Mtaa wa Matajiri na Watu Maarufu Tu- BEL-AIR, Los Angeles
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 1 ก.ย. 2023
- Nilienda kutembelea mtaa maarufu huku California uitwao Bel-Air. Ukitazama video hii utaweza kuona jinsi mazingira yalivyo na shughuli ambazo watu hufanya wakiwa maeneo hayo.
Pia nakuomba usubscribe ili usimiss video mpya nitakazokua nikipost. Asante kwa kutazama, Nakupenda sana!
My previous video;
• Hua napenda kuenjoy na...
🔸FOLLOW ME ON;
INSTAGRAM: / jacchalz
TikTok: www.tiktok.com/@officialjackw...
My Other Channel: / @jackchalz
#jackwausa #california #belair
Please SUPPORT me by joining here;
patreon.com/JackWaUSA
Selemani natoka Daa posta mtaa wa Samora
Nimegundua kwamba utajiri mkubwa wa hapo ni umiliki wa ardhi, kumbe huku kwetu tuna utajiri mkubwa sana, maana watu wanamiliki ardhi bila kujua umuhimu wake. Naangalia kutoka kahama 🇹🇿
Watching from Dodoma, Tanzania.🇹🇿 Sikupingi, natamani siku moja nione uko mitaa ya silcon valley.
Daah kuzuri sana mazingira ni mazuri miti mingi asante kwa kutupeleka marekani bila viza😁
Mimi Niko mueda sunbiji muda wowote nafuwatilia!🎉
Pamoja sana!
it a nice place natqmqni hats mimi kuwa happy siku moja c uniconnect hapo❤ m Hebron from Kenya Taita taveta
Manyara KITETO. One of the warm blooded fans of yours.
One love!
Umenifikisha Bel Air kwa simu yangu, kiukweli nimependa video hi.
Watching from Nairobi 🇰🇪 Dope!
Kenya!!!✌🏾
Kaka hii ni kazi Safi Sana, Belea iko Safi Sana mtaa umetulia. Mimi Niko Qatar Doha kikazi but natokea Kenya Mombasa
Great videos man. Take care of yourself man kwenye mitaa ya matajiri kama hii hasa ukiwa mweusi. Maana 🇺🇸 matajiri wengi 🔫 zao hazilali.
Watching from Seattle, WA
😅😅😂 uko mablaki ndo wengi
Great video,chunga kaka usipoteze maisha yako Bure, risky sana ukiwa mweusi huko, Nairobi, Kenya 🇰🇪🇰🇪
Nakucheki nikiwa kazuramimba kigoma hapa!! Kazi nzuri mno kaka! Tupeleke na Pacific Palisades kule pamoja na New Port beach
MAMBO VIPI DOGO NAKUOMBA UKIPATA TIME UNACHECK MUHIMU SANA
Naenda Newport beach soon. Fuatilia video zinazofuata
Nakufatilia sana Niko kigoma Tanzania
Oya Jack tuko pamoja sana, tunakukubali sana kwa kazi yako ya kutufikisha Yues 🇺🇸 kwa bila nauli. Nipo Mwanza, Ukerewe Island ❤
Nakucheki mzee wa kahama nikiwa manguzi South Africa salute
Pamoja sana
Yah sho 😊
Kweli mzungu ni mzungu tuu mazingira mazuri ajabu naangalia hii picha kutoka green city mbeya tz
Mbona sioni hata gardener,tuombee kazi huko
Mambo vip
Vip michongo kuna issues gani uko zamaana unitafutie viza kutembea ni kujua mengi
Hongera sana,kweli mazingira maziri sana,hapo oxygen yakutosha kabisa,
Kutoka Zakhem Mbagala hapa-Dar es Salaam
Wafikishie salamu!
Nakufuatilia nikiwa sigunga kigoma nakukubari sana brother jack one day nitakuja Marekani
Natazama live kutoka kampala! Kazi nzuri sana Jack wa Tz!! Keep it up bro, we appreciate the great work you do.
Amazing from Mozambique 🇲🇿
Nakubali sana kaz zako za kujitoa Kwa moyo Moja anaamini ipo sku utatimiza ulichokipanga
Good job Jack Nairobi Kenya
Kazi nzuri jack,unatufumbua mambo mengi,nakucheki toka tabora tanzania
Hongera kijana kwa kujiamini huwa najisikia fahari sana nikiona mtu mweusi kama mimi wa kutoka Iringa naye anatoka Kahama siyo Dar Arusha Mwanza wala Kilimanjaro hongera brother unatumia vizuri shule
Asante sana jack kwa kazi unayo yifanya,mie niko kigali rwanda asante
Kumbe we ni home boy kabsa. (Kahama) hongera sana kwa ujasil ulionao bro
nmeuona mtaa wa rick ross..it's so amazing..thanks mr jack❤❤
Kazi nzur Jack waTZ 🇹🇿 we are proud of you me nilikuwa naombi moja one day tuandalie content kuhusu ulemchezo wa WIPE OUT mshindi huwa anapata dollars 💵 elf50 it’s a lot of money 💰
Keep up the good work!
Nakufatlia sana Niko Comoros 🇰🇲🇰🇲💪
Daaah hatar San 🔥 Watu na maisha Yao bhna
Mr, uko vizuri endelea kutujuza kutoka Marekani, naangalia kutokaMwanza.Tupele tukacheki mjengo wa Roman Rings.
From Bujumbura we love u🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Welcome back bro❤❤
Hii video naitazama nikiwa pande za bija mpola kahama mwanetu tunakupa salute saana
Pamoja sana
Eti tuna ma diaspora huko ugaibuni dah! Huu kijana namkubali kwa hii show kabisa . Na kufuata nipo Bujumbura Burundi mzee. Kazi ya kinyamwezi bro. Ebu tutaftie badhi ya ma stars wanao julikana ki mataifa kama itawezekana.
✌🏾
Mwaka mpya nilikuwa church nakula sebene ,vib lilikuwa la kutosha.
Hey brother nimepanda hiyo location ya sehmu ilivyo mm nipo zanziber
Pamoja jack natazama hii video nipo makubusho Dr 🙌🙌🙌🙌🙌
Nipo Mozambique semu nruri Sana nimeipenda kazi nzuri
Unafanya kazi nzuri sana Jack
Asante sana jack . Iko powa sana
Oy hii video Natizama nikiwa Zanzibar...🎉
Nakucheck nipo bariadi hapa uoto wa asili wa eneo langu kama huko
Mimi Niko Burundi nandasana kucheko mamboyako
Big up ma boy 🔥🔥. Ii ni nyasubi one home boy
Wonderful job 👍
Safi sana,mazingira wametunza vizuri.
Mhhh! Mwenzangu nyumba ni hizhiz za bongo semaa maadhari ya garden yanavutia sana ndo utofauti uliopo
Umeongeq ujinga
Ebana mkali wangu naichek nikiwa dar.slm Tanzania.
nakupata jack, kazi nzuri, naitazama hii video nikiwa dodoma
Ndio nafuatilia video zako Niko Zanzibar endelea kutupa taarifa tunafurahia mno kiongozi
Kazi nzuri sana naitazama kutoka Iringa
Am burundian stey Zambia tunakufwata 100%
Hao jamaa wapo deadly expensive. Hapa East Africa bado maisha ya kifahari yana bei rahisi. I once visited Kenya nikalala what they called the most expensive hotel in Nairobi lkn kulala nikilipa 12k na glass ya wine for 700😅. 😅 🇹🇿🇹🇿
😂
I feel like I know California kama mwenyeji juu yako 🇰🇪
Naikubali sana kazi yako kakangu
Natizama kutokea Nairobi , Kenya
From Kilimanjaro, Tz... nawaza unatembea mitaa haina watu dah any way good job bro
Jack kitengo unyama sana blood🎉🎉✍️🇹🇿🥂
✌🏾
Nice,mazingira mazuri sana jamaa wako na uthubutu ,Tandahimba mtwara ndipo nilipo
Mi nakupata vzur Sana mwanangu nipo kahama
Nafurahia video zako sana. Najihisi nikiwa marekani ijapokuwa sijawahi fika huko
Npo jonsbagy
Pamoja sana!
Nyumba kama zetu TZ tu ila kilichotuzidi ni bustani na miundombinu ya barabara Iko Bora kuliko ya kwetu
Mm nipo tabata segerea ilala chini ya gereza la segerea dar es salaam ,nimejifunza.
Hizo ni nyumba za kawaida sana ata kenya zipo ni vile tu gharama zao ni tofauti na huku kenya coz huku ni Africa
Kaka nakuchek nikiwa Igoma Mwanza,kaz nzuri.
Niko Kenya 🇰🇪 your biggest fan from kisii
Kazi swafi,napenda kazi zako
Asante sana bro kutupeleka sehemu Nzuri.kama hiyo.niko bujumbura burundi
Watching from pwani Tanzania
Nakufatilia kutokea kipande cha kakola kahama, big up bro
Natazama nikiwa zangu dar es salaam kazi nzuri sana brother
Pamoja sana!
Kazi nzuri kaka
Mambo VIP Jack Wa USA Kwa jina naitwa Selemani tunakupenda sana unavyo elimisha mzee
Mimi nakucheki kutoka Burundi bro hua nakufuatilia sana tu
watching from Mwanza nakukubali sana bro nataman na mm siku moja nifike huko 🇺🇸!!!
Niko masaki naitazama kweli nyumba pambe😊
Great job, Jack, I'm watching from Sumbawanga.
Mzee nakucheki nikiwa Kahama nyumbani dah! unyama mwingi sana mzee baba endelea kutujuza.
baba asaente sana kutuonyesha mitaa ila nyumba za kaida tuu tofauti ni price bongo kuna nyumba kali tuu kushinda hizo nakuzoom nikiwa chasimba tegeta dsm tz.
Umetembea Kaka pole kabisa kazi yako ngum keep up😅
Shukrani
Mambo vipi jack hii video naitazama nikiwa rock city mwanza-Tanzania
BEL AIR,, noma naicheck toka m/nyamala tanzania,, umetisha JACK
Pamoja sana. Wafikishie salamu huko
M/Nyamala
Man that parking lot to belair hotel 🔥🔥
Nice video from Zanzibar 🤗❤️
Thanks for watching!
Everyday must l looking your video nakukubali sn broo adi nawashawish watu wazidi kusubcribe kukufuatilia cos hauna baya broo jack❤
Nipo mwanza ila ahsante Kwa kutupeleka huko kupitia mb zangu
Naitazama video nikiwa mbezi dar es salaam hua nakufatilia sana kaka
Congratulations 👏
Naikubali Mzee baba love from Kenya.
Pamoja sana +254🇰🇪
Safi Sana 🤝 Kijana Kazi Nzuli Jack Khm 🇹🇿
Keep it up,from Nairobi Kenya.
jack wa u s a nakuangalia nikiwa m/nyamala tanzania umetisha mzee,
Brother jack nimepaelewa sana apo mazingila mazur kwel niushuwan cyo poa nachik video hii nikiwa mwanza
Kazi nzuri
Huanaogopa sana ukiwa unatembea na camera hawakuogipi kama unachukua sili fulanikwao
From Sengerema,tunakufatilia sana br Asante kwa kazi nzuri
Kitale - Kenya
Kitale - Kenya
Kitale - Kenya
Kitale - Kenya
Nakutambua kwa sana kaka na naipenda kazi yako.
hahahaha nimeipenda hiyo, sijaona nnzi hata mmoja.
Broo Jack I really appreciate ur work but samahan naomba kuulizaa huku Tanzania pesa ndogo sana kwa sasa n sh 50 na kubwa zaid ni elf 10,000 how about huko???. And last question mshahara mdgo zaid kwa mtu kulipwa huko anaefanya kaz za kawaida kama ualimu na kadharika n sh ngap kwa mwez?? Thanks one love man from kahama Tanzania we really enjoy ur podcast man ur really hero
Powa Sana my bro,mw mungu akubariki
Asante na Amina
Nipe stori mwanangu unafaidi life tu huko
Watching from Nairobi Kenya ❤❤❤
Video nzuri sana,nipo jiji la MBEYA