Sijawahi Kusema, Ninao Maadui Mtume Mwamposa

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 16 พ.ค. 2020
  • Kuendelea kupata mafundsho mengine zaidi tufuatilie kupitia mitandao yetu ya kijamiii:-
    Facebook : / gospeltvshow
    Instagram : / chomozanews
    TH-cam : th-cam.com/users/ChomozaTV?su...
    #ChomozaTv#Mwamposa#UwezaWaMungu.
  • บันเทิง

ความคิดเห็น • 131

  • @JescarMwakipesile
    @JescarMwakipesile 2 วันที่ผ่านมา

    Ni mbaya sana watakatifu kutoelewana. Mungu atupe ufahamu wa Kiroho. Tuombeani tusihukumiane wala kudharauliana. Mungu atusaidie.

  • @matridaignas8255
    @matridaignas8255 3 ปีที่แล้ว +6

    Ubarikiwe mtumishi wa Mungu,unamafundisho mazuri! Kupitia maombi yako nimefunguliwa na nimepona! Uishi miaka mingi

  • @anordsakaya9852
    @anordsakaya9852 4 ปีที่แล้ว +5

    Eeeh Mungu naomba nikitoka kwenye Siku ya kwanza unipaishe mpaka Siku ya tatu maana Siku ya pili inakatisha tamaa.Amen. @HATARI YA SIKU YA PILI.

  • @user-qv6fe2qt5r
    @user-qv6fe2qt5r 6 วันที่ผ่านมา

    Yaan mtumishi una hekimaa wewe ndo màana sichoki kusikiliza mahubili yako🙏🙏

  • @willymfilima9936
    @willymfilima9936 2 ปีที่แล้ว +2

    Mtume uko vizuri,ufanikiwe sana...!

  • @rehemashaban6858
    @rehemashaban6858 4 ปีที่แล้ว +5

    Asante sana baba wengi wetu tupo siku ya pili mungu atutie nguvu kweli

  • @banguha
    @banguha ปีที่แล้ว +1

    Asante mtumishi kwa kweli mim nimekuwa nikiomba na kufunga lkin kazin kwangu ndo kwanza bos anazidisha chuki leo umenipa somo kumbe niko siku ya pili hakika leo nimeamka nimekata tamaa Mungu anisaidie na anisamehe kwa kukata tamaa kwangu

  • @christinewomanoffaith5479
    @christinewomanoffaith5479 2 ปีที่แล้ว +2

    Manung'uniko ni dhambi,yanaongeza uharibifu🙏

  • @dorotheawilliam2982
    @dorotheawilliam2982 2 ปีที่แล้ว +1

    Amina nimepokea nimepona na nimeshinda kabla ya kushinda pia Mungu naomba univushe haraka siku ya pili

  • @jacklinebirusha292
    @jacklinebirusha292 2 ปีที่แล้ว +7

    Mafundisho mazuri sana hayachoshi kusikiliza asifiwe Mungu aliyekuleta Duniani kwa jina la Yesu Kristo

  • @mbassa5070
    @mbassa5070 ปีที่แล้ว +2

    Baba anahekima sana

  • @emmymatigula4870
    @emmymatigula4870 3 ปีที่แล้ว +1

    Asante MUNGU ALIYEHAI,nimepokea kupitia kinywa cha Mtumishi wako.Amina

  • @mukembanyikalinda8908
    @mukembanyikalinda8908 ปีที่แล้ว +1

    Mimi nayapenda saana

  • @WinWilly4162
    @WinWilly4162 4 ปีที่แล้ว +2

    Ahsante Apostle,nimejifunza kitu kikubwa sanaa

  • @rehemaiyanga5334
    @rehemaiyanga5334 2 ปีที่แล้ว +1

    Apostle namuelewa sana hakika kaletwa na Mungu haleluya

  • @aleckkinyoa6571
    @aleckkinyoa6571 3 ปีที่แล้ว +1

    Ameen baba Neno hili limegusa full maisha yangu niombee nivuke salama siku hii ya pili

  • @gracepaulo7354
    @gracepaulo7354 3 ปีที่แล้ว +3

    Nabarikiwa sana mtume..nakupenda pia baba wa iman ubarikiwe sana

    • @kenethkayuni8658
      @kenethkayuni8658 2 ปีที่แล้ว

      Ubarikiwe mtumishi waMungu uishi miaka 100

  • @HelenaTembo-dz4pr
    @HelenaTembo-dz4pr ปีที่แล้ว

    Ubarikiwe sana Kwa Kaz njema hata yesu wakuu wa makuhani wali msulubisha tupo pamoja

  • @elinemsuya8651
    @elinemsuya8651 2 ปีที่แล้ว +2

    Duuh I like this man of God

  • @graceasukile7029
    @graceasukile7029 2 ปีที่แล้ว

    Namuelewa sana huyu Mtumishi..hakika Mungu,azidi kukutumia..japo ni ngumu sana kueleweka na walio wengi..

  • @christinewomanoffaith5479
    @christinewomanoffaith5479 2 ปีที่แล้ว

    Safi sana,Bwana ana watu
    I jus love this revelation!🙏Yesu ni Mungu, hallelujah

  • @ameniameni617
    @ameniameni617 3 ปีที่แล้ว

    Amen mtumishi kitabu cha nguvu yakuona kimenisaidia kuwa na Imani kubwa pia mafundisho yako yamenijenga mpaka sasa siogopi chochote .Mungu azidi kukuinua

  • @julianlaurent2107
    @julianlaurent2107 3 ปีที่แล้ว +1

    Yaani mtume baba wa Imani wengi wamepona kupitia maombi yako

  • @senimsangi677
    @senimsangi677 ปีที่แล้ว

    Asante sana mtumishi wa wangungu nimejifunza mengi na nimebarikiwa sana

  • @jengatech_tanzania
    @jengatech_tanzania 4 ปีที่แล้ว +5

    Amen apostle

  • @rainfalling103
    @rainfalling103 3 ปีที่แล้ว +1

    Ameni!

  • @sarahmgaiwa8808
    @sarahmgaiwa8808 2 ปีที่แล้ว +1

    Barikiwaa mtumishi wa MUNGU

  • @zainatoji1965
    @zainatoji1965 3 ปีที่แล้ว +1

    Asante mtume nimepona magonjwa mengi kupitia mungu wa mwamposa ndoa yangu inapona mungu azidi kukupa maono

    • @hongeradulle1553
      @hongeradulle1553 3 ปีที่แล้ว

      Aminaa naamini Nani nitapona kwa jina la yesu aminaa

  • @JanethAmosi-i1f
    @JanethAmosi-i1f 13 วันที่ผ่านมา

    Mungu akuweke mtume

  • @user-nf9nw7xd6y
    @user-nf9nw7xd6y 7 หลายเดือนก่อน

    Mtumishi wangu pendwa Mwamposa amenipa amani na kuijua kweli

  • @graysonkewe1004
    @graysonkewe1004 2 ปีที่แล้ว +1

    Amen Baba, Asee am never the same

  • @benjaminlijongwa3715
    @benjaminlijongwa3715 3 ปีที่แล้ว +2

    Watesi wangu wa siku ya pili wajiandae kunishuhudia nikila Bata mbele yao siku ya tatu imekaribia

  • @gladnessjoseph9847
    @gladnessjoseph9847 ปีที่แล้ว

    Mungu akutunzeee babaaa naponaaa kwa mafundisho tu

  • @AshuraYasini
    @AshuraYasini 8 หลายเดือนก่อน

    Ameen mafundsho haya nimeyaelewa mungu akubariki mtumishi

  • @mberwasevelian7406
    @mberwasevelian7406 8 หลายเดือนก่อน

    Mungu wa madhabau ya rise and shine bariki kazi ya mikono yangu nyota yangu ingae Kila niendako nipendwe nakila mtu nizidiwe mafanikio makubwa nimiliki pesa na Mali Kila nifanyalo lifanikiwe niwe tajili mkubwa ninuke nakuangaz Kila Kona nipendwe mpk nizidiwe

  • @zulfafengu3783
    @zulfafengu3783 5 หลายเดือนก่อน

    Mbona Sasa hivi chomoza mwamposa atumuon chomoza

  • @MWAMASIMBI_TV
    @MWAMASIMBI_TV 2 ปีที่แล้ว +3

    This is deep Major

  • @vujadonald2244
    @vujadonald2244 6 หลายเดือนก่อน

    Bonge la mafundisho barikiwa mtumishi

  • @pastorgodsonjohn8562
    @pastorgodsonjohn8562 3 ปีที่แล้ว +1

    Mwambie dr sam akanyage chini ananinginia kwa kiti sjui haumii😂😂😂

  • @mukembanyikalinda8908
    @mukembanyikalinda8908 ปีที่แล้ว

    Ubarikiwe saana

  • @carenhilary8067
    @carenhilary8067 9 หลายเดือนก่อน

    Haleluya, nimepata kitu zaidi ya Madini.

  • @dianamwakitega6111
    @dianamwakitega6111 3 ปีที่แล้ว +1

    Asante mtumishi wa Mungu

  • @wordoffaithanddeliverencem4365
    @wordoffaithanddeliverencem4365 2 ปีที่แล้ว +2

    Neno la kweli kabsa

  • @edykiwele878
    @edykiwele878 2 ปีที่แล้ว +1

    Duh una mawe yakujenga na kuokoa we noma

  • @stelladomani4429
    @stelladomani4429 4 ปีที่แล้ว +4

    Apostle nahitaji hicho kitabu.nguvu ya kuona ninacho kizuri sana. Mungu akubariki sana.

    • @prijoseph4665
      @prijoseph4665 5 หลายเดือนก่อน

      Habari Mpendwa

  • @jeressjohn9105
    @jeressjohn9105 3 ปีที่แล้ว +1

    Barikiwa sana 🙏🙏

  • @aloycekibiki9618
    @aloycekibiki9618 8 หลายเดือนก่อน

    Songa mbele mtumishi wa Mungu

  • @pastorgodsonjohn8562
    @pastorgodsonjohn8562 3 ปีที่แล้ว +1

    Kitabu kinapatikanaje hicho

  • @aleckkinyoa6571
    @aleckkinyoa6571 3 ปีที่แล้ว +1

    Ameen ndimi mrs Aleck

  • @pauloalex5152
    @pauloalex5152 2 ปีที่แล้ว +1

    Amna mtumishi

  • @simonielisha9041
    @simonielisha9041 3 ปีที่แล้ว +1

    Naelewa Sana Hapa unachokosema mtume

  • @johnnjau2028
    @johnnjau2028 11 หลายเดือนก่อน

    Dah kiukweli nimejifunza sana

  • @nzumimawa9853
    @nzumimawa9853 ปีที่แล้ว

    Kwa kweli Akili aliyonayo Apostle Mwamposa kama ni degree za duniani sijui zingekuwa ni ngapi. Naomba Mtumishi atutoletee hicho kitabu cha siku ya pili uchambuzi wake umenishangaza sana kwani si rahisi kama mtu wa kawaida anavyoweza kufikiri, cha nguvu ya kuona chenyewe kinanitoa jasho, I sometimes fail to read between the lines and keep on repiting.

  • @venitarugemalila9290
    @venitarugemalila9290 9 หลายเดือนก่อน

    Ameeeni nimepokea

  • @Jasinthaamon
    @Jasinthaamon 7 หลายเดือนก่อน

    Jamani SoMo zurii mnoooo

  • @yohanayohana888
    @yohanayohana888 2 ปีที่แล้ว +2

    Amen

  • @elizabethmgimba
    @elizabethmgimba ปีที่แล้ว

    Amna

  • @Jasinthaamon
    @Jasinthaamon 7 หลายเดือนก่อน

    Ameeeeeeeeen 👏👏👏👏

  • @paskalmagiri4466
    @paskalmagiri4466 3 ปีที่แล้ว +1

    Bwana mwenyewe ana maadui ufu 12;7_20

  • @Rodahpaschal
    @Rodahpaschal 11 หลายเดือนก่อน

    Anaongea point

  • @johnnjau2028
    @johnnjau2028 11 หลายเดือนก่อน

    Amen halelluhy

  • @yasinijuma6646
    @yasinijuma6646 ปีที่แล้ว

    absalute mr. mwamposa

  • @elizabethkambi5221
    @elizabethkambi5221 ปีที่แล้ว

    Mafundisho mazuri sana

  • @kyaruzitz4994
    @kyaruzitz4994 4 ปีที่แล้ว +3

    MUNGU AWABARIKI SANA

  • @adarashidi8178
    @adarashidi8178 2 ปีที่แล้ว +1

    Amen 🙏🙏🙏

  • @odethadeodatus5906
    @odethadeodatus5906 4 ปีที่แล้ว +2

    Barikiwa sana Mtumishi kwa mafundisho yako mazuri ya kutufundisha lmani .

    • @lavianaalbert9006
      @lavianaalbert9006 3 ปีที่แล้ว

      Kiukweli umenivusha sana sku pili nimekua jasri siogopi wala stajibizana na watesi

  • @daudisaba7808
    @daudisaba7808 2 ปีที่แล้ว +1

    Hapa ktv tanzania

  • @venitarugemalila9290
    @venitarugemalila9290 9 หลายเดือนก่อน

    Unapoinuka au inuliwa adui au maadui lazima

  • @lovenessmwamengo7090
    @lovenessmwamengo7090 2 ปีที่แล้ว

    Jamani tunaitaji kitabu hicho

  • @lilyrose7983
    @lilyrose7983 4 ปีที่แล้ว +4

    Ameen mbarikiwe sana

  • @amokizzymc705
    @amokizzymc705 3 ปีที่แล้ว +1

    Ubarikiwe sana mtume mungu akuweke miaka mingi sana

  • @happinessakim2679
    @happinessakim2679 ปีที่แล้ว

    🙏🙏🙏

  • @pastorsthenksrojaskapunga6843
    @pastorsthenksrojaskapunga6843 11 หลายเดือนก่อน

    Akili inaitajika hekika kweli kuishi na ndugu hekika

  • @analucas7606
    @analucas7606 ปีที่แล้ว

    Amém

  • @amashalwijajo5698
    @amashalwijajo5698 ปีที่แล้ว

    mafundisho mzr sana

  • @naikenjau1686
    @naikenjau1686 ปีที่แล้ว

    Kweli kabisa bila maadui hufikiii mafanikio yako

  • @paulmassawe1591
    @paulmassawe1591 2 ปีที่แล้ว

    Mwandishi anamawenge kweli kweli wanaume weupe Ndio kawaida yao

  • @noelmarapachi1808
    @noelmarapachi1808 4 ปีที่แล้ว +2

    Kazi nzuri wapendwa, ila ficheni hizo transmitor za mic

    • @atanito1327
      @atanito1327 3 ปีที่แล้ว

      udat iyooo aninga'ng'nie

  • @RaphaelGerald-ip4vs
    @RaphaelGerald-ip4vs หลายเดือนก่อน

    Hatali yacku yapili

  • @seniorprophetmaxmbise737
    @seniorprophetmaxmbise737 2 ปีที่แล้ว +1

    ✋✋✋👏

  • @user-nf9nw7xd6y
    @user-nf9nw7xd6y 7 หลายเดือนก่อน +1

    Mtangazaji unachekacheka tulia usikilize nn mtumishi anaongea

  • @seebs1156
    @seebs1156 3 ปีที่แล้ว +1

    Nimejifunza kitu kuhusu siku ya pili

  • @roselugendo6943
    @roselugendo6943 3 ปีที่แล้ว +1

    Asante baba kwa somo zuri

  • @janetmwasokwa4016
    @janetmwasokwa4016 ปีที่แล้ว

    Nivushe siku ya pili leo baba na niupushe na madui

  • @madatapeter2218
    @madatapeter2218 3 ปีที่แล้ว +1

    Amini kua ukiona unapata madui ndio utapa mafanikio kumbe nilikua sijui kumbee ukiwana maono nilazima upte madui ameni nashukuru Sana kwa kujua hii 🙏🙏🙏🙏ameni

  • @albertomsolansimbi1512
    @albertomsolansimbi1512 ปีที่แล้ว

    So inspirational!

    • @leonardmtweve
      @leonardmtweve ปีที่แล้ว

      Wewe Ni Mtume wa kweli kutoka kwa MUNGU hakika mapenzi ya MUNGU yaendelee kutimizwa kwenye maisha yetu sisi wanadamu wote Katika Jina la YESU KRISTO AMEEN . MUNGU akulinde zaidi Mtume wetu Boniface Mwamposa ❤️❤️❤️

  • @shadrack1425
    @shadrack1425 ปีที่แล้ว

    Mwamba huyo

  • @user-wz8xc6gz5q
    @user-wz8xc6gz5q 7 หลายเดือนก่อน

    Kiki tka hcho kitabu cha mateso sku ya pili mtangaze

  • @yohanayohana888
    @yohanayohana888 2 ปีที่แล้ว +1

    🙏🙏🙏🙏🤣🤣

  • @atanito1327
    @atanito1327 3 ปีที่แล้ว +2

    aleluyaaa naomba bos wangu aniogope hata kuniomba hesabu yake na kila anae nidai aniogope kwa jina la yesu amen

    • @joycechaz2840
      @joycechaz2840 3 ปีที่แล้ว +1

      Lipa madeni ya watu huko!! wakuogope nini wakati ulikopa

    • @joycechaz2840
      @joycechaz2840 3 ปีที่แล้ว +1

      Boss asikuombe hesabu kweli? Ungekuwa wewe ndo boss ungejiskiaje?

    • @jonathanmnyone4003
      @jonathanmnyone4003 2 ปีที่แล้ว +1

      Nadhani unamuelewa vibaya Apostle. Hakuwa anamaanisha usiwajibike. Ni wajibu wako kulipwa deni na kutimiza kazi ulizopewa na boss wako.

    • @jonathanmnyone4003
      @jonathanmnyone4003 2 ปีที่แล้ว

      Kulipwa= kulipa

    • @archkeels3753
      @archkeels3753 ปีที่แล้ว

      Nataka nisikuelewe lakin najikuta ovias

  • @priscadaniel7
    @priscadaniel7 3 ปีที่แล้ว +2

    Mutume mwpoosa mungu awe na wewe siku zte tumepona kupitia wewe

    • @jastinshukabwanakatikatiya7230
      @jastinshukabwanakatikatiya7230 3 ปีที่แล้ว +1

      Amina mtumishi nimebarikiwa sana na mafundisho yako

    • @omarikereda2888
      @omarikereda2888 3 ปีที่แล้ว

      Ubatikiwe Sana mtume,nimefunguliwa,nimepokea,nimezidishiwa imani

    • @hongeradulle1553
      @hongeradulle1553 3 ปีที่แล้ว

      Namimi naamini nitatembea kwa uwezo wa mwenyezi mungu amina

  • @yasinijuma6646
    @yasinijuma6646 ปีที่แล้ว

    J

  • @davidwilliam1189
    @davidwilliam1189 3 ปีที่แล้ว +1

    Jamani hivi mmesahau huyu ndio alisababisha Yale mauaji ya moshi pale

    • @lavianaalbert9006
      @lavianaalbert9006 3 ปีที่แล้ว +1

      Hujatushawishi kwa uongo wako watu tushapona tunarojua hirotu uongo peleka huko

  • @kiazikitamu3985
    @kiazikitamu3985 3 ปีที่แล้ว +1

    Watu waliomfata Yesu awaombee walisema shida zao hawakuzificha kama unaumwa sema naumwa usisemw siumwi kama hauumwi unahitaji maombi ya nini, wogonjwa ndio wanaomfata Daktari si wazima, halafu Yesu alisema nimekuja kwa ajilinya wenye dhambi na wale wenye ndambi walimpokea hawakukana kwamba hawana dhambi,batimayo alipoulizwa unataka nini batimayo alijua yeye ni kipofu na akamwambia Yesu ninataka kuona hivi Batimayo angeficha tatizo lake je angeponywa? Utakuta mtu anakataa eti haumwi wakati unamwoma anakwenda hospitali au anakwenda kuombewa wakati kasema haumwi duh inachanganya sana

  • @phinaisaya3953
    @phinaisaya3953 3 ปีที่แล้ว +3

    Huyu ndo baba yangu wa kiroho, wachape neno baba hapo watatafutana hao

  • @davidwilliam1189
    @davidwilliam1189 3 ปีที่แล้ว +1

    Wewe ni mtume wa kuua watu mwamposa

    • @rehemaconeriocostance9011
      @rehemaconeriocostance9011 3 ปีที่แล้ว +1

      Usiukumu usijr ukaukumiwa, unaushahdi gani juu ya hilo

    • @rehemaconeriocostance9011
      @rehemaconeriocostance9011 3 ปีที่แล้ว +1

      Usiukumu usijr ukaukumiwa, unaushahdi gani juu ya hilo

    • @ameniameni617
      @ameniameni617 3 ปีที่แล้ว +1

      David William mwamposa kwani aliwangonga au aliwapa Sumu au aliwapiga Risasi Moshi mbona waislamu wakienda kuiji maka wanakufa nawatu awaachi kwenda tena

    • @lavianaalbert9006
      @lavianaalbert9006 3 ปีที่แล้ว +1

      Wivu nikidonda farisayo kaumia na huyu mungu ahusike na kinywa chako akufundishe

  • @abeidonesmo8373
    @abeidonesmo8373 3 ปีที่แล้ว +4

    Mwampossa baba lao

    • @kenethkayuni8658
      @kenethkayuni8658 2 ปีที่แล้ว +1

      Nimekuelewa sana mtumishiwa Mungu tuendelee mbele

  • @elizabetty-rt7py
    @elizabetty-rt7py 3 หลายเดือนก่อน

    Amen

  • @sekelagatusekelege9325
    @sekelagatusekelege9325 ปีที่แล้ว +1

    Majibu yanayojitosheleza

  • @GreatCalmtz
    @GreatCalmtz 3 ปีที่แล้ว +1

    Amen