Padre Kamugisha: Usipendezeshe kila mtu we si pesa/Ukweli ukiuzika utafufuka/ Usiogope kusemwa
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 16 มี.ค. 2021
- Ni mafundisho ya Juma la tatu la Kwaresima mada ikiwa KUSEMWA NI MTIHANI , ni sehemu pili ya mafundisho haya . Mafundisho haya yametolewa na Paroko wa Parokia ya Minziro Jimbo Katoliki la Bukoba Padre Dkt Faustine Kamugisha katika Kanisa kuu la Kiaskofu Jimbo Katoliki la Bukoba. Mafundisho haya hutolewa kila Ijumaa baada ya njia ya msalaba.Mada ikiwa ni Kusemwa ni mtihani, Usijali ni wangapi wanakusema endelea kufanya jambo zuri katika jamii.
www.radiombiu.co.tz
#RmSautiYaFaraja
MUNGU akupe maisha marefu ili uendelee kutuletea mafundisho ya kutujenga kiimani na kiroho 🙏🙏
Asante Sana Fr. Kamugisha. Mama yangu mzazi alikuwa mtu mwenye kusali Sana mpaka watu wakawa wanamwita mchawi. Hata mapadri wawili waliokuwa Parokiani walifikia kumnyima Sakramenti na kumnyima huduma muhimu za kikanisa. Lakini baada ya miaka kadhaa kilichowakuta mapadri hao 2 waliomnyanyasa Mama yangu kwa kumwita mchawi ni balaa. Mmoja alikufa kwa ajali mwingine alifukuzwa mpaka leo hii ana manga manga mtaani. Miungu aendelee kukuinua na kutundisha
Father Kamugisha, baraka za Mungu ziendee kukaa juu yako. Mafindisho Yako ni mazuri sana❤
Baba nabarikiwa sana na mafundisho yako natamani ungekuwa katika parokia yetuu
Mungu akubariki sana Fr. Uwe na afya njema na akutangulie ktk utume wako.
Asante baba ubarikiwe sana.
Barikiwa padri kamugisha nabarikiwa na mahubiri yako yamenipa ujasiri na nguvu yakusongambele
Ubarikiwe sana baba
Mungu wa mbinguni aendelee kukupa nguvu katika utumishi wako na kukulinda dhidi ya mwovu shetani
Kwa kweli Father huyu asije akahamishwa Kagera maana vionjo vyake vya Kihaya vinaongeza uelewa wa mafundisho yake. Very gifted.
Father wangu machachali sana huyu 🙌🏽🤩😇
Mungu akubariki Sana father kwa mafundisho yako mazuri
Ubarikiwe saaaaana Baba Padre wetu
Huu ndio umisionari wa kweli asante sana father Mungu akupe uhai uishi miaka mia moja ili watu waokoke
Huwezi kusalimika au kuokoka bila kuamini kuwa MUNGU NI mmoja tu wapekee na wakweli na yesu ni mwanadamu aliyetumwa na MUNGU kisha kumuamini yule aliyekuja baada ya yesu ambaye ni mtume Muhammed saw ambaye naye pia ni mwanadamu.
@@istambulahmed6664Ondoa ujinga wako hapa
Padre wewe ni Hazina kubwa kwa kanisa ubarikiwe sana
Good padre...with God msg
Fr barikiwa mno
Nimekuelewa sanaa padre kamugisha MUNGU akubariki sana
🙏👏 Fr.Kamugisha Mwenyezi Mungu azidi kukubariki .
Tunawahitaji watumishi kama nyie mnaokoa roho za watu zifikie wokovu ,,,,hakika Imani yetu inakuwa father Mungu akujalie maisha marefu
Aminaa
Ubalikiwa
Fr mungu anamakusudi yakukuweka kwenye utume wa
Wa kichugaji Ili kusaidia jamii
Mwenyezi Mungu akubariki sana Farther kwa mafundisho yako Mazuri🙏
Aksateni sana padrino kwa into fundisho
Ubarikiwe mtumishi wa mungu
Amina kuwa
Asante sana Padri Dr. Kamugisha Mungu aendelee kukutumia, maana unaponya wengi Baba🙏🤝
Mungu alipe afya iliuponye wengi
Ukiona mtu ana waaminisha wafuasi wake waamini kuwa yesu ni MUNGU au MUNGU NI MMOJA KATIKA NAFSI TATU au watu wamuabudu yesu ujue mtu huyo anakuongoza njia ya kwenda MOTONI kwani mwalimu mkuu wa habari za MUNGU katika INJILI NI YESU, NA YESU HAJAFUNDISHA HATA MARA MOJA, REJEA BAADHI YA MAFUNDISHO YAKE KWA MSAADA ZAIDI:
MATHAYO 4:10
MATHAYO 15:24
YOHANA 5:30-40
YOHANA 17:3
YOHANA 20:17
LUKA18:18
MARKO12: 28
WAEFESO 4:4
TIMETHEWO 6:16
@@istambulahmed6664Ondoa ujinga wako hapa
Padre unanibariki sana ningekuwa karibu ningekuwa nakuja kusali unapotumika
Wakora baba omukama akwemere kasinge omukigambo kyantaha
Baba nashukulu sana umenifumbuq macho asante baba padri
ni kweli father mungu akuzidishie karama yako tuendelee kufarahia
Father Mungu wa mbingu na nchi aendelee kukukumbuka.
Asante sana padri umenifundisha Kitu
Amina
Naomba apewe uhamisho aletwe arusha🎉itapendeza mno
Nashukuru mahubiri ya pandri mazuri sana.
Barikiwa sana padri
Mungu akuweke father
Tumsifu Yesu Kristu Father, Mungu akubariki kwa mafundisho mazuri, ninaomba namba zako za Simu Father
Huu ni umissionary wa kweli
Asante izidi kubarikiwa🙏🙏
AMINA 🙏 nabarikiwa Sana
Amee
Ameeeen baba
Mungu akubaliki Padre kàmgisha
Baba Mimi naomba mungu uhamishwe bukoba uletwe Tanga tutabarkiwa sana
Thanks a million fr.
Ukweli utafufukaa....daaah ujumbe mzito sana
Asante father
Father nimekuelewa sana kweli mti wenye matumda unapigwa mawe
Jaman huyu fadha anakalama kubwa Sana sijui kama anatembeaga namkalibisha Sana songea huyu fadha
Kwa kweli màhubili ya ukweli kabasa
Amin
Amen🙏🙏
Amen
Mungu azidi kukupa maisha marefu padre..🙏🙏
AMEEEN!
Hongera Sana PADRE , MUNGU akuongeze Elimu na hekima kuendelesha kazi yake ! ! !
Amina mtumishi umenibariki😅😅
amena nawapata nikiwa kenyab
Namshukuru MUNGU kunijaalia kuwa muislam, na namuomba MUNGU anijaalie niwe miongoni mwa wale watakaokufa hali yakua ni waislamu, na yesu hakuwa ila alikuwa MUISLAMU na aliwalingania wafuasi wake kuingia katika uislamu, na uislamu ni kushuhudia kuwa MUNGU ni mmoja tu wapekee na wakweli na kushuhudia kuwa yesu ni mtume wa MUNGU , kwa kusema haya na kuyaamini kipindi cha yesu unakua tayari umeshaingia katika uislamu, kadhalika kipindi cha musa ,nuhu, lutyi, ibrahim, na kila aliyetumwa na MUNGU katika ZAMA zake, na kwakipindi hiki ili uingie katika uislamu inakuoasa kuamini kuwa MUNGU NI mmoja tu na mtume Muhammed saw ni mtume wa MUNGU aliyetumwa kwajili ya watu woooote na ndiomaana lugha yake ikawa moja dunia nzima.
Sasa ndugu muislam kwenye mafundisho ya wakristo umefata nini? Huoni channel za mashekh na ostadh, mpk umekuja huku kusikiliza maana yake unabarikiwa hivyo fuatilia yanayokuhusu yasiyokuhusu achana nayo
Mungu akupe nguvu father
Mi naomba utembee na mikoani nakukalibisha MTWARA,Baba
Asante.mtumishi
Amen 🙏
Aaahmean
Baba tumekumiss Bunju nondo unazo zitoa tunazimiss sana rudi tena uje utupe madini
Thank you Jesus praise Jesus
Ukimwamini yesu kwa asilimia Mia nilazima utakuwa MUISLAMU.
@@istambulahmed6664Ondoa ujinga wako hapa
Wanshekya ezakundailemu
Hiyo imekaenda baba
Askofu
Amina Amina
Kiukweli Father Kamugisha Mungu akubariki Sana na akujalie Maisha marefu,natamani siku ungeweza kutuinjilisha huku Dar.es salaam.
Sio askofu ni padri
Fadha mafundisho yako yalinitoa zambin