

    Mwamposa tunakupenda sanaaa Mungu anajuaaa hiiloo....wabaya hawakosekani popooteee

  • @marymdoe9437
    @marymdoe9437 ปีที่แล้ว +1

    Mungu ni mwema nakupenda sana mwamposa Kila nilichoomba nimepata briiwa

  • @suzypaul4559
    @suzypaul4559 ปีที่แล้ว +1

    Ameen Mtumishi huyu Mungu aendelee kumuweka haki

  • @wilsonmwimi2392
    @wilsonmwimi2392 ปีที่แล้ว

    Uko Juuu Sana kimtazamo Barikiwa sana

  • @jaklinifaustini4259
    @jaklinifaustini4259 ปีที่แล้ว +1

    Eee MUNGU baba tenda miujiza kwangu amen 🙏

  • @sir.hassankizwi4718
    @sir.hassankizwi4718 ปีที่แล้ว +4

    jibu zuri waandishi wanawaza kushindana tu

  • @syliviamgeta8131
    @syliviamgeta8131 ปีที่แล้ว +1

    Amen baba tunakupenda sana♥️♥️♥️♥️🙏

  • @matikowambura7657
    @matikowambura7657 ปีที่แล้ว +8

    Ndo wale wale wa paul makenzie

  • @user-jm1ec2uw9q
    @user-jm1ec2uw9q 5 วันที่ผ่านมา

    Jamani mwamposa mngu ampe maisha marefu

  • @marcondokeji8982
    @marcondokeji8982 6 หลายเดือนก่อน +1

    Goodluck hekima yako iko juu

  • @marselinarweyemamu4034
    @marselinarweyemamu4034 ปีที่แล้ว +10

    Mungu baba Tusameh tunakukosea sana ..badalabya kukuamiji wewe tunaweka imaki kwa wanadam

    • @HiteshkumarDhirajlal-nh3ly
      @HiteshkumarDhirajlal-nh3ly ปีที่แล้ว +3

      Labda akusamehe wewe usiyetaka kuamini kuwa MWAMPOSA anatumiwa na MUNGU ili jina lake MUNGU litukuzwe kupitia MWAMPOSA. Hivyo acha kiburi chako cha uzima maana huyo MWAMPOSA kakubali kutengwa na kutumika na MUNGU.
      Mungu akusaidie sana.🙏🏻🙏🏻🙏🏻

    • @yahwejoymkumbo9180
      @yahwejoymkumbo9180 ปีที่แล้ว +1

      Mungu pia atusamehe kwa sababu kuna watu wamekuwa wanasengenya watumishi wa Mungu, aende Mungu amtendee AFI alienda kushuhudia ataona kama ataruhusiwa kusema Mwamposa ndo ametenda, siku zote atasema Mungu ametenda, acheni kuongea ongea Mungu atawaadhibu

  • @protasmathias5064
    @protasmathias5064 ปีที่แล้ว

    amin amin, the man of God, bring heaven down

  • @964d
    @964d ปีที่แล้ว +1

    Nice one

  • @magrethmbuma3045
    @magrethmbuma3045 ปีที่แล้ว +2

    Seeeemaaa aaaaiiiyaaaayaaaaah❤

  • @johnsondamas9311
    @johnsondamas9311 5 หลายเดือนก่อน

    Mungu akubariki gudek umezungumuza vizuri sana

  • @gracejulius23
    @gracejulius23 2 วันที่ผ่านมา

    Unahekima wewe kaka angu nimekupenda bule aisee

  • @bensonmoris463
    @bensonmoris463 5 หลายเดือนก่อน

    ee mungu mlinde mtumishi wako mwamposa

  • @hurumalunda2490
    @hurumalunda2490 ปีที่แล้ว +1

    Kuna siku katabanwa aka kajamaa katafuta Mungu wa kweli acha kalambe viasali kwanza

  • @cavinjohn-9648
    @cavinjohn-9648 ปีที่แล้ว +5

    Good brother

    • @jacklinejosam3713
      @jacklinejosam3713 ปีที่แล้ว

      G. Nimekuelewa sana mdogowangu hongera, interview nzuri

  • @georgelusinde4972
    @georgelusinde4972 17 วันที่ผ่านมา

    Roho Mtakatifu pekeake ndie mwenye uwezo wakukuonyesha yupi mtumishi wa Mungu na yupi sio mtumishi wa Mungu, sisi tuliotulia chini ya mkono wa Mungu ulio hodari' tunaelewa, natumenyamaza tukiamini kua Bado kitambo kidogo tutakutana ng'ambo.

  • @graceibrahim4924
    @graceibrahim4924 ปีที่แล้ว +1

    Kwa wale wanaoona km Mungu anahitaji msaada wao ili kutafsiri huduma ya mtu iwe katika ukristo au uislamu kama unajua huwezi kuutengeneza uhai wako ili uishi hata kwa nusu saa unaitegemea pumzi ya MUNGU MUUMBA ARDHI NA MBINGU basi nyamaza acha kunyoshea kidole yeyote MUNGU HAPIGANIWI ANAJIPIGANIA unahitaji msaada wake hana msaada anaohitaji kwako

  • @odethadismas1410
    @odethadismas1410 17 วันที่ผ่านมา

    Mungu kupitia mkesha usiosahaulika niongoze nifanye mitihaniyangu nikiwa na afya na kufaulu'nafuta roho ya kufeli

  • @hidayaswai3119
    @hidayaswai3119 ปีที่แล้ว +2

    Kanisani ni sehemu ya kumtafuta Mungu na faraja ya moyo. Endeleeni kumtukuza Mungu

    • @Hussein-gx4qu
      @Hussein-gx4qu 8 หลายเดือนก่อน +1

      Kwa huyo tapeli anaetumia nguvu za kuzimu au mwingine?

    • @SophlaJackson-nt1nc
      @SophlaJackson-nt1nc 7 หลายเดือนก่อน

      ​@@Hussein-gx4quwaambie hao Wapuuzi Wanajizima data imani ya kweli gani Kufundisha mafanikio nasio kuonya zambi 😡😡😡

  • @agnesmartin5716
    @agnesmartin5716 ปีที่แล้ว

    Mungu akuzidishe baba

  • @msuhahappy7016
    @msuhahappy7016 ปีที่แล้ว +1

    Mungu endelea kumtumia mtumishi wako aendelee kutusaidia leo tupo hapa tunasikiliza neno kwenye kinywa cha mtumishi wako mlinde ,mpiganie tuna kutukuza kwa neema hi uliyoiachia Tanzania

  • @mberwasevelian7406
    @mberwasevelian7406 14 วันที่ผ่านมา

    Kupitia ibada hii napokea mambo mazur yanikimbilie nisipungukiwe kamwe Bali niongezeke Kila kukicha

  • @RehemaMwambugu
    @RehemaMwambugu 5 หลายเดือนก่อน

    Ameeni ❤

  • @dorcasaruni9561
    @dorcasaruni9561 ปีที่แล้ว

    Amen my Papa ❤

  • @twinzfashion4534
    @twinzfashion4534 9 หลายเดือนก่อน

    amin

  • @user-lj2dp6tu7m
    @user-lj2dp6tu7m 8 หลายเดือนก่อน

    Niswala la mda tu mungu akuongezee hekima

  • @user-wy1or9fm2s
    @user-wy1or9fm2s 15 วันที่ผ่านมา

    Ukrisito siyo dini ya mungu

  • @istambulahmed6664
    @istambulahmed6664 ปีที่แล้ว +2

    Wanaadamu wengi ni wavivu wa kufikiri, HUWEZI HATA MARA MOJA AKAMWAMINI YESU HALAFU USIWE MUISLAM.

    • @easymoneytzfx
      @easymoneytzfx ปีที่แล้ว

      hatujakuelewa chief

    • @ireneassey2022
      @ireneassey2022 ปีที่แล้ว

      Fafanua kidg

    • @istambulahmed6664
      @istambulahmed6664 ปีที่แล้ว +1

      @@ireneassey2022 YAANI UKISOMA MAFUNDISHO YA YESU AMEFUNDISHA KWAMBA TUJIFUNZE KWAKE NA JAMBO LA KWANZA AMEFUNDISHA KWAMBA ILI UUPATE UZIMA WA MILELE :
      1, UAMINI KUWA MUNGU NI MMOJA TU
      2, KISHA UAMINI KUWA YEYE AMETUMWA NA MUNGU
      KWAMAANA YEYE YESU HAJA WAHI HATA MARS MOJA KUFUNDISHA KUWA YEYE NI MUNGU, WALA YEYE ANAPASWA KUABUDIWA, WALA HAJA WAHI KUFUNDISHA KUWA MUNGU NI MMOJA KATIKA NAFSI TATU,
      NDIO NIKASEMA: UKIMWAMINI YESU KWA UJUMBE ALIOKUJA NAO UTAKUWA MUISLAMU KWA SABABU MOJA YA IMANI YA WAISLAMU NI KUMWAMINI MUNGU MMOJA TU NA KUAMINI KUWA YESU NI MTUME WA MUNGU ALIYETUMWA KUFUNDISHA HABARI ZA MUNGU,
      KWAHIYO YOYOTE ANAE AMINI KUWA YESU NI MUNGU HUYO SI MFUASI WA YESU, AU ANAE AMINI KUWA MUNGU NI MMOJA KATIKA NAFSI TATU HUYO SI MFUASI WA YESU, AU ANE MUABUDU YESU HUYO SI MFUASI WA YESU
      IFAHAMIKE YESU MAFUNDISHO YAKE NI KWELU TUPU HAJASEMA UWONGO KATIKA MAFUNDISHO YAKE HATA MARA MOJA,
      REJEA
      YOHANA 17:3
      YOHANA 20:17
      YOHANA 5: 30......50
      LUKA 18:18
      MARKO 12:28
      MATHAYO 15:24
      EFESO 4:4
      NA SEHEMU NYINGI KATIKA MYFUNDISHO YA YESU UTAKUTA YESU ANA FUNDISHA KUWA MUNGU NI MMOJA TU NA YEYE NI MTUME WA MUNGU TUU ( YAANI YEYE NI NJIA YA KWENDA KWA MUNGU).

    • @fumotv7914
      @fumotv7914 ปีที่แล้ว

      Ndo nn

    • @istambulahmed6664
      @istambulahmed6664 ปีที่แล้ว

      @@fumotv7914 UNATAKIWA KUMWAMINI MUNGU MMOJA TU WAPEKEE NA WAKWELI, NAKUAMINI KUWA YESU NI MTUME WA MUNGU,
      NAYE NI MWANADAMU KAMA SISI KAMA ALIVYO SEMA:
      NAMIMI MWANA WA ADAM NITAKETI KATKA MOYO WANHI MAUSIKU MATATU NA MICHANA MITATU.

  • @halmashekalage2318
    @halmashekalage2318 ปีที่แล้ว +1

    Mungu ambariki mwamposa amtumie atuhudumie

    • @alzawahirabdallah2299
      @alzawahirabdallah2299 ปีที่แล้ว

      Umba mungu wewe mtu hana atakalo kupa zaidi ya kutaka sadaka atajirike

    • @MtuSafi
      @MtuSafi ปีที่แล้ว

      daaah😅

  • @bibliakitabukitamu6015
    @bibliakitabukitamu6015 ปีที่แล้ว +3

    UWONGO KAMA UWONGO UNAOITWA NEEMA

  • @Latifa-ck9hi
    @Latifa-ck9hi 2 หลายเดือนก่อน

    Ameeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeen

  • @matridawilium9945
    @matridawilium9945 8 หลายเดือนก่อน

    Gozbet hakuna roho mtakatifu ni walewale wanaoigiza wokovu

  • @user-mk5lj8dq7n
    @user-mk5lj8dq7n 3 หลายเดือนก่อน

    Amen

  • @user-wy1or9fm2s
    @user-wy1or9fm2s 15 วันที่ผ่านมา

    Mathayo 24 na Wakorintho 15 :18

  • @EsterJonas-ii4do
    @EsterJonas-ii4do 6 หลายเดือนก่อน

    Nime fulahi sanaaaa amen nitafunguliwa kupitia mafundiaho haya

  • @barakabusima
    @barakabusima ปีที่แล้ว

    Iko shida sana kwa hii tz...😂

  • @user-wy1or9fm2s
    @user-wy1or9fm2s 15 วันที่ผ่านมา

    Hao makafiri jamani

  • @ZuhuraMlaki-i3t
    @ZuhuraMlaki-i3t 18 วันที่ผ่านมา

    Napokea upako na kufuta kesi

  • @evelinadodie9443
    @evelinadodie9443 6 หลายเดือนก่อน

    Umesema kwa mafumbo ila mi nimekuelewa

  • @user-sj3wf5vz7l
    @user-sj3wf5vz7l 8 หลายเดือนก่อน

    Da huu mkesha ulikuwa na watu balaa.
    Nilifika niliona na tumepokea

  • @ushindimbwilo1398
    @ushindimbwilo1398 ปีที่แล้ว

    Mungu wetu hachanganywi na Vitu viwili

  • @kennethbenjamin275
    @kennethbenjamin275 ปีที่แล้ว +2

    Wanajisumbua tu

  • @Bless510
    @Bless510 ปีที่แล้ว

    Amen 🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾

  • @rashidisaidi8535
    @rashidisaidi8535 ปีที่แล้ว +9

    Watu mataira sana dah wanampa tuu utajiri

    • @Barakaclassic
      @Barakaclassic ปีที่แล้ว +2

      Kafungue na wewe lakwako upate utajiri kenge wewe😅😅

    • @alzawahirabdallah2299
      @alzawahirabdallah2299 ปีที่แล้ว

      @@Barakaclassic wenzako kenya wameambiwa wafunge wafe pasta kawatowa mafigo na viungo vya ndani vyote kaenda kuuza kisha kawazika wasokuwa na akili

    • @nuruworldinsight2957
      @nuruworldinsight2957 ปีที่แล้ว +1

      ​@@alzawahirabdallah2299
      we mwenye akili kulikoni unalala njaa 🤣🤣🤣

    • @nuruworldinsight2957
      @nuruworldinsight2957 ปีที่แล้ว +2

      Waislamu walio wengi !
      Halafu wanafunguliwa.
      Mambo yanakuwa mazuri.
      Huyu Mungu huyu ni mkuu sanaa na muweza ❤🙏🙏🙏
      Hachagui dini wala dhehebu ❤ ❤

    • @alzawahirabdallah2299
      @alzawahirabdallah2299 ปีที่แล้ว

      @@nuruworldinsight2957 allhamdulillah namshukuru mungu kwa kunipa riski nakula vizuri allhamdulillah

  • @todahtv2407
    @todahtv2407 ปีที่แล้ว +1

    Aminaa

  • @worldhappiness1181
    @worldhappiness1181 ปีที่แล้ว

    Mmh, Islamic is different and Unique.

    • @fumotv7914
      @fumotv7914 ปีที่แล้ว +2

      Nusu ya hao watu ni islamic

    • @worldhappiness1181
      @worldhappiness1181 ปีที่แล้ว

      @@fumotv7914 sio kwel, stop lyin, au kisa ukisikia muhammad bas unaclam ni muislam!

    • @mcback4384
      @mcback4384 ปีที่แล้ว

      ​@@worldhappiness1181ni waislamu usibishe sababu tunaishi nao huku mitaani tena siku 1 fanya kwenda maeneo hayo usishangae ukakutana na shehe wako kabeba mafuta

    • @abdul-hamidali6534
      @abdul-hamidali6534 ปีที่แล้ว

      ​@@mcback4384sio muislam bhana rabda waislam jina hujui maana ya uislam kausha

    • @jacklinecharles6428
      @jacklinecharles6428 ปีที่แล้ว

      Hahaaaaa nusu yao na robo tena ni Muslim believe me nenda uchunguze! Hakuna watu wanaodondoka mapepo kama hao...ila Mungu anawaponya sanaa na shuhuda ni nyingi.

  • @OttienoJohn
    @OttienoJohn หลายเดือนก่อน

    Sebo adam

  • @yohanarashidi7434
    @yohanarashidi7434 ปีที่แล้ว

    Nataka kupona amina

  • @mercypeter162
    @mercypeter162 ปีที่แล้ว +3

    Watu wa MUNGU wanaangamia Kwa kukosa maharifa. Wanapenda miujiza wasiojua chanzo chake kuliko kumpenda MUNGU. imani Yao iwaponye.

    • @machachehardware5975
      @machachehardware5975 ปีที่แล้ว +1

      Bado uko agano la kale kuna akili wametuzidi ndo maana tunatupa dongo

  • @zuhuraambari6799
    @zuhuraambari6799 ปีที่แล้ว +1

    Mungu aendelee kukutumia sawasawa na mapenzi yake mtumishi wa Mungu, Mungu aendelee kukuweka kijana ili uendelee kuponya na kufungua familia nyingi zilizofungwa bb, neema ya Mungu izidi kukutunza 🙏

    • @pendomarco8928
      @pendomarco8928 ปีที่แล้ว

      Mungu wetu azidi kumtunza mtume wake kwa jina LA Yesu

    • @Hussein-gx4qu
      @Hussein-gx4qu 8 หลายเดือนก่อน

      @@pendomarco8928 acheni ujinga huyo anatumia nguvu za kuzimu na majini kuangusha watu na kama unabisha uje nikupake mafuta original ya zaituni uende pale Ili ujionee mwenyewe mazingaumbwe ya huyo jamaaa

  • @shijandobehe4953
    @shijandobehe4953 ปีที่แล้ว +3

    Watu wanafata miujiza kuliko kumfata mungu hapo lazima ukutane na watumishi fake

    • @HiteshkumarDhirajlal-nh3ly
      @HiteshkumarDhirajlal-nh3ly ปีที่แล้ว +1

      Mungu karuhusu miujiza itendeke kwa ajili ya kuinua IMANI za watu. YESU slide a hivi “mkiomba chochote kwa jina langu,Baba wa Mbinguni Atalanta” sasa wewe Mkristo gani usiyeamini miujiza ya MUNGU?? Hilo ni PEPO lenye mkia 😂😂

    • @shijandobehe4953
      @shijandobehe4953 ปีที่แล้ว

      @@HiteshkumarDhirajlal-nh3ly mungu hatoi miujiza kishamba kishamba ivo lazima uanze mchakato na huo mchakato uwe na mwendelezo mtumishi mwenyewe anakwambia dini zote njooni ili apige sadaka zenu MAISHA yaendelee

    • @HiteshkumarDhirajlal-nh3ly
      @HiteshkumarDhirajlal-nh3ly ปีที่แล้ว

      @@shijandobehe4953 Acha wivu wenzako tunafanikiws kwa kujiungamanisha tu nyumbani. Haya sadaka hiyo anaipataje? Kutoa ni Mungu tu akuguse wala hayuko pale kwa ajili ya pesa. Huo ni wivu wa kishamba sana,hata shetani anakushangaa 😂😅🤣

    • @shijandobehe4953
      @shijandobehe4953 ปีที่แล้ว

      @@HiteshkumarDhirajlal-nh3ly sawa bro komaa ila hata yesu alisema kweli lakini walimuweka msalabani

    • @yahwejoymkumbo9180
      @yahwejoymkumbo9180 ปีที่แล้ว

      ​@@HiteshkumarDhirajlal-nh3lyAsante Hawajui hao

  • @aminatanzanya7475
    @aminatanzanya7475 ปีที่แล้ว

    Wengi hapo nisis waslam Mungu atusameh

    • @nuruworldinsight2957
      @nuruworldinsight2957 ปีที่แล้ว

      Akusamehe kwa lipi ?
      Akati ukifika hapo masumbuko yooote yanaisha .
      Mungu ana fyoonza masumbuko yako yotee.
      Alianza muislam mmoja kukanyaga pale kwa madhabahu.
      Leo wanakanyaga waislamu laki moja.
      Ndio maana anasema
      "Njooni kwangu wote msumbukao, hauwezi kufika kwa baba pasipo mimi.
      Mimi ndimi njia ya kweli na ... "

  • @shukulanichares
    @shukulanichares ปีที่แล้ว +5

    Daa kweli mwamposa anapendwa sana anaponya kweli au utapeli

    • @sophiaremmy6326
      @sophiaremmy6326 ปีที่แล้ว +2

      Hamna mwanadamu anaeponya watu

    • @alzawahirabdallah2299
      @alzawahirabdallah2299 ปีที่แล้ว

      lsaya 56
      10 Walinzi wake ni vipofu, wote pia
      hawana maarifa; wote ni mbwa walio
      bubu, hawawezi kulia; huota ndoto
      hulala, hupenda usingizi.
      11 Naam, mbwa hao wana choyo
      sana, hawashibi kamwe; na hao ni
      wachungaji wasioweza kufahamu
      neno; wote pia wamegeuka upande
      wazifuate njia zao wenyewe, kila
      mmoja kwa faida yake, toka pande
      zote.
      12 Husema, Njoni, nitaleta divai, Na
      tunywe sana kileo; Na kesho itakuwa
      kama leo, Sikukuu kupita kiasi

    • @msuhahappy7016
      @msuhahappy7016 ปีที่แล้ว +1

      Wala aponyi yeye ila nguvu iliyopo ndani yako tatizo lolote linaisha ukiwa pale

    • @alzawahirabdallah2299
      @alzawahirabdallah2299 ปีที่แล้ว +1

      @@msuhahappy7016 mungu ndio anaye ponya hata yesu alikuwa anaponya watu kwa uwezo wa mungu

    • @alzawahirabdallah2299
      @alzawahirabdallah2299 ปีที่แล้ว

      @@msuhahappy7016 Mathayo 15
      7 Enyi wanafiki, ni vema alivyotabiri
      lsaya kwa habari zenu, akisema
      8 Watu hawa huniheshimu kwa
      midomo; lla mioyo yao iko mbali
      nami.
      9 Nao waniabudu bure, Wakifundisha
      mafundisho Yaliyo maagizo ya
      wanadamu.

  • @gladnessterry8430
    @gladnessterry8430 ปีที่แล้ว

    Baba tunakupenda mno

  • @nsiamasawe4578
    @nsiamasawe4578 ปีที่แล้ว +5

    Mimi siyo shabiki wa Mwaponsa. Lakini kuhusu watu waliyokufa Moshi wengi wao walikuwa wagonjwa sana. Hivyo wakashindwa kustahimili msongamano kutokana na udhaifu wa miili yao. Wanaosema ni kafara wajiulize kabla ya Mwamposa marehemu hawakuwepo?

    • @alzawahirabdallah2299
      @alzawahirabdallah2299 ปีที่แล้ว

      Nawale walio kufa kenya walofunga mpaka wakafa vipi

    • @yahwejoymkumbo9180
      @yahwejoymkumbo9180 ปีที่แล้ว

      Wape ukwel na Hawajui pia shetani hataki kazi ya Mungu iendelee mbele lazima atafte tu namna ya kuchafua jina la Mtumishi wa Mungu

    • @alzawahirabdallah2299
      @alzawahirabdallah2299 ปีที่แล้ว

      @@yahwejoymkumbo9180 lsaya 56
      10 Walinzi wake ni vipofu, wote pia
      hawana maarifa; wote ni mbwa walio
      bubu, hawawezi kulia; huota ndoto
      hulala, hupenda usingizi.
      11 Naam, mbwa hao wana choyo
      sana, hawashibi kamwe; na hao ni
      wachungaji wasioweza kufahamu
      neno; wote pia wamegeuka upande
      wazifuate njia zao wenyewe, kila
      mmoja kwa faida yake, toka pande
      zote.
      12 Husema, Njoni, nitaleta divai, Na
      tunywe sana kileo; Na kesho itakuwa
      kama leo, Sikukuu kupita kiasi

    • @alzawahirabdallah2299
      @alzawahirabdallah2299 ปีที่แล้ว

      @@yahwejoymkumbo9180 lsaya 56
      10 Walinzi wake ni vipofu, wote pia
      hawana maarifa; wote ni mbwa walio
      bubu, hawawezi kulia; huota ndoto
      hulala, hupenda usingizi.
      11 Naam, mbwa hao wana choyo
      sana, hawashibi kamwe; na hao ni
      wachungaji wasioweza kufahamu
      neno; wote pia wamegeuka upande
      wazifuate njia zao wenyewe, kila
      mmoja kwa faida yake, toka pande
      zote.
      12 Husema, Njoni, nitaleta divai, Na
      tunywe sana kileo; Na kesho itakuwa
      kama leo, Sikukuu kupita kiasi
      Kazi ya shetani inaendelea tu km kiti chake cha enzi kipo kanisani

  • @user-qr5kz3fh4w
    @user-qr5kz3fh4w ปีที่แล้ว

    Yani hao wote wanataka aman moyono

  • @samsonkusupa6809
    @samsonkusupa6809 ปีที่แล้ว

    Hakika huyu nimtumishi wa mungu

  • @benancejohn1198
    @benancejohn1198 ปีที่แล้ว +2

    Hao watu wanavutwa na yale mafuta au vp 🤔🤔

    • @maswamills3161
      @maswamills3161 ปีที่แล้ว

      Tunavutiwa na INJILI ya KWELI 💯. ARISE AND SHINE TANZANIA ni MADHABAHU iliyo hai,Haina fitina,ubaguzi,wala,uchochezi,pale Ni Neno la MUNGU ALIYE HAI na MAOMBI kwa kwenda mbele.

    • @msuhahappy7016
      @msuhahappy7016 ปีที่แล้ว +1

      Kama mafuta yanaweza kumvuta Mtu bas n raha wakati unafika mtajua kwamba hiki ni chanda cha Mungu na Mungu anamtumia

    • @maswamills3161
      @maswamills3161 ปีที่แล้ว

      @@msuhahappy7016 Ameeeeen!!!👏👏👏👏👏👏👏💯

  • @user-wf9nz2hd5u
    @user-wf9nz2hd5u ปีที่แล้ว

    Hekima ya roho

  • @abdulyabubakar6247
    @abdulyabubakar6247 ปีที่แล้ว +2

    Swali ni kwamba alishawahi kuperfom kwenye umati mkubwa kama huo jibu ni hapana hapo ndio mara yake ya kwanza ila naona anakata viuno tu hapo anashindwa kujibu vizuri 😂

    • @Bambagatz
      @Bambagatz ปีที่แล้ว

      😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂Kweli anakatika😂Viuno

  • @AishaOman-qz7tn
    @AishaOman-qz7tn ปีที่แล้ว

    Nilibarikiwa na nimepokea

  • @shijandobehe4953
    @shijandobehe4953 ปีที่แล้ว +4

    Watu wangu wanaangamia Kwa kukosa maarifa

    • @machachehardware5975
      @machachehardware5975 ปีที่แล้ว

      Maarifa yapi

    • @shijandobehe4953
      @shijandobehe4953 ปีที่แล้ว

      @@machachehardware5975 ndo uyatafte asa ili uyajue ni yapi

    • @Hussein-gx4qu
      @Hussein-gx4qu 8 หลายเดือนก่อน

      @@shijandobehe4953 malifa ni ujinga WA kutojua kuwa huyo anatumia nguvu za kuzimu kuangusha watu au nyie mlijua ni ujinga gani

  • @musampanda3643
    @musampanda3643 ปีที่แล้ว

    Wamama na wanawake ndio wengi

  • @Latifa-ck9hi
    @Latifa-ck9hi 2 หลายเดือนก่อน

    Mungu baba ba mimi napokea leo miujiza yangu hapa tumbo linaniuma sana naamun nakwenda kupokea miujiza yangu ktk jina la yesu kristo ameeeeeen

  • @servantofalmightygoddranth2511
    @servantofalmightygoddranth2511 ปีที่แล้ว +2

    MUNGU yupi? Maana kuna "MUNGU" KWA MAANA YA MUNGU ALIE HAI JEHOVAH, na kuna "mungu" yaani lucifer MUNGU wa dunia hii,kuhusu iyo gharama uliyosema kalipa ni kweli kalipa maana 2020 kuna watu zaidi ya 20 moshi walikufa wakiwa wanakanyaga mafuta ile ni moja kati ya kafara zake,mchezo wa shetani kuliingiza kanisa kuzimu ULISHASHINDWA KWA JINA LA YESU ALIE HAI.

    • @maswamills3161
      @maswamills3161 ปีที่แล้ว

      Kwenye umati ukijilegeza utakanyagwa tu huna ujanja.Moshi Ni nyumbani na hakuna kafara iliyotolewa ,kwani kwenye msiba wa Mh.JPM watu hawakufa!!!!!! Acha kujipotosha fikra.

    • @shubirarutaihwa4829
      @shubirarutaihwa4829 ปีที่แล้ว

      Kwa kweli watu wengi wanaangalia kwa kukosa ,maarifa hii Ni biashara tu hakuna Cha zaidi ,wakishtuka muda umekwisha

    • @graceibrahim4924
      @graceibrahim4924 ปีที่แล้ว

      @@maswamills3161 umejibu vizuri hata Mungu mwenyewe alijitoa kafara kupitia YESU KRISTO MNAZARETH Mungu hapiganiwi anajipigania

    • @magrethmbuma3045
      @magrethmbuma3045 ปีที่แล้ว +2

      Watu walikanyagana hata kwenye meshi ya bure ile ya Yanga wale wa Algeria au umesahau ile nayo kafara ya Yanga???

    • @maswamills3161
      @maswamills3161 ปีที่แล้ว

      @@magrethmbuma3045 swali tamu Sana👏👏

  • @selemankishema5780
    @selemankishema5780 ปีที่แล้ว +5

    Nyie wakristo hamshtuki? Wanzungu wameshajua ukweli wanakimbia nyie ndio kwanza mnadanganywa kama Watoto wadogo mnazolewa mnakwenda bila kufikiria

    • @Odogwu9667
      @Odogwu9667 ปีที่แล้ว +3

      We kweli mjinga

    • @bibliakitabukitamu6015
      @bibliakitabukitamu6015 ปีที่แล้ว +2

      Si kwel

    • @Oldskulgemini9991
      @Oldskulgemini9991 ปีที่แล้ว +3

      Wazungu wamegundua ukweli upi??

    • @FreeGod368
      @FreeGod368 ปีที่แล้ว +4

      We ni takataka imani yetu ni halisi sio ya kubahatisha bahatisha kama yenu

    • @millcentsamali6793
      @millcentsamali6793 ปีที่แล้ว +2

      Jamani Gudluck Kristo azidi kukuinua, umejibu maswali kiroho mnoooo,,pokea hekima zaidi ktk jina la Yesu

  • @alicejumaa89
    @alicejumaa89 ปีที่แล้ว +3

    Miujiza sio mbingu tafuteni Yesu sio miujiza tu.

  • @ghatimakuri
    @ghatimakuri 5 หลายเดือนก่อน

    amina nampenda sana

  • @MoureenAbdallah
    @MoureenAbdallah ปีที่แล้ว

    Kwan yeye mwamposa amesema mumuamin yeye msiropoke na kabla halijakukuta usiongee ukienda kwa mganga una mwamini nani

  • @callmelwizz553
    @callmelwizz553 ปีที่แล้ว

    Kazi ya shetani ni kuvuruga kanisa na hii ni mbinu moja yake watu wanapotezwa pasina kujua 😢 mungu awafungue akili zilizo fungwa na hawa mawakala wa shetani

    • @godlikedeodatus9274
      @godlikedeodatus9274 ปีที่แล้ว

      We tuoneshe Kaz y Mungu ni ipi bas ,,kama Kaz nzur za kuponya watu n za shetan ,nnarudia tuoneshe Kaz ya Mungu .kama hii n ya shetan .kama hamwan yy ziaminin Kaz , Mwiz anakuja kuiba kuharibu na kuchinja Bali yeye Yesu alikuja Ili tuwe na uzima tele ,kama kuwa na uzima n Kaz y shetan ya Mungu ni ipi?

  • @ZuhuraMlaki-i3t
    @ZuhuraMlaki-i3t 18 วันที่ผ่านมา

    Napokea upako na kufuta kesi

  • @LomayaniLukumayi
    @LomayaniLukumayi หลายเดือนก่อน

    Amen