A Father's Love Story,Unexpected Challenges in the Village//BabaOlivia Episode 10

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 14 ต.ค. 2024

ความคิดเห็น • 681

  • @henrymwakajumba
    @henrymwakajumba  2 หลายเดือนก่อน +101

    Tunaomba support yako kwa kungalia episode zote za Baba Olivia kuanzia episode ya kwanza mpaka 17 bofya hii link, www.pendwa.app/shows/tv/3a6cb6fc-34ab-4ebd-9422-c929eedb96df

    • @josephbatanda1340
      @josephbatanda1340 2 หลายเดือนก่อน +5

      Aisee link inasumbua una login inarudia palepale

    • @janethdavidsanga5999
      @janethdavidsanga5999 2 หลายเดือนก่อน +3

      Henry

    • @robertmgulunde5069
      @robertmgulunde5069 2 หลายเดือนก่อน +1

      thanks

    • @robertmgulunde5069
      @robertmgulunde5069 2 หลายเดือนก่อน +1

      @@josephbatanda1340 Link inasumbua kwa kweli

    • @BarakaBaraka-pn9dq
      @BarakaBaraka-pn9dq 2 หลายเดือนก่อน +1

      Mbna natafuta kuanzia ep 11 had 17 but sizipati director henry nisaidie nifanyeje??

  • @DidaAlly-iz1it
    @DidaAlly-iz1it 2 หลายเดือนก่อน +25

    Movie yenu ni mzuri na hinafundisha sana isipokuwa tunaomba muwe mnatuwekea ata kwa wiki siku2 ijumaa na j2 au maan iyo ijumaa mpk ijumaa tunasaau jmn au mfanye kipande kiwe kirefu kidog asateni kwa movie tamuu tunawapenda wote mriopo humu ndani

    • @henrymwakajumba
      @henrymwakajumba  2 หลายเดือนก่อน +1

      Tunaomba support yako kwa kungalia episode zote za Baba Olivia kuanzia episode ya kwanza mpaka 17 bofya hii link, www.pendwa.app/shows/tv/3a6cb6fc-34ab-4ebd-9422-c929eedb96df

    • @samweltarimo3413
      @samweltarimo3413 2 หลายเดือนก่อน

      @@henrymwakajumba kbsaaa

  • @EliaMwashibanda
    @EliaMwashibanda 2 หลายเดือนก่อน +93

    Tunaofatilia hii movi gonga like hapa

  • @jullostephen9090
    @jullostephen9090 2 หลายเดือนก่อน +36

    Kama ume mind akili za Arthur naomba likes zenu,jamaa mwerevu kinoma

  • @RovisaElias
    @RovisaElias 2 หลายเดือนก่อน +30

    Anayemkubali olivia na baba ake aweke like hapa

  • @samweltarimo3413
    @samweltarimo3413 2 หลายเดือนก่อน +2

    suraaaa panaaa kama saani ya maulidi,,,,,,,,,iimeendaaaa kabisaaa

  • @MuddyOmary-u7o
    @MuddyOmary-u7o 2 หลายเดือนก่อน +4

    Nimeikubali hii movie.........🎉🎉🎉🎉🎉❤❤😮

  • @dullywa9973
    @dullywa9973 2 หลายเดือนก่อน +69

    Henry filamu nzuri, ila inakuw fupi kutoka kwa siku saba kwa range ya 27-30 mnt, kama siku hazitaongezeka basi muda wa episode uongezwe, idk challenges ni zipo coz naamin hii filamu unayo kabatini, sio kwamba iko location, labda kwa future episodes. Ila kas nzuri sana Henry. Najifunza vingi sana, inabidi ikifika hatua fulani nimuoneshe binti yangu pia.

    • @saimelody5844
      @saimelody5844 2 หลายเดือนก่อน

      Kweli

    • @antidiuskalugira6727
      @antidiuskalugira6727 2 หลายเดือนก่อน

      Dah mwenye natamani San ​@@saimelody5844

    • @mabrukhariri145
      @mabrukhariri145 2 หลายเดือนก่อน +3

      Fact uhondo mpaka unaisha kuisubir 🤦🏽‍♂️

    • @vonniemarry2680
      @vonniemarry2680 2 หลายเดือนก่อน

      Na hatusikilizi

    • @henrymwakajumba
      @henrymwakajumba  2 หลายเดือนก่อน +6

      Tusaport kwa kungalia tamthilia yote kwenye website www.pendwa.app/shows/tv/3a6cb6fc-34ab-4ebd-9422-c929eedb96df

  • @YoungblackPeople-qf7vx
    @YoungblackPeople-qf7vx 2 หลายเดือนก่อน +48

    Mtu ana sula pana kama sahani la maulidi 😅kama #ume sikia gonga like

    • @PhonexPhonex-u8e
      @PhonexPhonex-u8e 2 หลายเดือนก่อน +2

      😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 kushinda baba tina

    • @irenekaro2848
      @irenekaro2848 2 หลายเดือนก่อน +1

      😂😂😂😂😂

    • @henrymwakajumba
      @henrymwakajumba  2 หลายเดือนก่อน +1

      😅😅😅

    • @VanDirector
      @VanDirector 2 หลายเดือนก่อน

      Nan uyoo??

    • @SuzanaJackson-p3v
      @SuzanaJackson-p3v หลายเดือนก่อน

      Nathaniel nimesikia mwenyewe 😂😂

  • @AliNassoro-r9d
    @AliNassoro-r9d 2 หลายเดือนก่อน +17

    Anae ipenda hii movie agonge like ap

  • @MakululuDanifad-hz4kb
    @MakululuDanifad-hz4kb 2 หลายเดือนก่อน +18

    Epsode10 kumi mmeninyima haki yakumuona mwalim janeth nimemiss sanaaa

  • @MaryAddam-lq3yt
    @MaryAddam-lq3yt 2 หลายเดือนก่อน +9

    Baba Olivia bana
    Eti sura kama sahani la maulidi😂😂😂😂

  • @angelankya5163
    @angelankya5163 หลายเดือนก่อน +1

    Ifamilia ya ovyo sana kwanzia baba na mama wote chenga

  • @ukhtymwana40
    @ukhtymwana40 2 หลายเดือนก่อน +18

    Wana gulf mimi sipoi na baba Olivia 🎉🎉 nawapenda

  • @DenisPeter-bb3qz
    @DenisPeter-bb3qz 2 หลายเดือนก่อน +7

    Baba Olivia unajua San mwamba no one like you❤❤❤❤❤❤🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹

  • @mgobanyapazi7738
    @mgobanyapazi7738 2 หลายเดือนก่อน +6

    Mama James anataka pesa kwa mzungu wakati huo yeye anatumia pesa
    Kumbe matapeli wengi na wezi ndio hushiriki kutoa taarifa na namna ya kuiba
    Kuna shule kubwa kwenye hili tamthilia

  • @Jamila96_juma
    @Jamila96_juma 2 หลายเดือนก่อน +7

    Huyu ndio hensam nakuuliza? Mtu ana sura paaana utasema sahani ya maulid😂😂😂😂😂Gabo😂😂😂😂😂u made my day aki

  • @HelenaMwisolwa
    @HelenaMwisolwa 2 หลายเดือนก่อน +11

    Jamn tulikuwa tunaomba kwa wiki muwe mnatuma Ata kwa wiki Mara 3 jmn😢❤

    • @henrymwakajumba
      @henrymwakajumba  2 หลายเดือนก่อน

      Ingia hapa angalia yote www.pendwa.app

    • @KasamPaida
      @KasamPaida 2 หลายเดือนก่อน

      ​@@henrymwakajumbaasa si mtuwekee tu huku youtube hzo epsode zote

  • @joshuanyaulingo4109
    @joshuanyaulingo4109 2 หลายเดือนก่อน +3

    dude,,bongooo dar es salaam bongo usifumbe macho 😂😂

  • @SuzanaJackson-p3v
    @SuzanaJackson-p3v หลายเดือนก่อน +1

    Sura kama sahani la maulidi 😂😂😂😂ila hii movie

  • @VexMaizoOfficial
    @VexMaizoOfficial 2 หลายเดือนก่อน +7

    🧭🤳 Filamu yenye maadili mema na heshima kuliko 🙏
    Nimewahi kufika Leo mwenzenu kutoka Msumbiji 🇲🇿 Mozambique mkoani wa Cabo Delgado mjini Pemba CarioCa

  • @abihudimwasaka7707
    @abihudimwasaka7707 2 หลายเดือนก่อน +1

    Ahahaha mme anataka kupigwa shambaa, baba Olivia🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @shuzashadyproduction8438
    @shuzashadyproduction8438 2 หลายเดือนก่อน +2

    HUYU MAMA TINAH ANACHEKESHA SANA MFATILIENI😂😂😂

  • @JullianaEmmanuel-tm5xg
    @JullianaEmmanuel-tm5xg 2 หลายเดือนก่อน +9

    Hapo Luka amefeli lkn ingependeza wanajamii wangeitazama wangejfunza vtu vng sana,

  • @lameckelasto-ih9jk
    @lameckelasto-ih9jk 2 หลายเดือนก่อน +2

    baba olivia kanzi suli sanaaa afu unamawazo manzur snaaa nawapenda sanaa henry mwakajumba group hasa baba olivia, olivia na maadam janeth

    • @BentoJaime-hr8dn
      @BentoJaime-hr8dn 2 หลายเดือนก่อน

      Filamu ni msuli sana naifuatilia kila kipande, mimi Bento kutoka 🇲🇿 lakini munanikhera Kwa kuchelewesha, angalau malatatu kwa wiki.

    • @henrymwakajumba
      @henrymwakajumba  2 หลายเดือนก่อน

      Tusaport kwa kungalia tamthilia yote kwenye website www.pendwa.app/shows/tv/3a6cb6fc-34ab-4ebd-9422-c929eedb96df

  • @emmaconlucky9981
    @emmaconlucky9981 2 หลายเดือนก่อน +13

    Sijamwona mwalim wa olivia,,, fanyeni awe anaonekana kwa wingi aise sura yake inavutia kutazama

  • @husnaibrahim2107
    @husnaibrahim2107 2 หลายเดือนก่อน +14

    Huyu handsome huyuuuuuu😂😂😂😂 mtu anasura panaaaaa kama sahani la maulid😂😂😂😂

    • @christinesafari-ji2bc
      @christinesafari-ji2bc 2 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂😂yamekua hayo shostii

    • @nishaabdula5015
      @nishaabdula5015 2 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂Yn kanichekesha htr

    • @JanethMaugo
      @JanethMaugo 2 หลายเดือนก่อน

      Nimecheka😂😂😂😂😂

    • @FghgRyy
      @FghgRyy 2 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂

  • @VanDirector
    @VanDirector 2 หลายเดือนก่อน +1

    Waoo she is so cute Madam Janet Fanyeni Aonekane🎉🎉

  • @rahimyusuph6732
    @rahimyusuph6732 2 หลายเดือนก่อน +1

    Move hii ni yakimataifa tunaomba iwe ndefu

  • @AfranaTzee
    @AfranaTzee 2 หลายเดือนก่อน +8

    Tunaomkubali Baba Oliver Na Henry Mwakajumba Director wa KIMATAIFA gonga like twende Sawa

    • @henrymwakajumba
      @henrymwakajumba  2 หลายเดือนก่อน

      Asante kwa kuangalia pia!

  • @Rizikialiamechannel763
    @Rizikialiamechannel763 2 หลายเดือนก่อน +23

    Mm kwani nilikua wapi ila watu wa humu wagum wakugawa like daaa kma pesa toeni sadaka bwana

    • @adameyes
      @adameyes 2 หลายเดือนก่อน

      @@Rizikialiamechannel763 Mambo Riziki,can i have your contacts?

  • @NobelKamboko-ij9if
    @NobelKamboko-ij9if 2 หลายเดือนก่อน +1

    Kwamufuatiliyaji yeyote hachoki kabisa Gabo ongera sana mzee nakuamini sana tena sana❤❤

  • @StevenLaurent1961
    @StevenLaurent1961 2 หลายเดือนก่อน +1

    Wakiwa wakubwa😢😢😢😢

  • @ZainabSalum-tv2mu
    @ZainabSalum-tv2mu 2 หลายเดือนก่อน +5

    Nusu kipamde kimeenda shamban jmn kwl... Movie yenyew ni kipand kmja kwa wki na ssi mnatunyima haki zet😂😂

    • @henrymwakajumba
      @henrymwakajumba  2 หลายเดือนก่อน +1

      Hii apa yote www.pendwa.app/shows/tv/3a6cb6fc-34ab-4ebd-9422-c929eedb96df

  • @AsifiweJoseph
    @AsifiweJoseph 2 หลายเดือนก่อน +1

    Kazi nzuri sana hongera baba oliva kwa kuiokowa pesa ya jurani yako

  • @NacymboyaMboya
    @NacymboyaMboya หลายเดือนก่อน

    Baba oliva na mwanao nàwa kubali sana yani na yule dada waki changa ana niche kesha kweli nawe penda ❤❤❤❤❤ onge rene kwa kazi nzuri

  • @StevenMethew
    @StevenMethew 2 หลายเดือนก่อน +3

    Movie nzurii sana nimeipenda imecheza mazingira mazurii

  • @Rahema123
    @Rahema123 2 หลายเดือนก่อน +4

    😂Jamani 🤣 acheni longolong huyo ndio baba olivia leteni mkataba nakukubali sana kk Gabo haukoseagi🎉🎉

  • @rashidiijumaa349
    @rashidiijumaa349 2 หลายเดือนก่อน +5

    Kazi nzuri

  • @StephanoChombo
    @StephanoChombo 2 หลายเดือนก่อน +1

    Namuelewa sana mwamba baba Olivia sio poa, na mwalim wa Olivia wanaendana kinoma

  • @magnibrondi3152
    @magnibrondi3152 2 หลายเดือนก่อน +1

    Olivia pokeya mauwa yako unajuwa tu sana

  • @RestyutaMwaisubi
    @RestyutaMwaisubi 2 หลายเดือนก่อน +4

    😂😂 familia ya baba olivia mnatufurahisha sana jamanii hebu muwe mnatuwekea vipande viwilii basii daah!!

  • @PrinceAmos-y8t
    @PrinceAmos-y8t 2 หลายเดือนก่อน +2

    Waoow waoo movie nzuri sana nimesubili kwa hamu❤❤❤😂😂🎉🎉😢😢😮😮😅😅😊😊

  • @SosaPazzo
    @SosaPazzo 2 หลายเดือนก่อน

    Ni series nzuri san naipenda na inafunza san mambo mengi san kwan hakuna yakuendelea inaishia 11 ep tu ama

  • @SalmaRandu
    @SalmaRandu 2 หลายเดือนก่อน +1

    Baba Olivia he's very brilliant 👏

  • @ElianeTuyisenge-m6z
    @ElianeTuyisenge-m6z 2 หลายเดือนก่อน +2

    Mama Tina eti aniambi Binukaaa😂😂😂😂😂😂😂 maamke wangu ni mdomoooo😂😂😂😂😂

  • @JohnKisaka-t9q
    @JohnKisaka-t9q 2 หลายเดือนก่อน +2

    Hii muv Olivia akikosekana amnakitu. GONGA EMOJ apa

  • @NgalaaMutimwezinane
    @NgalaaMutimwezinane 2 หลายเดือนก่อน +2

    Nawapenda sna wenye wanaendeleza Sanaa hii nawapeni hongera sna aki mumeweza kazi njema

    • @henrymwakajumba
      @henrymwakajumba  2 หลายเดือนก่อน

      Asante sana 🙏🏾🙏🏾🙏🏾

  • @bonita329
    @bonita329 2 หลายเดือนก่อน

    My favorite Movie naipenda sana jamani❤mngejitaidi hata kwa week mara mbili please 🥺 natiza kutoka ugerumani 😊

  • @JacksonKimario-ig8dl
    @JacksonKimario-ig8dl 2 หลายเดือนก่อน +2

    😂😂iyo family inamatatizo baba anataka kupigwashamba mama picture zinataka kusambazw

  • @Officialabustar
    @Officialabustar 2 หลายเดือนก่อน +3

    Kaka habari nilikuwa nauliza kweny app tumeisha maliza vipande 17 vyote tunaomba muongozo na kujua lini na saa ngapi watu tunaosaport kupitia app vinatoka lini Ahsante🙏 A3M

    • @henrymwakajumba
      @henrymwakajumba  2 หลายเดือนก่อน

      Asante,kama umesha angalia yote kwenye website Hongera kwa TH-cam bado tuta endelea kila siku ya ijumaa mpaka zitakapo kwisha!

    • @Officialabustar
      @Officialabustar 2 หลายเดือนก่อน

      @@henrymwakajumba me nilikuwa nauliziamwendelezo kweny website maan 17 vyote tayr🙏

    • @Officialabustar
      @Officialabustar 2 หลายเดือนก่อน

      @@henrymwakajumba mwendelezo kweny 18 na kuendelea lini

  • @XhebbyMandevu-u1h
    @XhebbyMandevu-u1h 2 หลายเดือนก่อน +1

    Mnachelewa bwana adi Utama unakata moyoni🎉😂

    • @henrymwakajumba
      @henrymwakajumba  2 หลายเดือนก่อน

      Hii apa yote www.pendwa.app/shows/tv/3a6cb6fc-34ab-4ebd-9422-c929eedb96df

  • @georged.misango1870
    @georged.misango1870 2 หลายเดือนก่อน +1

    Henry, This is why I used to stay turned every Friday to see what is coming to evry episode. Good to see how these mashrooming of unsqatqqisfacqtory financial institutions and their strategies to exploit people.

  • @HamicKoyagae
    @HamicKoyagae 2 หลายเดือนก่อน +1

    Mambo ni motoooo

  • @ZuwenaHashil
    @ZuwenaHashil 2 หลายเดือนก่อน

    So sahihi kabisa mnavo tufanyia jyamn ,, uhondo kam huu mara moja kwa week kweli😢😢 ila nawapend san Gabo my favorite Star🎉🎉❤

  • @Khatib-xp6fp
    @Khatib-xp6fp 2 หลายเดือนก่อน +3

    Nimefurahi kuipt ya 10 from 🇲🇫

  • @victaboy7273
    @victaboy7273 2 หลายเดือนก่อน +1

    Kwakweli movie ni nzuri mnoo,..

  • @MussaBinommar
    @MussaBinommar หลายเดือนก่อน

    Henry Mwakajumba tueletee muendelezo bana olivia iko pouwa sana na tunaipenda pia tuletee baba

  • @eliasimoni4851
    @eliasimoni4851 2 หลายเดือนก่อน +1

    olivia the best sanaa

  • @samwelmwinyi1893
    @samwelmwinyi1893 2 หลายเดือนก่อน +2

    Saf sana ATHUR nmekupenda ghafra❤❤ hapo ulpotoa note ya 10k na kunyang'anya warret😂😂

  • @RockChimbeche
    @RockChimbeche 2 หลายเดือนก่อน +1

    Filamu nzuri sana Mr Dir unastahili pongezi kubwa xan. Siku wahi jua kabla kumbe Tanzania pana mazingira safi na mazuri kiasi hiki❤

    • @henrymwakajumba
      @henrymwakajumba  2 หลายเดือนก่อน

      Asante sana! ❤️❤️❤️❤️ Na bado nchi nzuri sana hii!

  • @abdiyjaaz8180
    @abdiyjaaz8180 2 หลายเดือนก่อน +2

    Tunakuwa wazito sababu unatunyima utamu wa filam unapunguza watuu kwa namna iyo

  • @PhilemoniNamayala
    @PhilemoniNamayala 2 หลายเดือนก่อน +4

    Kwakwel inakaa muda mrefu sana mpak inpoteza mvuto though is the best series

    • @henrymwakajumba
      @henrymwakajumba  2 หลายเดือนก่อน

      Hii apa kama unataka kuiona yote www.pendwa.app/shows/tv/3a6cb6fc-34ab-4ebd-9422-c929eedb96df

    • @rashidhr2662
      @rashidhr2662 2 หลายเดือนก่อน +1

      ​@@henrymwakajumba🙏

    • @PhonexPhonex-u8e
      @PhonexPhonex-u8e 2 หลายเดือนก่อน

      ​@@henrymwakajumbambona yasema haiko available 😢

    • @henrymwakajumba
      @henrymwakajumba  2 หลายเดือนก่อน

      ingia www.pendwa.app

    • @PhonexPhonex-u8e
      @PhonexPhonex-u8e 2 หลายเดือนก่อน

      @@henrymwakajumba sawa

  • @bernadobatulaniza4870
    @bernadobatulaniza4870 2 หลายเดือนก่อน +1

    Baba james lazimaa wamnyooshe tu 😂

  • @petermwashala5201
    @petermwashala5201 7 วันที่ผ่านมา

    Classmate Mwakajumba kazi nzuri sana bro...fanyia kazi mapendekezo ya wadau.....

    • @henrymwakajumba
      @henrymwakajumba  7 วันที่ผ่านมา

      Classmate asante sana mzee!! Nta ya fanyia kazi kabisa🙏🏾

    • @petermwashala5201
      @petermwashala5201 6 วันที่ผ่านมา

      @@henrymwakajumba Shukrani kaka tuko pamoja sana

  • @Fatumamukhtar
    @Fatumamukhtar 2 หลายเดือนก่อน +1

    mov iiih nikali snaaaaah

  • @lucas-n6l3g
    @lucas-n6l3g 2 หลายเดือนก่อน +1

    Kah hili baba kweri kizazi cha Abdallah kiuno aloooo mi hata kama ni muvi nakataa kucheza hivyo

  • @ZitoJose-cl3pt
    @ZitoJose-cl3pt 2 หลายเดือนก่อน +4

    Safi gabo tulimisi sana muvi kama hizi from moçambique

  • @YoungblackPeople-qf7vx
    @YoungblackPeople-qf7vx 2 หลายเดือนก่อน +3

    Talifa kwa waomba #like soko la like lime fungwa tukutane #twenty #twenty #😂nine
    Hiii move kalii kinyamaaaaaa ✔️🦜

  • @JonasNaruhangura
    @JonasNaruhangura 2 หลายเดือนก่อน +2

    Episode ziko fupi saana❤❤❤

    • @henrymwakajumba
      @henrymwakajumba  2 หลายเดือนก่อน

      Hii apa yote www.pendwa.app/shows/tv/3a6cb6fc-34ab-4ebd-9422-c929eedb96df

  • @RafataniMtupa
    @RafataniMtupa 2 หลายเดือนก่อน +1

    Nahitaji kuona episode ya 13 had 17

  • @elizanyange2010
    @elizanyange2010 2 หลายเดือนก่อน +1

    Leo sijamuona mwalimu na baba Olivia sijapenda hatakidogo

  • @pendomwampamba5221
    @pendomwampamba5221 2 หลายเดือนก่อน +1

    Leo Sijamuona Mwalimu nimemmic etiiii

  • @HamicyAthuman
    @HamicyAthuman 2 หลายเดือนก่อน +2

    Leo hamjataka kumuonyesha Madam wake Oliva

  • @JumaBernardo
    @JumaBernardo 2 หลายเดือนก่อน

    Kiukweli mwalimu unajua nawapata vizuli kutoka Mueda mozambique

  • @FatumaBohero
    @FatumaBohero 2 หลายเดือนก่อน +1

    Next jamani nawapenda nyote. sana😍😍

  • @JacksonKimario-ig8dl
    @JacksonKimario-ig8dl 2 หลายเดือนก่อน +1

    Yani hii move imezidi kuwa kali

  • @AugustinMuswabantu
    @AugustinMuswabantu 2 หลายเดือนก่อน +3

    Kwani Arthur na mwalimu wataingia lini kwenye mahusiano. 😂😂😂

  • @young4cofficial
    @young4cofficial 2 หลายเดือนก่อน +1

    Mr ruka mbishi sana

  • @WinfridaHamis-m8d
    @WinfridaHamis-m8d 2 หลายเดือนก่อน +3

    Jamani inachelewa sana kutoka tuongezewe siku 😢

  • @adolfmuhungura7296
    @adolfmuhungura7296 2 หลายเดือนก่อน +1

    Great message when the deal is good think twice ur a great friend

  • @reginaIssa-m2j
    @reginaIssa-m2j 2 หลายเดือนก่อน +1

    Kazi nzuri sana inamafunzo mengi sana nimeipenda❤❤

  • @MahmudOmar-gx2ok
    @MahmudOmar-gx2ok 2 หลายเดือนก่อน +1

    Oliva nakukubali sana uko na kipaji Mungu akuzidishiye na hongereni nyote wahusika shukran niko saudia nawafatilia pole pole tu

    • @henrymwakajumba
      @henrymwakajumba  2 หลายเดือนก่อน

      Asante wasalimu Saudi! ❤️

  • @MichaelMpwaga-wi7sb
    @MichaelMpwaga-wi7sb 2 หลายเดือนก่อน

    Bigapu sana gabo unafanya kazi nzr sana,Baba olivia,

  • @emmanuelmwakajumba2189
    @emmanuelmwakajumba2189 2 หลายเดือนก่อน +1

    Mnachelewa sanaa jamani tutaacha kuangalia😂😂😂

    • @henrymwakajumba
      @henrymwakajumba  2 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂😂 Utaacha na nani?

  • @Justin_Nano
    @Justin_Nano 2 หลายเดือนก่อน +1

    Movie yetu nzuri kabisa🎉🎉🎉

  • @KhairatVuai-z6w
    @KhairatVuai-z6w 2 หลายเดือนก่อน +1

    Me Leo cjaenda mana cjamuona mwalimu no mzuri Sana ningekuwa angekaa tu ndani mm nikamfanyia kila kitu

    • @PhonexPhonex-u8e
      @PhonexPhonex-u8e 2 หลายเดือนก่อน

      😅😅

    • @henrymwakajumba
      @henrymwakajumba  2 หลายเดือนก่อน

      Mwone hapa, Ingia hapa angalia yote www.pendwa.app

  • @nishaabdula5015
    @nishaabdula5015 2 หลายเดือนก่อน +1

    Yn gabo uigizaji wk umu adi nacheka😂😂

  • @MrImma
    @MrImma 2 หลายเดือนก่อน +1

    Filamu nzuri sana na pendwa kwangu

  • @salummasoud-o7y
    @salummasoud-o7y 2 หลายเดือนก่อน +1

    Iyo ya kiwanja salim ahmed ume play well,werevu umetumika kikamilifu

  • @AnnaMundia-d3o
    @AnnaMundia-d3o 2 หลายเดือนก่อน +1

    Huyu myzungu bonoko anadhani watu wajinga ngoja tu ..hongera baba Olivia

  • @sittyashina
    @sittyashina 2 หลายเดือนก่อน +1

    I enjoy all piece of this movie😂😂❤❤❤

  • @rashidhr2662
    @rashidhr2662 2 หลายเดือนก่อน +1

    Daaaàh jamani hii Movie huwa inanikosesha amani kama nisipoiangalia

  • @SamTumwesiger
    @SamTumwesiger 2 หลายเดือนก่อน +1

    Nimechelewa, ila tupo pamoja✌🏿

  • @agnessntiburella8816
    @agnessntiburella8816 2 หลายเดือนก่อน +1

    Ninzuri sana ila nifupi, nimependa uelewa wa baba Olivia

  • @christinesafari-ji2bc
    @christinesafari-ji2bc 2 หลายเดือนก่อน +3

    Aya basi episode 11 iwe ndefu kias hpo Friday

    • @henrymwakajumba
      @henrymwakajumba  2 หลายเดือนก่อน

      Tusaport kwa kungalia tamthilia yote kwenye website hii www.pendwa.app/shows/tv/3a6cb6fc-34ab-4ebd-9422-c929eedb96df

    • @PhonexPhonex-u8e
      @PhonexPhonex-u8e 2 หลายเดือนก่อน

      ​@@henrymwakajumbayakataa

  • @rashidgona1808
    @rashidgona1808 2 หลายเดือนก่อน

    Huyu mama Tina anaboesha Kwa hii movie ila wengine wote wako vizuri

  • @LevinaGemin
    @LevinaGemin 2 หลายเดือนก่อน +1

    Jmni mbna mmnawek vipand vifupi mnoo tuongeezeeni kidg yn cku tano alf mnatup kipnd kifup kam tunaangalia kila siku tuongezeeni jmanii🙏🙏🙏

    • @henrymwakajumba
      @henrymwakajumba  2 หลายเดือนก่อน

      Hii apa yote www.pendwa.app/shows/tv/3a6cb6fc-34ab-4ebd-9422-c929eedb96df

  • @princeofaragon728
    @princeofaragon728 2 หลายเดือนก่อน +1

    Baba Tina:Kwa nini nyinyi ni ndugu?
    Mimi : sababu tumezaliwa na mama mmoja

  • @glorymanga3650
    @glorymanga3650 2 หลายเดือนก่อน +1

    Nawapendaaa woteeeee🥰🥰🥰🥰🥰

    • @henrymwakajumba
      @henrymwakajumba  2 หลายเดือนก่อน

      ❤️❤️❤️❤️