Mnakumbuka Lowasa alipojiuzulu Uwaziri Mkuu Kikwete alisema Lowasa ni mtu safi ila tu alipata ajali ya kisiasa. Lakini alipooondoka CCM na kujiunga na upinzani na kugombea uraisi Kikwete huyohuyo alituambia yeya hahusiki na Richmond bali tumuulize Lowasa? Kama kuna anayekumbuka gonga likes za kutosha hapa?
@@mahyorokalokola4012 wewe kwa akili yako unaona inawezekana kweli msalaba mkubwa unaoligharimu taifa fedha nyingi kama uko wa Richimondi unaweza kufanywa na Waziri Mkuu pekee huku Rais amekaa pembeni tu hana habari ! Hiyo inawezekana kweli? Halafu baada ya mambo kuharibika ndipo Raisi anajitokeza na kusema yeye hahusiki eti tumuulize Waziri Mkuu aliyejiuzulu! Ama kweli watanzania tunafanywa kama chekechea tena baby class
YESU aliwafananisha WANAFIKI NA MAKABURI MEUPE ILA NDANI MWAKABURI NIUOZA MTUPU. MNAFIKI HANA TOFAUTI NA NYOKA . INAMGOMGA MTU AKIFA WALA NYOKA HAMLI MTU HUYO ALOMGONGA. TUCHUKIE WANAFIKI SANA.
Huyo kigogo amejaa negative thinkings utumbo wake ni mweusi sana.Familia ya Lowasa ni Wastaarabu wametulia. Kikwete amejitahidi ktk utawala wake. Mungu amjalie Afya na Maisha yenye Amani
Shida yao wanapopata nguvu kwenye utawala hujisahau kana kwamba wao wataishi milele kwenye hizo nafasi za utawala na kujimilikisha nafsi zao kwamba hakuna mwingine zaida ya yeye kumbe kuna maisha mengine ya kuishi na jamii zaidi ya uongozi wanadamu lazima tujifunze usimnyanyase mwanadamu mwenzio ukiwa madarakani hujui kesho yako !!
Kikwete si mnafiki tu wa familia ya Lowasa bali ni mnafiki kwa Taifa Zima la Tanzania. Nchi hii hawezi kuwa salaam na tulivu hadi Mwenyezi Mungu atakavyo amua vinginevyo kuhusu Kikwete. Alimwandaa Membe Mungu akawandaa Magufuri.
Hakuna alichokosea Jakaya. Na wala hakuna la ajabu. Katika siasa kuna mambo mawili ambayo huwa hayabadiliki. Usaliti na masilahi. Zaidi ya hayo kuwa rafiki wa mtu hakumaanishi umuunge mkono kuwa kiongozi wa kisiasa. Na wala Jakaya hakuwa na sababu ya kijikomba kwa Lowassa. Maana yeye aliachieve zaidi kisiasa kuliko Lowassa.
Tangu akiwa mwanafunzi pale Monduli S/M, Lowasa huyu alionekana kabisa kuwa na kila dalili za kuwa kiongozi.Nilimwona nikiwa mmoja wa Ma-bwanashamba miaka a1968. Ni mimi Ally Daudi Ngoyeji wa Itilima,Kishapu, Shinyanga.
Na bado, hiyo ni trailer picture inakuja. Kwenye msiba wa JPM aliongea kinafiki halikadhalika katika msiba wa Membe alifanya vivyo hivyo. Kwa Lowasa msiba wake umetafsiri mwisho mbaya wa Kikwete na group lake.
Achaneni na mambo hizo kigogo wa tweeter, mnawagawa watz, msiba usifanye jukwaa la kutangaza makosa ya wengine kwani kifo ni haki ya kula binaadam, Mungu anajua yote ya kweli na ya uongo
Una juA watu wengi wa meka Riri vibaya sana wa kimwona mtu Ana cheka cheka wana mchkuriA nimtu mzuli sana ogopa sana watu kama Ao uficha ubaya wao kwa kucheka cheka Rakin kwa kuwa yeye Nimtu m Baya mabaya yake yote yata one kana
Ogopa wenye kujinasibu na uchamungu, ni yaleyale yasemwayo, Mungu anajua yote ya kweli na yale ya batili, poleni sana familia na Mungu awape moyo wa subira na uvumilivu
Asante. mungu maana huwadhili wenye kibuli na huwapa neema wanyenyekevu nawe ndiwe mtawala juu ya ufalme wa wenye mwili wote humlipa kila MTU Kwa Kadli ya njia zake
ACHENI UNAFIKI WATU WA MEDIA NA FAMILIA YA MAREHEMU MAMBO YA KIKAZI YALIENDA KIKAZI NA HATA HUYO MAREHEMU HAKUWA MALAIKA KUNA MAZURI NA MABAYA ALIYAFANYA.
Mstaafu unatakiwa kuomba radhi kwa watanzania kudhihirisha kufanya hivyo vinginevyo Rais Samia aeleze kashfa hiyo kwa wananchi.Si kitendo cha busara hata ndani ya CCM, naamini kuna taratibu za kuchukua endapo kuna haja
sawa nakubari
Mnakumbuka Lowasa alipojiuzulu Uwaziri Mkuu Kikwete alisema Lowasa ni mtu safi ila tu alipata ajali ya kisiasa. Lakini alipooondoka CCM na kujiunga na upinzani na kugombea uraisi Kikwete huyohuyo alituambia yeya hahusiki na Richmond bali tumuulize Lowasa? Kama kuna anayekumbuka gonga likes za kutosha hapa?
Sasa ulitaka aseme uongo kwamba hakuhusika.
@@mahyorokalokola4012 wewe kwa akili yako unaona inawezekana kweli msalaba mkubwa unaoligharimu taifa fedha nyingi kama uko wa Richimondi unaweza kufanywa na Waziri Mkuu pekee huku Rais amekaa pembeni tu hana habari ! Hiyo inawezekana kweli? Halafu baada ya mambo kuharibika ndipo Raisi anajitokeza na kusema yeye hahusiki eti tumuulize Waziri Mkuu aliyejiuzulu! Ama kweli watanzania tunafanywa kama chekechea tena baby class
YESU aliwafananisha WANAFIKI NA MAKABURI MEUPE ILA NDANI MWAKABURI NIUOZA MTUPU. MNAFIKI HANA TOFAUTI NA NYOKA . INAMGOMGA MTU AKIFA WALA NYOKA HAMLI MTU HUYO ALOMGONGA. TUCHUKIE WANAFIKI SANA.
Huyo kigogo amejaa negative thinkings utumbo wake ni mweusi sana.Familia ya Lowasa ni Wastaarabu wametulia. Kikwete amejitahidi ktk utawala wake. Mungu amjalie Afya na Maisha yenye Amani
Mungu huona silini yaliyofichwa ndani ya moyo na ndie atakae lipa kila MTU Kadli ya matendo yake
Shida yao wanapopata nguvu kwenye utawala hujisahau kana kwamba wao wataishi milele kwenye hizo nafasi za utawala na kujimilikisha nafsi zao kwamba hakuna mwingine zaida ya yeye kumbe kuna maisha mengine ya kuishi na jamii zaidi ya uongozi wanadamu lazima tujifunze usimnyanyase mwanadamu mwenzio ukiwa madarakani hujui kesho yako !!
Kikwete ni mnafiki no 1
Kikwete si mnafiki tu wa familia ya Lowasa bali ni mnafiki kwa Taifa Zima la Tanzania. Nchi hii hawezi kuwa salaam na tulivu hadi Mwenyezi Mungu atakavyo amua vinginevyo kuhusu Kikwete. Alimwandaa Membe Mungu akawandaa Magufuri.
Shetani
Imekaa vizuri sana. Unafiki ni ugonjwa. Unafisha
Msema kweli mpenzi wa Mungu. Mnafiki sio mpenda fitna tu bali ni mtoto wa shetani na mjukuu wa Ibilisi. Tuwalaani wanafiki bila ya woga au muhali
Shida iko wapi hapo kikwete hana ubaya wowote kwa tunaemjua msure yule kikwete yupo super sana kaa kwa kutulia mzee kikwete huna baya
Mbwa koko
Hakuna alichokosea Jakaya. Na wala hakuna la ajabu. Katika siasa kuna mambo mawili ambayo huwa hayabadiliki. Usaliti na masilahi. Zaidi ya hayo kuwa rafiki wa mtu hakumaanishi umuunge mkono kuwa kiongozi wa kisiasa. Na wala Jakaya hakuwa na sababu ya kijikomba kwa Lowassa. Maana yeye aliachieve zaidi kisiasa kuliko Lowassa.
Kama nihivyo pongezi sana wafiwa
Hongera familiar ya Edward Lowassa kwa kuweka historia ya mpendwa wenu sawa.
Hivi ule wakati anaugua hosiptalini,wangapi walikwenda kimuangalia ?
Tangu akiwa mwanafunzi pale Monduli S/M, Lowasa huyu alionekana kabisa kuwa na kila dalili za kuwa kiongozi.Nilimwona nikiwa mmoja wa Ma-bwanashamba miaka a1968. Ni mimi Ally Daudi Ngoyeji wa Itilima,Kishapu, Shinyanga.
Amezidi huyo MZEE msimtetee anatabasamu iliyoficha miiba mibaya
Ongeza neno SHETANI
Na bado, hiyo ni trailer picture inakuja. Kwenye msiba wa JPM aliongea kinafiki halikadhalika katika msiba wa Membe alifanya vivyo hivyo. Kwa Lowasa msiba wake umetafsiri mwisho mbaya wa Kikwete na group lake.
Achaneni na mambo hizo kigogo wa tweeter, mnawagawa watz, msiba usifanye jukwaa la kutangaza makosa ya wengine kwani kifo ni haki ya kula binaadam, Mungu anajua yote ya kweli na ya uongo
Ni kuumbuana Hadharani.
Kigogo wacha uchonganushi we NDIO MNAFIKI MKUBWA
Kikwete mungu anakuona
Kikwete anaroho mbaya
Una juA watu wengi wa meka Riri vibaya sana wa kimwona mtu Ana cheka cheka wana mchkuriA nimtu mzuli sana ogopa sana watu kama Ao uficha ubaya wao kwa kucheka cheka Rakin kwa kuwa yeye Nimtu m Baya mabaya yake yote yata one kana
Mze kikwete mungu akusimamie
Wamsamehe tu hapo alipo anajuta anayopitia ni magumu acheni mungu atamuhukumu
Kama sisi watu wa Mungu tusamehe saba mara sabini si vizuri kukaa tunasemasema hivyo. Tumuache marehemu apumzike kwa amani huko aliko.
Ogopa wenye kujinasibu na uchamungu, ni yaleyale yasemwayo, Mungu anajua yote ya kweli na yale ya batili, poleni sana familia na Mungu awape moyo wa subira na uvumilivu
Absolute amazing true kikwete Hippocrates
Unaweza kumsamehe mtu na usimwamini yaani unamkataa
Kwakweli niaibu uyr mtu jamani mbona anatuumiwA kila msiba jamani
Sass mtasemaje kuhusu rais wa kwanza kuhusu lowasa
Kikwete nimuhuni alimuuza lowasa,
Mimi ninawaombea kwa sababu siwezi kuhukumu mtuyoyote
Ukimtenga jk unampunguzia kitu gani? Hamumuwezi jakaya
Asante. mungu maana huwadhili wenye kibuli na huwapa neema wanyenyekevu nawe ndiwe mtawala juu ya ufalme wa wenye mwili wote humlipa kila MTU Kwa Kadli ya njia zake
😅
Wewe muongo, si ulitangaza kua mzee Mwinyi Rais wa awamu ya pili ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, mbona hajafa yupo hai?. Acha maneno ya uongo.
Tunawashukuruni kwa kutowapa wanafiki nafasi ya kuongea kwani mnafiki ni mnafiki tu habadiliki.
Una uhakika gani kuwa waliopewa nafasi wakaongea wote sio wanafiki ?
Kigogo na wenzako ni wanafiki
Unafki uko wapi hapo? Usitutoe Kenya hoja
Sumu kamuua ccm upuzi yatawakuta mungu anaandika
Umezid umbeya utakuwa shoga
Waswahili husema mla ndizi husema ila mtupu maganda hasahau kumbukeni yatawakuta ipo siku.
Media ya kizushi, uongo mtupu! Kigogo ni nani? Mengine ni ya kipumbavu! Hata yeye iko siku atakufa! Acheni upumbavu!
Hata hivyo ana moyo mkubwa kuhudhuria mazishi
ACHENI UNAFIKI WATU WA MEDIA NA FAMILIA YA MAREHEMU MAMBO YA KIKAZI YALIENDA KIKAZI
NA HATA HUYO MAREHEMU HAKUWA MALAIKA KUNA MAZURI NA MABAYA ALIYAFANYA.
Kigogo na wahuni wenzio muacheni JK hata mkipambana hamtashinda
Kwani lazimaa
MUNGU MLAZE PEMA PEPONI MZEE WETU LOWASA HAKUWA NA BAYA MZEE WETU LOWASA
wacheni fitna nyinyi waandishi wa habari
Kikwete hajawahi kufanya jema mara anauwa kwasumu kwahiyo akumbuke kuwa yeye Kikwete tena ni mkatili utakufa vibaya utaona
Anaekufa vizuri ni nani.
Na hio sumu alioulia ulimtafutia wewe ama unalopokwa tu.
Ulitaka huyo Lowasa aishi maisha.
@@salmahalfani6307 mbona unajishuku unahusika pia wewe? Mbona kakataliwa kwenyekilio kaanzakulia upumbavu wenu huo
Wewe kigogo domo km nyelo mnafki mkubwa mchonganishi utupati utawapata hao wafuas wako
Duuuuu
Achauongo
Kiukwer mnafk moyo wake nipango lashetani
Bwenge achauongo
Ina maana hakwenda hata kumuona hospitali?
Ndiyooooo😂😂😂😂
SHETANI
Mstaafu unatakiwa kuomba radhi kwa watanzania kudhihirisha kufanya hivyo vinginevyo Rais Samia aeleze kashfa hiyo kwa wananchi.Si kitendo cha busara hata ndani ya CCM, naamini kuna taratibu za kuchukua endapo kuna haja
Alijisafisha hata kwa magufuli alimchangua pia kamuuakwa simu bumbavu mkuu atakufa kama umbwa barabarani
Kikwete munafiki sana