UFUNGUZI HOTEL YA MTUME MWAMPOSA G7 WONDERS MBEYA
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 30 ธ.ค. 2022
- Kuendelea kupata mafundisho mengine zaidi tufuatilie kupitia mitandao yetu ya kijamiii:-
Facebook : / gospeltvshow
Instagram : / chomozanews
TH-cam : th-cam.com/users/ChomozaTV?su...
#ChomozaTv#2022 - บันเทิง
Watu wengi wanamtazamo kwamba watumishi hawawezi kufanikiwa ,acha Mungu amuinue zaidi ,
BINADAAMU kazi sana....mlitaka Asifanikiwe ili mseme,,, biblia inasema baba yetu wa imani Alikuwa Tajiri wa pesa na mali....uishi miaka mingi mtumshi wa MUNGU mwamposa umefanyika baraka sana kwa mamilioni wanakufatilia Amina
nabii na hotel ni vitu viwili tofauti unaacha kujenga nyumba za ibada munafanya dini kitega uchumi
Kwani YESU alijenga wapi kanisa?
Na wewe anzisha dhehebu la kwako ili upate sadaka
Nashangaa sana
Una kazi ya kufanya acha rongorongo
Hotel nzuri Sana, ila sijuwi kwanini nawiwa kuona hii GHARAMA ILIYOTUMIKA HAPA, INGEKUA NI JENGO LA IBADA, YAANI MBEYA NZIMA TUKASEMA HAKUNA JENGO KUBWA, ZURI LA KISASA KAMA YA AKINA OYEDEPO, TB JOSHUA N.K, MBEYA AU TANZANIA NZIMA, MTUME ANA WAFUASI WENGI, ASISAHAU NYUMBA ZA IBADA!!
Unaijua miradi ya hao ulowataja?
Mmmhhh jamani haya ni ya dunia tu yanapita tutaandamana na matndo tetutu mena
Maskini ya Mungu,watu wanakimbilia mafuta kumbe wengine wanaingiza siku🤣
Unasahau kuna wema wake hapo kuna ndugu zetu wanapata ajira mtumish kaajir watu weng mno wanakula na kusomesha kupitia yeye bado wafanya biashara kawe wapo kwa kuwa yupo wanapata kipato na maisha yanasonga mnapojadili angalien mmeisaidia jamii kwa kias gani
Ukifanya kazi na mungu lazima upewe vitu vikubwa namarifa yajuu ulitaka asibarikiwe
Siku yoyote ile Mungu akinijaalia nitafika hotelini hapo kwa mtumishi ,kwani ina mandhari mazuri sana,ubarikiwe mtumishi.
Acheni kuwasema watumishi wa Mungu,Kwa Nini wao wakifanikiwa mnachanganyikiwa,Mungu anaemtumikia ni tajiri sio maskini,nampongeza sana Mwamposa,natamani Kila mkoa ujenge hotel vijana wa Tanzania wapate Ajira. Hongera sana Mwamposa
Kwaio mungu anambaliki yeye tu. Waumini mungu hawasikii maombiyao? acheni hizo. Tambuenikua dunia itakunjwa kama karatasi. Nyie jisahauni namapambo yadunia siku inakuja
Kiukweli,mwaka Huu,2023 nikipata kibali Cha kwenda mlima wa maamuzi MBEYA na Mungu akanipa mume na ndoa, nitatamani honeymoon iwe G7.
Mungu akupe haja ya moyo wako Pokea kibali mwaka huu mwaka ukawe na neema na baraka kwako
Huo mlima wa maamuzi unaitwaje?
ukitoka uko honeymoon na majini ya mafarakano kibao
@@salmahassan3521 ni vem kuw kimy
Kwenda kuzoa mapepo ya uzinzi
Hongera my dday.....MUNGU Aendelee kukuinua kama baba yangu Anavyozidiwa na mafanikio ndivyo nitakavyozidiwa na mafanikie kwa jina la YESU
Matunda mazuri sana
Kumtumikia Mungu kuna faida be blessed more my spiritual father
Za kuambiwa changanya na za kwako
Kashapga hela zake za maji.. Alizo changiwa na akina mama... fresh..
Kwenda huko
@@eaglecrown6470 jamaa kasema ukwel, apo watu watazini, zitauzwa pombe, daaah ...mashaka nishayapata mm
@@geofreyg.mtensa4559 MUNGU wa kweli atajibu juu ya nafsi zao kumhusu MUNGU wa kweli.
Hotel ni nzuri,uwekezaji ni mzuri.
Chanzo cha pesa za uwekezaji ndio shida.
Hivi hii hotel mmiliki ni kanisa ama ni mtume,kama ni mtume haya bwana
Ukiona rahisi na wewe kuwa mtume mkuu
Hongera sana Mtumishi wa Mungu, Mungu azidi kukuinua. Tunakuombea sana baba yetu
Hongera baba. Mungu azidi kukuinua
Nice Congratulations Baba
Be blessed
Hungera baba 🙌❤️❤️ nataka na mimi nibalikiwe kama wewe kwenye mazabao yako ninayo sari nipate majumba magari viwanja pesa nyinge💸na za kuwasaidia watu wasio jiweza
Great Hotel! God bless his servant. Hii ni baraka.
Na mimi nitafanya mambo makubwa kwa jina la Yesu kristo
Mwamposa Mungu wa mbinguni YESU Cristo akusamehee sana.ibu rudi kwenye ukweli uwo ni winzi tupu
Ameen ameen na mimi naomba MUNGU unibariki nifaye mambo makubwa bila kujali maneno ya wakosaji
Waooo!! Waooo! What a big blessings to area people!! May his name be glorified, Be blessed Apostle for such Investment, So wonderful 🤣🙏
Pesa za maskin Wanao LALa na njaa
😄😄😄😄
Kazi nzuri
Mungu kakubariki kama alivyo mbariki Ibrahim, so usijali maneno ya wanadamu, hawakosagi lakusema, kama wanajua ulitapeli ndo ukawa tajiri nao siwakatapeli kwani utajiri hawautaki,
Hongera sana mtumishi, MUNGU akuzidishe sana kama sulemani
Yesu akasememaq enendeni duniani mkaihubiri injili mkawafanye watu kuwa wanafunzi wangu wala msiitamani dunia na mambo yaharibikayo msipende fedha muwe na kiasi kwani hayo yote ni ubatili
Mimi nasikitika watumishi wa Mungu kujenga sehemu ya kufanyia uzinzi
True Kwan ye amejenga kwa ajili ya Kaz ya uyo mungu wake,anemjuwa yye
Mcheza kwao hutunzwa mtumishi mungu akutunze niombee namimi nifanikiwe pamoja na Imani yangu nimefurahi sans hoteli nzr sans ameni
Congratulations Daddy...MUNGU AZIDI kuzibariki kazi za MIKONO yako
Hongera baba tunaiona huduma yako inatuponya wengi
Watumishi wa mungu nao wanajenga majumba ya uzinzi!!!! Mungu tuponye,watu kujidanganya eti kitu cha thamani ni mali hapana cha thamani ni Roho anayoitafuta Mungu kila siku,acheni upumbavu kusema kabarikiwa mwizi huyo.
Mwenye macho haambiwi ona, jamani tufungue macho . Kama asemavyo yeye mwenyewe "SHINE YOUR EYES '
Kwani hajajenga kanisa basi ni shida Mungu alisema katika malaki majenga nyumba nzuri mvua ikinyesha mnaiacha nyumba ya Bwana mnakimbilia nyumba zenu nzuri jamani!!!!!!!!!
Wanamchangia wamebaki maskini ye anatajirika.Kwa kuuza neno la mungu na maji,mafuta,nk na miujiza ya kishetani.
Ushindwe wewe ndo maskini.... Shubamiti zako mimi nachangia ipasavyo na MUNGU kanibariki pakubwa tu kulingana na kujituma kwangu.... ACHA mawazo ya kifukara.... Inuka na ungaze wewe
Kuwa mtume na ww uchangiwe kama n rahc ... utume n wito..Sio biashar kama unavyofkiria
unauhakika naunacho ongea au ndio roho yaki maskini inakusumbua.tafuta hela uwache kusumbuliwa na mafanikio ya watu 😏😏
Mawaz yako n pumba unapotoa ndipo unapobarikiw ujaijua hiyo Siri? Bak n mia mbili yako uiban kam utaongezeka tutampa mpka mwisho we waumia wap ushindwe kwa jin la yesu
Majibu ulojibiwa nadhani yamekutoshaaa
Wanaofanikiwa kwa Hawa jamaa wahuni labda udange na uibe bila ivyo utaishia kua maskini tu mpaka mwisho
Shda zako ndo zinakusubua
Mungu tupe akili ya kung'amua mambo
Hongera yake ❤❤❤❤❤
Sisi hatuna wivu hata sisi tumejenga ila ukweli utajulikana kama alivyosema yoshua naijulikane leo Mungu wenu na Mungu wenu nani ni Mungu wa kweli
Najiulizza hii Hotel si inaweza kuwa chanzo cha uzinzi?Natamani angewekeza kingine hata shule chuo,hosp,bank, etc.
Umeonaeeee uzinzi mtupu humo
Wewe simzinzi lazima uwaze uzinzi
Kwan izo biashara ulizotaj aziwez kuwa chanzo cha maovu ..au upeo wa kufikir n mdogo..unakuw km yuda alivyomshauri Yesu...tuuze tugawie maskini
Shule wanafunzi ushoga.. hospital wanatoa Mimba..chuo ndio usisesema kila kitu kimekaa kimauv 😃
Sophia kimaro inategemea kuna siku moja nililala lodge moja karibu na stand kuu pale mbeya kama huna ndoa huwez lala na mwanamke pale ni utaratibu walio jiwekea
Ni hatari yaani hela tulizopigwa na kudanganywa yeye anajenga hotel sisi tunapokea kwa imani.Mwamposa mwamposa mnatuibia
Ha haahaa jameniii
Sema naibiwa acha kutujumuisha tunaobarikiwa we vip 😏
Acha roho ya chuki ndugu. Usishindane na mtumishi wa bwana. Acha awe mfano mzuri nakwa watumishi wengine wajue mali na vitu vyote vya dunia vinatoka kwa mwenyezi Mungu.
@@liberatimsoma9742 Yaani wewe anavyotuuzia mafuta na maji unaona sawa.Afungue kiwanda cha mafuta auze ya kupikia ila siyo ya upako wakupata hela halafu yeye tunampatia hela.Siyo vzr
Kama ni mtumishi mbona alisababisha wachagga wakafa vile na hakufanywa chochote hata kakobe alivuma sana lakini Yako walk tunajua utjiri na heshima vinatoka Kwa Mungu ila sio wa kuuza neno la Mungu
we love you Mwamposa
Naomba kazi hapo hotel
Inapendeza nzuli
Full busness time
Ila Mwamposa ww ni mchungaji wng, huu mwaka wa 7 sasa, naomba jenga kanisa DAR la kisasa, hatuna kanisa mahalumu paster
Mpendwa mtume aliwahi kusema ukijenga kanisa NIKAMA unemuwekea mungu ukomo wa watu unao wataka kwaiyo mpaka Sasa navo kwambia mpaka mafunuo yafanye kazi yake
Ayo mafunuo ya kutomjengea Mungu nyumba ya ibada sio kweli mtumishi, sisi km waumin tunapenda tutulie sehemu 1, ipo cku ata kawe twaweza kuhamishwa
Waaaumini huwa mnahama Makanisa, mnatanga tanga kutafta miujiza. Mnyakyusa kawashtukia, ameona bora ajenge NSSF yake ya Uzeeni. Big up Mwamposa. Hivi, Kwa hiyo Hotel, Kuna UGIMBI???
Mwaka 2022 alisema anatafuta eneo kubwa la kanisa la kwake nazan n issue ya mda
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣kwa kweli .kesho wapo kwa musa kesho kwa mzee wa upako .
Mtumshi hongera
Thanks 👏💯 Dad be blessed 🍾🍾🎁
PESA mnazo tapeli watu wala sio mkono wa Mungu wa mbinguni.. Endelea kupotosha watu ili uendelee kujinufaisha na familia yako ..utalipwa na Mungu
Ndugu uyo Mungu unaye muongelea ambaye sio wa mwamposa anaye mhubiri ni yupi uyo tunaomba somo. Kama huna mwombe msamaha muumba wako usimkufuru Mungu kwa kukejeli watumishi wake. Uwekezaji ni ajira kwa wengi pia serikali itapata kodi ambazo zinasaidia taifa kwa ujumla pasipo kubagua yeyote.
Eti muhubiri nabii ana mahotel duu Atari sana
Wewe famba kweli unaongea pumba gan unataka wasifanikiwe kwenda huko na roho yako ya umaskini
@@denismlwati3285 ww ulitakaje awe maskini mbna maagent wa kuzimu wakifanikiwa hampig kelele nyie ndo wachawi wenyewe msiotaka WANA WA MUNGU wafanikiwe halaf mnajiita wakristo, nyie ni makristo wa uongo hamn maana katika kuujenga UFALME WA YESU KRISTO bali ni kuubomoa
@@Churchofecclesia huyo ni WAKALA WA SHETANI hakuna mtumishi hapoo...WAKALA WA KUZIMU...funguka machooo..
Wote wanao saport mafanikio ya huyu jambazi wa kutumia akili ni wale wanao umia na mafanikio yake wenyewe wanabaki kusubiri pokea miujiza kwa kukanyaga mafuta na kujitoa sadaka wao wenyewe kwa mafanikio ya mwenzao polen sana kwani mnaangamia kwa kukosa maarifa , 😭😭😭😭😭
Shida siyo kuwekeza,vyanzo vya mapato,njia anazopatia na matokeo yake Hilo ndilo tatizo" neno liko wazi mtawatambua kwa matunda yao'
Mwamposaa ungefunguwa hata hospital kubwaaaa ningesema sawaa ilaaaaa mh
Yeye anawapa maji Mnapa pesa and then anajega maotel wajiga ndo waliwao huyu agent wa shetani kibieni tafuteni ijili ya kwel abayo inawahimiza kufanya toba na kwenda mbiguni!?
Mama angu umwambii kitu nipesa akose tu ndio hatoenda
Siyo kosa lako, ndo kiwango chako cha kufikiri. Nahuko mbinguni utafika ukiwa hoi sana, maana unaishi kwa kukariri
Vp sis tunaoyaombea maj n mafut ya kupikia yakiw nyumban na tukapokea kufunguliw uponyaj uchum app tunamtajirisha nn unaropokwa tu wewe mtafute mungu kwa bidii ayo yote utazidishiw
Wengne hata hatujawah hata kufika ila tunasaidika sanaa kwa iman hakuna mkamilif ni Mungu peke
Mimi ndio maana nimeacha kutolea Sadaka kwa watu wa stahili za kukanyaga mafuta
Hii inaweza kuwa imepandishwa Kama ilivyo kutoka kuzimu! Ata sishagai😳
Imeandikwa kwenye biblia na abarikiwe akubarikie na walaaniwe wakulaanio Jambo usilolijua n vema kukaa kimy au omb mungu akupe hekim unawez kubeba laan bila kujijua mwenzen apiganag wala kushindan na mtu anashindaniw n Bwana, Mungu naomb nifundishe kunyamaza
Tunachoshangaa Kwanini anauza hago Mami na kuyaita yaupako yananini
Angejenga nyumba ya ibada amejenga nyumba yawashalati wazinifu Sasa nn amefanya ndo ataendelea kupnga kawe kweli nihatali kabisa
Watu mnalaumu bure huo ni wivu wa maendeleo,Sasa kama mwamposa kapewa kibali na anaweza kubariki wengine na wakapata baraka teletele Sasa kwann yeye asiwe baba wa mfano wa baraka hizo 🥰watoto ndio tunatakiwa kufuata mfano huu nakuziteka baraka.kanisa zuri ni kweli tunatamani lakini Kama alivo sema tunahitaji umakini mkubwa na eneo kubwa kwa maana inabidi kujenga kanisa kubwa bila kubomoa bomoa watu wanazidi kuongezeka kila siku,Mimi naamini kuhusu kanisa mtume analifikiria na tuombe Mungu amuwezeshe afanye Jambo juu ujenzi huo.
😂😂😭😭
Mitume na manabii wa kale walijilimbikizia mali namna hii? Nauliza tu msijeniumiza
Mitume na manabii wa kale walijilimbikizia mali namna hii? Nauliza tu msijeniumiza
Waambie wachawi hao watapigwa na majeshi yasiooneka hao akina Yuda
@@shukujaibu7143 na watajikuta na manundu kwa kudundwa na majeshi yasiyo onekana🤣🤣🤣mlitaka awe masikini?Soma biblia vizuri wewe unaesema mitume na manabii eti walikuwa masikini🙄🙄🙄hakuna mtume au nabii aliye kuwa masikini na nilazima wale madhabahuni🤪🤪🤪
Glory to God,, bless bless bless 🙏🙏🙏
Sadaka za maji ya upako
Vipi hapo bia zitakuwepo ama
Razma ziwepo
Ukipata jibu nishutue
Mwamposa afungue kanisa jamani
Si angejenga hospitali ya wagonjwa au kituo cha kulelea watoto yatima kwl mpako una nguvu
Mungu akikuinua uinuka maadui sishangai hilo mungu azid kukubarik mtumish kwan umefnyika barak kweny familia yangu
Mimi nawashangaa siyo kila mtu Ana neema hii ukisema mafuta ya mwamposa ni bei sw na bure ni elf tu kulinganisha bei za wengine maji hauzi ni wewe unabeba hiyo ni akili yake tu km wewe unavyopigana na ndoto zako
Maarifa sindio hayo ukibari nawe utabarikiwa
Kama ni halali ni vema la sivyo MATH:7:15-25;inamhusu
Mbona watu wanafunguliwa? Mnapata mafanikio? Msihukumu Mungu njia zake hazitafutikani amempa zawadi ya kazi zake mtajuaje?
Sadaka za walala hoi
Hongera sana mtume mungu afanye Jambo lingine zaidi ya hili
Nani aliwaambia kuna mitume iliyo hai hadi leo? Punguzeni laana makafiri nyie.
Mungu atubariki sana pamoja na mtumishi wetu wa Mungu. Mungu atakupa zaidi na zaidi in Jesus's Name
Hotel ya mtume misba mkubwa
Nimefurahi sana kwa kuona hii hotel iliyojengwa na mzawa
Glory To GOD Above All.. Congrats Dad.. We ar Soo Proud of U Spiritual Dad.. Always 🌹 💖
Hotel sio yake jamani kapewa heshima ya ufunguzi tu na maombi kwa ujumla roho zimewatoka wengine lol mh
Hongera sana Apostle Boniface Mwamposa, KAZI yako ni njema, umekumbuka nyumbani
Namwomba Mungu anipe KIBALI nitembelee G7 WONDERS within the First Six Months of 2023 na yule Partner wangu wa AHADÌ, LM, NILIYEPEWA NA MUNGU BAADA YA MIAKA MINGI YA KUMLILIA MUNGU.
Ubatili mtupuu.
Oooh god Bless you My dad, Mungu akuinue zaidi na Zaidi ni furaha ilioje Acha Mungu Aitwe Mungu, Barikiwa Zaidi❤❤❤
Hela za mafuta ya maji ya kuuza..kwa wajinga.....WAJINGA NDIO WALIWAO.....KADANGANYA HADI KAJENIGA HOTELI WATU WAZINI HUKO VZR..
Ayakuusuu fanya yako
Washirika wake wamesaidia uzinzi ufanyike vizuri watatoa hesabu siku zinakuja asema BWANA wa Majeshi.
@@angeldenis8262 nawewe umeshaliwaaaa
@@danieljonathan6619 mh una jipy wat tunapambana atukai na majungu
Ana haki ya kujenga chupa za mafuta 100000×2000=? Kwa kongamano la mkoa mmoja mara mikoa kadhaa ni tsh ngapi bila kodi yoyote.
Msome ujinga wenu mtakao lala humo no ninyi mliomchangia kwa mafuta, mwishowe anachukua roho zenu maskini nyieee.
Acheni wivu machoko
Hubiri na wewe uza maji na mafuta ujenge heshima var
Uza na wewe tununue
Mungu akuinuwe kwa viwango vya juu zaidi ya hapo mtume uliye retwa na mungu kutukomboa sisi na kutujenga kiimani. Ameen🙏🙏🙏🙏
Wajinga ndy waliwao!!! Na wajinga hawaishi kila siku wanazaliwa
Usihukum tu kwan hapana mkamilif haraf hayo ni maono yakoo na uelewa wako hasa kuna wengne hata hatujawah kufikaa hata kutoa hata mia ila iman tu imetuponyaa acha kuhukum
Kama kutapeli watu ni rahisi nawewe fungua kanisa ukawatapeli.
Kabisa
Mwamposa afungue kanisa jamani