Maelezo KAMILI Kuhusu Njia Za Kufika Marekani | Aina Za Visa Utakazohitaji Ili Uje Huku USA
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 5 ต.ค. 2024
- Kama unatafuta njia za kwenda marekani, bhasi hatua ya kwanza ni kutambua aina gani ya Visa utakayohitaji kulingana na safari yako ya kwenda USA. Nimeorodhesha baadhi ya aina ya hizo visa. Tazama video hii ili upate maelezo zaidi.
Types Of US Visas below⬇️
🇺🇸TEMPORARY VISAS (Nonimmigrant Visa To The US)
⚫️TOURISM & VISIT (B-1 and B-2 Visa)
Special for business & Tourism travelers
travel.state.g...
⚫️STUDY & EXCHANGE
-Student (F-1 visa)
-Vocational training (M-1 Visa)
-Exchange visitor program (J-1 Visa)
travel.state.g...
⚫️WORK
travel.state.g...
⚫️K-1 or Fiancé(e) Visa
-Hii ni special kwa walioengage na a US citizen and plan to marry and live in the US. Your fiancee will petition for a K-1 visa for you.
It'll allow you to travel to the US and get married within 90 days of arriving.
🇺🇸IMMIGRANT VISAS
⚫️FAMILY BASED (Visa IV)
travel.state.g...
⚫️EMPLOYMENT or INVESTMENT
-Immigrant Investor Visas
travel.state.g...
⚫️INTERCOUNTRY ADOPTION
-For more information;
travel.state.g...
⚫️TEMPORARY RELIGIOUS WORKER VISA (R-1 )
travel.state.g...
⚫️REFUGEES AND ASYLUM
-Status itakua granted kwa watu waliokua persecuted or fear they'll be persecuted on account of race, religion, membership in a particular social group or political opinion.
travel.state.g...
⚫️DIVERSITY VISA PROGRAM
-Apply for Green Card Lottery online at
dvprogram.stat...
Ubalozi Wa Marekani Nchini Tanzania
tz.usembassy.gov/
Pia nakuomba usubscribe ili usimiss video mpya nitakazokua nikipost. Asante kwa kutazama, Nakupenda sana!
My previous video;
• Soko Lenye Wauzaji Wa ...
🔸FOLLOW ME ON;
INSTAGRAM: / jacchalz
TikTok: www.tiktok.com...
My Other Channel: / @jackchalz
#hukuyues #usavisa #americandream
Please Subscribe pia kwenye hii channel yangu nyingine ili ujionee zaidi ⬇️ ⬇️
youtube.com/@Jackchalz
Kaka mtu akitaka kuwasilian a nawew wthasp unapatikana vip naitaji proses natak unisaidie
Kaka vipi hali yako ?kaka naitaji msaada wako naomba imer number yako nikutafute
Kaka nakukubari
Kaka naomba no.yako ya watsap
Kaka naomba no yako tuzungumze nimekupenda san ukopoa
I'm addicted for this channel
Jack maelezo yako ni mazuri sana na ufafanuzi wako ni mzuri,na tunakuelewa vizuri kwa kweli unafanya jitihada nzuri sana kwa kutupa maelezo ya kina na kwa mapana zaidi tofauti na wengne, Asante sana
Nimependa ufafanuzi wako na refferences unazotoa.
You''re good bro!
Nice content mwanangu mungu akubiri Sana huko America 🇺🇸
Iko poa sana kaka iyo video nimeisubiria sana wish you all the best brother🙏🙏👏👏👏👍👍💪💪
Much blessings to you and Respect Mzee Jay,Tusomeshe..✌️🇹🇿
Well done bro you're doing good bro,Asante sana kwa maelezo mazuri sana sana.May God Bless you!
Broo,michongo ni mingi sana na unafafanuwa vizur kabisa,naomba unifanyie mpango nikilipwa unachikuwa chako na cha ziada kama shukrani Job yoyote ata bustani au usafi si unajua tena uku waafrica asa tulopigwa na maisha kama mm I swear to god nikiipata kazii ntahisi nimependelewa sana na Mungu.❤❤❤🙏🙏
Aisee ni hatali. Kuunga bendo na kuyatazama mapini yako aisee ni njia moja ya kuja malekani. Tokea ukunda PWANI ya Kenya bariida zaidi
malekani moyaaa😂😂
Respect xana kaka ## una moyo wa tofauti xana bro🤝🤝🤝
Always nakuamini brother,,una information safi sana hongera Kwa kutujuza vema sana
Hello bro, content iliyokwenda shule. Big up brother na shukrani sana kwa kutujuza mambo kibao kuhusu mamtoni. God bless you brother.
Thanks!!🙏🏾
@@jackwausa mimi naomba mawasiliano yako my brother sio kwa ubaya
Nimepends video sababbu unakwenda kwenye point so wale wanaongea lisaa kumbe point ni mbili, wewe umeongea fasta na mambo mengi kwa muda
Nina shangaa sana kuona wataliii wanapokuja Tanzania hawapendi kuvaa nguo ,tunaona video zote unazo tuonesha mitaa beach wamevanguo vizutu,
Iyi madini kweli.. pamoja sana Bro 5/5 G from 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Asante sana mze bb. Umefanya poa sana kuachia hiii video inayohusu njia za kuja uko kk.
Nakukubali Sana jack man more respect 🙏 #DRC 🇨🇩
Pamoja sana!
@@jackwausa man nifazi mchongo wakuja huko niko South Africa inatakiwa kiasi gani kya pesa
Hukosei Jack kuwapa watu elimu
I say wagwan au jaaa bless Jack da sante sana papa ku keep us manding us keep fighting
Wow.... Great content Brother umenifungua macho leo.....
Hello Jack
Hasante sana for the videos.
How can someone get sponsors in yues ? Or friends that are genuine ambao anaeza to support projects zetu huku nyumbani
Ubarikiwe sana brother kwa elimu hii
mnyamwezi kabisaaa.!.mnyamwezi mwenye brain yake nzuri iliyopangika vizuri,
🙏🏾✌🏾
Masha allah bro nimependa maelezo yako Allah akujalia,,, tunapambana kutafuta passport kisha mambo ya viza
Kweli unachosema siuongo hii ya wachumba na kazi nimezipenda
Asant sana jack twakupenda sana Mwenyezi Mungu akujalie kila la kheri sasa visa ni pesa ngapi na kazi za wanawake nazo kama za ndani naeza pata vip
Very good info!!! & you’re hair is so 😍😍
Thank you so much!😊
Kaka naomba mawsiliano yako
You are very Enlighten, I like how you easily explain things and your vlogs are very informative 👍 you have earned my subscription onto your channel. Keep it up we your viewers have known things we didn't know, Also your very bold and a go getter. But don't do tattoo on ur body n don't nose pieace. 🤧
Keep up the good work 👏 🙌 👍 👌 💪 "Am 🇰🇪 Kenyan "
Mashallah uko vizuri waelekeze wajue duh mie uko tu ndo sijafika Good endelea kuwaelewesha
Tunakipenda zaidi yako!vipi stendi kuu za marekani
Haaaa wabongo jamani
Jamaa nakuelewa sana nawafuatilia wengi ile ww zaidi yao sio mchoyo weka no best
Upo vizuri jembe
Thanks so much bro Jack u deliver good bro be blessed
Just Good waoo You Speak point 👉
Bora umekumbuka kuhus kuja kutoa video inayohusu Total cost ya kila ktu adi mtu ufke US....manake kuna bwna mmoja anaitwa D nyota anatuambia tumtumie millioon 9 na hatoi maelezo wala nn ye anakomaa tu tuma hela...By the way good job mzee kw kutupa muongozo
Yani swagz on mnyamaaaa … walaaah⚡️
Pamoja Sana kaka,natamani kufika us kakaangu.
Learning is relatively change in behaviour,,am Happy 4 experience u give us,God bless u
Asane
Uko juu sana brother
l am super excited my financial life has totally changed ever since I ventured into crypto market. Ive been earning over $12,000 every single week. Lol 😊
@Roberto sam As a newbie, investing in crypto will be the best for you, I know of a portfolio/ investment manager, Mrs Catalina trading services, an expert in trading and investments as you I know stress in trade, She manages my trade.
@Felicia Zidane Her availability is assured
WhatsApp>>>Messenger👇
Her analysis are so amazing. My first investment with her gave me a profit of over 25,800 dollars as beginner
Oh them scammers again 😂😂
I love your videos am from Kenya
Nice content
Nimekubali braza
Am your new subscriber,,maelezo yako sawa kabisa,big up bro,I'll check on you for more information about the visas etc.
Big up!!✌🏾
bro nicheki Whatsapp 0677434301 niko Tanzania 🇹🇿
Asante kutufunza njia yakwenda USA sasa bro huko mutu akijitayidi kufika huko malekani bilafamilia unakwenda ku jitafuta sasa nanta anja GONGEYA WAPI NANANi ndatakaye nikaribicha nakuniyelekeza nipejibu kaka
Naam! Mambo ni mazuri kwakweli
kuanzia DV LOTTERY 2024 wametoa kigezo cha passport katika application, ukishashinda ndipo utahitaj kua na passport kwenye interview
Big up kaka mtoto wa nyumbani Kila la heri broo mungu akulinde ni erico wa Kilimanjaro moshi
Asante sana bruh,big up sana
You are good person.
🙏🏾
sio ku like tu nimesha comment kabisa🤣😅🤣😅😅🤣🤣😂
Unaeleza vizuri Sana
Nakukubali sana, vipi huko kazi za galdeni zimekaaje zipo au hakuna
Big up brother 🙏
Naweza kupata vipi...kaka tuongee more about this, please
You’re soo smart and very intelligent 🪄
Pamoja
Jack vp kuhusu kuwa ajent wa watu tunaotaka kuja kupambania maisha huko,gud job bro.
Yan kati ya vitu naenjoy ni the way u talk brah daah jocks za kutosha alafu hauringi kunajamaa yetu yupo huko nae anafanya kama ww ila anakaza xana mpk anaboa ila God bless u bro inabidi ufanye kufungua kampuni yako itakayotusaidia tunaotaka kuja huko tupitie kwako kwanza tusihangaike
Thank you. I'll work on that, Stay safe and God bless you!
God bless u too brah I appreciate u 🙏
Habari bro vipi kuhusu Welcome Corp .itatoka lini phase 2 pia wewe ujaongelea hilo fanya uchambuzi kisha tujulishe bro
maelezo yako yako sawa kabisa
Umetisha
@Jack mfano nina visa tayari na professional yangu naweza kupata kazi ? na kinacho nipa guarantee ya kuwa mkazi wa huko na nipige kazi ni nini?
Asante Sana baba nice job
Hii ya kizaz sana nimeipenda
Jack uko poa sana unajua kuelezea
Enyewe bro nakusikiliza vizuri kabisaa bila tatizo lolote
Mashallah uko vzuri sana kakangu mm nimeshkuru niko Saudiarabia bt nlikua naomba kama kuna visa ya house girl nijue wanachukua na kama wanachukua contract ni miaka mingapi na salary ya huko kenya 🇰🇪 ni ngapi pa month nisaidie pls 🙏🙏🙏
Good ❤
❤️
Nakubali sana bro
Big time bro, umetisha
🙏🏾
Vizur sana bro salut sana
Kaka na kubali Sana unavyotupa mwanga was nchi za watu vip safari ya ndege Tanzania to America inakua how much
I want to visit America
Bro naona kabisa weye uko sawa kabisa
Keep going home boy
Mkn
Jack umetisha sana mimi natamani sana kuja huko marekani hivi ni viza ipi itakuwa ni rahisi kuipata na nikafika marekani bila utata tukiachana na hii ya bundle ile ya kupanda pipa na cost yake bei gani na vip process unaweza kuzifanya mwenyewe?
Kweli jack me nikiangalia video zako nahisi nishapanda mwewe
Kaka nakuelewa sana.
Thanks Jack kwa somo zuriii
Good,naomba uongelee hata mamb ya green card rotary,uanzie mwanzo ukishacheza mpaka utakapo shinda ,na requirements za kua nazo ukishinda
EBM anazo hizo video ashaeleza,sana
Upo sawa Sana bro
Bro nyengine piga uelezee kazi zinazopatikana kwa unskilled labour
😂😂😂
Mahitaji hayafanani bwana america sio hitaji la watu wengine.
Upo vizuriii sana
basi kuzuli mbinguni tunakoenda bila viza kwa kila vizazi 😂
Napenda vibe yako mwanangu
Jack bhana unachekesha sana demu anakukatia waya si unamlipua tuu
Mm sijasoma shule lkn nataka kuja kufanya kazi japo kazi zandani au kulea wazee jee nifanyeje
Kaka mm nataka unijukishe maswali ambayo wanauliza kwenye intariew na wanatumia vigezo gani ili upate visa ya seminary?
Mimi naitwa shukulu mwampamba natokea mkoa wa mbeya Tanzania natam kufika marekani
Brother nakukubali sana
Good broz
Tatizo sio kuja huko...tatizo 🤔🤔🤔michongo mwmba
Uko viziri kaka,somo linaeleweka sana
Mzee baba we kwenye huo mlolongo wa viza uko wapi?
Me naomba kuuliza viz umezitaja vizur na zina maerezo yake swari rangu ni hizo viza zinachukua mda gani mpaka uzipate?
Nimependa sana
Wewe binafsi ulienda USA kupitia visa gani..???
Mimi naitaji kujuwa galama shingala