UFUNGUZI HOTEL YA MTUME MWAMPOSA G7 WONDERS MBEYA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 30 ธ.ค. 2022
  • Kuendelea kupata mafundisho mengine zaidi tufuatilie kupitia mitandao yetu ya kijamiii:-
    Facebook : / gospeltvshow
    Instagram : / chomozanews
    TH-cam : th-cam.com/users/ChomozaTV?su...
    #ChomozaTv#2022
  • บันเทิง

ความคิดเห็น • 187

  • @prophetnkoronko1990
    @prophetnkoronko1990 ปีที่แล้ว +3

    Watu wengi wanamtazamo kwamba watumishi hawawezi kufanikiwa ,acha Mungu amuinue zaidi ,

  • @evamkonyi1642
    @evamkonyi1642 ปีที่แล้ว +1

    BINADAAMU kazi sana....mlitaka Asifanikiwe ili mseme,,, biblia inasema baba yetu wa imani Alikuwa Tajiri wa pesa na mali....uishi miaka mingi mtumshi wa MUNGU mwamposa umefanyika baraka sana kwa mamilioni wanakufatilia Amina

  • @xhamzy
    @xhamzy ปีที่แล้ว +11

    nabii na hotel ni vitu viwili tofauti unaacha kujenga nyumba za ibada munafanya dini kitega uchumi

  • @paulmbogo2141
    @paulmbogo2141 ปีที่แล้ว +13

    Hotel nzuri Sana, ila sijuwi kwanini nawiwa kuona hii GHARAMA ILIYOTUMIKA HAPA, INGEKUA NI JENGO LA IBADA, YAANI MBEYA NZIMA TUKASEMA HAKUNA JENGO KUBWA, ZURI LA KISASA KAMA YA AKINA OYEDEPO, TB JOSHUA N.K, MBEYA AU TANZANIA NZIMA, MTUME ANA WAFUASI WENGI, ASISAHAU NYUMBA ZA IBADA!!

    • @happinesslugiko2150
      @happinesslugiko2150 ปีที่แล้ว

      Unaijua miradi ya hao ulowataja?

    • @MagrethKatondo-qs9oz
      @MagrethKatondo-qs9oz 4 วันที่ผ่านมา

      Mmmhhh jamani haya ni ya dunia tu yanapita tutaandamana na matndo tetutu mena

  • @magretkijanga6038
    @magretkijanga6038 ปีที่แล้ว +7

    Maskini ya Mungu,watu wanakimbilia mafuta kumbe wengine wanaingiza siku🤣

    • @msuhahappy7016
      @msuhahappy7016 ปีที่แล้ว

      Unasahau kuna wema wake hapo kuna ndugu zetu wanapata ajira mtumish kaajir watu weng mno wanakula na kusomesha kupitia yeye bado wafanya biashara kawe wapo kwa kuwa yupo wanapata kipato na maisha yanasonga mnapojadili angalien mmeisaidia jamii kwa kias gani

    • @AmeldaKavishe-ry9ow
      @AmeldaKavishe-ry9ow 11 หลายเดือนก่อน

      Ukifanya kazi na mungu lazima upewe vitu vikubwa namarifa yajuu ulitaka asibarikiwe

  • @mariamfritsi4943
    @mariamfritsi4943 9 หลายเดือนก่อน +1

    Siku yoyote ile Mungu akinijaalia nitafika hotelini hapo kwa mtumishi ,kwani ina mandhari mazuri sana,ubarikiwe mtumishi.

  • @dianamakyara4210
    @dianamakyara4210 ปีที่แล้ว +1

    Acheni kuwasema watumishi wa Mungu,Kwa Nini wao wakifanikiwa mnachanganyikiwa,Mungu anaemtumikia ni tajiri sio maskini,nampongeza sana Mwamposa,natamani Kila mkoa ujenge hotel vijana wa Tanzania wapate Ajira. Hongera sana Mwamposa

    • @akimu-gl7zp
      @akimu-gl7zp ปีที่แล้ว

      Kwaio mungu anambaliki yeye tu. Waumini mungu hawasikii maombiyao? acheni hizo. Tambuenikua dunia itakunjwa kama karatasi. Nyie jisahauni namapambo yadunia siku inakuja

  • @vikimartin9441
    @vikimartin9441 ปีที่แล้ว +6

    Kiukweli,mwaka Huu,2023 nikipata kibali Cha kwenda mlima wa maamuzi MBEYA na Mungu akanipa mume na ndoa, nitatamani honeymoon iwe G7.

    • @Summerbtz
      @Summerbtz ปีที่แล้ว +1

      Mungu akupe haja ya moyo wako Pokea kibali mwaka huu mwaka ukawe na neema na baraka kwako

    • @edwinmbwilo6128
      @edwinmbwilo6128 ปีที่แล้ว

      Huo mlima wa maamuzi unaitwaje?

    • @salmahassan3521
      @salmahassan3521 ปีที่แล้ว

      ukitoka uko honeymoon na majini ya mafarakano kibao

    • @sophiekinyonga3182
      @sophiekinyonga3182 ปีที่แล้ว

      @@salmahassan3521 ni vem kuw kimy

    • @danieljonathan6619
      @danieljonathan6619 ปีที่แล้ว

      Kwenda kuzoa mapepo ya uzinzi

  • @evamkonyi1642
    @evamkonyi1642 ปีที่แล้ว

    Hongera my dday.....MUNGU Aendelee kukuinua kama baba yangu Anavyozidiwa na mafanikio ndivyo nitakavyozidiwa na mafanikie kwa jina la YESU

  • @neemagidion302
    @neemagidion302 11 หลายเดือนก่อน

    Matunda mazuri sana
    Kumtumikia Mungu kuna faida be blessed more my spiritual father

  • @mankacharles4559
    @mankacharles4559 ปีที่แล้ว +6

    Za kuambiwa changanya na za kwako

  • @princetygah_inspiration5912
    @princetygah_inspiration5912 ปีที่แล้ว +8

    Kashapga hela zake za maji.. Alizo changiwa na akina mama... fresh..

    • @eaglecrown6470
      @eaglecrown6470 ปีที่แล้ว

      Kwenda huko

    • @geofreyg.mtensa4559
      @geofreyg.mtensa4559 ปีที่แล้ว +1

      @@eaglecrown6470 jamaa kasema ukwel, apo watu watazini, zitauzwa pombe, daaah ...mashaka nishayapata mm

    • @eaglecrown6470
      @eaglecrown6470 ปีที่แล้ว

      @@geofreyg.mtensa4559 MUNGU wa kweli atajibu juu ya nafsi zao kumhusu MUNGU wa kweli.

  • @piusmdoe3200
    @piusmdoe3200 ปีที่แล้ว +6

    Hotel ni nzuri,uwekezaji ni mzuri.
    Chanzo cha pesa za uwekezaji ndio shida.
    Hivi hii hotel mmiliki ni kanisa ama ni mtume,kama ni mtume haya bwana

    • @alenyema7738
      @alenyema7738 ปีที่แล้ว

      Ukiona rahisi na wewe kuwa mtume mkuu

  • @ruthmosesmasanja6502
    @ruthmosesmasanja6502 ปีที่แล้ว

    Hongera sana Mtumishi wa Mungu, Mungu azidi kukuinua. Tunakuombea sana baba yetu

  • @roselugendo6943
    @roselugendo6943 ปีที่แล้ว +1

    Hongera baba. Mungu azidi kukuinua

  • @shashikantgajjar8941
    @shashikantgajjar8941 ปีที่แล้ว

    Nice Congratulations Baba

  • @nsibwenekaswaga6267
    @nsibwenekaswaga6267 ปีที่แล้ว +1

    Be blessed

  • @marynice318
    @marynice318 ปีที่แล้ว

    Hungera baba 🙌❤️❤️ nataka na mimi nibalikiwe kama wewe kwenye mazabao yako ninayo sari nipate majumba magari viwanja pesa nyinge💸na za kuwasaidia watu wasio jiweza

  • @Bitlontravels555
    @Bitlontravels555 9 หลายเดือนก่อน

    Great Hotel! God bless his servant. Hii ni baraka.

  • @IssaIbrahimu-gw5cs
    @IssaIbrahimu-gw5cs 3 หลายเดือนก่อน

    Na mimi nitafanya mambo makubwa kwa jina la Yesu kristo

  • @wiliamvicentewiliam4903
    @wiliamvicentewiliam4903 ปีที่แล้ว

    Mwamposa Mungu wa mbinguni YESU Cristo akusamehee sana.ibu rudi kwenye ukweli uwo ni winzi tupu

  • @yasinijuma6646
    @yasinijuma6646 ปีที่แล้ว

    Ameen ameen na mimi naomba MUNGU unibariki nifaye mambo makubwa bila kujali maneno ya wakosaji

  • @marthamahule3346
    @marthamahule3346 ปีที่แล้ว +3

    Waooo!! Waooo! What a big blessings to area people!! May his name be glorified, Be blessed Apostle for such Investment, So wonderful 🤣🙏

  • @elishaobadia8829
    @elishaobadia8829 ปีที่แล้ว +4

    Pesa za maskin Wanao LALa na njaa

  • @fellisianholle9431
    @fellisianholle9431 ปีที่แล้ว

    Kazi nzuri

  • @romanafrancis265
    @romanafrancis265 ปีที่แล้ว

    Mungu kakubariki kama alivyo mbariki Ibrahim, so usijali maneno ya wanadamu, hawakosagi lakusema, kama wanajua ulitapeli ndo ukawa tajiri nao siwakatapeli kwani utajiri hawautaki,

  • @martinisadru9899
    @martinisadru9899 ปีที่แล้ว

    Hongera sana mtumishi, MUNGU akuzidishe sana kama sulemani

  • @floramongi1410
    @floramongi1410 10 หลายเดือนก่อน

    Yesu akasememaq enendeni duniani mkaihubiri injili mkawafanye watu kuwa wanafunzi wangu wala msiitamani dunia na mambo yaharibikayo msipende fedha muwe na kiasi kwani hayo yote ni ubatili

  • @jamesjanuary6707
    @jamesjanuary6707 ปีที่แล้ว +1

    Mimi nasikitika watumishi wa Mungu kujenga sehemu ya kufanyia uzinzi

    • @maryandason1815
      @maryandason1815 ปีที่แล้ว

      True Kwan ye amejenga kwa ajili ya Kaz ya uyo mungu wake,anemjuwa yye

    • @AvatiNdoghwe-od4hp
      @AvatiNdoghwe-od4hp ปีที่แล้ว

      Mcheza kwao hutunzwa mtumishi mungu akutunze niombee namimi nifanikiwe pamoja na Imani yangu nimefurahi sans hoteli nzr sans ameni

  • @margaretkapolesya3979
    @margaretkapolesya3979 ปีที่แล้ว +3

    Congratulations Daddy...MUNGU AZIDI kuzibariki kazi za MIKONO yako

  • @BettyMsongole
    @BettyMsongole 3 หลายเดือนก่อน

    Hongera baba tunaiona huduma yako inatuponya wengi

  • @danieljonathan6619
    @danieljonathan6619 ปีที่แล้ว

    Watumishi wa mungu nao wanajenga majumba ya uzinzi!!!! Mungu tuponye,watu kujidanganya eti kitu cha thamani ni mali hapana cha thamani ni Roho anayoitafuta Mungu kila siku,acheni upumbavu kusema kabarikiwa mwizi huyo.

  • @valenakomba9218
    @valenakomba9218 ปีที่แล้ว

    Mwenye macho haambiwi ona, jamani tufungue macho . Kama asemavyo yeye mwenyewe "SHINE YOUR EYES '

  • @floramongi1410
    @floramongi1410 10 หลายเดือนก่อน

    Kwani hajajenga kanisa basi ni shida Mungu alisema katika malaki majenga nyumba nzuri mvua ikinyesha mnaiacha nyumba ya Bwana mnakimbilia nyumba zenu nzuri jamani!!!!!!!!!

  • @shujaanduna2050
    @shujaanduna2050 ปีที่แล้ว +10

    Wanamchangia wamebaki maskini ye anatajirika.Kwa kuuza neno la mungu na maji,mafuta,nk na miujiza ya kishetani.

    • @stellamsokwa6785
      @stellamsokwa6785 ปีที่แล้ว +1

      Ushindwe wewe ndo maskini.... Shubamiti zako mimi nachangia ipasavyo na MUNGU kanibariki pakubwa tu kulingana na kujituma kwangu.... ACHA mawazo ya kifukara.... Inuka na ungaze wewe

    • @wilfredisack6447
      @wilfredisack6447 ปีที่แล้ว +3

      Kuwa mtume na ww uchangiwe kama n rahc ... utume n wito..Sio biashar kama unavyofkiria

    • @hildamsumal8628
      @hildamsumal8628 ปีที่แล้ว +2

      unauhakika naunacho ongea au ndio roho yaki maskini inakusumbua.tafuta hela uwache kusumbuliwa na mafanikio ya watu 😏😏

    • @sophiekinyonga3182
      @sophiekinyonga3182 ปีที่แล้ว +3

      Mawaz yako n pumba unapotoa ndipo unapobarikiw ujaijua hiyo Siri? Bak n mia mbili yako uiban kam utaongezeka tutampa mpka mwisho we waumia wap ushindwe kwa jin la yesu

    • @adventinarwegasira2341
      @adventinarwegasira2341 ปีที่แล้ว

      Majibu ulojibiwa nadhani yamekutoshaaa

  • @denismlwati3285
    @denismlwati3285 ปีที่แล้ว +2

    Wanaofanikiwa kwa Hawa jamaa wahuni labda udange na uibe bila ivyo utaishia kua maskini tu mpaka mwisho

  • @restitutanjau2585
    @restitutanjau2585 ปีที่แล้ว +2

    Mungu tupe akili ya kung'amua mambo

  • @AmeldaKavishe-ry9ow
    @AmeldaKavishe-ry9ow 11 หลายเดือนก่อน

    Hongera yake ❤❤❤❤❤

  • @floramongi1410
    @floramongi1410 10 หลายเดือนก่อน

    Sisi hatuna wivu hata sisi tumejenga ila ukweli utajulikana kama alivyosema yoshua naijulikane leo Mungu wenu na Mungu wenu nani ni Mungu wa kweli

  • @sophiakimaro5174
    @sophiakimaro5174 ปีที่แล้ว +9

    Najiulizza hii Hotel si inaweza kuwa chanzo cha uzinzi?Natamani angewekeza kingine hata shule chuo,hosp,bank, etc.

    • @danieljonathan6619
      @danieljonathan6619 ปีที่แล้ว

      Umeonaeeee uzinzi mtupu humo

    • @nurunswebe4203
      @nurunswebe4203 ปีที่แล้ว

      Wewe simzinzi lazima uwaze uzinzi

    • @atmcademy5435
      @atmcademy5435 ปีที่แล้ว

      Kwan izo biashara ulizotaj aziwez kuwa chanzo cha maovu ..au upeo wa kufikir n mdogo..unakuw km yuda alivyomshauri Yesu...tuuze tugawie maskini

    • @benondominic1475
      @benondominic1475 ปีที่แล้ว

      Shule wanafunzi ushoga.. hospital wanatoa Mimba..chuo ndio usisesema kila kitu kimekaa kimauv 😃

    • @nsajirobert
      @nsajirobert ปีที่แล้ว

      Sophia kimaro inategemea kuna siku moja nililala lodge moja karibu na stand kuu pale mbeya kama huna ndoa huwez lala na mwanamke pale ni utaratibu walio jiwekea

  • @ombendaud5938
    @ombendaud5938 ปีที่แล้ว +5

    Ni hatari yaani hela tulizopigwa na kudanganywa yeye anajenga hotel sisi tunapokea kwa imani.Mwamposa mwamposa mnatuibia

    • @evelynekomba7216
      @evelynekomba7216 ปีที่แล้ว

      Ha haahaa jameniii

    • @stellamsokwa6785
      @stellamsokwa6785 ปีที่แล้ว

      Sema naibiwa acha kutujumuisha tunaobarikiwa we vip 😏

    • @liberatimsoma9742
      @liberatimsoma9742 ปีที่แล้ว

      Acha roho ya chuki ndugu. Usishindane na mtumishi wa bwana. Acha awe mfano mzuri nakwa watumishi wengine wajue mali na vitu vyote vya dunia vinatoka kwa mwenyezi Mungu.

    • @ombendaud5938
      @ombendaud5938 ปีที่แล้ว

      @@liberatimsoma9742 Yaani wewe anavyotuuzia mafuta na maji unaona sawa.Afungue kiwanda cha mafuta auze ya kupikia ila siyo ya upako wakupata hela halafu yeye tunampatia hela.Siyo vzr

    • @floramongi1410
      @floramongi1410 10 หลายเดือนก่อน

      Kama ni mtumishi mbona alisababisha wachagga wakafa vile na hakufanywa chochote hata kakobe alivuma sana lakini Yako walk tunajua utjiri na heshima vinatoka Kwa Mungu ila sio wa kuuza neno la Mungu

  • @yasinijuma6646
    @yasinijuma6646 ปีที่แล้ว

    we love you Mwamposa

  • @PillyjoshuaJoshuamahinja
    @PillyjoshuaJoshuamahinja 6 หลายเดือนก่อน

    Naomba kazi hapo hotel

  • @adriankamareck8151
    @adriankamareck8151 ปีที่แล้ว

    Inapendeza nzuli

  • @nalingarowl7048
    @nalingarowl7048 ปีที่แล้ว +3

    Full busness time

  • @geofreyg.mtensa4559
    @geofreyg.mtensa4559 ปีที่แล้ว +8

    Ila Mwamposa ww ni mchungaji wng, huu mwaka wa 7 sasa, naomba jenga kanisa DAR la kisasa, hatuna kanisa mahalumu paster

    • @oscarmgeradinukauangaze1130
      @oscarmgeradinukauangaze1130 ปีที่แล้ว +1

      Mpendwa mtume aliwahi kusema ukijenga kanisa NIKAMA unemuwekea mungu ukomo wa watu unao wataka kwaiyo mpaka Sasa navo kwambia mpaka mafunuo yafanye kazi yake

    • @geofreyg.mtensa4559
      @geofreyg.mtensa4559 ปีที่แล้ว +2

      Ayo mafunuo ya kutomjengea Mungu nyumba ya ibada sio kweli mtumishi, sisi km waumin tunapenda tutulie sehemu 1, ipo cku ata kawe twaweza kuhamishwa

    • @israelmkaka2807
      @israelmkaka2807 ปีที่แล้ว +1

      Waaaumini huwa mnahama Makanisa, mnatanga tanga kutafta miujiza. Mnyakyusa kawashtukia, ameona bora ajenge NSSF yake ya Uzeeni. Big up Mwamposa. Hivi, Kwa hiyo Hotel, Kuna UGIMBI???

    • @msuhahappy7016
      @msuhahappy7016 ปีที่แล้ว

      Mwaka 2022 alisema anatafuta eneo kubwa la kanisa la kwake nazan n issue ya mda

    • @tajimwambole3115
      @tajimwambole3115 ปีที่แล้ว +1

      🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣kwa kweli .kesho wapo kwa musa kesho kwa mzee wa upako .

  • @MageAwe-hl5zb
    @MageAwe-hl5zb 10 หลายเดือนก่อน

    Mtumshi hongera

  • @abigailbateyunga8187
    @abigailbateyunga8187 ปีที่แล้ว

    Thanks 👏💯 Dad be blessed 🍾🍾🎁

  • @osanamgallah4297
    @osanamgallah4297 ปีที่แล้ว +7

    PESA mnazo tapeli watu wala sio mkono wa Mungu wa mbinguni.. Endelea kupotosha watu ili uendelee kujinufaisha na familia yako ..utalipwa na Mungu

    • @liberatimsoma9742
      @liberatimsoma9742 ปีที่แล้ว

      Ndugu uyo Mungu unaye muongelea ambaye sio wa mwamposa anaye mhubiri ni yupi uyo tunaomba somo. Kama huna mwombe msamaha muumba wako usimkufuru Mungu kwa kukejeli watumishi wake. Uwekezaji ni ajira kwa wengi pia serikali itapata kodi ambazo zinasaidia taifa kwa ujumla pasipo kubagua yeyote.

    • @denismlwati3285
      @denismlwati3285 ปีที่แล้ว

      Eti muhubiri nabii ana mahotel duu Atari sana

    • @Churchofecclesia
      @Churchofecclesia ปีที่แล้ว +2

      Wewe famba kweli unaongea pumba gan unataka wasifanikiwe kwenda huko na roho yako ya umaskini

    • @Churchofecclesia
      @Churchofecclesia ปีที่แล้ว +1

      @@denismlwati3285 ww ulitakaje awe maskini mbna maagent wa kuzimu wakifanikiwa hampig kelele nyie ndo wachawi wenyewe msiotaka WANA WA MUNGU wafanikiwe halaf mnajiita wakristo, nyie ni makristo wa uongo hamn maana katika kuujenga UFALME WA YESU KRISTO bali ni kuubomoa

    • @osanamgallah4297
      @osanamgallah4297 ปีที่แล้ว

      @@Churchofecclesia huyo ni WAKALA WA SHETANI hakuna mtumishi hapoo...WAKALA WA KUZIMU...funguka machooo..

  • @mkambatoleojipya5710
    @mkambatoleojipya5710 ปีที่แล้ว

    Wote wanao saport mafanikio ya huyu jambazi wa kutumia akili ni wale wanao umia na mafanikio yake wenyewe wanabaki kusubiri pokea miujiza kwa kukanyaga mafuta na kujitoa sadaka wao wenyewe kwa mafanikio ya mwenzao polen sana kwani mnaangamia kwa kukosa maarifa , 😭😭😭😭😭

  • @japhetdaudmaneno8440
    @japhetdaudmaneno8440 ปีที่แล้ว

    Shida siyo kuwekeza,vyanzo vya mapato,njia anazopatia na matokeo yake Hilo ndilo tatizo" neno liko wazi mtawatambua kwa matunda yao'

  • @eliudezekiel8615
    @eliudezekiel8615 10 หลายเดือนก่อน

    Mwamposaa ungefunguwa hata hospital kubwaaaa ningesema sawaa ilaaaaa mh

  • @emmanueljosephati3192
    @emmanueljosephati3192 ปีที่แล้ว +5

    Yeye anawapa maji Mnapa pesa and then anajega maotel wajiga ndo waliwao huyu agent wa shetani kibieni tafuteni ijili ya kwel abayo inawahimiza kufanya toba na kwenda mbiguni!?

    • @edinakyaruzi9226
      @edinakyaruzi9226 ปีที่แล้ว

      Mama angu umwambii kitu nipesa akose tu ndio hatoenda

    • @happysophyr.mbasha2339
      @happysophyr.mbasha2339 ปีที่แล้ว

      Siyo kosa lako, ndo kiwango chako cha kufikiri. Nahuko mbinguni utafika ukiwa hoi sana, maana unaishi kwa kukariri

    • @sophiekinyonga3182
      @sophiekinyonga3182 ปีที่แล้ว

      Vp sis tunaoyaombea maj n mafut ya kupikia yakiw nyumban na tukapokea kufunguliw uponyaj uchum app tunamtajirisha nn unaropokwa tu wewe mtafute mungu kwa bidii ayo yote utazidishiw

    • @fredaandrea303
      @fredaandrea303 7 หลายเดือนก่อน

      Wengne hata hatujawah hata kufika ila tunasaidika sanaa kwa iman hakuna mkamilif ni Mungu peke

  • @enezermwafrica7443
    @enezermwafrica7443 ปีที่แล้ว

    Mimi ndio maana nimeacha kutolea Sadaka kwa watu wa stahili za kukanyaga mafuta

  • @meeknessmaziku2156
    @meeknessmaziku2156 ปีที่แล้ว +3

    Hii inaweza kuwa imepandishwa Kama ilivyo kutoka kuzimu! Ata sishagai😳

    • @sophiekinyonga3182
      @sophiekinyonga3182 ปีที่แล้ว

      Imeandikwa kwenye biblia na abarikiwe akubarikie na walaaniwe wakulaanio Jambo usilolijua n vema kukaa kimy au omb mungu akupe hekim unawez kubeba laan bila kujijua mwenzen apiganag wala kushindan na mtu anashindaniw n Bwana, Mungu naomb nifundishe kunyamaza

    • @floramongi1410
      @floramongi1410 10 หลายเดือนก่อน

      Tunachoshangaa Kwanini anauza hago Mami na kuyaita yaupako yananini

  • @amosidamian7273
    @amosidamian7273 ปีที่แล้ว

    Angejenga nyumba ya ibada amejenga nyumba yawashalati wazinifu Sasa nn amefanya ndo ataendelea kupnga kawe kweli nihatali kabisa

  • @lidyateddy6950
    @lidyateddy6950 ปีที่แล้ว +11

    Watu mnalaumu bure huo ni wivu wa maendeleo,Sasa kama mwamposa kapewa kibali na anaweza kubariki wengine na wakapata baraka teletele Sasa kwann yeye asiwe baba wa mfano wa baraka hizo 🥰watoto ndio tunatakiwa kufuata mfano huu nakuziteka baraka.kanisa zuri ni kweli tunatamani lakini Kama alivo sema tunahitaji umakini mkubwa na eneo kubwa kwa maana inabidi kujenga kanisa kubwa bila kubomoa bomoa watu wanazidi kuongezeka kila siku,Mimi naamini kuhusu kanisa mtume analifikiria na tuombe Mungu amuwezeshe afanye Jambo juu ujenzi huo.

    • @evangelistdanielsenyagwa4018
      @evangelistdanielsenyagwa4018 ปีที่แล้ว

      😂😂😭😭

    • @admirabilismallaso9468
      @admirabilismallaso9468 ปีที่แล้ว

      Mitume na manabii wa kale walijilimbikizia mali namna hii? Nauliza tu msijeniumiza

    • @admirabilismallaso9468
      @admirabilismallaso9468 ปีที่แล้ว

      Mitume na manabii wa kale walijilimbikizia mali namna hii? Nauliza tu msijeniumiza

    • @shukujaibu7143
      @shukujaibu7143 ปีที่แล้ว +1

      Waambie wachawi hao watapigwa na majeshi yasiooneka hao akina Yuda

    • @lidyateddy6950
      @lidyateddy6950 ปีที่แล้ว

      @@shukujaibu7143 na watajikuta na manundu kwa kudundwa na majeshi yasiyo onekana🤣🤣🤣mlitaka awe masikini?Soma biblia vizuri wewe unaesema mitume na manabii eti walikuwa masikini🙄🙄🙄hakuna mtume au nabii aliye kuwa masikini na nilazima wale madhabahuni🤪🤪🤪

  • @siajohn6866
    @siajohn6866 ปีที่แล้ว

    Glory to God,, bless bless bless 🙏🙏🙏

  • @AlfaniMohammed-zk1hn
    @AlfaniMohammed-zk1hn หลายเดือนก่อน

    Sadaka za maji ya upako

  • @msowamhokole7714
    @msowamhokole7714 ปีที่แล้ว +3

    Vipi hapo bia zitakuwepo ama

  • @AmeldaKavishe-ry9ow
    @AmeldaKavishe-ry9ow 11 หลายเดือนก่อน

    Mwamposa afungue kanisa jamani

  • @saumsaum1916
    @saumsaum1916 ปีที่แล้ว

    Si angejenga hospitali ya wagonjwa au kituo cha kulelea watoto yatima kwl mpako una nguvu

  • @sophiekinyonga3182
    @sophiekinyonga3182 ปีที่แล้ว +2

    Mungu akikuinua uinuka maadui sishangai hilo mungu azid kukubarik mtumish kwan umefnyika barak kweny familia yangu

  • @victoriamaige2862
    @victoriamaige2862 ปีที่แล้ว

    Mimi nawashangaa siyo kila mtu Ana neema hii ukisema mafuta ya mwamposa ni bei sw na bure ni elf tu kulinganisha bei za wengine maji hauzi ni wewe unabeba hiyo ni akili yake tu km wewe unavyopigana na ndoto zako

  • @AmeldaKavishe-ry9ow
    @AmeldaKavishe-ry9ow 11 หลายเดือนก่อน

    Maarifa sindio hayo ukibari nawe utabarikiwa

  • @japhetdaudmaneno8440
    @japhetdaudmaneno8440 ปีที่แล้ว

    Kama ni halali ni vema la sivyo MATH:7:15-25;inamhusu

  • @user-kb8wv6kg8g
    @user-kb8wv6kg8g หลายเดือนก่อน

    Mbona watu wanafunguliwa? Mnapata mafanikio? Msihukumu Mungu njia zake hazitafutikani amempa zawadi ya kazi zake mtajuaje?

  • @nsiamasawe4578
    @nsiamasawe4578 11 หลายเดือนก่อน

    Sadaka za walala hoi

  • @suzanafransis1449
    @suzanafransis1449 ปีที่แล้ว

    Hongera sana mtume mungu afanye Jambo lingine zaidi ya hili

  • @gulionigulioni3234
    @gulionigulioni3234 ปีที่แล้ว

    Nani aliwaambia kuna mitume iliyo hai hadi leo? Punguzeni laana makafiri nyie.

  • @marthakimia4075
    @marthakimia4075 ปีที่แล้ว

    Mungu atubariki sana pamoja na mtumishi wetu wa Mungu. Mungu atakupa zaidi na zaidi in Jesus's Name

  • @mohammedamour4930
    @mohammedamour4930 ปีที่แล้ว

    Hotel ya mtume misba mkubwa

  • @nsibwenekaswaga6267
    @nsibwenekaswaga6267 ปีที่แล้ว +3

    Nimefurahi sana kwa kuona hii hotel iliyojengwa na mzawa

  • @rosekigombola7737
    @rosekigombola7737 ปีที่แล้ว +2

    Glory To GOD Above All.. Congrats Dad.. We ar Soo Proud of U Spiritual Dad.. Always 🌹 💖

    • @marryamos6526
      @marryamos6526 ปีที่แล้ว

      Hotel sio yake jamani kapewa heshima ya ufunguzi tu na maombi kwa ujumla roho zimewatoka wengine lol mh

    • @harrieth56
      @harrieth56 ปีที่แล้ว

      Hongera sana Apostle Boniface Mwamposa, KAZI yako ni njema, umekumbuka nyumbani

    • @harrieth56
      @harrieth56 ปีที่แล้ว

      Namwomba Mungu anipe KIBALI nitembelee G7 WONDERS within the First Six Months of 2023 na yule Partner wangu wa AHADÌ, LM, NILIYEPEWA NA MUNGU BAADA YA MIAKA MINGI YA KUMLILIA MUNGU.

    • @valenakomba9218
      @valenakomba9218 ปีที่แล้ว

      Ubatili mtupuu.

  • @aminamollel3571
    @aminamollel3571 4 หลายเดือนก่อน

    Oooh god Bless you My dad, Mungu akuinue zaidi na Zaidi ni furaha ilioje Acha Mungu Aitwe Mungu, Barikiwa Zaidi❤❤❤

  • @dinalema732
    @dinalema732 ปีที่แล้ว

    Hela za mafuta ya maji ya kuuza..kwa wajinga.....WAJINGA NDIO WALIWAO.....KADANGANYA HADI KAJENIGA HOTELI WATU WAZINI HUKO VZR..

    • @angeldenis8262
      @angeldenis8262 ปีที่แล้ว

      Ayakuusuu fanya yako

    • @danieljonathan6619
      @danieljonathan6619 ปีที่แล้ว

      Washirika wake wamesaidia uzinzi ufanyike vizuri watatoa hesabu siku zinakuja asema BWANA wa Majeshi.

    • @danieljonathan6619
      @danieljonathan6619 ปีที่แล้ว

      @@angeldenis8262 nawewe umeshaliwaaaa

    • @angeldenis8262
      @angeldenis8262 ปีที่แล้ว

      @@danieljonathan6619 mh una jipy wat tunapambana atukai na majungu

  • @rubefabi8366
    @rubefabi8366 ปีที่แล้ว +2

    Ana haki ya kujenga chupa za mafuta 100000×2000=? Kwa kongamano la mkoa mmoja mara mikoa kadhaa ni tsh ngapi bila kodi yoyote.

    • @mariaclaver7721
      @mariaclaver7721 ปีที่แล้ว +1

      Msome ujinga wenu mtakao lala humo no ninyi mliomchangia kwa mafuta, mwishowe anachukua roho zenu maskini nyieee.

    • @shukujaibu7143
      @shukujaibu7143 ปีที่แล้ว

      Acheni wivu machoko

    • @shukujaibu7143
      @shukujaibu7143 ปีที่แล้ว +1

      Hubiri na wewe uza maji na mafuta ujenge heshima var

    • @lidyateddy6950
      @lidyateddy6950 ปีที่แล้ว

      Uza na wewe tununue

    • @joycejames3892
      @joycejames3892 ปีที่แล้ว

      Mungu akuinuwe kwa viwango vya juu zaidi ya hapo mtume uliye retwa na mungu kutukomboa sisi na kutujenga kiimani. Ameen🙏🙏🙏🙏

  • @mariamdarwesh4388
    @mariamdarwesh4388 ปีที่แล้ว

    Wajinga ndy waliwao!!! Na wajinga hawaishi kila siku wanazaliwa

    • @fredaandrea303
      @fredaandrea303 7 หลายเดือนก่อน

      Usihukum tu kwan hapana mkamilif haraf hayo ni maono yakoo na uelewa wako hasa kuna wengne hata hatujawah kufikaa hata kutoa hata mia ila iman tu imetuponyaa acha kuhukum

  • @adamzablon8939
    @adamzablon8939 ปีที่แล้ว +1

    Kama kutapeli watu ni rahisi nawewe fungua kanisa ukawatapeli.

  • @AmeldaKavishe-ry9ow
    @AmeldaKavishe-ry9ow 11 หลายเดือนก่อน

    Mwamposa afungue kanisa jamani