Padre Kamugisha: Usipendezeshe kila mtu we si pesa/Ukweli ukiuzika utafufuka/ Usiogope kusemwa

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 16 มี.ค. 2021
  • Ni mafundisho ya Juma la tatu la Kwaresima mada ikiwa KUSEMWA NI MTIHANI , ni sehemu pili ya mafundisho haya . Mafundisho haya yametolewa na Paroko wa Parokia ya Minziro Jimbo Katoliki la Bukoba Padre Dkt Faustine Kamugisha katika Kanisa kuu la Kiaskofu Jimbo Katoliki la Bukoba. Mafundisho haya hutolewa kila Ijumaa baada ya njia ya msalaba.Mada ikiwa ni Kusemwa ni mtihani, Usijali ni wangapi wanakusema endelea kufanya jambo zuri katika jamii.
    www.radiombiu.co.tz
    #RmSautiYaFaraja

ความคิดเห็น • 84

  • @monicajohn5578
    @monicajohn5578 4 หลายเดือนก่อน +2

    MUNGU akupe maisha marefu ili uendelee kutuletea mafundisho ya kutujenga kiimani na kiroho 🙏🙏

  • @martinamturano2152
    @martinamturano2152 2 ปีที่แล้ว +4

    Asante Sana Fr. Kamugisha. Mama yangu mzazi alikuwa mtu mwenye kusali Sana mpaka watu wakawa wanamwita mchawi. Hata mapadri wawili waliokuwa Parokiani walifikia kumnyima Sakramenti na kumnyima huduma muhimu za kikanisa. Lakini baada ya miaka kadhaa kilichowakuta mapadri hao 2 waliomnyanyasa Mama yangu kwa kumwita mchawi ni balaa. Mmoja alikufa kwa ajali mwingine alifukuzwa mpaka leo hii ana manga manga mtaani. Miungu aendelee kukuinua na kutundisha

  • @MrTitopaul
    @MrTitopaul หลายเดือนก่อน

    Father Kamugisha, baraka za Mungu ziendee kukaa juu yako. Mafindisho Yako ni mazuri sana❤

  • @ciamallya8356
    @ciamallya8356 3 ปีที่แล้ว +6

    Baba nabarikiwa sana na mafundisho yako natamani ungekuwa katika parokia yetuu

  • @anglevicent4299
    @anglevicent4299 2 หลายเดือนก่อน

    Mungu akubariki sana Fr. Uwe na afya njema na akutangulie ktk utume wako.

  • @anglevicent4299
    @anglevicent4299 2 หลายเดือนก่อน

    Asante baba ubarikiwe sana.

  • @Sangaligospel
    @Sangaligospel 3 หลายเดือนก่อน +1

    Barikiwa padri kamugisha nabarikiwa na mahubiri yako yamenipa ujasiri na nguvu yakusongambele

  • @lucyslivin5354
    @lucyslivin5354 2 หลายเดือนก่อน

    Ubarikiwe sana baba

  • @filbertdominiki7965
    @filbertdominiki7965 10 หลายเดือนก่อน +1

    Mungu wa mbinguni aendelee kukupa nguvu katika utumishi wako na kukulinda dhidi ya mwovu shetani

  • @kaizamulinda633
    @kaizamulinda633 3 ปีที่แล้ว +4

    Kwa kweli Father huyu asije akahamishwa Kagera maana vionjo vyake vya Kihaya vinaongeza uelewa wa mafundisho yake. Very gifted.

  • @theophilwhiteheart1997
    @theophilwhiteheart1997 3 หลายเดือนก่อน

    Father wangu machachali sana huyu 🙌🏽🤩😇

  • @lucyfrancis1614
    @lucyfrancis1614 3 ปีที่แล้ว +8

    Mungu akubariki Sana father kwa mafundisho yako mazuri

  • @alphonsinepibouleau7157
    @alphonsinepibouleau7157 ปีที่แล้ว +1

    Ubarikiwe saaaaana Baba Padre wetu

  • @hozzahh5597
    @hozzahh5597 2 ปีที่แล้ว +2

    Huu ndio umisionari wa kweli asante sana father Mungu akupe uhai uishi miaka mia moja ili watu waokoke

    • @istambulahmed6664
      @istambulahmed6664 11 หลายเดือนก่อน

      Huwezi kusalimika au kuokoka bila kuamini kuwa MUNGU NI mmoja tu wapekee na wakweli na yesu ni mwanadamu aliyetumwa na MUNGU kisha kumuamini yule aliyekuja baada ya yesu ambaye ni mtume Muhammed saw ambaye naye pia ni mwanadamu.

    • @desderipatrick8392
      @desderipatrick8392 9 หลายเดือนก่อน

      ​@@istambulahmed6664Ondoa ujinga wako hapa

  • @cecilialucas7655
    @cecilialucas7655 3 ปีที่แล้ว +4

    Padre wewe ni Hazina kubwa kwa kanisa ubarikiwe sana

  • @MarysianaPeter
    @MarysianaPeter 2 หลายเดือนก่อน

    Fr barikiwa mno

  • @paulomwalimu6731
    @paulomwalimu6731 3 ปีที่แล้ว +2

    Nimekuelewa sanaa padre kamugisha MUNGU akubariki sana

  • @hildamgaya9042
    @hildamgaya9042 4 หลายเดือนก่อน

    Tunawahitaji watumishi kama nyie mnaokoa roho za watu zifikie wokovu ,,,,hakika Imani yetu inakuwa father Mungu akujalie maisha marefu

  • @user-nx1kw2uc9t
    @user-nx1kw2uc9t 11 วันที่ผ่านมา

    Aminaa

  • @cosmasemmanuel8351
    @cosmasemmanuel8351 8 หลายเดือนก่อน

    Ubalikiwa

  • @StanuleDeus
    @StanuleDeus 19 วันที่ผ่านมา

    Fr mungu anamakusudi yakukuweka kwenye utume wa
    Wa kichugaji Ili kusaidia jamii

  • @mwaminishabani5713
    @mwaminishabani5713 3 ปีที่แล้ว +2

    Mwenyezi Mungu akubariki sana Farther kwa mafundisho yako Mazuri🙏

  • @imahsumaye2765
    @imahsumaye2765 2 ปีที่แล้ว +1

    Ubarikiwe mtumishi wa mungu

  • @davidkawesa3594
    @davidkawesa3594 2 หลายเดือนก่อน

    Amina kuwa

  • @agnesshayo9371
    @agnesshayo9371 3 ปีที่แล้ว +3

    Asante sana Padri Dr. Kamugisha Mungu aendelee kukutumia, maana unaponya wengi Baba🙏🤝

    • @malaikapendo5560
      @malaikapendo5560 3 ปีที่แล้ว

      Mungu alipe afya iliuponye wengi

    • @istambulahmed6664
      @istambulahmed6664 11 หลายเดือนก่อน

      Ukiona mtu ana waaminisha wafuasi wake waamini kuwa yesu ni MUNGU au MUNGU NI MMOJA KATIKA NAFSI TATU au watu wamuabudu yesu ujue mtu huyo anakuongoza njia ya kwenda MOTONI kwani mwalimu mkuu wa habari za MUNGU katika INJILI NI YESU, NA YESU HAJAFUNDISHA HATA MARA MOJA, REJEA BAADHI YA MAFUNDISHO YAKE KWA MSAADA ZAIDI:
      MATHAYO 4:10
      MATHAYO 15:24
      YOHANA 5:30-40
      YOHANA 17:3
      YOHANA 20:17
      LUKA18:18
      MARKO12: 28
      WAEFESO 4:4
      TIMETHEWO 6:16

    • @desderipatrick8392
      @desderipatrick8392 9 หลายเดือนก่อน

      ​@@istambulahmed6664Ondoa ujinga wako hapa

  • @MgunyaAbraham-oc2rp
    @MgunyaAbraham-oc2rp 9 หลายเดือนก่อน

    Padre unanibariki sana ningekuwa karibu ningekuwa nakuja kusali unapotumika

  • @FrutunatusMuyango
    @FrutunatusMuyango 27 วันที่ผ่านมา

    Wakora baba omukama akwemere kasinge omukigambo kyantaha

  • @tinnahagustinolyelu4247
    @tinnahagustinolyelu4247 11 หลายเดือนก่อน

    Baba nashukulu sana umenifumbuq macho asante baba padri

  • @justaatugonza
    @justaatugonza 7 หลายเดือนก่อน

    ni kweli father mungu akuzidishie karama yako tuendelee kufarahia

  • @eliasbufula2482
    @eliasbufula2482 ปีที่แล้ว

    Father Mungu wa mbingu na nchi aendelee kukukumbuka.

  • @marympemba1829
    @marympemba1829 3 ปีที่แล้ว +1

    Asante sana padri umenifundisha Kitu

  • @hildamgaya9042
    @hildamgaya9042 4 หลายเดือนก่อน

    Amina

  • @hellenmmanga2234
    @hellenmmanga2234 9 หลายเดือนก่อน

    Naomba apewe uhamisho aletwe arusha🎉itapendeza mno

  • @vincentmusisi3127
    @vincentmusisi3127 3 ปีที่แล้ว +1

    Nashukuru mahubiri ya pandri mazuri sana.

  • @merinajoel4362
    @merinajoel4362 3 ปีที่แล้ว +1

    Barikiwa sana padri

  • @user-jd4bh2yr6l
    @user-jd4bh2yr6l 11 หลายเดือนก่อน

    Mungu akuweke father

  • @jacquelineshirima4017
    @jacquelineshirima4017 2 ปีที่แล้ว +1

    Tumsifu Yesu Kristu Father, Mungu akubariki kwa mafundisho mazuri, ninaomba namba zako za Simu Father

  • @user-zu7mc9zh6z
    @user-zu7mc9zh6z 3 หลายเดือนก่อน

    Huu ni umissionary wa kweli

  • @dickisonbalinkebela6099
    @dickisonbalinkebela6099 2 ปีที่แล้ว

    Asante izidi kubarikiwa🙏🙏

  • @sofialinus8241
    @sofialinus8241 3 ปีที่แล้ว +1

    AMINA 🙏 nabarikiwa Sana

  • @GodfreySamson-py7jt
    @GodfreySamson-py7jt หลายเดือนก่อน

    Amee

  • @judithabuko6006
    @judithabuko6006 3 ปีที่แล้ว +3

    Ameeeen baba

  • @benyymgedzi6489
    @benyymgedzi6489 3 ปีที่แล้ว

    Mungu akubaliki Padre kàmgisha

  • @olandokambalage7893
    @olandokambalage7893 2 ปีที่แล้ว

    Baba Mimi naomba mungu uhamishwe bukoba uletwe Tanga tutabarkiwa sana

  • @paulasuvi584
    @paulasuvi584 3 ปีที่แล้ว +4

    Thanks a million fr.

  • @danstanpanga8490
    @danstanpanga8490 8 หลายเดือนก่อน

    Ukweli utafufukaa....daaah ujumbe mzito sana

  • @johngibson3089
    @johngibson3089 2 ปีที่แล้ว

    Asante father

  • @mselumonica3046
    @mselumonica3046 3 ปีที่แล้ว

    Father nimekuelewa sana kweli mti wenye matumda unapigwa mawe

  • @CosmasEmanuel-lo1ti
    @CosmasEmanuel-lo1ti หลายเดือนก่อน

    Jaman huyu fadha anakalama kubwa Sana sijui kama anatembeaga namkalibisha Sana songea huyu fadha

  • @benyymgedzi6489
    @benyymgedzi6489 3 ปีที่แล้ว +1

    Kwa kweli màhubili ya ukweli kabasa

  • @davidivisent5034
    @davidivisent5034 2 ปีที่แล้ว

    Amin

  • @AwaichiSaxton-rl6ig
    @AwaichiSaxton-rl6ig ปีที่แล้ว

    Amen🙏🙏

  • @suzankamguna
    @suzankamguna 2 ปีที่แล้ว

    Amen

  • @eutropiachami2492
    @eutropiachami2492 3 ปีที่แล้ว +3

    Mungu azidi kukupa maisha marefu padre..🙏🙏

    • @rosekundaeli6708
      @rosekundaeli6708 3 ปีที่แล้ว +1

      AMEEEN!

    • @kambalebasona8959
      @kambalebasona8959 3 ปีที่แล้ว

      Hongera Sana PADRE , MUNGU akuongeze Elimu na hekima kuendelesha kazi yake ! ! !

  • @user-jd4bh2yr6l
    @user-jd4bh2yr6l 11 หลายเดือนก่อน

    Amina mtumishi umenibariki😅😅

  • @Fabianmawazo
    @Fabianmawazo ปีที่แล้ว

    amena nawapata nikiwa kenyab

  • @istambulahmed6664
    @istambulahmed6664 11 หลายเดือนก่อน

    Namshukuru MUNGU kunijaalia kuwa muislam, na namuomba MUNGU anijaalie niwe miongoni mwa wale watakaokufa hali yakua ni waislamu, na yesu hakuwa ila alikuwa MUISLAMU na aliwalingania wafuasi wake kuingia katika uislamu, na uislamu ni kushuhudia kuwa MUNGU ni mmoja tu wapekee na wakweli na kushuhudia kuwa yesu ni mtume wa MUNGU , kwa kusema haya na kuyaamini kipindi cha yesu unakua tayari umeshaingia katika uislamu, kadhalika kipindi cha musa ,nuhu, lutyi, ibrahim, na kila aliyetumwa na MUNGU katika ZAMA zake, na kwakipindi hiki ili uingie katika uislamu inakuoasa kuamini kuwa MUNGU NI mmoja tu na mtume Muhammed saw ni mtume wa MUNGU aliyetumwa kwajili ya watu woooote na ndiomaana lugha yake ikawa moja dunia nzima.

    • @beatricemwita4380
      @beatricemwita4380 29 วันที่ผ่านมา

      Sasa ndugu muislam kwenye mafundisho ya wakristo umefata nini? Huoni channel za mashekh na ostadh, mpk umekuja huku kusikiliza maana yake unabarikiwa hivyo fuatilia yanayokuhusu yasiyokuhusu achana nayo

  • @deusfabian7498
    @deusfabian7498 2 ปีที่แล้ว

    Mungu akupe nguvu father

  • @user-qq6vg8js8q
    @user-qq6vg8js8q ปีที่แล้ว

    Mi naomba utembee na mikoani nakukalibisha MTWARA,Baba

  • @epifaniamilinga2848
    @epifaniamilinga2848 2 ปีที่แล้ว

    Asante.mtumishi

  • @marymary8313
    @marymary8313 2 ปีที่แล้ว +1

    Amen 🙏

  • @mwanashagladys4581
    @mwanashagladys4581 2 ปีที่แล้ว

    Aaahmean

  • @florabenard5504
    @florabenard5504 10 หลายเดือนก่อน

    Baba tumekumiss Bunju nondo unazo zitoa tunazimiss sana rudi tena uje utupe madini

  • @fredreque3767
    @fredreque3767 2 ปีที่แล้ว +1

    Thank you Jesus praise Jesus

    • @istambulahmed6664
      @istambulahmed6664 11 หลายเดือนก่อน

      Ukimwamini yesu kwa asilimia Mia nilazima utakuwa MUISLAMU.

    • @desderipatrick8392
      @desderipatrick8392 9 หลายเดือนก่อน

      ​@@istambulahmed6664Ondoa ujinga wako hapa

  • @davidkazoya8629
    @davidkazoya8629 3 ปีที่แล้ว

    Wanshekya ezakundailemu

  • @eliasnganira7661
    @eliasnganira7661 4 หลายเดือนก่อน

    Hiyo imekaenda baba

  • @Ruchanwa
    @Ruchanwa 3 ปีที่แล้ว

    Askofu

    • @adorofinarutaya4538
      @adorofinarutaya4538 2 ปีที่แล้ว

      Amina Amina

    • @rehemamwangamila6113
      @rehemamwangamila6113 2 ปีที่แล้ว

      Kiukweli Father Kamugisha Mungu akubariki Sana na akujalie Maisha marefu,natamani siku ungeweza kutuinjilisha huku Dar.es salaam.

    • @tinnahagustinolyelu4247
      @tinnahagustinolyelu4247 11 หลายเดือนก่อน

      Sio askofu ni padri

  • @paulomilinga4965
    @paulomilinga4965 ปีที่แล้ว

    Fadha mafundisho yako yalinitoa zambin