RECAP: ALIKIBA, DIAMOND, HARMONIZE COLLABO INAKUJA?? MAPUNGUFU POA YA NANDY NA MAUA SAMA, UPENDO TU

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 4 ก.ค. 2024
  • Bongo5 is a dedicated to creating the best content for you, our audience!
    We hope you enjoyed this video, and ask you to please like & subscribe to our channel if you haven't yet. Have you had a great experience with our channel? Let us know in the comments below!
    #entertainment #news #music #funny
  • บันเทิง

ความคิดเห็น • 19

  • @christiancuma6146
    @christiancuma6146 11 วันที่ผ่านมา +5

    Bro. Mbona hauja fanya Recap juu ya studio na vipindi za Crown media? Love from Congo

    • @ISSASHABANI-sw7lx
      @ISSASHABANI-sw7lx 11 วันที่ผ่านมา

      Kwa nini asiemde yeye kwanza kimataifa mbwa huyu kwani yeye hafai kwenda huko kimataifa

    • @WendoJuma
      @WendoJuma 11 วันที่ผ่านมา

      Kweli kabisa..jamaa mnafki sana

    • @mustafamsati9599
      @mustafamsati9599 11 วันที่ผ่านมา

      Mi nishamsona hivi ushawai kuona anatoa mapungufu wimbo hata wa msanii mmoja wa wcb ? Hata aimbe hovyo

  • @furahachuma9039
    @furahachuma9039 11 วันที่ผ่านมา +1

    Huku kila siku nilikutoa nilikutoa nilikutoa nilikutoa Haaaaaa

  • @mustafamsati9599
    @mustafamsati9599 11 วันที่ผ่านมา +2

    Mapungufu yanakuaga kwenye nyimbo ambazo sio za WCB tu hahaha yan hata huna aibu et upendo wakati roho inakuima

    • @furahachuma9039
      @furahachuma9039 11 วันที่ผ่านมา +1

      Huyu huwa ni chawa kindakindaki wa WCB

    • @SharafiPanjoro-mg9uw
      @SharafiPanjoro-mg9uw 11 วันที่ผ่านมา +1

      umeona eeeh huyu jamaaaa mapungufu Anaona nyimbo nje na wcb tu huyu jamaaa sijui yukoje

  • @frankngoloka5416
    @frankngoloka5416 12 วันที่ผ่านมา

    Wabongo atupendani

  • @IssaIssa-wc6nm
    @IssaIssa-wc6nm 11 วันที่ผ่านมา

    Kulilia kolabo zakimkakati tu ... Kusapoti wasanii waendembele aaaah utaki

  • @user-gz4qb9wz3d
    @user-gz4qb9wz3d 11 วันที่ผ่านมา

    Nadhani unaota ndoto ya mchana sana ww hakuna kolabo apo

  • @mrsinia3064
    @mrsinia3064 9 วันที่ผ่านมา

    Wasanii wetu kufanya collabo inawezekana ila shida huwa inakuja pale je, nani atakuwa mstari wa mbele kumfata mwenzie kuomba collabo? Tatzo liko hapo bwana Armando 🙄

  • @ankalmzito254
    @ankalmzito254 11 วันที่ผ่านมา

    Hapo kwenye Alikiba na Diamond daaaahh hatari....

  • @imanuelnguya9277
    @imanuelnguya9277 12 วันที่ผ่านมา

    Asante sana mchambuzi wetu umeongea vzr sana kweli wasanii wetu wawe wamoja

    • @mustafamsati9599
      @mustafamsati9599 11 วันที่ผ่านมา

      Kwaza yeye mwenyewe hana upendo na wasanii hivi nikuulize umesshawai kuona anatoa mapungufu wimbo wa hata uwe wa kucoppy ila ni kutoka wcb?manguf ni kaz ni kwenyekaz Za wasanii ambao sio anaowapenda tu je yupo fea? Huyo mtu ni chawa tu hana lolote anakatisha tamaa wasanii

  • @OnlyRuky
    @OnlyRuky 12 วันที่ผ่านมา

    Nani kakudanganya King na Dainamoo ni jambo la kibiashara?

  • @dicksontimotheo7617
    @dicksontimotheo7617 11 วันที่ผ่านมา

    Acha ujinga fanya recap ya vipindi crownfm mana ww ulisemaga kiba hana uwezo wa kusimamia media....ebu tufanyie recap tuone

    • @furahachuma9039
      @furahachuma9039 11 วันที่ผ่านมา +1

      Hawezi, ni wivu tu unamsumbua huyu mtangazaji.

    • @dicksontimotheo7617
      @dicksontimotheo7617 11 วันที่ผ่านมา

      @@furahachuma9039 alikiba kawasprize sana hawaamini wanachokiona asaivi naona watangazaji wengi wanatamani kwenda crown mana naskia wasafi pale wananyanyaswa sana na familia ya boss hawana uhuru