WA ACHIENI WATU VIDEO OFFICIALY PASCHAL CASSIAN

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 11 ก.ย. 2024
  • #0688199370 #0766998994 #0788871769#

ความคิดเห็น • 789

  • @henrysizya239
    @henrysizya239 ปีที่แล้ว +58

    Endelea kuimba nyimbo nzuri kama hizi ambazo zinaendana na nyakati tulizonazo. Japo ni nyimbo ambazo wengi hawapendi huna budi kuendelea kuziimba kwani hata maandiko yanasema katika Zaburi 47:7
    "Maana Mungu ndiye mfalme wa dunia yote. Imbeni kwa akili."
    Usikatishwe tamaa mtumishi japo vita ya Kiroho ni kubwa Bwana yuko atakulinda na wabaya wote.

  • @PapaTheKingKenya
    @PapaTheKingKenya ปีที่แล้ว +93

    Nipeeni likes wale tunaelewa mtumishi

  • @akidaboy
    @akidaboy ปีที่แล้ว +296

    Tunae muelewa huyu naomben like zenu

  • @mestonisimzosha203
    @mestonisimzosha203 ปีที่แล้ว +4

    La nyimbo UMEIBORESHA VIZURI SAANAA mwishoni yaani Meseji imekolezwa na imekolea kwelikweli wasipo Badilika basi wataishi kwa tabu SAANAA Duniani.

  • @pelecymsemwa8107
    @pelecymsemwa8107 ปีที่แล้ว +5

    Mungu turehemu tumeacha kweli yako

  • @bulayankondo9459
    @bulayankondo9459 ปีที่แล้ว +8

    Mwimbaji wa nyimbo za injili:Wimbo wako unaowataja Manabii wa uongo ni mzuri sana. Pasua anga bila kuogopa!!

  • @reachglobal9939
    @reachglobal9939 ปีที่แล้ว +7

    Freemason waache ujinga waachie watu wamuabudu MUNGU wa Kweli katika Jina la YESU

  • @mestonisimzosha203
    @mestonisimzosha203 ปีที่แล้ว +5

    Sasa HAPA( KIAPO CHA DAMU) patakuwa hapatoshiii..Kiukweli Inabidi Tukuombeesaana MUNGU Alie kufanya kuwa rungu lake na upanga wake basi Akulinde kwa nguzo ya 🔥 Moto.

  • @simionbrandy101
    @simionbrandy101 ปีที่แล้ว +4

    Mimi nakuamini sana kaka jaman mwingne anaemwamini naomba 👍like

  • @manaseliberatus1347
    @manaseliberatus1347 ปีที่แล้ว +13

    Mwamposa, Joe Dav, Suguye, msibeze hiyo sauti ya Mungu waachieni watu wamwabudu Mungu wa kweli, nasikia kuwahurumia sana msipogeuka

  • @henrylukosy4908
    @henrylukosy4908 ปีที่แล้ว +14

    Waaaaaoooooooh barikiwaaa San
    Nimeongeaa nimemalizaaa__________. Siku zinakujaa Kila mwenye kusikiaa na sikiee aziache njia zake mbaya amrudiee BWANA
    Naana saa imefikaa. Hakika tupo mwishonii Barikiwaa sana MTUMISHI WA MUNGU PASCHAL CASSIANI

  • @annijulius4953
    @annijulius4953 ปีที่แล้ว +10

    Hii si sauti ya Pascal hii ni Sauti Ya Mungu Mwenyewe kupitia kinywa cha Pascal, nasikia mpaka kutetemeka.

  • @NyarikiDamah
    @NyarikiDamah 6 หลายเดือนก่อน +4

    Mungu Uko wapi shuka mwenyewe utuokoe😢😭😭😢🙏🙏🙏

  • @AishaIkhallah
    @AishaIkhallah 5 หลายเดือนก่อน +6

    Mimi ni muslim lkn huyu ndo nimemuelewa sana hii ndo bible inavosema sasa waachaneni na manabii wakristo wanataka hela hawoooo

  • @drdd774
    @drdd774 ปีที่แล้ว +8

    Nimekosa cha kuandika, HAKUNA AMBAYE HAJASIKIA KAZI UMEIFANYA KIKAMILIFU ITOSHE KUSEMA MUNGU AKUBARIKI SANA.

  • @Chekakidogo2
    @Chekakidogo2 ปีที่แล้ว +12

    Amen! saa imefika ya kuwaambia watu ukweli,ubarikiwe Mtumishi wa Mungu Paschal Cassian.

    • @upendokiza6061
      @upendokiza6061 ปีที่แล้ว

      Mungu ndo mtetezi wetu hao wanabii wa uongo watapigwa fimbo na Mungu wasipo tubu kwa kuwaibia watu na miujiza ya uongo. Hivi miujiza ndo itawapeleka mbinguni maana kila nafsi itaonja Mauti, ni vyema kutafari Wimbo huu wa mtumishi anaetumwa na Mugu. " mwinjilist Pascal Cassian, kweli wimbo huu utaokowa maelfu ya watu kwenye kizazi cha sasa. MUNGU AKUBARIKI, Amina!

  • @officialmubytz1076
    @officialmubytz1076 ปีที่แล้ว +2

    Ujumbe safiiii umenyookaaaa
    Ila hii ya kuigiza kwenye msalaba sijaielewa kwa kweli

    • @annabigael6942
      @annabigael6942 ปีที่แล้ว

      Mimi pia hapo kwa msalaba sielewe jameni?

  • @SafiAkinyi8361
    @SafiAkinyi8361 ปีที่แล้ว +36

    WOOOOOW NILIKUA NASUBILIA HIII ASANTE SANA MWINJILISTI WA MUNGU WEWE NI SHUJAA SANAA NA OMBI LANGU KWAKO NI USIACHE SONGA MBELE KABISAA MUNGU AKUTIE NGUVU NA AKUFUNIKE KWA DAMU YA MWANAE YESU KRISTO WANAZARET,BARIKIWA SANA BROTHER SONGA MBELE USIOGOPE MAANA ALIYE NDANI YAKO NI MKUU KULIKO ALIYE DUNIANI, ANEEEEEENA🙏🙏🙏🙏🙏

    • @janeth5378
      @janeth5378 ปีที่แล้ว +2

      Mungu was mbinguni anakulinda Sana anakazi na were songa mbele

    • @barakamasanja6728
      @barakamasanja6728 ปีที่แล้ว +1

      Ubarikiwe sana mtumishi wa MUNGU ALIE HAI

    • @mayamonabeatrice6823
      @mayamonabeatrice6823 ปีที่แล้ว +1

      Ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu🙏🏾🙏🏾

    • @johnbashiri6652
      @johnbashiri6652 ปีที่แล้ว

      Mungu ndio mwenye kujua ukweli maana sasa hivi makanisa mengi ni kama biashara kwaajili ya kujipatia mapato

    • @johnbashiri6652
      @johnbashiri6652 ปีที่แล้ว

      Mungu tusaidie makanisa ya Sasa mengi ni biashara

  • @oscanyakunga
    @oscanyakunga ปีที่แล้ว +10

    Roho mtakatifu atushindie kabisaa, Yesu nimwema kabisaa roho mtakatifu, nimwema

  • @veronicajohn1689
    @veronicajohn1689 ปีที่แล้ว +21

    Mungu Akutunze Akubariki sana Kwa nondo ya Ujumbe wenye Nguvu. Mungu atete na watesi wako na Damu ya Yesu ikufunike

  • @komandowainjiliyayesu
    @komandowainjiliyayesu ปีที่แล้ว +75

    MATHAYO 24:5 👉 kwa sababu wengi watakuja kwa jina langu,wakisema, Mimi ni kristo ;nao watadanganya wengi.Mathayo 24:11👉Na manabii wengi wa uongo watatokea , na kudanganya wengi.Mathayo 24:24✍️Kwamaana watatokea makristo wa uongo ,na manabii wa uongo, nao watatoa ishara kubwa na maajabu wapate kuwapoteza ,kama yamkini hatawalio wateule. 24👉Tanzania, nimekwisha kuwaonya mbele.

  • @jackyjacky2930
    @jackyjacky2930 ปีที่แล้ว +6

    Ata kama nmechelewa, Mungu akulinde na akupe ulinzi Wa kutosha

  • @graceedward1553
    @graceedward1553 ปีที่แล้ว +6

    Mmoja kati ya watu waliofunguliwa kiroho kupitia nyimbo zako ni Mimi hapa nimejifunza mengi kupitia nyimbo zako Mungu akutunze

  • @alicejumaa89
    @alicejumaa89 ปีที่แล้ว +5

    Ukweli unaouma... mtumishi tufungue macho

  • @odilomwemeziernest646
    @odilomwemeziernest646 ปีที่แล้ว +8

    Paschal nakuelewa sana,umejitoa kwa ajili ya Bwana

  • @isaackkimpanga3883
    @isaackkimpanga3883 ปีที่แล้ว +11

    Kwa hii industry nimejifunza hapa kwamba kuna wale wanao burudisha na kuna wale wanao hubiri huyu ndo
    Nyimbo kama hizi ndo zinatakiwa zihitwe gospel songs

    • @mbegagrayson123
      @mbegagrayson123 ปีที่แล้ว

      Baba mtumishi mungu akuimarishe katika huduma sema yooooooote katka kweli.

  • @emmanuelchengula6307
    @emmanuelchengula6307 ปีที่แล้ว +17

    Mungu amekuagiza uiambie Dunia ukweli, sema mtumishi wa Mungu, songa mbele, usisubiri Mungu alete mawe yaseme, timiza agizo alilokuagiza Mungu, tupo nyuma yako tunakuombea unamhubiri Mungu aliye hai, hakuna kupepesa macho wala kuchagua maneno, hiyo ndiyo tabia ya Mungu wa mbinguni, Nampenda Mungu, nakupenda kaka

  • @wallesmdoe9164
    @wallesmdoe9164 ปีที่แล้ว +6

    Paschal kiboko Yao manabii wanatetemeka sasa hebu weka like apo 👇👇👇

  • @EvalineKelvin-wg7up
    @EvalineKelvin-wg7up ปีที่แล้ว +5

    Nakupenda sana kaka nyimbo zako zinamafundisho mazuri sana God bless you 🙏

  • @themicbandforeveryone19997
    @themicbandforeveryone19997 ปีที่แล้ว +6

    Uyu bwana ndie alikua Aki kuandikia baati bukuku 100%

  • @wivinemuderwa1874
    @wivinemuderwa1874 7 หลายเดือนก่อน +6

    Yesu aku tie nguvu mutumishi kwa ukweli ita baki kweli .hukumu ina kuja juyawo bwana akuviki nguvu

  • @eliachalamila2259
    @eliachalamila2259 ปีที่แล้ว +6

    Uko sahihi mtumishi, hawa Geordavie, Mwamposa, kuhani Musa na wengine wengi tu ( megachurches) ni matapeli sana.

  • @farajamsigwa4002
    @farajamsigwa4002 ปีที่แล้ว +11

    Barikiwa sanaaaa kaka pascal kwa huduma njema mungu akutunze uendelee kuinena kweliii yake yesuuuu kristo

  • @lizjoro8902
    @lizjoro8902 ปีที่แล้ว +7

    Mungu Ahimidiwe maana anapaswa kushuhudiwa, walio na mwana walie na Ushuhuda.

  • @SaimonDavid-li5yq
    @SaimonDavid-li5yq 5 หลายเดือนก่อน +6

    MUNGU akuongee ulinz siku zote uwong hauta Kaa mbele ya ukwel hata siku moja

  • @patricknyamkora1419
    @patricknyamkora1419 ปีที่แล้ว +4

    Mungu akuwekee ulinzi zaid

  • @fredrickngwalolela3889
    @fredrickngwalolela3889 ปีที่แล้ว +26

    Mungu akutie nguvu mtumishi wa Mungu,na akulinde na maadui wako wote, 🙏🏾🙏🏾

  • @user-ml3eo8gx6k
    @user-ml3eo8gx6k 6 หลายเดือนก่อน +4

    Saaaaa imefika ya kumuabudu Mungu ktk roho na kwel

  • @ecaemanga618
    @ecaemanga618 ปีที่แล้ว +7

    Hapa Nime kubali Injili ya Kweli kwa kweli watu wame potoshwa sana
    Miujiza Isio na Chembe za utakatifu
    Unarikiwe sana Mtumishi.

  • @Davidfaith845
    @Davidfaith845 ปีที่แล้ว +11

    Ubarikiwe sana mwijilisti kweli wimbo wako huna ujumbe mkuu sana mungu akubariki sana ❤❤

  • @justerkamala3933
    @justerkamala3933 ปีที่แล้ว +5

    Sema mtumishi wa Mungu hali nitata ,Mungu akutangulie ktk vita ya kutangaza injili ya kweli

  • @geofleyfreenwelluka
    @geofleyfreenwelluka ปีที่แล้ว +7

    Mungu akulinde mtumishi wa mungu akupe uwezo wa kusema vingine sema kila kona Mungu yu pamoja nawewe usiogope mutu mungu akubaliki sana amen amen

  • @kivurugaathuman2694
    @kivurugaathuman2694 ปีที่แล้ว +7

    Mungu akubariki kwa ujumbe Mzuri.

    • @faustinbimpa
      @faustinbimpa ปีที่แล้ว

      Mungu endeleye ku kupatia mafikara ya kwendesha ujumbe yako mbele

  • @omanss268
    @omanss268 ปีที่แล้ว +6

    Mungu akutie nguvu mutumishi songambele Mungu akuzingile Kwa wigo wake

  • @ngendakuriyotriphose8109
    @ngendakuriyotriphose8109 ปีที่แล้ว +5

    Mungu akulinde mtumishi. Endelea kupasuwa jipu.

  • @sarasiame8904
    @sarasiame8904 ปีที่แล้ว +3

    Katikati ya kizazi chenye kuinuka kwa mitume na manabii wa shetani,Mungu nae anainua watu wake,Kama unatamani injili ya kweli kuhubiriwa Basi usiache kumuombea hyu mtumishi wa Mungu😩🙏🙇🙌🙌🙌🙌

  • @pelusiemanueli6926
    @pelusiemanueli6926 ปีที่แล้ว +3

    Mwamba uyu hapa nampenda San ubalikiwe San mtumishi

  • @ElipendoElias-no6ki
    @ElipendoElias-no6ki ปีที่แล้ว +5

    Mimi ck hizi,huyu ndio mchungaj wangu,kwanza ck nicpoona ujumbe wake hapa moyo wangu husononeka sana,Namuombea Mungu amlinde na vita anazopitia,hakika Mungu Yu pamoja nae

  • @bahatmasawe1959
    @bahatmasawe1959 4 หลายเดือนก่อน +4

    Kusema kweli kama hivi inagharama anahitaji kumwombea sana huyu Mungu azidi kumtunza

  • @nehemiahdieumerci5626
    @nehemiahdieumerci5626 ปีที่แล้ว +11

    Congratulations my brother. Mungu ni ukweli, ni lazima tuteteye UKWELI wa kila kitu mpaka mwisho.
    Mungu akubariki.

  • @lydiamsafiri9613
    @lydiamsafiri9613 ปีที่แล้ว +9

    Amina sana Mtumishi,Mungu wa kweli aabudiwe

  • @pamamwoyaofficiel9770
    @pamamwoyaofficiel9770 ปีที่แล้ว +34

    Iyi wimbo ni mahubiri , vraiment c'est une évangile que le Bon DIEU te bénisse 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩

  • @elikanalebwanga2001
    @elikanalebwanga2001 ปีที่แล้ว +4

    Mungu akubariki sana Mtumishi pigania sana wito wa mungu unaokowa wengi sana lakn usiogope vikwazo siyo wote wanakupenda

  • @emelysilingi201
    @emelysilingi201 ปีที่แล้ว +3

    Napenda sana hiyo msg

  • @gracekayandakayanda3428
    @gracekayandakayanda3428 ปีที่แล้ว +4

    We baba sijuiw niseme nini kwamahan nyimbo zako aisee 🙏🤲🤲🤲 zinanifanya nijuiw kweli Mungu yupo nilio pítia Sitaweza sahau Eeeh Mungu wangu 🙆 nikubuke Sasa namimi😭😭😭😭😍

  • @harrietkiden7808
    @harrietkiden7808 ปีที่แล้ว +7

    Hongera sana Mtumishi wa Mungu 👏🏼👏🏼👏🏼👍🏼

  • @ekiliangoliga644
    @ekiliangoliga644 5 หลายเดือนก่อน +5

    Watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa

  • @user-di6gq1qi6w
    @user-di6gq1qi6w 6 หลายเดือนก่อน +4

    Asate sana baba ubarikiwe sisi wa Moja tumepoteya

  • @issacksanga9617
    @issacksanga9617 ปีที่แล้ว +3

    Hi injili wengi wanaipinga. Hawajuwi kutofautisha. Tuashunguze maandiko yohana 1;4

  • @SudaNyalupagi
    @SudaNyalupagi 5 หลายเดือนก่อน +4

    Ukwel utabaki ukwel tu,ubarikiwe mtumishi

  • @dadmam8334
    @dadmam8334 ปีที่แล้ว +7

    Akufiche zaidi mtumishi wa Mungu, asante kwa mahubiri ya ukweli kabsa..

  • @user-yo3ff4qj7z
    @user-yo3ff4qj7z 2 หลายเดือนก่อน +4

    Nakuelewa mno watu wangu wanapotea kwa kukosa maarifa

  • @hendrylema5640
    @hendrylema5640 2 หลายเดือนก่อน +4

    Wimbo huu nausikiliza mara kwa mara naupenda

  • @godwinchristian5252
    @godwinchristian5252 ปีที่แล้ว +5

    Ujumbe umeshafika injili ya kitapeli ndio inafanya watu washindwe kumjua Mungu wa kweli na utendaji wake wa kazi, imagine eti mafuta ya upako, chupi, boxer, ndala, nowadays mpaka kondomu za upako zipo imagine. Huu ni utumwa kama wa mkononi tu hakuna tena ukweli kweli imebakia kwa wale wanaomjua Yesu wa kweli. Barikiwa sana Mtumishi wa Mungu kazi safiiiiiiiii💥

  • @veronicawilson4263
    @veronicawilson4263 ปีที่แล้ว +13

    Ubarikiwe Mtumishi songa mbele MUNGU akutie nguvu 💪

  • @Heri-k3v
    @Heri-k3v 7 หลายเดือนก่อน +3

    Bahati nzuri anawasihi watu kurudi katka NENO la MUNGU kama mnaona anachokosoa hayupo sawa basi someni neno la MUNGU basi kama na lenyewe basi

  • @issackkambona9348
    @issackkambona9348 ปีที่แล้ว +2

    Hakika mungu ata baki kuwa mungu injili kama hii hadimu hata kama wengi wata kataa lakini ukweli upo wazi

  • @grantonmwandawa4559
    @grantonmwandawa4559 ปีที่แล้ว +10

    Nyimbo nzuri sana Mungu azidi kukupa ufunuo zaidi.....Akulinde na Wabaya wako...Amen

  • @loymolly8401
    @loymolly8401 ปีที่แล้ว +10

    Whueh! All I can say is Amina!!

  • @abushilimichael9777
    @abushilimichael9777 ปีที่แล้ว +3

    Amina mwenyezi Mungu awe nawe mtumishi

  • @reachglobal9939
    @reachglobal9939 ปีที่แล้ว +5

    Kikubwa Hawa manabii wauwongo unashangaa Kama wananguvu ya MUNGU kuombea watu Hadi mapepo yanatoka wanapona magonjwa wanashindwaje kuombea watu Kujazwa Roho Mtakatifu?hapo ndyo utagundua watumishi wa mchongo

    • @gracempilimi6409
      @gracempilimi6409 ปีที่แล้ว

      Mungu akutue nguvu. Ktk kutenda kazi yake hapa duniani. Shetani ameuteka ulimwengu kupitia miujiza na watu hatutambui uwepo wa Mungu tena zaidi ya manabii. Mungu tuhurumie.

  • @raphaelmalema8370
    @raphaelmalema8370 ปีที่แล้ว +3

    Wanena vema KRISTO YESU BWANA MUNGU MKUU awenawe AKULINDE

  • @sikitunathing9429
    @sikitunathing9429 ปีที่แล้ว +2

    Watu awasikiaki atauwaambie je papa, watu walishaka kuwa vipofu awaonaki tena wala kutafakari juu ya vitu ambavio viko naonekana wazi, Mungu awasaidie kabisa

  • @eliamanirakiza5127
    @eliamanirakiza5127 8 หลายเดือนก่อน +3

    Ubarikiwe sana mtumishi.Ni kweli kabisa jina la Yesu limejitoshereza.Ongea ukweli mtumishi.Biblia inasema itanifaa nini nipate yote ya dunia nikose mbingu!Twenzetu mbinguni

  • @FarajaDeogratias2019
    @FarajaDeogratias2019 ปีที่แล้ว +2

    Uhhhhhmmmmm, this is deeeeeep. Ujumbe mzito mno, sauti kutoka nyikani kabisa. Barikiwa kaka 🙏🏼🔥

  • @sharonetsisiche5184
    @sharonetsisiche5184 ปีที่แล้ว +5

    BWANA MUNGU na ukutumie zaidi,,yaani sichoki kuskiza hii wimbo,,na machozi yakinidondoka,,,hakika BWANA YESU na akutumie zaidiiii,uwambie watu ukweli na kweli iwaweke huru,🙏🙏🙏

  • @atupakisyesengo7432
    @atupakisyesengo7432 ปีที่แล้ว +7

    Ubarikiwe sanaa mtumishi MUNGU akulinde Akupe maisha marefu Uishi mpaka kusudi lake litimie

  • @CarlomushidKavul-yc5qs
    @CarlomushidKavul-yc5qs ปีที่แล้ว +4

    Yesu asifiwe mimi APA Kolwezi 🇨🇩

  • @samwelnyakamoro8388
    @samwelnyakamoro8388 ปีที่แล้ว +6

    Mungu akulinde sana mtumishi kazi yako njema sana

  • @estardavid
    @estardavid ปีที่แล้ว +6

    Mungu,samehe Baba wape kusikia,tupe kusikia.😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭

  • @ElibarikiNMusa
    @ElibarikiNMusa ปีที่แล้ว +6

    kweli huyu mtumishi nampenda mno natama nifanye huduma nayy hata wimbo mmoja tu

  • @dismaskamanzi2365
    @dismaskamanzi2365 ปีที่แล้ว +4

    Lesson is here..Waache kukaza ubongo 🔥🔥🔥🙏🙏

  • @MeshakiShija-mz5mw
    @MeshakiShija-mz5mw 4 หลายเดือนก่อน +3

    Jamaa ameokoka salut kwake amewachana manabii wa uongo

  • @Esther-Bri
    @Esther-Bri ปีที่แล้ว +5

    Woow! Finally he has done it again, MUNGU ni Mwema Tunashukuru, Mwinjilist usipanduke simama imara kwa ukweli kutoka kwa MUNGU wetu aliye Hai, Barikiwa Sana

  • @jeanefelix70
    @jeanefelix70 ปีที่แล้ว +4

    Ubarikiwe sana mtumishi wa Bwana.
    Watu wanao ipinga kweli Mungu anawaletea nguvu ya upotevu ili waukumiwe wote siku ya mwisho.

  • @barakaelias1116
    @barakaelias1116 ปีที่แล้ว +9

    Barikiwa sana Mtumishi mwinjirist MUNGU Akulinde na familiar yako huzun kubwa 😭😭😭😭😭

  • @gracekayandakayanda3428
    @gracekayandakayanda3428 ปีที่แล้ว +5

    Cjuiw kwanini Mozambique amufik Ijili ya sehem moja kwanini mchungaji tangaza Injili mataifa na mataifa Karibu Mozambque Uku bado watu awajuw Injili Ya Mungu🙏🙏🙏🙏

  • @esthelamonica7022
    @esthelamonica7022 ปีที่แล้ว +5

    MUNGU akubariki sana mtumishi wa Mungu nyumbo zako zinatuubiri

  • @barakadieudonne
    @barakadieudonne ปีที่แล้ว +9

    Amen Amen 🙏 ubarikiwe sana mtumishi wa MUNGU 😭

  • @اماحمد-ض4ه
    @اماحمد-ض4ه ปีที่แล้ว +5

    Barikiwa mtumishi Bwana awenawe

  • @velmahrukia1558
    @velmahrukia1558 ปีที่แล้ว +5

    God bless u God has been using u but pple thy are blind GOD lift you up ad spread the gospel of God

  • @isayasangija8587
    @isayasangija8587 ปีที่แล้ว +6

    Mungu azidi kuku tunza mtumishi kwahiyo hari hakuna atakae kupenda ira Mungu tu ndie mtetezi wa haki 🙏🙏🇹🇿🇹🇿🇹🇿🔥🔥

  • @barakaabery
    @barakaabery ปีที่แล้ว +6

    Mungu akulinde kakangu maaana watu wamepotea .....naungana nawewe Kaka kusema kwer ya mungu,,,,,,kwamaaan itanifaanini kuyathani maisha yangu na kumbe maelfu wanapotea najitahidi kutumikia mungu japo ni Vita kubwa najua mungu atatulipa hata pasipo mwili huuuuuu,,,,,,,,, ubarikiwe

  • @kacheniernest2644
    @kacheniernest2644 ปีที่แล้ว +2

    Mwamba huyu hapa nakupenda Bure ndio maana hukufa ili tuzidi kupata gospel ambayo haijachakachulika ambayo haijagoshiwa siyo ya kubana pua kama tunatafta vipaji bari ni yakuskiliza na kupokea uponyo wa myoyo casian ilove u kutoka kwenye kilindi Cha moyo wangu

  • @AYOUBMEDIA1
    @AYOUBMEDIA1 ปีที่แล้ว +1

    Mungu aendelee kukutumia mtumishi waambie maan tumechoka na mafuta yao

  • @tujuaneasani1685
    @tujuaneasani1685 ปีที่แล้ว +2

    Amena mtumishi ubarikiwe sana

  • @queendeeofficial9810
    @queendeeofficial9810 ปีที่แล้ว +2

    Amina Amina ujumbe mkweli mtupu Mungu akuangazie mema

  • @Vivituma
    @Vivituma ปีที่แล้ว +5

    Mungu atusaidie kwa maana bila nguvu zake atuwezi hata 😭

  • @elizabethnamwinga3210
    @elizabethnamwinga3210 ปีที่แล้ว +5

    Barikiwa mtumishi wa mungu songs mbele bwana akutie nguvu

  • @amigopraia8674
    @amigopraia8674 ปีที่แล้ว +8

    Deus te abençoe irmão continuem cantando boas músicas bem vindo em Moçambique 🇲🇿🙏🏼🙏🏼🇲🇿🇲🇿