We auoni unazid kushuka kama ulikua mbunge wa A.Mashariki tena ulikua unalipwa mara 3 ya mshahara wa mbunge wa bunge la Tz,Ukashuka ukawa wa mbunge wa kyela,Kinachofuata ungeomba udiwani ukamalizia.
Umenuna mzee Mambo hayo kwakweli mwkyembe ulinikosea kwakifupisha habari za magazetini eti wakisoma kwaurefu hawata uza naww umeuzwa Asante mungu wakuda wore myakiona chamtemakuni
Sijajua kuna laana gani kyela tunawasomi wengi lakini hawana msaada na wilaya yao sijui ndio kulogwaaa? Hawakumbuki nyumbani kwao, hongera kinanasi tunaujua upendo wako kwa wana kyela wako piga kazi,kwako hatujaona dharau nawashukuru kwa wajumbe mliomchagua kinanasi.
Kiukweli nimefurahi sana kuona Mwakyembe kapigwa chini kiukweli hana uadilifu hata kidogo. Ametawala Kyela miongo mingi sana lkn hamna Cha maana sana alichokifanya
Kwel aiseee mungu ampe nguvu kinanasi... 🙏 katika kuakikishaaa jimbo la kyela linaendelea.. katika kila sector na ndo maana chama tawala kikamuamin katika kura za maoni... AMEN
Huu ni wakati wa kuwaadhibu bila huruma wale wabunge ambao hawaonekani majimboni kwao, yani wengine lazima uulize ni mbunge wa wapi kwa sababu kila siku yupo Dar au kwenye vyombo vya habari
Nimesikiliza kama mara kumi ivi, na bado mzee wa busara leo sijamuelewa. Lo, kweli watu wengine huenda wanaandikiwaga hotuba zao. Ulikuwa umesiba eeh, yule jamaa kashaidaka hiyo. Na utatapika hiyo shibe yako🤣🤣🤣. Anko akikamata mic wiki hii ama ijao, lazima atatuua mbavu raia wake.🤣🤣🤣
Magufuli embu tuma timu yako imchunguze Mwakyembe anakihujumu chama Cha mapinduzi Kyela kwakumhujumu mgombea aliyepo Ally Mlaghila kupitia CCM ili apoteze Jimbo aonekane yeye nibora anamfadhili mgombea ubunge kupitia Chadema wilaya yakyela
Pumzika tu mzee huna jipya tena! Huwezi kuwafanya wanakyela wajinga kwa muda wote huo waliokuvumilia, uwe na aibu pia.. Ulile kako, inatosha si ulikuja umeshiba na ukaendelea kushibishwa lkn sasa umeonyeshwa kwamba siyo wajinga sisi...
Unaweza zani ccm wote wapo kwa magufuli kumbe niwanamtaka lissu au membe Mapya yazuka kuhusu barua ya makonda kwa magufuli th-cam.com/video/W-JsBjNmG4w/w-d-xo.html
Kumbe huyu mponea kifo cha kuwekewa sumu anajeuzi sana kwa watu wa kyela.Asidhani wa Tz wajinga kwa kuona hatutomfaham na misali yake ya kikwembe kwembe eti ooh mimi nimesoma hatishwi na mshamba mwenye kuishia darasa la saba ! ☻☻☻☻☻☻☻.
Unaweza zani ccm wote wapo kwa magufuli kumbe niwanamtaka lissu au membe Mapya yazuka kuhusu barua ya makonda kwa magufuli th-cam.com/video/W-JsBjNmG4w/w-d-xo.html
Unaweza zani ccm wote wapo kwa magufuli kumbe niwanamtaka lissu au membe Mapya yazuka kuhusu barua ya makonda kwa magufuli th-cam.com/video/W-JsBjNmG4w/w-d-xo.html
Unaweza zani ccm wote wapo kwa magufuli kumbe niwanamtaka lissu au membe Mapya yazuka kuhusu barua ya makonda kwa magufuli th-cam.com/video/W-JsBjNmG4w/w-d-xo.html
Unaweza zani ccm wote wapo kwa magufuli kumbe niwanamtaka lissu au membe Mapya yazuka kuhusu barua ya makonda kwa magufuli th-cam.com/video/W-JsBjNmG4w/w-d-xo.html
Unaweza zani ccm wote wapo kwa magufuli kumbe niwanamtaka lissu au membe Mapya yazuka kuhusu barua ya makonda kwa magufuli th-cam.com/video/W-JsBjNmG4w/w-d-xo.html
Tuchunge ndimi zetu,nilikuja kyela nikiwa nimeshiba! Wana kyela wameamua Kwa Neno Lako LA dharau. 0
😀😀😀 wamembidua na mwanawe makonda 😀😀😀 watu noma sana. Seanson 2 inaendelea 😀😀😀
Ulikua umeshiba siyo, kwa maneno hayo Magufuli hawezi kukupitisha. Kuwa mnyenyekevu Kama Mwigulu Nchemba
Dharau zako mzee, mambo ya darasa la saba na kushiba kwako wkt wapiga kura hawajawahi kushiba, ndilo anguko lako!
Sasa mbona unalilia bado madaraka mheshimiwa wachie nawengne washibe hahaahahahahaaaa kyela yetu hongera kwa mabadiliko
Mbombo ngafu mwaisumo
Hana social awareness....hilo neno tayar ni 0 kwana anae gombea nao wana njaaa
Njakysa wana vibuli na kujiona wame somaa Sana'a nenda kalime sasa na mjomba magu ana kutoa uwaziri.
Wanyakyusa wa kyela ndio wana nyodo sio wote
We auoni unazid kushuka kama ulikua mbunge wa A.Mashariki tena ulikua unalipwa mara 3 ya mshahara wa mbunge wa bunge la Tz,Ukashuka ukawa wa mbunge wa kyela,Kinachofuata ungeomba udiwani ukamalizia.
Unaweza ukawa na degree lakini mbumbumbu hata kujielezea shida
Explain five factors for the fall of Mwakyembe Empire (20% marks).
@@lubatikoseme6613 good!!!
1.Selfishness 2. Lack of intelligence.
3. Lack of awareness 4.Not honesty 5.irresponsibility due to poor speech
Unaweza ukashiba pia ukapata hamu maisha ayaji na maelekesho
Kwa mtaji huu ndipo tunapoitafakari vyema dhana ya kusoma na kuelimika
Pole baba
Tatizo limeanzia hapa
Mwakyembe acha hasira!!
Umenuna mzee Mambo hayo kwakweli mwkyembe ulinikosea kwakifupisha habari za magazetini eti wakisoma kwaurefu hawata uza naww umeuzwa Asante mungu wakuda wore myakiona chamtemakuni
Tabia mbaya hiyo mzee wetu sio maneno mazuri
kawakera wanakyela kavuna alichopanda haaaaa eti alikuja ameshiba aliekushibisha ninani ni mabeberu au ni watanzania pmj na wana kyela
Nyodo imekuponza.. ilikuwa umeshiba eh
Mmmmmm jamani, anaongea maneno ya dharau
Mzee umepaniki ,hao ndo wajumbe sasa .pumnzikaaaaaa!!!!!
Wajumbe wa halmashauli wanafiki wanangata hku na kule
Mwakyembe pumzka sasa waachie na wakina njolo sasa
Sijajua kuna laana gani kyela tunawasomi wengi lakini hawana msaada na wilaya yao sijui ndio kulogwaaa? Hawakumbuki nyumbani kwao, hongera kinanasi tunaujua upendo wako kwa wana kyela wako piga kazi,kwako hatujaona dharau nawashukuru kwa wajumbe mliomchagua kinanasi.
Tuko pamoja malafyale
Kiukweli nimefurahi sana kuona Mwakyembe kapigwa chini kiukweli hana uadilifu hata kidogo.
Ametawala Kyela miongo mingi sana lkn hamna Cha maana sana alichokifanya
Kwel aiseee mungu ampe nguvu kinanasi... 🙏 katika kuakikishaaa jimbo la kyela linaendelea.. katika kila sector na ndo maana chama tawala kikamuamin katika kura za maoni... AMEN
Huu ni wakati wa kuwaadhibu bila huruma wale wabunge ambao hawaonekani majimboni kwao, yani wengine lazima uulize ni mbunge wa wapi kwa sababu kila siku yupo Dar au kwenye vyombo vya habari
Madaraka ya kulevya ayo mzee aya sasa angalia sasa rawama izo
Tatizo la kuhesabu hadharani😂😂😂
😁😁😁 ko saiz shibe imeisha
Mwakyembe hajavunja makundi wilaya yakyela ili mgombea aliyepo akose Ubunge
Kama una kila kitu mbona huwaachii vijana wasio na kitu? Kwa heshima yako utapewa hata ubalozi
Nimesikiliza kama mara kumi ivi, na bado mzee wa busara leo sijamuelewa. Lo, kweli watu wengine huenda wanaandikiwaga hotuba zao. Ulikuwa umesiba eeh, yule jamaa kashaidaka hiyo. Na utatapika hiyo shibe yako🤣🤣🤣. Anko akikamata mic wiki hii ama ijao, lazima atatuua mbavu raia wake.🤣🤣🤣
Duhhhhuuu
Sasa ulikuja kuchukua nn
Mukimpa ubunge huyo jamaa nitawaona wajinga sana coz ana maneno ya kifedhuli
Kumbe ndo maana😁😁😁
Degree 4
Magufuli embu tuma timu yako imchunguze Mwakyembe anakihujumu chama Cha mapinduzi Kyela kwakumhujumu mgombea aliyepo Ally Mlaghila kupitia CCM ili apoteze Jimbo aonekane yeye nibora anamfadhili mgombea ubunge kupitia Chadema wilaya yakyela
Hhh mh.
Twa mbombo. Ungonile mwana fyaree. Mpa i spoon.
Hapa ndipo alipoakosea 😁😁😁😁
Amepaniki ....SAA itakuaje
Anaznguliwa....wachukue wengne wenye busara
Baada ya hapo kapigwa chini
Alile kako
Imekula kwako
Kumbe mzee ulilikoroga mwnyw🤣🤣🤣🤣
Weeee usiseme hayo atachukua treni yake ujue usafiri ni shidaaaa.
@@hjlpoi8739 🤣🤣🤣🤣
Laana iyo toka
Pumzika tu mzee huna jipya tena!
Huwezi kuwafanya wanakyela wajinga kwa muda wote huo waliokuvumilia, uwe na aibu pia..
Ulile kako, inatosha si ulikuja umeshiba na ukaendelea kushibishwa lkn sasa umeonyeshwa kwamba siyo wajinga sisi...
Unaweza zani ccm wote wapo kwa magufuli kumbe niwanamtaka lissu au membe
Mapya yazuka kuhusu barua ya makonda kwa magufuli
th-cam.com/video/W-JsBjNmG4w/w-d-xo.html
Kinanasi mjingoni
Piga keleleeeeeee
Dudu Baya, pewa whisky leo
🤣🤣🤣
Kapigwa chini mzeee aibuu!
Nan kapta
Akafie mbele huko arudi kukule bunge la Africa mashariki
😂😂😂😂
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Kapaniki
Wamemjinjaaa
Kumbe huyu mponea kifo cha kuwekewa sumu anajeuzi sana kwa watu wa kyela.Asidhani wa Tz wajinga kwa kuona hatutomfaham na misali yake ya kikwembe kwembe eti ooh mimi nimesoma hatishwi na mshamba mwenye kuishia darasa la saba ! ☻☻☻☻☻☻☻.
Nkurunziza
baden bensoni nkurunziza kaingiaje hapa .akina mseveni ,Mugabe,kagame Ali bongo hujui historian yso acha kukaririshwa
Ujinga wa mjumbe akishakula hela hata atukanwe huwa hakomi, hizi ni dharau
Mwakyembe kwa heri
Madaraka matamu jaman tatizo mkipata wajumbe mnawadharau
Bovu lilimtoka
Eeeeeee be
Nyie kiela siyo watu wa zur hahah
Minadhani usomi nikwafaida yamtu nafamilya yake ndowasomi wasio takiwa kwenye uwongozi Kama hawa
😂😂😂😂
Unaweza zani ccm wote wapo kwa magufuli kumbe niwanamtaka lissu au membe
Mapya yazuka kuhusu barua ya makonda kwa magufuli
th-cam.com/video/W-JsBjNmG4w/w-d-xo.html
Unaweza zani ccm wote wapo kwa magufuli kumbe niwanamtaka lissu au membe
Mapya yazuka kuhusu barua ya makonda kwa magufuli
th-cam.com/video/W-JsBjNmG4w/w-d-xo.html
Unaweza zani ccm wote wapo kwa magufuli kumbe niwanamtaka lissu au membe
Mapya yazuka kuhusu barua ya makonda kwa magufuli
th-cam.com/video/W-JsBjNmG4w/w-d-xo.html
Unaweza zani ccm wote wapo kwa magufuli kumbe niwanamtaka lissu au membe
Mapya yazuka kuhusu barua ya makonda kwa magufuli
th-cam.com/video/W-JsBjNmG4w/w-d-xo.html
Unaweza zani ccm wote wapo kwa magufuli kumbe niwanamtaka lissu au membe
Mapya yazuka kuhusu barua ya makonda kwa magufuli
th-cam.com/video/W-JsBjNmG4w/w-d-xo.html