VILIO MAZISHI YA MFANYABIASHARA ALIYEVAMIWA NA KUPORWA MIL.47, RC MTAKA ATOA AGIZO HILI ZITO KWA RPC

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 15 ต.ค. 2024

ความคิดเห็น • 45

  • @AshuuuBakari
    @AshuuuBakari 2 หลายเดือนก่อน +9

    Kweli kabisa huu mchongo ulichongwa na mtu wa karibu. Safi sana simu za wafanya kazi. Marafiki. Ndugu zichukuliwe

  • @ritapiusnicolaus7068
    @ritapiusnicolaus7068 2 หลายเดือนก่อน +1

    Mungu amlaze mahali pema peponi🙏poleni sana 💔😭😭

  • @rosehaule6765
    @rosehaule6765 2 หลายเดือนก่อน

    Safi sana mara nyingi ni watu wa karibu mnoo😢 wakomeshwee

    • @israelkisaila8401
      @israelkisaila8401 2 หลายเดือนก่อน

      Lazima,MTU hawezi kutoka mbali hakujuwi ,eti ghafla tu akuvamie,lazima ni watu WA karibu

  • @khatimabdallah8143
    @khatimabdallah8143 2 หลายเดือนก่อน +2

    innah lillaah wainnaahbilaihum rajiuun sasa si wanhechukua hela wakamuacha mwenyewe sasa wamemulia nini ahh binadamu sisi

  • @AmaniManase-x1i
    @AmaniManase-x1i 2 หลายเดือนก่อน +1

    Daah umasikini mbaya ukitajirika nae ni atari ni kipi bora kwetu Mungu wetu poleni Sana wafiwa

    • @israelkisaila8401
      @israelkisaila8401 2 หลายเดือนก่อน

      Mimi ndo maana huwa namwambia MUNGU,husinipe utajiri kupitiliza Wala umaskini wakupitiliza,nipe maisha ya KATIKATI TU ,inanitosha kabisa

  • @daniel.shao.9028
    @daniel.shao.9028 2 หลายเดือนก่อน +2

    Daah!??so sad😭RIP

  • @adelinabaitu3291
    @adelinabaitu3291 2 หลายเดือนก่อน +4

    Unafuta kwa uchungu alafu unauwawa

  • @CrepinaKatundu-uj7xk
    @CrepinaKatundu-uj7xk 2 หลายเดือนก่อน

    R.I.P.Marehemu.Poleni Wafiwa.

  • @tinnahagustinolyelu4247
    @tinnahagustinolyelu4247 2 หลายเดือนก่อน

    Usipotafuta mvivu ukitafuta shida Mungu waondoe wote waliohusika

  • @DoricyMtega-nd2bf
    @DoricyMtega-nd2bf 2 หลายเดือนก่อน +2

    Dah ila njombe watu wanawivu wamaendeleo jamani mhhh hasa wale tunaocheka nao ndio wanyama kabisa 😢

  • @veronicathomas9422
    @veronicathomas9422 2 หลายเดือนก่อน

    Mungu atusaidie kwakweli mm bodaboda wetu tunayemtumia alituipora 15M muhimu aliacha uhai wetu

    • @israelkisaila8401
      @israelkisaila8401 2 หลายเดือนก่อน

      Poleni sanasana,😢bora aliwaacha hai,mengine mwachieni MUNGU

    • @tinnahagustinolyelu4247
      @tinnahagustinolyelu4247 2 หลายเดือนก่อน

      ​@@israelkisaila8401Mungu bado anawapenda saana hamna baya

  • @aboudasilver6541
    @aboudasilver6541 2 หลายเดือนก่อน +3

    Hakika njombe wanatabia mbaya MAUAJI ni mengi sana hapo

  • @atukuzwekilasi-ne3ps
    @atukuzwekilasi-ne3ps 2 หลายเดือนก่อน

    Pole sana wanafamilia

  • @BarakaMalekela-nf6gv
    @BarakaMalekela-nf6gv 2 หลายเดือนก่อน

    Duhuu. Inauma sana

  • @prosperiamdetele1421
    @prosperiamdetele1421 2 หลายเดือนก่อน

    Yan mungu awafichue hao wahalifu

  • @avitusmichael5
    @avitusmichael5 2 หลายเดือนก่อน +4

    Wauaji wasipopatikana walogwe wawe vichaa mbwa hao

    • @faidhamyovela179
      @faidhamyovela179 2 หลายเดือนก่อน

      Familia haita kubali kun tegoo watakuf woteee waben hawatakubali asee😢😢😢

    • @saudarashidi8734
      @saudarashidi8734 2 หลายเดือนก่อน

      Kweliii baba umeongeaa poentiiii

    • @israelkisaila8401
      @israelkisaila8401 2 หลายเดือนก่อน

      JAPO ndo Basi ndugu yako kashaenda harudi tena,INAUMA sana 😢

  • @huldamichael4445
    @huldamichael4445 2 หลายเดือนก่อน

    Hivi kiwango cha pesa kilichochukuliwa kimejulikanaje

    • @Hannah-w8s4l
      @Hannah-w8s4l 2 หลายเดือนก่อน

      Wameangalia biashara ya siku iyo aliingiza sh ngap

  • @aediayumgo8546
    @aediayumgo8546 2 หลายเดือนก่อน +2

    Wewe mtaka vipi Hilo suala la kuchukua simu kama WaPo hapo si wameshapoteze ushahidi acha Kazi hiyo wafanye polisi

    • @ShabanMainde
      @ShabanMainde 2 หลายเดือนก่อน +1

      wanapotezaje ushaid ata wakitupa lin watajulikana tuuu

    • @rehemagandi6138
      @rehemagandi6138 2 หลายเดือนก่อน

      ushaid hauez potea ata wafute au wazime cm

    • @aediayumgo8546
      @aediayumgo8546 2 หลายเดือนก่อน

      @@rehemagandi6138 watu wanakimbia wanatia simu chooni

    • @israelkisaila8401
      @israelkisaila8401 2 หลายเดือนก่อน

      HAPO zilishachukuliwa hata KABla hajasimama kuongea hapo

  • @MrA24G
    @MrA24G 2 หลายเดือนก่อน

    Sasa hviii kubeba viwango vikubwa vya pesa unajitafutia matatzo.Tumia system ya kadi ama tgo pesa.Hata matajiri huwakuti wanatembea na maburungutu makubwa.Hapana.Wenzetu uingereza marekani kadi tuu mtu Ana swap basi

  • @lunangabenjamin3121
    @lunangabenjamin3121 2 หลายเดือนก่อน

    Bin adam tusikiliyane huruma ivi kwanini msinge mpora tu,bila kumuuwa kabla ya kumuuwa hamkuwaza familia yake.lakini sometime serikali nayo inapuuziyaka vitu vya maana.rip inauma.

  • @StellaMwasha
    @StellaMwasha 2 หลายเดือนก่อน

    Jamani watu wasiende na pesa nyumbani ni hatari

  • @anangisyemapunda7686
    @anangisyemapunda7686 2 หลายเดือนก่อน +3

    Okay umeuwa mwenzio kwa tamaa ya vipesa vidogo hivyo,je wewe utaishi milele?Tuwe na utu na upendo Duniani sote tu wapitaji

    • @Jurbeg
      @Jurbeg 2 หลายเดือนก่อน

      Hata ziwe nyingi kiasi chakujaa Dunia mwiko kumwaga Damu ya mtu kwa namna yoyote Ile 😢

  • @floridachami9090
    @floridachami9090 2 หลายเดือนก่อน

    Jamani kk yangu ndambo ineniuma nakumbuka mwaka jana nilikuzoea kwa muda mteja wetu

  • @elvismabena7630
    @elvismabena7630 2 หลายเดือนก่อน +2

    Pumzika kwa amani ndugu yangu NDAMBO

  • @KaizaMfuse
    @KaizaMfuse 2 หลายเดือนก่อน +1

    Haya matukio na huku tunduma ndo yamepamba moto,jeshi la polisi shirikianeni na wa tunduma huku ,watatumaliza hawa majambazi

  • @PrinceHendry-hp8vv
    @PrinceHendry-hp8vv 2 หลายเดือนก่อน +2

    Daaa ndambo nilitoa hela kwako mwezi wa 9 mwaka jana nilifata viazi njombe

    • @Jurbeg
      @Jurbeg 2 หลายเดือนก่อน

      Wee Leta ujuaji polisi watz sii unawajua watakutupa ndani ili kutoa ushilikiano 😮

    • @PrinceHendry-hp8vv
      @PrinceHendry-hp8vv 2 หลายเดือนก่อน

      @@Jurbeg wapuuzi hamuishagi mtandaoni hapo ujuaji ni upi kusema nilitoa hela na ilikua kazi yake nishakua mjuaji au wewe shoga nini ndo vichwa vyao sio vizuri kwajili ya..

  • @HamisiMatola-fs2gn
    @HamisiMatola-fs2gn 2 หลายเดือนก่อน +1

    Poleni sana wana familia na majirani

  • @faidhamyovela179
    @faidhamyovela179 2 หลายเดือนก่อน

    😢😢😢😢😢😢😢 duh

  • @janemsamati6700
    @janemsamati6700 2 หลายเดือนก่อน

    Damu yake haitawaacha salama , itanena kwa wote waliohusika
    Poleni familia
    RIP mpendwa wetu

  • @jesusismyeverything1630
    @jesusismyeverything1630 2 หลายเดือนก่อน

    UNABEBA MILIONI 47 KUTOKA BANK ZA GANI?
    MBONA HALI MBAYA SANA SASA HIBI
    KAMA UNALIPA WAFUNGUE ACCOUNT
    AU MWITE WAKALA NDANI INGIZA HELA KWENYE SIMU
    KAA HAPA ANZA KUTUMA KWA KILA MTU KAMA HAWANA ACCOUNT
    POLENI FAMILIA