Sijawahi Kusema, Ninao Maadui Mtume Mwamposa
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 16 พ.ค. 2020
- Kuendelea kupata mafundsho mengine zaidi tufuatilie kupitia mitandao yetu ya kijamiii:-
Facebook : / gospeltvshow
Instagram : / chomozanews
TH-cam : th-cam.com/users/ChomozaTV?su...
#ChomozaTv#Mwamposa#UwezaWaMungu. - บันเทิง
Ni mbaya sana watakatifu kutoelewana. Mungu atupe ufahamu wa Kiroho. Tuombeani tusihukumiane wala kudharauliana. Mungu atusaidie.
Ubarikiwe mtumishi wa Mungu,unamafundisho mazuri! Kupitia maombi yako nimefunguliwa na nimepona! Uishi miaka mingi
Eeeh Mungu naomba nikitoka kwenye Siku ya kwanza unipaishe mpaka Siku ya tatu maana Siku ya pili inakatisha tamaa.Amen. @HATARI YA SIKU YA PILI.
Yaan mtumishi una hekimaa wewe ndo màana sichoki kusikiliza mahubili yako🙏🙏
Mtume uko vizuri,ufanikiwe sana...!
Asante sana baba wengi wetu tupo siku ya pili mungu atutie nguvu kweli
Asante mtumishi kwa kweli mim nimekuwa nikiomba na kufunga lkin kazin kwangu ndo kwanza bos anazidisha chuki leo umenipa somo kumbe niko siku ya pili hakika leo nimeamka nimekata tamaa Mungu anisaidie na anisamehe kwa kukata tamaa kwangu
Manung'uniko ni dhambi,yanaongeza uharibifu🙏
Amina nimepokea nimepona na nimeshinda kabla ya kushinda pia Mungu naomba univushe haraka siku ya pili
Mafundisho mazuri sana hayachoshi kusikiliza asifiwe Mungu aliyekuleta Duniani kwa jina la Yesu Kristo
Baba anahekima sana
Asante MUNGU ALIYEHAI,nimepokea kupitia kinywa cha Mtumishi wako.Amina
Mimi nayapenda saana
Ahsante Apostle,nimejifunza kitu kikubwa sanaa
Apostle namuelewa sana hakika kaletwa na Mungu haleluya
Ameen baba Neno hili limegusa full maisha yangu niombee nivuke salama siku hii ya pili
Nabarikiwa sana mtume..nakupenda pia baba wa iman ubarikiwe sana
Ubarikiwe mtumishi waMungu uishi miaka 100
Ubarikiwe sana Kwa Kaz njema hata yesu wakuu wa makuhani wali msulubisha tupo pamoja
Duuh I like this man of God
Namuelewa sana huyu Mtumishi..hakika Mungu,azidi kukutumia..japo ni ngumu sana kueleweka na walio wengi..
Safi sana,Bwana ana watu
I jus love this revelation!🙏Yesu ni Mungu, hallelujah
Amen mtumishi kitabu cha nguvu yakuona kimenisaidia kuwa na Imani kubwa pia mafundisho yako yamenijenga mpaka sasa siogopi chochote .Mungu azidi kukuinua
Yaani mtume baba wa Imani wengi wamepona kupitia maombi yako
Asante sana mtumishi wa wangungu nimejifunza mengi na nimebarikiwa sana
Amen apostle
Ameni!
Barikiwaa mtumishi wa MUNGU
Asante mtume nimepona magonjwa mengi kupitia mungu wa mwamposa ndoa yangu inapona mungu azidi kukupa maono
Aminaa naamini Nani nitapona kwa jina la yesu aminaa
Mungu akuweke mtume
Mtumishi wangu pendwa Mwamposa amenipa amani na kuijua kweli
Amen Baba, Asee am never the same
Watesi wangu wa siku ya pili wajiandae kunishuhudia nikila Bata mbele yao siku ya tatu imekaribia
Mungu akutunzeee babaaa naponaaa kwa mafundisho tu
Ameen mafundsho haya nimeyaelewa mungu akubariki mtumishi
Mungu wa madhabau ya rise and shine bariki kazi ya mikono yangu nyota yangu ingae Kila niendako nipendwe nakila mtu nizidiwe mafanikio makubwa nimiliki pesa na Mali Kila nifanyalo lifanikiwe niwe tajili mkubwa ninuke nakuangaz Kila Kona nipendwe mpk nizidiwe
Mbona Sasa hivi chomoza mwamposa atumuon chomoza
This is deep Major
Bonge la mafundisho barikiwa mtumishi
Mwambie dr sam akanyage chini ananinginia kwa kiti sjui haumii😂😂😂
Ubarikiwe saana
Haleluya, nimepata kitu zaidi ya Madini.
Asante mtumishi wa Mungu
Neno la kweli kabsa
Duh una mawe yakujenga na kuokoa we noma
Apostle nahitaji hicho kitabu.nguvu ya kuona ninacho kizuri sana. Mungu akubariki sana.
Habari Mpendwa
Barikiwa sana 🙏🙏
Songa mbele mtumishi wa Mungu
Kitabu kinapatikanaje hicho
Ameen ndimi mrs Aleck
Amna mtumishi
Naelewa Sana Hapa unachokosema mtume
Dah kiukweli nimejifunza sana
Kwa kweli Akili aliyonayo Apostle Mwamposa kama ni degree za duniani sijui zingekuwa ni ngapi. Naomba Mtumishi atutoletee hicho kitabu cha siku ya pili uchambuzi wake umenishangaza sana kwani si rahisi kama mtu wa kawaida anavyoweza kufikiri, cha nguvu ya kuona chenyewe kinanitoa jasho, I sometimes fail to read between the lines and keep on repiting.
Ameeeni nimepokea
Jamani SoMo zurii mnoooo
Amen
Amna
Ameeeeeeeeen 👏👏👏👏
Bwana mwenyewe ana maadui ufu 12;7_20
Anaongea point
Amen halelluhy
absalute mr. mwamposa
Mafundisho mazuri sana
MUNGU AWABARIKI SANA
Ameeeeeen
Amen! Barikiwa mtume! Unafundisha kwa umakini mkubwa,mno!
Mungu akubariki sana mtumishi
Amen 🙏🙏🙏
Barikiwa sana Mtumishi kwa mafundisho yako mazuri ya kutufundisha lmani .
Kiukweli umenivusha sana sku pili nimekua jasri siogopi wala stajibizana na watesi
Hapa ktv tanzania
Unapoinuka au inuliwa adui au maadui lazima
Jamani tunaitaji kitabu hicho
Ameen mbarikiwe sana
Ubarikiwe sana mtume mungu akuweke miaka mingi sana
🙏🙏🙏
Akili inaitajika hekika kweli kuishi na ndugu hekika
Amém
mafundisho mzr sana
Kweli kabisa bila maadui hufikiii mafanikio yako
Mwandishi anamawenge kweli kweli wanaume weupe Ndio kawaida yao
Kazi nzuri wapendwa, ila ficheni hizo transmitor za mic
udat iyooo aninga'ng'nie
Hatali yacku yapili
✋✋✋👏
Mtangazaji unachekacheka tulia usikilize nn mtumishi anaongea
Nimejifunza kitu kuhusu siku ya pili
Asante baba kwa somo zuri
Nivushe siku ya pili leo baba na niupushe na madui
Amini kua ukiona unapata madui ndio utapa mafanikio kumbe nilikua sijui kumbee ukiwana maono nilazima upte madui ameni nashukuru Sana kwa kujua hii 🙏🙏🙏🙏ameni
So inspirational!
Wewe Ni Mtume wa kweli kutoka kwa MUNGU hakika mapenzi ya MUNGU yaendelee kutimizwa kwenye maisha yetu sisi wanadamu wote Katika Jina la YESU KRISTO AMEEN . MUNGU akulinde zaidi Mtume wetu Boniface Mwamposa ❤️❤️❤️
Mwamba huyo
Kiki tka hcho kitabu cha mateso sku ya pili mtangaze
🙏🙏🙏🙏🤣🤣
aleluyaaa naomba bos wangu aniogope hata kuniomba hesabu yake na kila anae nidai aniogope kwa jina la yesu amen
Lipa madeni ya watu huko!! wakuogope nini wakati ulikopa
Boss asikuombe hesabu kweli? Ungekuwa wewe ndo boss ungejiskiaje?
Nadhani unamuelewa vibaya Apostle. Hakuwa anamaanisha usiwajibike. Ni wajibu wako kulipwa deni na kutimiza kazi ulizopewa na boss wako.
Kulipwa= kulipa
Nataka nisikuelewe lakin najikuta ovias
Mutume mwpoosa mungu awe na wewe siku zte tumepona kupitia wewe
Amina mtumishi nimebarikiwa sana na mafundisho yako
Ubatikiwe Sana mtume,nimefunguliwa,nimepokea,nimezidishiwa imani
Namimi naamini nitatembea kwa uwezo wa mwenyezi mungu amina
J
Mtumishi unanipa somo kubwa
Jamani hivi mmesahau huyu ndio alisababisha Yale mauaji ya moshi pale
Hujatushawishi kwa uongo wako watu tushapona tunarojua hirotu uongo peleka huko
Watu waliomfata Yesu awaombee walisema shida zao hawakuzificha kama unaumwa sema naumwa usisemw siumwi kama hauumwi unahitaji maombi ya nini, wogonjwa ndio wanaomfata Daktari si wazima, halafu Yesu alisema nimekuja kwa ajilinya wenye dhambi na wale wenye ndambi walimpokea hawakukana kwamba hawana dhambi,batimayo alipoulizwa unataka nini batimayo alijua yeye ni kipofu na akamwambia Yesu ninataka kuona hivi Batimayo angeficha tatizo lake je angeponywa? Utakuta mtu anakataa eti haumwi wakati unamwoma anakwenda hospitali au anakwenda kuombewa wakati kasema haumwi duh inachanganya sana
Huyu ndo baba yangu wa kiroho, wachape neno baba hapo watatafutana hao
Wewe ni mtume wa kuua watu mwamposa
Usiukumu usijr ukaukumiwa, unaushahdi gani juu ya hilo
Usiukumu usijr ukaukumiwa, unaushahdi gani juu ya hilo
David William mwamposa kwani aliwangonga au aliwapa Sumu au aliwapiga Risasi Moshi mbona waislamu wakienda kuiji maka wanakufa nawatu awaachi kwenda tena
Wivu nikidonda farisayo kaumia na huyu mungu ahusike na kinywa chako akufundishe
Mwampossa baba lao
Nimekuelewa sana mtumishiwa Mungu tuendelee mbele
Amen
Majibu yanayojitosheleza
Amen