HARMONIZE AFAFANUA VIJEMBE ANAVYOMPIGA DIAMOND, “USINISEME TU NIKISTAHILI UNISIFIE PIA, SINA UKARIBU

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 28 ส.ค. 2024

ความคิดเห็น • 80

  • @kelvinbeckson7554
    @kelvinbeckson7554 หลายเดือนก่อน +20

    any one who like konde click like button here👍🏾

  • @ONEDIZO
    @ONEDIZO หลายเดือนก่อน +5

    Acheni kuongea utumbo sasa hapo amejigamba kitu gani hapo konde boy ni mtu mmoja pisi sn tuu ❤

  • @user-ps5el6ef2u
    @user-ps5el6ef2u หลายเดือนก่อน +7

    Kinachoongelewa na mlichoandika haviendani😅

  • @ellyjimmy22
    @ellyjimmy22 หลายเดือนก่อน +3

    Suel tv we are watching 🔥

  • @eggysulle7988
    @eggysulle7988 หลายเดือนก่อน +7

    Jeeshiii la mtu mmoja jeshii kama jeshii 🔥🔥🔥🔥🔥

  • @BurundiMedia
    @BurundiMedia หลายเดือนก่อน +62

    wa Tanzania acheni unafki bila kupepesa macho wa mdomo Hamonize ni musanii muzuri ila kujilinganisha na Diamond bado sana kwa kweli afike kwanza level Rayvanny kwasababu Rayvanny pekeake kamzidi mbali sana Hamonize ila Hamonize anataka anataka kujifanya kua haujuwi kua Rayvanny mkubwa kuliko yeye anajuwa sana

    • @Peterchila-un2lx
      @Peterchila-un2lx หลายเดือนก่อน +10

      Sahihi sana ndugu upo sahihi kabisa

    • @binkokisalikoi9019
      @binkokisalikoi9019 หลายเดือนก่อน +1

      Poleni

    • @MbalasaJRMwakabalile
      @MbalasaJRMwakabalile หลายเดือนก่อน +6

      ​@@binkokisalikoi9019Ukikuwa kidogoo ukiwa na akili ya kuona kitu utaelewa harmo is better broo

    • @Farida-jx5nz
      @Farida-jx5nz หลายเดือนก่อน +7

      Harmonize Yani bd sanaaa sema yeye anajikubari sana kuliko ata mashabki wanavyomkubari

    • @DM_15
      @DM_15 หลายเดือนก่อน +10

      Duh unamjua konde kweli , kuna utofauti wakua popular nakua namafanikio kwa umaarufu naku shine diamond ni the best. But nguvu ya ku ficha ulichonacho na ku mention konde ni strong angekua dhaifu angepotezwa kabisa kwenye ramani ya muziki kama mavoko. Diamond usipokua imara ana hakikisha amekushusha hataki ushindani wa kuona mtu ana mpita ki ustar na umaarufu, kitu unatakiwa kujua ukiwa maarufu wafanya biashara wenye nguvu ya kuficha thamani wana tumia umaarufu wako kuingiza pesa, Diamond anatumika namakampuni mengi, mfano chibu perfume nimtu aliwekeza , diamond karanga nimtu aliwekeza wasafi media kunamtu kawekeza, wasafi bet, mkenya ka invest , peps mkubwa wao wahindi wamewekeza, air tel pia hivyo hizo kampuni zote hazi milikiw nayeye baadhi ana his nazo. Na unatakiwa kujua hakuna mtua anaweza kukulipa zaidiya anachopata. That means haimaanish hawezipitwa na wasanii wengine. Do you know that guy musion AY. He has a lot good result , bana boy wajuz tuu kawapita wengi kiuchumi, hivyo hata konde anawezakua wa juz aka mpita mondi pia inawezekana.

  • @titoamani-e8b
    @titoamani-e8b หลายเดือนก่อน +2

    Harmonize hana imaani na kipaji chake tena ndio maana ameamua kua na uchawi..Mzee Popo...laana tupu😅😅😅

  • @zerochanneltanzania3797
    @zerochanneltanzania3797 หลายเดือนก่อน +6

    Diamond will always be your papa…without him you aint shit. End of story.

    • @piusnyaboga903
      @piusnyaboga903 หลายเดือนก่อน +2

      Wewe n ng'ombe kila mtu amesaidiwa hat diamond alipitia mikono ya mtu

    • @GenerousAzard-fq1ym
      @GenerousAzard-fq1ym หลายเดือนก่อน

      Excellence bro ​@@piusnyaboga903

    • @GenerousAzard-fq1ym
      @GenerousAzard-fq1ym หลายเดือนก่อน

      Acha ujinga 😂😂😂mwenyewe aunalolote wala mwelekeho ndomana munaweka akili ya usahidizi

  • @user-xp4re6tv8l
    @user-xp4re6tv8l หลายเดือนก่อน +6

    Vanny mkubwa sana

    • @margarethpolepole7438
      @margarethpolepole7438 หลายเดือนก่อน

      MkubwaMungu tu siyo Vann

    • @yussufamour9979
      @yussufamour9979 หลายเดือนก่อน

      We nn kafirwe uko Acha shobo

    • @margarethpolepole7438
      @margarethpolepole7438 หลายเดือนก่อน

      @@yussufamour9979 Acha matusi toa maoni tu nenda shule usiitumie simu vibaya

  • @boniphacemsafiri
    @boniphacemsafiri หลายเดือนก่อน +4

    Wale vywawa wako mbona hatujawaona pimbi na wasenge wengine kelele wote leo wapost na hili

  • @user-lb1nr2fw7t
    @user-lb1nr2fw7t หลายเดือนก่อน +6

    Harmonize bado sana kwa lukuga

  • @omarybakunda2554
    @omarybakunda2554 หลายเดือนก่อน +2

    Unafiki wenu mm huwa siupendi

  • @youngrickericjames1850
    @youngrickericjames1850 หลายเดือนก่อน +2

    Mtangazaji unachokiongea ni tofauti na msanii anachojibu 💁🙄

  • @AUGENSYLIVAND-rq7hz
    @AUGENSYLIVAND-rq7hz หลายเดือนก่อน +1

    Aaa Hawa hawaeleweki huwa ni kiki

  • @noelnchomal2023
    @noelnchomal2023 29 วันที่ผ่านมา

    🎉

  • @donlee9992
    @donlee9992 หลายเดือนก่อน +1

    Ukubwa wajna utapendeza ukiambatana na mkwanja.

  • @shannarsaidSwahili
    @shannarsaidSwahili หลายเดือนก่อน +9

    Rayvanny ni mkubwa kuliko huyu harmonize.....maana harmonize anavimba saana na bado yupo chini ya platinumz na vannyboy

    • @user-in7ie3mj9o
      @user-in7ie3mj9o หลายเดือนก่อน

      Msiwe mna kurupuka bhana😂

  • @NGOSHA
    @NGOSHA หลายเดือนก่อน

    🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @user-fc1pn6ee4z
    @user-fc1pn6ee4z หลายเดือนก่อน

    Bado sana harmo

  • @nzitogondwe9976
    @nzitogondwe9976 หลายเดือนก่อน

    Yeye kila mara mpaka amtaje mwamba diamond

  • @yokossiaks867
    @yokossiaks867 หลายเดือนก่อน

    Simba angemchukia harmonize angemuacha kabla bado haijatoka

    • @SiraMinanda-k1n
      @SiraMinanda-k1n หลายเดือนก่อน

      Chuki inakuja baada ya kuona mafanikio ambayo ukuyategemea kwa ulimsaidia, Aliyekusaidia anatamani uwe chini yake uendelee kuwa muhitaji kwake.

  • @AudaxLwekamwa-kt6eg
    @AudaxLwekamwa-kt6eg หลายเดือนก่อน +3

    Wewe Baba ako ni Diamond..
    Diamond ni Baba ako wewe..

  • @gustaphkadio5144
    @gustaphkadio5144 หลายเดือนก่อน

    Ili muuze lazima mumtaje diamond for no reason

  • @lamecknzuzu9734
    @lamecknzuzu9734 หลายเดือนก่อน

    Mond apewe heshima yake

  • @jeremiahcharles6027
    @jeremiahcharles6027 หลายเดือนก่อน +2

    Mbona anaiga kwa mond mpaka anakosea ,,,anaongea kwa uhumble sana

  • @enockezekiel4125
    @enockezekiel4125 หลายเดือนก่อน

    Momentis duh

  • @user-fh5xt9pr3v
    @user-fh5xt9pr3v หลายเดือนก่อน +2

    Jesh na kiba ninwakali

  • @DamasLehani
    @DamasLehani หลายเดือนก่อน

    Vanny kwani anaomba Nini ?

  • @RAZAKIMMALINDA
    @RAZAKIMMALINDA หลายเดือนก่อน

    Language barrier 😂😂😂

  • @JuliusOkanya
    @JuliusOkanya หลายเดือนก่อน

    Aje kuliko simba

  • @richkaja3317
    @richkaja3317 หลายเดือนก่อน

    Mond jini sio mtu konde afanye kazi aache unafiki

  • @SmilingBeaver-rf6sf
    @SmilingBeaver-rf6sf หลายเดือนก่อน +5

    Dogo unajifanya wewe ni mkubwa

  • @musiccaentertainment100k8
    @musiccaentertainment100k8 หลายเดือนก่อน

    Naona mashabiki wa rayvanny wanavyo weweseka

    • @eggysulle7988
      @eggysulle7988 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂😂watapatapa😂😂

  • @karimjuma4019
    @karimjuma4019 หลายเดือนก่อน

    Mtangazaji unaongea sana

  • @d-manb-free3478
    @d-manb-free3478 หลายเดือนก่อน +1

    Think about Konde Gang kumebaki tu Ibraah na yeye ni Kama yupo and hayupo 😂

  • @Barakanenealldays-bp8cd
    @Barakanenealldays-bp8cd หลายเดือนก่อน

    Anaongea kaaa mondi

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 หลายเดือนก่อน +1

    Diamond ni ya Kusaga yeye anashea ndogo na Ally Kiba yuko na waziri nyumq yake na ndiyo qliyemleta wa BBC London kuna siri nyuma ya pazia tulieni vijana

    • @amohamed4969
      @amohamed4969 หลายเดือนก่อน

      Diamond anamiliki 45% unasema ndogo!? 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂