Mtumishi sikiliza, anachokisema Magembe Ni kweli. Mungu anataka nyimbo ambazo malaika wanafurahi. Acha kutudanganya rap au reggae kuwa ni Muziki wa kimbingu au kiroho. We know all these things you do as leader of a church. Sometimes things are not good.
Hapo unakosea sana Mtumishi mzee yupo vizuri ndugu neno haliwezi kuja vile wewe umetaka muda Mungu akimpa neno la vile umetaka itafika tu so tuache kuwasema WATUMISHI kwa hapo hapana mwache mzee awahudumie watu
Hubiri kweli ya Mungu, mwenye kuelewa ataelewa siyo kulumbana na kufuatiliana. Mbaya zaidi watu hasa watumishi wa Mungu wamekuwa na wafuasi wasio na maono
!!! Lege ni Dini kabisa na wote wadini hii ni wavutaji sana mda wote ni moshi midomon Mbarikiwa ujifunze kwa wazee wa viwango kama Magembe,umemjuwa jujuu humjui huyu mtumishi, Huyu akifundisha anajuwa Neno na anafundisha kitu anacho kijuwa na kufuatilia
Muimbieni Bwana wimbo mpya, hadi upige lege Mungu kaishiwa midundo,. Inaonekana Mungu wako amefirisika midundo mizuri ndo maana una copy Kwa wavuta bangi
Naona unaleta mambo ya kidunia kabisa aisee unahitaji Neema ya Mungu. Hv wahubir wa Tz tusipo jifunza kwa magembe tujifunze kwanan. Maana huyo ndie Moses kulola alie Baki. Unasifia lege na hipop hovyo kabisa. Biblia inasema tusifatishe namna dunia hii inavyofanya , wew unakinzana na maandiko, mmh jaman tusiwe walimu wengi
Mungu hakupe hekima apo kwa wageni ao ulio nao ndo watakatifu sana acha kujikweza.wengine apo wakuwanyesha maziiwa we unawapa nyama angalia utawaangamiza
Melody nzuri Ina leta uwepo wa Mungu , kanisa linalopiga hipop halina maombi , maana wako sawa na wamataifa wanavyofanya , ndugu mtumishi wa Mungu Mbarikiwa , Kuna mengine yanakupita ,usijihakikishie TU kuwa wewe ndo mtoa hukumu wa mwisho , Kila mtumishi mwenzako mmbaya TU.aaa hii hapana , kumbuka kuwa tangu Yesu aoondoke duniani akiwa kama mwanadamu hajatikea Tena mmbadala wake aliye mkamilifu , sote tunaishi kwa neema TU. Kwa namna hii unaweza ukaimba hata taarabu kanisani kwako mpendwa. Kwa mtu aliekaa vizuri na Mungu wake, ukisikia mziiki au merolody Fulani , unajua TU hapo ni dhehebu Fulani , na hapo ni baa. LAZIMA TUZINGATIE MELODY ZENYE UWEPO WA MUNGU .
Neno lililotumika kwenye zaburi 150:3_4, Zaburi 149:3, neno hilo "kucheza" ,sio kitendo bali vilivyotajwa hapo kwenye mafungu ni vifaa vya muziki soma vzr lugha za asili , huwezi kunengua kwenye ibada na hamna mafungu yoyote kuonyesha kwenye ibada wanacheza mitume na manabii kwenye ibada na ibada ya mbinguni🙏🙏
Samahani Mkuu mm nipo na wewe ila usimgise magembe hajakosea bana , magembe ni mtu mwingine ni baba wa Imani ktk historia ,,,,lege pia ni itikadi ya Imani tulia wewe ,pia historia ya lege sio Mungu Bali ni Shetani
Wew umepagawa cku izi 😅😅😅😅 Yani wew huna uwezo wa kuhubiri kama magembe ..............yule ni mtumishi anatumiwa na mungu sio mweu kama wewe. Cku nyingine ucridie kufanya upumbavu kama huo.
Jamani nakupenda sana lakin naona kila siku unasema watumishi wengine. Mtumishi unamambo muhimu na kuna kitu kwako tuhubiri watu waache dhambi. Ubarikiwe san mbarikiwa.
@@makejamaduhu7618alafu yeye ni mkosaji mkubwa akikosolewa yeye anasema Kuna kazi nyingi za kufanya yaani shida amejiweka kuwa mwenye haki sana kila kitu anaona anapatia hata kama anakosea anataka kusifiwa MUNGU aliye hai amsaidie sana
Huna jipya umeshaishiwa mtumishi gani wa Mungu huna kiasi pole sana tanya utubu hiyo dhambi wahubilie watu wamjie mungu sio kuwaponda watumishi wa mungu
Mtumishi rudi kwenye tenzi ulitubariki wengi sana but kwa magembe kwanza alilazimika kusomea mziki kwasababu walikuwa wanamchanganya waimbaji. Kwa hiyo anachokionhea anaufahamu nacho
Huwa nakufuatilia sana lakini hapa kwenye Muziki umechemka sana insu si kupiga vyombo au tempo ya wimbo insu ni which genre of Music are you singing ndiyo na hayo uliyosema. Pia Zaburi 150 pale kwenye kucheza inamaanisha Music instrument not dancing. Pia aina ya Muziki inaweza kufanya mtu kucheza hata kama hakuwa na nia ya kucheza. Pia Muziki ni taaluma fanya utafiti kabla ya kujibu hoja ya Muziki kuna Muziki wa kupigwa na kuimbwa kwa Ibada na Muziki wa kuimbwa vilabuni ikiwa wewe ni Mch, na utaruhusu kila Muziki katika ibada zako uko keenye hatari ya kuachwa na Mungu maana Mungu hakai mahali panapo changanywa Mambo ya shetani na Mambo yake. Ushauri wangu kwako Fanya utafiti juu ya madhala ya Muziki kwenye ubongo wa binadam utajua alichosema magembe ni chakweli.
@MbalaziTv4135 Nenda kausikilize wimbo wa lege wa MBARIKIWA usemao "mtu mwenye ndoto" utajua MBARIKIWA alikuwa anamaanisha nini. Wewe ndiye utakaye toa jibu kwamba unafaa kuimbwa kanisani au la.
NO N.t.p usimchukie bali mwombee yanini uitupe nafsi yako motoni sababu ya kumchukia mtu ambae hajui unakulala nn unavaa nn na unalalaje kemea iyo Roho kwa jina la BWANA soma Mathayo 5:44 nikutakie maisha malefu
Bible is academic We need your CV first Kabla hujamuongelea baba etu He is not your type Hata hueleweki unaongea nn Inasikitisha Sana pole Sana Njoo tyukufundishe Cha kuongea.
ACHA USHAMBA & UJINGA HUWEZI MWIMBIA MUNGU KWA MIFUMO YA KIDUNIA ATA YESU MWENYEWE KAMWAMBIA Rachel & Zipporah Mushalla MNANIIMBIA KWA KULAPLAP MM NIMEKUA MBWAAA..?
Kinachonishangaza ni pale unapowachambua wengine sijajua ni kuona kuwa uko sahihi sana hubiri injili kwa sababu hata wewe hatuwez kusema uko sahihi una mapungufu mengi tu kama hujui .maneno yaliyokujaa kwanza unatukana madhabahuni
Ndo mnagundua leo kuwa kunena kwa lugha zisizoeleweka, kumekaribisha matapeli, ambao wamejipambanua kiasi kwamba hata roho mtakatifu wamembinafsisha, eti anawasikiliza wao zaidi. Rudini kwenye kanisa la kweli ,takatifu na la mitume ili muwe huru.
Itakuwa vyema watumishi wamungu utakapo ona wamekosea sehemu, mfata inbox umukosoe yeye Kama yeye usimuanike azalani, lakini Nia ya magembe ilikuwa nzuri kwasababu waanzilishi wa lege na ipp hawakuwa watakatifu, kwakuimba lege zao waweza kufufua roho ndani yako zilizo kuwa nyuma yao waanzikishi hao
ushetani ni kuwa huyu anae imba ana mwombia nani au anamsifu nani Mungu au shetani, pia tukumbuke kuwa shetani alikuwa kiongozi wa sifa kwahiyo alitoka na maarifa hayo kule mbinguni na anacho kifanya ni kubadilisha tabia za wale wanao imba na haya tunayaona kwa wasanii wengi yaani msanii ana amini ili aonekane kuwa ni msanii mzuri ni lazima avae hereni kusuka nywele bila kujuwa kuwa shetani ame watega kwenye hayo
Mtumishi jitahidi kuchukua hekima kwamagembe huyo mtumishi magembe anavitu vyamaana sana
Mtumishi sikiliza, anachokisema Magembe Ni kweli. Mungu anataka nyimbo ambazo malaika wanafurahi. Acha kutudanganya rap au reggae kuwa ni Muziki wa kimbingu au kiroho. We know all these things you do as leader of a church. Sometimes things are not good.
Hapo unakosea sana Mtumishi mzee yupo vizuri ndugu neno haliwezi kuja vile wewe umetaka muda Mungu akimpa neno la vile umetaka itafika tu so tuache kuwasema WATUMISHI kwa hapo hapana mwache mzee awahudumie watu
Hubiri kweli ya Mungu, mwenye kuelewa ataelewa siyo kulumbana na kufuatiliana. Mbaya zaidi watu hasa watumishi wa Mungu wamekuwa na wafuasi wasio na maono
Unajivunjia heshima...huna hata uwezo hata kidogo, na huna Mungu ndani yako kama Mch Magembe,,, hata aibu hunaaaa?
Hata Kenya tunaskiza Mch. Magembe maana si kwingi kuna neno la kweli. 3:33
Uyu baba anataka kila moja awe upande wake yeye amekemea Kanisani kwake acha kujiona unaubili sana unajifanya mjuaji sana ovyo sana
Hapo umekosea mkuu Magembe injili yake ni kwa kanisa la Mungu Leo na sio kwa mataifa yote
!!! Lege ni Dini kabisa na wote wadini hii ni wavutaji sana mda wote ni moshi midomon Mbarikiwa ujifunze kwa wazee wa viwango kama Magembe,umemjuwa jujuu humjui huyu mtumishi, Huyu akifundisha anajuwa Neno na anafundisha kitu anacho kijuwa na kufuatilia
Bahati Bukuku anaimbaga Rege na mnamualikaga, je mnamualika mkiamini ni mwenye dhambi ktk staili yake ya uimbaji?
Mbarikiwa,kama unataka kumweka sawa magembe mpigie simu,
😂😂😂
Subutu yake atakaona kale kazee😂
@@RodaMaganga-ye6yenimech ka eti kale kazee yaani na ana msimamo sana yule mzee
😂😂😂😂@@RodaMaganga-ye6ye
Kwanza kana elimu kuliko Yeye hata ya dini tu pia ni kakiroho sana na kanajua kusimamia kweli huyu yuko kimwili zaidi
Muimbieni Bwana wimbo mpya, hadi upige lege Mungu kaishiwa midundo,. Inaonekana Mungu wako amefirisika midundo mizuri ndo maana una copy Kwa wavuta bangi
Alie mlonga mbarikiwa alifanya Kazi kubwa yakimataifa nilikuwa Nampenda Sana Ila Sasa ni mpuuzi tu
HAYUKO SAWA. KILA MTU KWAKE NI MKOSA TU. KASORO YEYE. KILA MUZIKI UNA ASILI YAKE.
Naona unaleta mambo ya kidunia kabisa aisee unahitaji Neema ya Mungu. Hv wahubir wa Tz tusipo jifunza kwa magembe tujifunze kwanan. Maana huyo ndie Moses kulola alie Baki. Unasifia lege na hipop hovyo kabisa. Biblia inasema tusifatishe namna dunia hii inavyofanya , wew unakinzana na maandiko, mmh jaman tusiwe walimu wengi
Mungu hakupe hekima apo kwa wageni ao ulio nao ndo watakatifu sana acha kujikweza.wengine apo wakuwanyesha maziiwa we unawapa nyama angalia utawaangamiza
Melody nzuri Ina leta uwepo wa Mungu , kanisa linalopiga hipop halina maombi , maana wako sawa na wamataifa wanavyofanya , ndugu mtumishi wa Mungu Mbarikiwa , Kuna mengine yanakupita ,usijihakikishie TU kuwa wewe ndo mtoa hukumu wa mwisho , Kila mtumishi mwenzako mmbaya TU.aaa hii hapana , kumbuka kuwa tangu Yesu aoondoke duniani akiwa kama mwanadamu hajatikea Tena mmbadala wake aliye mkamilifu , sote tunaishi kwa neema TU. Kwa namna hii unaweza ukaimba hata taarabu kanisani kwako mpendwa. Kwa mtu aliekaa vizuri na Mungu wake, ukisikia mziiki au merolody Fulani , unajua TU hapo ni dhehebu Fulani , na hapo ni baa. LAZIMA TUZINGATIE MELODY ZENYE UWEPO WA MUNGU .
Zipi?
Hamna uwezo wa Mungu ktk lege na rap camoon usitudanganye nmeyasklza manyimboi yako hamba uwezo wa Mungu camoon
Unamjua selin Dion wewe,
@@ordafabian5172 na huo ndiyo ukweli hataki ni hivyo hivyo akubali ni hivyo hivyo
@@ordafabian5172 sina haja ya kumjua ase tangu nlpookolewa sina haja ya kuwajua hao kijana
Camoon😁
Uko sawa Sana mlio wa ala sio ushetani lege hipop zuku takeu sengeli bluzi hakuna mziki wa Mungu Wala washetani
Mbarikiwa nakuomba sana Jitahidi kuwa Mnyenyekevu,Sio kwamba wewe Unajua kila kitu
Kabisa MUNGU amsaidie
Neno lililotumika kwenye
zaburi 150:3_4, Zaburi 149:3, neno hilo "kucheza" ,sio kitendo bali vilivyotajwa hapo kwenye mafungu ni vifaa vya muziki
soma vzr lugha za asili , huwezi kunengua kwenye ibada na hamna mafungu yoyote kuonyesha kwenye ibada wanacheza mitume na manabii kwenye ibada na ibada ya mbinguni🙏🙏
Ni kweli kabisa
Safi sana
Naomba sana mtumishi tumia muda mwingi juhubiri neno la Mungu aliye hai ili makaya waache pia waombee sio kukosoa wenzeo mpaka unachisha
Magembe akifundisha au kuhuburi ukimkosoa juwa unashida ya kiroho,Magembe wote yawapasa mmsikilize na mjifunze kwake kwa Kila kitu
Kwani magembe ye nani?
mbarikiwa uko vizuri
Mbarikiwa moyoni mwako Kuna vichaka vichafu mbona unauzungumzia sana umalaya naona na wewe ni Malaya maana ndio uliyokujaa moyoni mwako
Nakupenda lakini huchagui umri unataka kuwa kiongozi wa wa wachungaji wote hapo umeniumiza juu ya mzee huu
Ukisoma Biblia maandiko yanatufundisha kila mtu na amuone mwenzake ni bora kuliko yeye na kutanguliza wengine,,sasa hapa 😢
Kuna miziki haifai kanisani Magembe yuko sahihi
We mtumishi acha kupotosha watu
Weeer😂😂😂😂 Injiri ya kweli sikiliza ya magembe weweeee unakosoa tuu kwa kuongea ongea tuuu😂😂😂
ukiona mtoto nasema vibaya baba yake ujuwe basi
mtoto adabu hana
Samahani Mkuu mm nipo na wewe ila usimgise magembe hajakosea bana , magembe ni mtu mwingine ni baba wa Imani ktk historia ,,,,lege pia ni itikadi ya Imani tulia wewe ,pia historia ya lege sio Mungu Bali ni Shetani
Wew umepagawa cku izi 😅😅😅😅 Yani wew huna uwezo wa kuhubiri kama magembe ..............yule ni mtumishi anatumiwa na mungu sio mweu kama wewe. Cku nyingine ucridie kufanya upumbavu kama huo.
Acheni kutuchanganya watumishi fanyeni Yale Yesu alioyatima❤❤❤
KAMA UNAMKOSOA MAGEMBE UMEANZA KUPOTEA KABISA SITAKIELEWA DAIMA JIREKEBISHE
Pamoja na yote mbarikiwa upo creative sana.
Uyu mwamba namwelewa sanaaa
Jamani nakupenda sana lakin naona kila siku unasema watumishi wengine. Mtumishi unamambo muhimu na kuna kitu kwako tuhubiri watu waache dhambi. Ubarikiwe san mbarikiwa.
Yaani ndo hapo tuu hata Mimi huyu jamaa huwa ananishinda. Mbona mwakasege Hana tabia hizo?
@@makejamaduhu7618alafu yeye ni mkosaji mkubwa akikosolewa yeye anasema Kuna kazi nyingi za kufanya yaani shida amejiweka kuwa mwenye haki sana kila kitu anaona anapatia hata kama anakosea anataka kusifiwa MUNGU aliye hai amsaidie sana
Yaan stak ata kukusikiliza tena ww ushakengeuka .......
Kweli mtumishi barikiwa kwa ujumbe
YAANI WEWE MBARIKIWA UNAPANGIA WATU KILA KITU MPAKA CHA KUSEMA YAANI WEWE TU NDIO UPO SAHIHI
Mungu atuhurumie
Kama Hawa ndo wachungaji hata waumini wao ndo maana wakaitwa makondoo maana hayajitambui
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂💔
😮
Lwititi Lwititi Lwititi injiji njii njii😂😂 yaaniii ahahaha 😂❤
… nabarikiwa sana na huyu mtumishi kwa kwel, mafundisho yake yanafungua sana ufahamu hasa kwa wale wanaoipenda kweli ya Mungu.
Huna jipya umeshaishiwa mtumishi gani wa Mungu huna kiasi pole sana tanya utubu hiyo dhambi wahubilie watu wamjie mungu sio kuwaponda watumishi wa mungu
Nenda kafanye siasa, umepotea naumepoteza mvuto kabisa. Waheshimu wazee uliowakuta kwenye imani, acha ujuaji.mwingi.
Mtumishi.kaa.kwenye.msingi.wa.neno.watu.wapone.achana.na.stori.simamia.kusudi
Uko Sahihi Sana
Amina baba
Sure
Mmmh huyu Anashida
Lege ni dhambi kwani lege ni dini kubali kuonyeka usipokubali ni hasara yako,dhambi zote sawa
Kweli
Magembe yupo sahihi kabisa. Ww mbarikiwa umefeli kwenye hili
Wewe ni mtoto mdogo sana acha kubishana na Maghembe kwanza tunakushangaa unatupa shida
NaaaM NaaaM.
umeshajiunga na casian ni kukosoa tu,hubirini injiri watu waokoke waishi maisha matakatifu,waende mbinguni
Mpaka sasa sijajua kuwa ni yupi kwako yuko sahihi na unajifunza kwake.
mbarikiwa Kwa Magembe umebigi, Moses n mtumishi wa Bwana. siyo mwenzako kaka.
Daa sawa
Mtumishi rudi kwenye tenzi ulitubariki wengi sana but kwa magembe kwanza alilazimika kusomea mziki kwasababu walikuwa wanamchanganya waimbaji. Kwa hiyo anachokionhea anaufahamu nacho
Nilikuwa nakuheshimu lkn kwamagembe umenivunjamoyo sikuheshimu tena mbarikiwa kwendazako
Huwa nakufuatilia sana lakini hapa kwenye Muziki umechemka sana insu si kupiga vyombo au tempo ya wimbo insu ni which genre of Music are you singing ndiyo na hayo uliyosema.
Pia Zaburi 150 pale kwenye kucheza inamaanisha Music instrument not dancing.
Pia aina ya Muziki inaweza kufanya mtu kucheza hata kama hakuwa na nia ya kucheza.
Pia Muziki ni taaluma fanya utafiti kabla ya kujibu hoja ya Muziki kuna Muziki wa kupigwa na kuimbwa kwa Ibada na Muziki wa kuimbwa vilabuni ikiwa wewe ni Mch, na utaruhusu kila Muziki katika ibada zako uko keenye hatari ya kuachwa na Mungu maana Mungu hakai mahali panapo changanywa Mambo ya shetani na Mambo yake.
Ushauri wangu kwako
Fanya utafiti juu ya madhala ya Muziki kwenye ubongo wa binadam utajua alichosema magembe ni chakweli.
@MbalaziTv4135 Nenda kausikilize wimbo wa lege wa MBARIKIWA usemao "mtu mwenye ndoto" utajua MBARIKIWA alikuwa anamaanisha nini. Wewe ndiye utakaye toa jibu kwamba unafaa kuimbwa kanisani au la.
Hubiri neno acha hayo,sio mahali pake
Namchukia sana huyu baba
Usimchukie ila muombee na kumuonya❤❤❤
Nethrine kwani yeye anakupenda jitafakari
NO N.t.p usimchukie bali mwombee yanini uitupe nafsi yako motoni sababu ya kumchukia mtu ambae hajui unakulala nn unavaa nn na unalalaje kemea iyo Roho kwa jina la BWANA soma Mathayo 5:44 nikutakie maisha malefu
Nakama we mwenyewe utumia nyimbo za kimbongo na mziki yakidunia mbingu huioni
hapo nimeona unajiunga mkono mwenyewe
Una hubiri nini ?
Bible is academic
We need your CV first
Kabla hujamuongelea baba etu
He is not your type
Hata hueleweki unaongea nn
Inasikitisha Sana pole Sana
Njoo tyukufundishe Cha kuongea.
Hii dunia hii
Baba mangembe achana na huyu naona Hana neno Ra kuhubilia watu ni upuuz2
ACHA USHAMBA & UJINGA HUWEZI MWIMBIA MUNGU KWA MIFUMO YA KIDUNIA ATA YESU MWENYEWE KAMWAMBIA Rachel & Zipporah Mushalla MNANIIMBIA KWA KULAPLAP MM NIMEKUA MBWAAA..?
Kimtokacho mtu mdomoni ndicho kimjazacho moyo wake. Tena kimtokacho mtu ndicho kilichonajisi. Chumga Sana kinywa chako. Usihukumu usije ukahukumiwa.
Huna hekima pastor
Kinachonishangaza ni pale unapowachambua wengine sijajua ni kuona kuwa uko sahihi sana hubiri injili kwa sababu hata wewe hatuwez kusema uko sahihi una mapungufu mengi tu kama hujui .maneno yaliyokujaa kwanza unatukana madhabahuni
Ukweli unauma
Magembe hajibizani n Wehuu
Kabisaaa
Kwani wewe ni Mungu kukaaa kukosoaa watu? 😅
Iyo nikweri
We jitahid hekima ndo iwe ufunguo wa kinywa chako.
Mbarikwa kana huna neno la kristo tafuta kazi nyingine siyo kukosoa tu,
Matako matako sijui ya nini Hana hekima ya kinywa
Lkn mtumishi, hawa watu wako neno la kuwajenga watalipata lini?
Unapotea sanaaaaaa
Ndo mnagundua leo kuwa kunena kwa lugha zisizoeleweka, kumekaribisha matapeli, ambao wamejipambanua kiasi kwamba hata roho mtakatifu wamembinafsisha, eti anawasikiliza wao zaidi. Rudini kwenye kanisa la kweli ,takatifu na la mitume ili muwe huru.
Sasa.wewe.ndio.mkaguzi.wa.hayo.matako.kwaiyo.na.wewe.unabudu.matako.uliyaonaje.sema.neno.watakuchoka.watu.umeprwa.hao.watu.uwape.neno.la.mungu.la.kweri.soma.ufunuo.22-18.namshuhudia.kila.mtu.ayasikiaye..maneno.ya.kitabu.hiki.mtu.yoyote.akiyaongeza.mungu.atamungezea.hayo.mapigo.yalioandika.katika.kitabu.hiki.namtu.yeyote.akiondoa.lolote.katika.maneno.ya.unabii.huu.ya.kitabu.hiki.mungu.atamuondolea.sehemu.yake.katika.ule.mti.wa.uzima.na.katika.mji.ule.mtakatifu.ambao.habari.zake.zimeandikwa.katika.kitabu.hicho
Itakuwa vyema watumishi wamungu utakapo ona wamekosea sehemu, mfata inbox umukosoe yeye Kama yeye usimuanike azalani, lakini Nia ya magembe ilikuwa nzuri kwasababu waanzilishi wa lege na ipp hawakuwa watakatifu, kwakuimba lege zao waweza kufufua roho ndani yako zilizo kuwa nyuma yao waanzikishi hao
We jamaa kazi yako ni kusema watu tuu
Mbarikiwa bwege kabisa
Acha kupotosha dini giza na nuru haviwezi kukaa pamoja kwanini uweke rege kanisani wakati ni ya watu wa dunia
Acha polomo mzee magembe yukosawa
Huyu jamaa vipi😅😅😅😂😂
Unaposema ni sahihi ila msiambiane kwa ukali msmbo yake mungu
Unajuwa.akiyekuajili.anaona.unamuibia.mda.wake.kwa.watu.aliowanunua.kwa damu.yake
Hakuna mu waMungu kelele kila siku madhabahuni mmeacha.kuhubiri na kuomba,shetani mmempa shetani nafasi zamaani hakuna Mungu tusidangab
nyane
Embu jaribu kuhubiri neno la Mungu acha kuchambua maubiri ya mtu wew ni mwema serekali imekushinda?
Ndugu yangu hiyo siyo kazi tulio itiwa hubiri injili siyo kukosowa , jichunguze Wewe mwenyewe kwanza je! Uko sahihi
Fanyeni Yale mliotumwa
As washilika wenu huwa tunaomba wachungaji wote Sasaww unaponda injili hiyo du
UMEANZA KUPOTEA KABISA MCHUNGAJI NA UNATOA MATUSI AZALANI HUNA UELEWA
Achen mahubili ya kukejeli
ushetani ni kuwa huyu anae imba ana mwombia nani au anamsifu nani Mungu au shetani, pia tukumbuke kuwa shetani alikuwa kiongozi wa sifa kwahiyo alitoka na maarifa hayo kule mbinguni na anacho kifanya ni kubadilisha tabia za wale wanao imba na haya tunayaona kwa wasanii wengi yaani msanii ana amini ili aonekane kuwa ni msanii mzuri ni lazima avae hereni kusuka nywele bila kujuwa kuwa shetani ame watega kwenye hayo
Mhibiri 20:17 ,Zabur 37:37